Tatizo matumboooo!!! Njaaaa zinawasumbua. Mmeacha kumuangalia Mungu mnamuangalia mwaikali na mwambola. Umieni tu mda ikifika mtapoaaaa!!! Nyie wote Ni watumishi wa michongo tu.
Mmeshachanganyikiwa mmeacha kumwamudu Mungu sasa mnamwamudu mwaikali, mnajidhalilisha sana na mnatia aibu sana. Endeleeni na mgogoro wenu ila sisi mgogoro umeisha
Haki daima itasimama na ukweli utakujajulikana, japo inasikitisha kua shuruhisho hili la mkuu wa kanisa litaleta mgawanyiko wa dayosisi ya kote na sio kujenga. Hekima inahitajika sio maamuzi ya upande mmoja km inavyoonekana sasa.
Wanafiki haooo SHARIKA 14 ZIMEENDA. SISI WAKRISTO TUNAUTAMBUA ULIKUWA MKUTANO WA UPATANISHO. MWAIKALI YEYE KAWA ASKOFU WA LUSIFER. KWENDENI ZENU HUKOOOO
MPAKA HAPO MMEKWISHAAAA MNAMWABUDU SHETANIIIII WAKOROFI NYIE WAPENDA MIGOGORO. HSKUNA BARUA ILIYOFICHWA BARUA.ZOTE ZILIKUWA WAZIIII BAKIENI NA UKOROFI WENUUU. WAPO WACHUNGAJI WANAOMTUMIKIA MUNGU. SIO MWAIKALI AU HUYO MKUU WENU WA JIMBO
Mkitaka kujua nani kavunja katiba ya DKO nenda kasema katiba kwanza sio kuambiwa tu na viongozi walioleta mgogoro kwa maslai yao. Vifungu vichache kwenye katiba ya DKO 1. MAKAO MAKUU YA DKO yatakuwa wapi Katiba inasema Tukuyu-mbeya 2. WAJIBU MOJAWAPO WA HALMASHAURI KUU-kufanya kazi zote za mkutano MKUU isipokuwa maamuzi yahusuyo mabadiliko ya Katiba. Jiulize ni kuhamisha makao toka TKY kwenda MBY jiji nini kwenye katiba ya DKO. 3. Je wakati wa kuhamisha makao makuu kutoka Tukuyu kwenda Mbeya jiji wakristo walishirikishwa na kutoa ushauri wao. Msiongee sana bila kujua kwanini mkuu wa kanisa aliingilia MAMLAKA ya DKO. Katiba ya KKKT inampa MAMLAKA hiyo.ikiwa kuna sababu maalumu,konde kulikuwa na sababu na kwenye mkutano zilielezwa. Acheni mambo ya ukabila yataleta machafuko. Sisi zote ni Watanzania na watoto wa baba mmoja Mungu.
Ee Mungu kumbuka Rehema juu ya kanisa. Isije kuwa ndo wakati wa watu wa kusema mimi ni wa Apolo mara mimi ni wa Paulo.Yesu anarudi hivi punde hakikisheni hiyo misimamo haimuudhi Mungu kabisa roho zetu ni muhimu kuliko watu. Nawaonea huruma saana mnapoleta ukabila hiyo roho ni ya kishetani kabisa
Tatizo matumboooo!!! Njaaaa zinawasumbua. Mmeacha kumuangalia Mungu mnamuangalia mwaikali na mwambola. Umieni tu mda ikifika mtapoaaaa!!! Nyie wote Ni watumishi wa michongo tu.
Safi sana wanyakyusa msikubali nawapenda buree simamien haki yenu
Mmeshachanganyikiwa mmeacha kumwamudu Mungu sasa mnamwamudu mwaikali, mnajidhalilisha sana na mnatia aibu sana. Endeleeni na mgogoro wenu ila sisi mgogoro umeisha
Askofu Shoo,maombi ndio suluhisho ktk hili.Mungu atafanya jambo jipya.
