HAKUNA GUMU KWAKO - ROC WORSHIPPERZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Hakuna jambo la kumshinda Mungu. Haijalishi ni hiyo changamoto imesimama mbele yako kama mlima, milima yote huyeyuka kama nta mbele Zake. Mkabidhi Mungu yote, mpelekee mizigo yote inayokuelemea naye atakupumzisha.
    Unavyojiungamanisha na wimbo pamoja na maombi haya Mungu akakupe mwanzo mpya na mwelekeo mpya katika maisha yako, akafungue vyote vya kwako vilivyofungwa.

Комментарии • 6