Yesu ni mwana wa Maria,, ambaye alipewa unabii na uwezo wa kipekee,, km nuhu, Sulaiman walikua na uwezo wao, kusema Yesu ni Mungu ndo ushirikina wenyewe
Unawafahamu waislamu wa kusini??? NA katika uislamu hakuna ukanda waislamu ni waislamu wote duniani kwani uislamu ni kitabu na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia kwahy waislamu sheria yao ni moja tu Dunia Mzima
QURANI 73 mstari wa 8-9 Na Litaje jina La Mola wako na Ujitupe kwako kwa kweli.( Usitafute MIZIMU. wala UCHAWI wala . . .).9 ( Yeye ndiye) MOLA wa Mashariki na Magharibi - hakuna Muabudiwa ila Yeye. Basi Mfanye kua Mlinzi.( Wako) QURANI 5 mstari wa 90 Enyi Mlio Amini Bila shaka Ulevi na Kamari na kuabudiwa ( Na kuombwa) Asiye kua Mwenyezi MUNGU. Na kutazamia kwa MISHALE YA KUPIGA RAMLI (Na kwa vinginevyo): ( Yote haya) Ni UCHAFU (ni) Katika kazi ya SHETANI. Basi Jiepusheni Navyo . Ili Mpate kufaulu. (KUTENGENEKEWA) QURANI 2 mstari wa 208 Enyi Mlioamini Ingieni katika Hukumu za UISLAMU Zote. Wala msifuate nyayo za SHETANI: Kwa hakika yeye kwenu ni Adui Dhahiri. ) NDUGU Nna Imani Umeona Mafundisho ya Uislamu nadhani Utakua Umejifunza
Halafu YESU Mnapendaga kumsingizia tu Hebu tumsikie Mwenyewe MATHAYO 24 Mstari wa 4-5 YESU Akajibu. Akawaambia .Angalieni Mtu Asiwadanganye 5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina Langu Wakisema mimi ni KRISTO nao watadanganya wengi.) 😃😃😃 MATHAYO 24 mstarii wa 24 Kwa maana watatokea MAKRISTO wa Uongo. na MANABII Wa UONGO .Nao Watatoa Ishara kubwa Na Maajabu: Wapate kuwapoteza kama yamkini hata Walio wateule 😃😃😃😃😃😃 Sikia Sasa UCHAWI Ulianza Wapi? MATENDO YA MITUME 8 mstari wa 9 Na mtu Mmoja jina Lake SIMONI. Happ kwanza alikua akifanya Uchawi katika mji Ule.Akiwashangaza watu wa Taifa la Wasamaria. Akisema ya kua yeye ni Mtu Mkubwa. 10 wote wakamsikiliza tangu mtoto hata Mkubwa. Wakisema. Mtu huyu ni Uweza wa MUNGU. Ule Mkuu.11 Wakamsikiliza. Kwa Maana Amewashangaza Muda Mwingi kwa Uchawi wake; 😃😃😃😃😃😃 Someni vitabu vitakatifu Ndugu zangu KABLA HAMJAROPOKA.😃😃😃
Ukichunguza Watanzania Wengi Ujifanya Eti Wao Wako Na Imani Za Dini Uku Wakijua Wazi Asilimia Kubwa Ya Watanzania Tegemeo Kubwa Ni Waganga Wa Kienyeji Cha Ajabu Watu Ao Ukiwauliza Ivi Wanapenda Waganga Wao Uluka Futi Mia Kukataa Wakisema Wao Awaamini Uchawi Kumbe Niwaongo Mtu Yeyote Mwenye Imani Ya Dini Nilazima Ajue Kua Uchawi Upo Hata Mtume Muhamadi Anajua Uchawi Upo Na Yesu Anajua Uchawi Upo Ndo Mana Anakemea Kwa Kasi Sasa Wewe Mtu Ambae Ujui Kitu Unasema Akuna Uchawi Uchawi Nikitu Ambacho Kila Mahali Vipo Kijiji Kikiwa Na Uchawi Hata Nyumba Ujengi Tena Watanzania Mjue Izi Nyumba Za Mjini Asilimia Kubwa Ziko Na Mazindiko Ya Kichawi Sasa Kwanini Wanaeka Mazindiko Ya Kichawi Wachawi Kwanza Mjue Mganga Ni Mchawi Pia Tofauti Yao Mganga Yeye Ni Mchawi Zaidi Ya Mchawi Wa Kuuwa Bila Kuokoa Wachawi Awafai Mtoto Anaweza Kusoma Sana Siku Ya Mitihani Afanyi Chochote Ukweli Kama Mtu Unasema Akuna Uchawi Basi Jenga Nyumba Kijiji Ambacho Unasikia Wapo Wachawi Ili Ujue Kua Wachawi Wako Au Lah Wachawi Awana Mana Kabisa Mimi Nashuudia Wachawi Wanavunja Vungu Njia Panda Ivi Ukimuona Mtu Anavunja Chungu Njia Panda Je Uyo Sio Mchawi Kweli Nimchawi Tu Msieamini Mtakuta Hata Kanisani Amuendi Niwachawi Wakubwa Ukiona Mtu Anasema Akuna Uchawi Mchunguze Sana Utajua Tu Kumbe Nae Yuko Uchawini Au Ndugu Zake