Mlikua mnamheshim Mungu, sasa mmechoka kumheshimu ooh jesus
Halafu huyu mama eti mnamuona Mungu, Mungu gani wa kunfukuza kiongozi wa kiroho. Hapa hakuna Mungu ila mwaikali😶😶😶🙊🙊🙊
Mungu asimame katikati yenu hapo Mimemwacha Mungu Mwaikali ndiye chanzo cha yote Achen kuwaabudu wanadamu Mwaikali ni mwanadamu tu mtegemeeni Mungu
Naomba Askofu mkuu Shoo jambo hili litangazwe kama Agenda ya Maombi kwa waumi wote TANZANIA. Mungu aingilie kati na kuponya Mgogoro huu
Ndaga fijo.bha mwakyusa mmtagile kyala mkuntumikia shetani mwandile ubhwite mwe mwe mwe banyakyusa mwandile ugubaguana aba kumwamba aba Nselya ba bakamu benu mnaharibu hekalu la Mungu kyala abatulege
Mkatubu laana mulioipata mlikojitenga ludi nyuma mjitafakali mungu hayupo kwenye kiti
Tuachieni K.K.K.T yetu anzisheni Kanisa lenu la ukanda wenuuu. Acheni ujinga huu
Wapendwa Mungu apewe nafasi ya kwanza kuliko ubinafsi unaolenga kuliangamiza Kanisa. Ila ninyi watu Roho ya ubaguzi haiwezi kuwaacha salama.
Mkutano batili wakati mkuu wa kanisa anatambulika na Kkkt nzima
Polen wanaipinda kwayote mnayopitia
Duuuh jaman mnamwaibisha MUNGU pamoja na ukristo mnawafundisha nini wa dini nyingine mnapenda kukaa mjini madaraka pamoja na hela
Anzisheni kanisa lenu, kkt hatuwataki mshindwe kwa jina la yesu
Hivi hili kanisa halina kiongozi? Kama mnakiongozi kwanini msiwahamishe? Kwanza sijawahi Kuona mchungaji mwanamke ndo maana mnaongea sana.
Acheni uupuuzi huo kawalisha simu Mwaikali na Mwambola jiangalieni sana
Makofi yakinafiki kwakuwa hamjui taratibu za kuanzisha dayosisi mnafikiri Kila jambo mtakubaliwa tu,kajimbo kamoja hakawezi kupinga majombo yote yaliyofanya maamuzi ya kumuondoa mwaikali mrudisheni huko kwao ipinda aendelee kulima mikokoa
Mtumikieni MUNGU kwa roho na kweli acheni kupenda madaraka na kupenda kukaa mjini na simamieni kweli ya MUNGU msiwe wanafiki
Haki daima itasimama na ukweli utakujajulikana, japo inasikitisha kua shuruhisho hili la mkuu wa kanisa litaleta mgawanyiko wa dayosisi ya kote na sio kujenga. Hekima inahitajika sio maamuzi ya upande mmoja km inavyoonekana sasa.
Sikumtegemea Ndikutia atakuwa hivi mungu riponye kanisa lako kumbe ndiyo maana mmepora gari usiku wa manane nyie watumishi gani?
Wawaachie wanakonde waamue wenyew
Mnaleta ukanda. Ina sasa mnamtaja jamaa yangu Baraka Sanga toka Mababu.....kisa ni mkinga. Mnajitia aibu
akili hamn apo wazee mmekaa mkimjadili m2 badala yakumtafta mungu mtaften mungu kuliko kumjadili m2 2mien akili"
Wanafiki haooo SHARIKA 14 ZIMEENDA. SISI WAKRISTO TUNAUTAMBUA ULIKUWA MKUTANO WA UPATANISHO. MWAIKALI YEYE KAWA ASKOFU WA LUSIFER. KWENDENI ZENU HUKOOOO
Kwanini mliamisha makao makuu tukuyu
Kwa nini mliazimia kugomea kikao mama? Mungu liponye kanisa lako.
