"MSIGWA NI MSALITI WA CHADEMA" MARTIN MASESE ATEMA CHECHE Balaa!!! //ALISALITI CHADEMA MUDA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 июн 2024

Комментарии • 10

  • @ignatiomatimba3554
    @ignatiomatimba3554 День назад

    Jamani eeh kujiunga na Chama Cha siasa ni sawa na kuhama Klabu za mpira Msigwa si msaliti

  • @StevenMtambo
    @StevenMtambo День назад

    Nilimheshimu sana kumbe ni jinga kiasi hiki duuuu aise

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 День назад

    Akina Yuda Eskarioti wako wengi. ( Tena huyo anajiita Mchungaji ) Tangu lini Mchungaji akatumikia mabwana wawili ! Ni msaliti tu, tena yule mbaya kuliko ilivyo tegemewa.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko День назад

    Matapeli wako kwenye siasa nimeona makubwa pesaaaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 День назад

    Mbona Lowasa Sumaye walikwenda Chadema muache akale ridhiki mantashalla Siasa mchezo mchafu

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li День назад

    Msukima alisema haya ya msigwa alikuwa anapewa pesa na miccm je msukuma alidanganya Leo kipo wapi msigwa alikuwa mvurugaji mungu kamumbuwa Toka nenda zako ukaungane na mashetani wewe ni shetani mkubwa

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 День назад

    Yuda sakaliyote

  • @georgemwaikusa4451
    @georgemwaikusa4451 День назад +1

    Kunguru hafugiki muda utaongea.

  • @evelina9621
    @evelina9621 2 дня назад

    Siasa.ni.zuri.ujue.haki.chedema.inawatu.wengi.wa,zuri