Hiyo ndege kwanini isianze safari zamikoani aiseee mbona inabeba abiria wengi alafu ilipe kodi kweny serikali saaaaafi wawe huru na kampunilao la ndege
Huyo muwongo! Vitu vyote ni vyake. Anatumia viin macho kupumbaza watu. Tumeshawazoea. Jaman mtaliwa sana na maan ninyi ni wabishi ngoja mliweeeeee! Mtakuja kuzinduka mmeliwa.
Duh!! Mimi nasikiliza haya Kama funzo la fasihi 🤣🤣 🇰🇪🇰🇪 best invention and technology ever seen : size , volume fact and magnification applied with highest specialization
"Duuuuuh, African technology!!! Unbelievable this can carry 360 pasengers! can you tell us more , what is in the tank?? Kerosin or blood?? Is it made of metal or bones? How many km.does it cover in one hour?? (Boeng/ Jumbo jet covers 950km/hr) what the name of the engine? How high can it fly?( nomal airplane international 13,000 meter/13 km. above the sea leval), does it make noise / polute the air?
Km umegundua hawa jamaa ktk maongezi yao hawanaga "M" ni mwendo wa " N" tu mfano mtu wanasema ntu' na mnazi m1 wanasema nnazi m1 na mtoto wanaita ntoto! Hebu gonga like tujuane aiseee! 😂😂😂😂
Pole sana amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu maana naye atakufa Karibu uamsho wa kikristo Tanzania (Uwata) utubu dhambi hukutani tena na adha za wachawi Kwa maelezo zaidi google mtandaoni UWATA Kujiunga bure Unaombewa shida zako bure Usihangaishwe na wanadamu
Kazi za shetani na Hila zake,maelezo ya hekaya zisizo nauthibitisho,kama ni wataalamu kwanini washindwe kuthibitisha kwakuwashika,kwanini waziwidiwe?,MLINZI ni MMOJA tu ALLAH SWT,MWENYEZI MUNGU PEKEE
Uchawi upo hakuna ubishi mimi nimeshawahi shuhudia dogo mmoja amejifanya mganga anatoa uchawi katika stahili mkono wake wa kulia ukakatwa mpaka leo huyo jamaa hana mkono
Yesu ndiye mlango,njia ya kweli na uzima,mwaminini Mungu enyi wanadamu
Amen hakika
Yesu ni yesoo duh nyinyi dini ya haki ni islamu
@@mamafaiza2651 Islam ni kiarabu itaje kwa kiswahili.
Na haya ndo mambo halisi ya waislam
@@TheGame-nz7um Islam kwa kiswahili nikujisalimisha
Wote wizi hao wanajuana hao! Timu moja hiyo, huyo anataka kuwaaminisha wanakijiji kuwa yeye ni mganga mzuri kumbe tapeli
Yes kweli
Kwel
Kwel mazingahombwe hayo
True wote wezi
Muongo vibaka nyinyi
Rudini kwa Mola wenu mlezi huu sio muda wa kudanganyana
Nikweli kabisa
huu ni ukafiri wa wazi
Lindi kuna ujinga mwingi mno
Wapumbavu hawa
Cha ajabu ndege ya kichawi Ina tank ya mafuta watu wa ntwala mnakwama wp
Achana na uchawi Muokoke Yesu ni Mungu
Yesu ni mwana wa Maria,, ambaye alipewa unabii na uwezo wa kipekee,, km nuhu, Sulaiman walikua na uwezo wao, kusema Yesu ni Mungu ndo ushirikina wenyewe
Mtegemeeni mungu
Waislamu wa kusini wanapenda sana uchawi.Mungu yuko wapi hapo? Yesu anawahitaji nyinyi.
