"CHOMENI NYUMBA ZANGU NA MAGAR YANGU NIKIHAMIA CCM" MANENO YA MWISHO YA MCHUNGAJI KUHUSU KUHAMIA CCM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 15

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 3 месяца назад

    Iringa mbona hamutekelezi ahadizake chomeni.much gani huyu.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 месяца назад

    Yesu ndie🎉ali kufa msalabani tukakombolewa sio hawa akina yuda wa kupenda pesa afu wanajiita wachungaji hawa wapo kimasirahi

  • @SaidOmary-fd3bj
    @SaidOmary-fd3bj 3 месяца назад

    MIE NASEMA WATANZANIA WENGI ATUFIKIRIE KABLA YA KUSEMA HILI NDIO TATAIZO LA WENGI

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 3 месяца назад

    Msigwa

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 3 месяца назад +1

    mwacheni aje ccm Tanzania ni nchi ya democrasia kila mwananchi ana uhuru wa kuwa mwanachama wa chama chochote mda wowote

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 3 месяца назад

      Kwani hayo ya kuchomwa nyumba zake akihamia ccm, ni mtu mwingine alimwekea maneno mdomoni?

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 3 месяца назад +1

    Msigwa akili zake ziko kisogoni

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 месяца назад

    Sasa singida ulienda kufanya nini msariti Sana msigwa kawavua nguo wahehe

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      Usaliti hautokani na kabila ni hurka ya mtu mwenyewe

  • @HalmenshianisonHalmenshianison
    @HalmenshianisonHalmenshianison 3 месяца назад

    Yeah

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 3 месяца назад

    Shukuru nyumban zako na magari yako viko iringa mali hizo zingekuwa Jiji la watukutu mbeya vingechomwa moto hakika

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 3 месяца назад

    Shetani kajichome mwenyewe ndio ndoto zako

  • @AdiaMwinyi
    @AdiaMwinyi 3 месяца назад

    Hukumu yako ipo karibu mungu atakupa adhabu apa apa dunian maan umekua mnafiki kiasi iko nenda ukachangie dhuluma

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 3 месяца назад

    Sasa wakichoma hutalia au umesahau

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 3 месяца назад

    You will forever regret this decision