"Nimeumia sana" GODBLESS LEMA AUMIZWA NA TAARIFA ZA MCHUNGAJI MSIGWA KUHAMIA CCM //ATAMANI HAYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2024

Комментарии • 60

  • @MsetiMagabe
    @MsetiMagabe День назад

    Peter mungu anakuona

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 День назад +2

    Afadhali angehamia kipindi cha ndugu yake JPM.

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 День назад +2

    Magret polepole wewe ndo saka tonge na richawa lililo kubuhu la mama kulemba

  • @evelina9621
    @evelina9621 День назад

    Mungu.hajamchagua.yuko.atayekujabora.zaidi.kuliko.msg

  • @mohamedmoledina6403
    @mohamedmoledina6403 День назад +1

    Chadema panueni democrasia acheni kumlalamikia msigwa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 День назад +1

    Umefanya vizuri Lema imebidi Msigwa aondoke Mbowe kamfanyia vibaya yeye ndiyo aliyopanga kumtoa Msigwa ili kura apigiwe ba tule mwenye sura kama Nyani

  • @RobertMushi-yh7re
    @RobertMushi-yh7re День назад

    Haya Silaa alifanya hayo hayo muwe makini

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l День назад +1

    Mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine
    Nawahakikishia Msigwa atachuja kisiasa soon
    Na wala CDM Haitashuka viwango eti kwa kuwa Peter Msigwa kahamia CCM

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 День назад +1

    Chadema ni watu siyoo mtu kwahyo mtu awezi kuwapa tabu watuuu wapo waxuri ndani ya chama kuxidi yeye

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz День назад +1

    Amechelewa sana na anaendekeza sana njaa,angehamia kipindi kile cha Magufuli angekula dodo.

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule2896 День назад

    Wana siasa ni wanafiki

  • @ottomap-u2i
    @ottomap-u2i 2 дня назад +1

    nibora kuwa ccm ijulikane. kuliko kuwa chadema na mawazo ya ccm.

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 2 дня назад +3

    EPHESIANS 6:12 Vita vyetu sio juu ya Damu na nyama bali juu ya principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.

  • @henrymligo2440
    @henrymligo2440 4 часа назад

    Msigwa unatamaa ya madaraka na pesa.

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q День назад

    CHADEMA BADILISHENI UTARATIBU LA SIVYO WATU WATASHINDWA KWA KWENDA, MSIGWA HAJAPENDA KABISA KWENDA CCM , NI HASIRA 2 KUTOKANA ZULUMA ZA UCHAGUZI

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 17 часов назад

    Mbowe ndo amekufanya uwe mbunge miaka kumi ngoja tuone utakako enda

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi День назад

    Uyu anatamaa na viewo ata ccm wajiagarie mana ni hatari kwao

  • @rahiyamohamed65
    @rahiyamohamed65 День назад

    Alisema akienda ccm nyumba yake na magari yake yacjomwe moto

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 День назад +1

    Mchezo umekwisha Chadema hampati kitu tena kwanini nilishasema Chadema ni Wasaka tonge tu hawana lolote nyie wazee mtoke Mbowe utoke kwenye Uwenyekiti Msigwa umeleta raha sanaaaa karibu Ccm yetu

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 2 дня назад +2

    Mwenyekiti wenu ndugu Mbowe ndiyo tatizo kubwa bana.

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 День назад

    Kama kweli unasimamia unachokiamini huwezi kuhama kwa sababu tu umekosa cheo. Wanasiasa mnawakosesha wananchi imani. Ina maana na hata prof nae angekosa cheo angeacha chama tuu? Hakika huko ulikoenda haufiti.

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi День назад

    Ccm inavuna ilichopanda

  • @AYUBURUGOYE
    @AYUBURUGOYE День назад

    LEMAKAZAMWENDO TUNAKUTEGEMEA SAAANA MUNGU AWE NAWE ILAKWELI KUAGANAKUNATIA HUZUNI HASAKWA ANAYE ONDOKAANA ACHAUKIWA HATAKAMANIMBAYA MSIGWA RUDI TAFADHALI WEWENIMCHUNGAJI ONYESHA NURU IWAKE MIMISINALOLOTE LAKINISITANGITANGI

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 День назад

    Lema mwenyewe anaondoka mda wowote usione anaumia ni sababu ya ( FARU JOHN) JANA alikuwa kapiga kubwa anajirambatu ndiyo maana TINDILUSI 😅😅😅😂😂😂😂 KATOKOMEA KUSIKO JULIKANA KWA SABABU YA MBOOOWE CHAPOMBE

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 2 дня назад +2

    mimi nilitarajia atahamia ccm tangia enzi za magufuli ila sihui kilimzuia nini mwendo wake ulikua unaonyesha dhahirr mjinga huyu

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 2 дня назад +1

    Msigwa shezi kabisa tena shizi sana

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i 2 дня назад +2

    Kwanini msigwa anaandikiwa cha kusema

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 2 дня назад +2

    Msigwa asingehama mwenyekitiwake angemfanya chochote wee lema si unajuwa???? Mambo yale ya chachawangwe ilikuwa hatareeeee!