Utakuwa mjinga na ujui uislamu na mwislam
Unawafahamu waislamu wa kusini??? NA katika uislamu hakuna ukanda waislamu ni waislamu wote duniani kwani uislamu ni kitabu na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia kwahy waislamu sheria yao ni moja tu Dunia Mzima
QURANI 73 mstari wa 8-9 Na Litaje jina La Mola wako na Ujitupe kwako kwa kweli.( Usitafute MIZIMU. wala UCHAWI wala . . .).9 ( Yeye ndiye) MOLA wa Mashariki na Magharibi - hakuna Muabudiwa ila Yeye. Basi Mfanye kua Mlinzi.( Wako) QURANI 5 mstari wa 90 Enyi Mlio Amini Bila shaka Ulevi na Kamari na kuabudiwa ( Na kuombwa) Asiye kua Mwenyezi MUNGU. Na kutazamia kwa MISHALE YA KUPIGA RAMLI (Na kwa vinginevyo): ( Yote haya) Ni UCHAFU (ni) Katika kazi ya SHETANI. Basi Jiepusheni Navyo . Ili Mpate kufaulu. (KUTENGENEKEWA) QURANI 2 mstari wa 208 Enyi Mlioamini Ingieni katika Hukumu za UISLAMU Zote. Wala msifuate nyayo za SHETANI: Kwa hakika yeye kwenu ni Adui Dhahiri. ) NDUGU Nna Imani Umeona Mafundisho ya Uislamu nadhani Utakua Umejifunza
Halafu YESU Mnapendaga kumsingizia tu Hebu tumsikie Mwenyewe MATHAYO 24 Mstari wa 4-5 YESU Akajibu. Akawaambia .Angalieni Mtu Asiwadanganye 5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina Langu Wakisema mimi ni KRISTO nao watadanganya wengi.) 😃😃😃 MATHAYO 24 mstarii wa 24 Kwa maana watatokea MAKRISTO wa Uongo. na MANABII Wa UONGO .Nao Watatoa Ishara kubwa Na Maajabu: Wapate kuwapoteza kama yamkini hata Walio wateule 😃😃😃😃😃😃 Sikia Sasa UCHAWI Ulianza Wapi? MATENDO YA MITUME 8 mstari wa 9 Na mtu Mmoja jina Lake SIMONI. Happ kwanza alikua akifanya Uchawi katika mji Ule.Akiwashangaza watu wa Taifa la Wasamaria. Akisema ya kua yeye ni Mtu Mkubwa. 10 wote wakamsikiliza tangu mtoto hata Mkubwa. Wakisema. Mtu huyu ni Uweza wa MUNGU. Ule Mkuu.11 Wakamsikiliza. Kwa Maana Amewashangaza Muda Mwingi kwa Uchawi wake; 😃😃😃😃😃😃 Someni vitabu vitakatifu Ndugu zangu KABLA HAMJAROPOKA.😃😃😃
Huna akili mbwa wewe hayo maneno mwambie mama yako
Hongeren sana mashujaa
Muongo , Hihao, kamanikwel wangekuwa wamemkamata ruban. Hapo ndipo nigeamin kweli ni wataalam.
Natafuta WA kunisaidia kukinga Wezi wamenilemea Saidieni wenzangu ...Mungu husaidia anaejisaidia.