Wanyaki mnatuaibisha
Mwaikali ndio mwenye mgogoro ataitishaje mkutano? Lazima awe mtu mwingine wa mbali Mungu akupiganie mkuu wa kanisa waulize mwaikali alisimikwa nani?
Acha inyeshe tuone panapo vuja ...
Hivi askofu anachaguliwa na waumini au Mungu?
Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Aliye kikwazo cha KANISA hurudishwa nyuma ili kazi uendelee
HUYU MPUMBAVU SANA TENA HAJIPENDI ANASEMA WAMECHOKA KUMHESHIMU MUNGU SASA WATA MWEKA MUNGU PEMBENI MNATAKA MTUMIE UCHAWI NA MAPANGA?
Mbombo ngafu
.
Wa tky mnapenda muongoze nyie tu hovyooo
Mnapenda migogolo
Nyie waongoo woote
Nyie mazwazwa kweli
Achani njaa nyie konde mtulie amani itawale
Hawa watu wapumbavu...
Gereza linawasubir
Kama sharika 14 zimeenda basi mmekwishaaa....k
Mmmh
Ama kweli Ipinda hakunaga wasomi wote wanamtazamo mmoja wana mawazo kama Mwakyembe aliyefeli
Nyie ndio Waasi fungukeni Macho
Askofu kashapatikana nyie nendeni shambani hamna chenu
Nyie ni raia wa kawaida hamna mchungaji wa askofu! Tuna askofu mpya
Mwaikali aliuzwa na Mengele! Aliwaponza! Na huyo mkuu wenu wa Jimbo apishe ofisi
Mwaikali sio Askofu tena! Mjiunge muanzishe la kwenu mpigane vizuri! Waumini wamewachoka na siasa zenu kanisani wameamua kushika mwenendo mpya
MPAKA HAPO MMEKWISHAAAA MNAMWABUDU SHETANIIIII WAKOROFI NYIE WAPENDA MIGOGORO. HSKUNA BARUA ILIYOFICHWA BARUA.ZOTE ZILIKUWA WAZIIII BAKIENI NA UKOROFI WENUUU. WAPO WACHUNGAJI WANAOMTUMIKIA MUNGU. SIO MWAIKALI AU HUYO MKUU WENU WA JIMBO
Mkitaka kujua nani kavunja katiba ya DKO nenda kasema katiba kwanza sio kuambiwa tu na viongozi walioleta mgogoro kwa maslai yao.
Vifungu vichache kwenye katiba ya DKO
1. MAKAO MAKUU YA DKO yatakuwa wapi
Katiba inasema Tukuyu-mbeya
2. WAJIBU MOJAWAPO WA HALMASHAURI KUU-kufanya kazi zote za mkutano MKUU isipokuwa maamuzi yahusuyo mabadiliko ya Katiba. Jiulize ni kuhamisha makao toka TKY kwenda MBY jiji nini kwenye katiba ya DKO.
3. Je wakati wa kuhamisha makao makuu kutoka Tukuyu kwenda Mbeya jiji wakristo walishirikishwa na kutoa ushauri wao.
Msiongee sana bila kujua kwanini mkuu wa kanisa aliingilia MAMLAKA ya DKO. Katiba ya KKKT inampa MAMLAKA hiyo.ikiwa kuna sababu maalumu,konde kulikuwa na sababu na kwenye mkutano zilielezwa.
Acheni mambo ya ukabila yataleta machafuko. Sisi zote ni Watanzania na watoto wa baba mmoja Mungu.
Wapagani wakiwepo ndani ya zehebu hatari sana
Sema wewe huutambui usisemee watu
Ee Mungu kumbuka Rehema juu ya kanisa.
Isije kuwa ndo wakati wa watu wa kusema mimi ni wa Apolo mara mimi ni wa Paulo.Yesu anarudi hivi punde hakikisheni hiyo misimamo haimuudhi Mungu kabisa roho zetu ni muhimu kuliko watu.
Nawaonea huruma saana mnapoleta ukabila hiyo roho ni ya kishetani kabisa
Huu ni Mkutano Mkuu wa Jimbo au Halmashauri ya jimbo