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 дня назад +1

    Yuda

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 2 дня назад +1

    Njaa

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 2 дня назад

    Kwa kweli. Viongozi mnatufundisha nini! Mimi wanachama wakawaida. Nitakuaje! Sijui uchu wa madalaka! Sio mbaya tuliumia na Akina halima mdee mwisho tumezoea. Na wametokea majembe mazuri.

  • @sjdbxjdhsudjxjhd615
    @sjdbxjdhsudjxjhd615 День назад

    Dah kwa utaratibu huu unfiki unaendelea

  • @Ahdall
    @Ahdall 19 часов назад

    Rubbish

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 2 дня назад +1

    Njaa haina baunsa🤣

  • @japhetringo7688
    @japhetringo7688 День назад

    Njaaa tuu apo uwaziri

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 2 дня назад

    Msingwa ni msenge for real ataendelea kuma mpaka mwisho shenzi sana

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 День назад

      Inaonekana una kisa na msigwa maana umemtukana tusi kubwa jamani.

    • @stevenjackson4985
      @stevenjackson4985 23 часа назад

      Jiandae kuwatukana wengi maana wengi bado watahama.

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 2 дня назад

    Hapa kuna kitu cha kujifunza hatuna upknzani kabisa kwani huwezi kuwa mpinzani una njaa

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011
    @pantaleolaurentlaurentkavu2011 2 дня назад

    Siasa za uongo.daima hujenga chuki.tanzania tunahitaji maendeleo.Sgr.barabara .miradi usalama elimu.

    • @khalifasaidi7001
      @khalifasaidi7001 2 дня назад

      Historia ya mwenyekiti huwa ni mbaya hakuna aliyeingia angazake alafu akasalimika, mfano zito kabwe au yaliyomkuta chachawangwe,,,,,huyo ni mwenyekiti wa maisha

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l День назад

    CHADEMA ilikuwepo kabla ya Msingwa hajajiunga na CHADEMA kwahiyo msiwe wanyonge kiasi hicho
    Lets join to push on our Political part
    Msigwa alisha kuwa mnafiki siku nyingi sana

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o 2 дня назад

    Hata samia atawaumiza na kuwafukuza watu kwanini haufukuzi wati Zanzibar why shenzi sanzi sana

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in День назад

    Kumbe msigwa kilichokuweka chadema ni cheo, umeamua kuunga mkono wezi?, ningekuona wa maana sana kama ungehamia ACT

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 2 дня назад

    Huyu Mzee acha akafie Kwa wazee wenzie huko

  • @estermark
    @estermark 2 дня назад

    Huyu alishaonyesha sikunyingi tangu alipolipiwa fain na makofuli huyu aendetu

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 День назад

    Mipango yetu kuivuluga ccm

  • @MonayLai
    @MonayLai 2 дня назад

    Ila jamani tuwe wakweli hy mchungaji kama dishi lilishayumba siku nyingi tokea wakati wa maguila ila tu nafsi ilimsuta ndio akaasita ila sasa njaa haina aibu safari hii ameona heri kuingia kwenye pango la wanyang’anyi nimgemuelewa kama angeamua kurudi tu kanisakutumikia uchungaji wake?

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 дня назад

      Ni kweli,ametoka kwenye genge la majambazi ameingia kwenye chama cha walafi

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 2 дня назад +1

    Hili ni pigo kwa chadema japo wanajikaza tuu.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq День назад

    Angevumilia kwani lazima awe mwenyekiti nafasi si zipo nyingi kuwa mvumilivu kama makonda kaka benchi mda gani huyu sio mwana siasa kwasababu huu angalieni historia yake Ali ingiaje cdm baada ya mwakalebela kukataliwa na wananchi umuhimu

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f День назад

    MUNGU MWENYEZI atakuhukumu sawasawa na usaliti wako Umetimia imani ya watu wa Iringa kukuamini kama Mchungaji kumbe ni Yuda Iskariote Sawa utapewa uwenyekiti wa CCM na hatimae utapitshwa bila kupingwa kuwa Rais vyeo ulivyonyimwa na MBOWE LKI kwakuwa MUNGU ni WA haki atatenda haki

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp День назад

    Yaani huyu hastahili hata kumwita mchungaji mwiteni tu msingwa msaliti mkubwa wewe Huna ata aibu kauso kakavu

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in День назад

    Kumbe msigwa ulivyo kuwa unapiga kelele kuhusu bandari ulikuwa mnafiki mkubwa, kumbe wewe ni ziro brain

  • @ibrahimsirajikaru1010
    @ibrahimsirajikaru1010 2 дня назад

    Kesho nawe kamfate

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige2862 13 часов назад

    Nimeumia km MCH anaweza kuondoka wakati Huu nguvu mliyotumia kuhamasisha umma Leo mmeanza kubomoa Tena hv mpaka lini

  • @evelina9621
    @evelina9621 День назад

    Usimie.lema.wako.wengi.wazuri.wenye.uwezo.mkubwa