Acha ujinga M/Mungu hana mshirika
Njooni huku mtuchukue tuwalipe mtupeleke nyumbani viwanja vya ndege vimefungwa kuliko kuwatia watu matatizo
Ukichunguza Watanzania Wengi Ujifanya Eti Wao Wako Na Imani Za Dini Uku Wakijua Wazi Asilimia Kubwa Ya Watanzania Tegemeo Kubwa Ni Waganga Wa Kienyeji Cha Ajabu Watu Ao Ukiwauliza Ivi Wanapenda Waganga Wao Uluka Futi Mia Kukataa Wakisema Wao Awaamini Uchawi Kumbe Niwaongo Mtu Yeyote Mwenye Imani Ya Dini Nilazima Ajue Kua Uchawi Upo Hata Mtume Muhamadi Anajua Uchawi Upo Na Yesu Anajua Uchawi Upo Ndo Mana Anakemea Kwa Kasi Sasa Wewe Mtu Ambae Ujui Kitu Unasema Akuna Uchawi Uchawi Nikitu Ambacho Kila Mahali Vipo Kijiji Kikiwa Na Uchawi Hata Nyumba Ujengi Tena Watanzania Mjue Izi Nyumba Za Mjini Asilimia Kubwa Ziko Na Mazindiko Ya Kichawi Sasa Kwanini Wanaeka Mazindiko Ya Kichawi Wachawi Kwanza Mjue Mganga Ni Mchawi Pia Tofauti Yao Mganga Yeye Ni Mchawi Zaidi Ya Mchawi Wa Kuuwa Bila Kuokoa Wachawi Awafai Mtoto Anaweza Kusoma Sana Siku Ya Mitihani Afanyi Chochote Ukweli Kama Mtu Unasema Akuna Uchawi Basi Jenga Nyumba Kijiji Ambacho Unasikia Wapo Wachawi Ili Ujue Kua Wachawi Wako Au Lah Wachawi Awana Mana Kabisa Mimi Nashuudia Wachawi Wanavunja Vungu Njia Panda Ivi Ukimuona Mtu Anavunja Chungu Njia Panda Je Uyo Sio Mchawi Kweli Nimchawi Tu Msieamini Mtakuta Hata Kanisani Amuendi Niwachawi Wakubwa Ukiona Mtu Anasema Akuna Uchawi Mchunguze Sana Utajua Tu Kumbe Nae Yuko Uchawini Au Ndugu Zake
Mungu analinda watu wake, Ukiamini ushirikina na ushirikina utakuwa unakufuata.
Yakikukututa ndio utajua uchawi upo naupo saana
@@fatemaligalawa4151 kama unajifanya ujui wachawi wewe utakuwa mwongo. Wewe ni king
@@eliasharun3273 mwongo wewe ndiye chifu
@@kabilamassawe4379 duuu kwanini unasema mm king au siwajui?naonaujaiyelewa mesejiyangu ipitie vizuri nandio ukomenti
Mm naskiliza kma hadisi za abunuwasi😂😂
Yani IPO kama hadidhi
Daaaa njaa mbaya 😁😁😁uongo hadi meno yameng‘oka.
😅😅😅😅
Hhh
Nikachuka nchanga nikatia kinywani nikaendelea na safari 😂😂
Subhana allah - muogopeni na kumwamini mungu.acheni USHIRIKINA.kkkkkk Ndege gani.ujinga mtupu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kabisa wana tumalizia tu mb zetu eti ndege
Hamjawai kurogwa nyie .. ngoja siku mkiuvagaa mziki.
Hahaaaaa uchawi upo lakini tujitathmin Qiyama kinakaribia uuwii Allah atuongoze katik njia iliyo ya haki
Mwenye Tishit nyeupe ndiyo mwenye dill ya kuwataperi wanakijiji
hongereni sana kwa mitego mikali njooni na huku kwetu wacha with wengi kishenzi
Hiyo ndege kwanini isianze safari zamikoani aiseee mbona inabeba abiria wengi alafu ilipe kodi kweny serikali saaaaafi wawe huru na kampunilao la ndege
Hahahahahaha
Ila kwel
Daah serekal yetu kama ikiwana wanajeshi wastail hi itapendeza zaidi na tutakua Salama zaid
Jmn kama umesikia iyo ndege ni ya kampuni tena kubwa yan hawa jmaa wako shilik kubwa sana
Noma sana , ndege ya kishirikina!!
Duh nyumbani kbs 😀😀😀😀😀😀😀mnazi mmoja
Mgangana mchaw lao moja hatawewe kwa mamlaka Yajina layesu vikutoke navisikuingie tena
Wapumbavu matapeli wakubwa nyie,nendeni mkalime pumbavu njaa zinawasumbua tu kenge nyie
YESU Anawapenda karibuni kwake
Huyo muwongo! Vitu vyote ni vyake. Anatumia viin macho kupumbaza watu. Tumeshawazoea. Jaman mtaliwa sana na maan ninyi ni wabishi ngoja mliweeeeee! Mtakuja kuzinduka mmeliwa.
Uyo mzenge uyo muongo tapeli namjua sana tena sana ajui chochote iyo ametoka nayo kwakwe msenge uyo
Jamaa ana ma pengo 😄😄hao waongo washirikina utege nn mwizi wee
Uchawi Upo Ila hao niwaongo, Sana . Na mda wowote mtaibiwa mpaka Mujute.
Lindi uchawi n mwingi sana tangu miaka ya 30 na hawtaki kubadilika, na ndy Sababu hata maendeleo hamna.
Nakukubali mm mzaliwa wa lindi na najua fika uchawi upo ndo mana lindi aiendelei
Kabisa kaka
Me napita tu 😂😂😂🤣
Duh!! Mimi nasikiliza haya Kama funzo la fasihi 🤣🤣 🇰🇪🇰🇪 best invention and technology ever seen : size , volume fact and magnification applied with highest specialization
"Duuuuuh, African technology!!! Unbelievable this can carry 360 pasengers! can you tell us more , what is in the tank?? Kerosin or blood?? Is it made of metal or bones? How many km.does it cover in one hour?? (Boeng/ Jumbo jet covers 950km/hr) what the name of the engine? How high can it fly?( nomal airplane international 13,000 meter/13 km. above the sea leval), does it make noise / polute the air?
Might be male human sperm in the tank😜
Ushirikina mbaya jamani allah atunusuri noa
Hyo ndege ni yangu naitafuta,mdogo wangu aliniazima hakurufisha😟😟😟
😃😄😀😃
Mmmh
😂😂Wanawachonganisha wenyewe ili wapate wateja hao hao,,, sayans bana😂😂😂
Wanatafuta Kiki wat wenye changamoto wapigwe hela
Namuomba mungu aendelee kukupa afya njema Odo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
KALAZE MKUNDU. WAJINGA NDIO WALIWAO.
Kaja nay mwenyew huy
Jamani mpeni yesu maisha awe dereva wa maisha yenu acheni uchawi hautawasaidia
Nchi hii raha sana wengine Katiba mpya wengine Chanjo wengine Watadai ndege yao siku si nyingi.😁😁😁
Tariq nimekupnda mtoto mashallah
Wanatisha vijana
duuuu! mambo ya ajabu kwel
Mataperi awa
Jamaaa muongo kinoma yan
Na hayo mazindiko mara nyengine ndo yanayodhuru familia zetu na vizazi vyetu. Allah atuepushe na ushirikina, Amiin
Duuu!!jamani ama kweli njaa aimpendezi mtu, ndege kichawi unaiona live!!
Katika wezi hawa ni wamoja wao, nilishawai shuhudia utapeli wao mkoani mbeya hawa waganga.
Km umegundua hawa jamaa ktk maongezi yao hawanaga "M" ni mwendo wa " N" tu mfano mtu wanasema ntu' na mnazi m1 wanasema nnazi m1 na mtoto wanaita ntoto! Hebu gonga like tujuane aiseee! 😂😂😂😂
Acha ukabila na uxhamba wako chko ww
Hyo ndege ipelekwe Kabul airport in Afghanistan kuwaokoa marekani from TALIBAN.
Ndege inatenki ya mafuta 🤣🤣🤣🤣 noma Sana
Pole sana amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu maana naye atakufa
Karibu uamsho wa kikristo Tanzania (Uwata) utubu dhambi hukutani tena na adha za wachawi
Kwa maelezo zaidi google mtandaoni UWATA
Kujiunga bure
Unaombewa shida zako bure
Usihangaishwe na wanadamu
Kumbee mzee magu kapata tabu kwenda kanada Lindi ndege kibao
Muongo uyu katengeneza watu wake walete ili awadanganye watu Pepo mkubwa uyu ashindwe Kwa jina la yesu
😂😂😂😂😂 muogope mungu wewe usilete fitna katika jamii. Ndugu zangu msiwape nafasi hao mtafarakiana wenyewekwawenyewe
Huja rogwa wewe ka kimyaaa...mbona hospitalini unakwenda ? Kwani panadon wanakupa SiO hio hio miti 99 mwenyezi mmungu ametupa? Kama hujarogwa kaa kimya na waombeee wenzie mwenyezi mmungu awajaalie wasikumbwe na majanga hao
K
naam washirikina ni makafiri
@@DWAYNEKI wewe ni mshirikina
@@DWAYNEKI wewe ni mpuuzi wa kutupwa kwa kuamini wapuuzi hao
Mamaa mganga juma napataa from chikunda newala 😂😂😂😂😂
Oh hawa ndio vimoda sasa😂
Duuuu watanzania jamani tuko 2020 bado hamjaokoka mwangojea nini jamani ,,,,uchawi hautawapeleka mahali jamani
Maisha yao ya kawaida mabovuu ila uchawini matajiri shenzi taipu mipaka nyau.
Tafuteni kazi ya kufanya nyie acheni utapeli,, ndege ya WATU 360 ni ndogo kuliko shuka aliyoiacha dereva wa ndege 🙂
Tanzania Noma 😭😂
Good
Wamepata shoooo kweli
Duh Tanzania niya viwanda kweli mpaka ndege mnabuni kushinda wazungu.saluti
Hihihihihi
Bomba dia hio 🤣🤣
Namba zake
Kazi za shetani na Hila zake,maelezo ya hekaya zisizo nauthibitisho,kama ni wataalamu kwanini washindwe kuthibitisha kwakuwashika,kwanini waziwidiwe?,MLINZI ni MMOJA tu ALLAH SWT,MWENYEZI MUNGU PEKEE
Msikatae uchawi upo. Mm niliiona live mtaani kwetu alidondoka mbibi yuko uchii km alivyozaliwa.
Aliongwa aigize, acha uwongo. Haya yameshajulikana na mbinu zao.
Uchawi upo ndg zangu tusiwe wabishi.hata ktk vitabu vyetu vya dini vinauelezea uchawi tangu enzi na enzi
Duuuh wapi uko
Uchawi upo hakuna ubishi mimi nimeshawahi shuhudia dogo mmoja amejifanya mganga anatoa uchawi katika stahili mkono wake wa kulia ukakatwa mpaka leo huyo jamaa hana mkono
Huousafiri uhalalishwe kupunguza msongamano
Lindi hiyo naijua vema hata ukipangiwa kikazi huko yataka moyo. Mwl...NY...mwenyewe alichemka.
Uwongo huwo ndege kudondoka hata majeruhi amna katengenaza mwenyewe tu wapigaji hao
Nipewe nambaa za madoctor
Mmmh
Hiyo Kali mwaka
Ayo Mambo Kama ujawai kuyaona unaweza ukafikir uongo
Saaña
Tena sana
🤣🤣🤣
Kwer ndugu
Ach kutetea mambo ayo
Remote??
Kama wewe Ni mganga wa kweli jioteshe meno🤣😃
hahahaaaaaaa, una maeno ww
@@jumaothman2043 4444444~3~|3443~43|4
Hahaha 🙉🙉
Huyu mganga noma nisaidien namba
Sahivi ndege nyingi hazisafiri inabidi kaka utueleze tiketi tunakata wapi tunataka kusafiri
Ongera
Hahaaaaaa
basi hapo mademu wanamtamani duuh wanamuona bingwa kumbe mzinguaji tu 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Sawa mzee
Duuuh ilo dege sopowa aisee
Mhh kama ni kweli basi hao wachawi wana kesi ya kujibu kwa mola wao, ila kama hawa wanadanganya basi nao wasubiri hukumu yao.
Yani hatakujàri hawajari tena wanapigika kweri
Washirikina ni finnaari jajannam
Hao watu wamegeuka sisimizi,ambao wanakaa kwenye hiyo ndege
Allah ndo kila kitu
wallahi
Kwelii uchawiii upo kama hvyooo
Hii ndege inaweza fika uingereza
Njaaa izo
Acheni uchawi mkumbukeni mungu jamani
Kimsingi serikali haiamini ushirikina ila watu wake ndio wanaamini ushirikina na wanapishana sana kwa waganga
Duh maajabu
Noma na nusu kaa
Wote wachawi tu, mnasumbua sana na mna roho Mbaya sana
Jamaa liongo hili duu,unashindanaje na watu 360 kama sio uongo
Mamba mazuli sana
Hessbu 23:23hakika hapana uchawi ju ya yakobo Wala unganga ju ya Israel tuliokoka hatuwezwi na uchawi
Aminaaa!
Amina
Naomba namba ya doctor
Waongo iyoo ishuwametengeza iliwapate dilihapo kijijini kuenimacho
Hawa wezi nyinyi watu mrudieni Allah hamna Kitu matapeli hao Sana'a wanawaaminisheni mliwe ela zenu haya mi napita tu
Mmmhh uwongoooooooo
Mmedanganya saanaaa
Hee bombadia hii au airport force!!!
Goog