NDEGE YA KISHIRIKINA YAZUA TAHARUKI LINDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июн 2020
  • #mashujaatv
    Follow us
    mashujaatv...

Комментарии • 674

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa3974 4 года назад +26

    Yesu ndiye mlango,njia ya kweli na uzima,mwaminini Mungu enyi wanadamu

    • @totodavis1949
      @totodavis1949 4 года назад

      Amen hakika

    • @mamafaiza2651
      @mamafaiza2651 4 года назад +1

      Yesu ni yesoo duh nyinyi dini ya haki ni islamu

    • @TheGame-nz7um
      @TheGame-nz7um 3 года назад +2

      @@mamafaiza2651 Islam ni kiarabu itaje kwa kiswahili.

    • @TheGame-nz7um
      @TheGame-nz7um 3 года назад +1

      Na haya ndo mambo halisi ya waislam

    • @cideboy7836
      @cideboy7836 3 года назад

      @@TheGame-nz7um Islam kwa kiswahili nikujisalimisha

  • @yahyamalik5969
    @yahyamalik5969 4 года назад +34

    Wote wizi hao wanajuana hao! Timu moja hiyo, huyo anataka kuwaaminisha wanakijiji kuwa yeye ni mganga mzuri kumbe tapeli

  • @rashidyyusuph4386
    @rashidyyusuph4386 4 года назад +24

    Rudini kwa Mola wenu mlezi huu sio muda wa kudanganyana

  • @fraviusflugence2569
    @fraviusflugence2569 4 года назад +3

    Achana na uchawi Muokoke Yesu ni Mungu

    • @nancolower_8032
      @nancolower_8032 Год назад

      Yesu ni mwana wa Maria,, ambaye alipewa unabii na uwezo wa kipekee,, km nuhu, Sulaiman walikua na uwezo wao, kusema Yesu ni Mungu ndo ushirikina wenyewe

  • @epiphaniapatrice7289
    @epiphaniapatrice7289 2 года назад +5

    Mtegemeeni mungu

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 4 года назад +1

    Waislamu wa kusini wanapenda sana uchawi.Mungu yuko wapi hapo? Yesu anawahitaji nyinyi.

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 4 года назад

      Utakuwa mjinga na ujui uislamu na mwislam

    • @rashidyyusuph4386
      @rashidyyusuph4386 4 года назад +1

      Unawafahamu waislamu wa kusini??? NA katika uislamu hakuna ukanda waislamu ni waislamu wote duniani kwani uislamu ni kitabu na sunna kwa ufahamu wa wema walio tangulia kwahy waislamu sheria yao ni moja tu Dunia Mzima

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 4 года назад

      QURANI 73 mstari wa 8-9 Na Litaje jina La Mola wako na Ujitupe kwako kwa kweli.( Usitafute MIZIMU. wala UCHAWI wala . . .).9 ( Yeye ndiye) MOLA wa Mashariki na Magharibi - hakuna Muabudiwa ila Yeye. Basi Mfanye kua Mlinzi.( Wako) QURANI 5 mstari wa 90 Enyi Mlio Amini Bila shaka Ulevi na Kamari na kuabudiwa ( Na kuombwa) Asiye kua Mwenyezi MUNGU. Na kutazamia kwa MISHALE YA KUPIGA RAMLI (Na kwa vinginevyo): ( Yote haya) Ni UCHAFU (ni) Katika kazi ya SHETANI. Basi Jiepusheni Navyo . Ili Mpate kufaulu. (KUTENGENEKEWA) QURANI 2 mstari wa 208 Enyi Mlioamini Ingieni katika Hukumu za UISLAMU Zote. Wala msifuate nyayo za SHETANI: Kwa hakika yeye kwenu ni Adui Dhahiri. ) NDUGU Nna Imani Umeona Mafundisho ya Uislamu nadhani Utakua Umejifunza

    • @shabbymakapane1910
      @shabbymakapane1910 4 года назад +1

      Halafu YESU Mnapendaga kumsingizia tu Hebu tumsikie Mwenyewe MATHAYO 24 Mstari wa 4-5 YESU Akajibu. Akawaambia .Angalieni Mtu Asiwadanganye 5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina Langu Wakisema mimi ni KRISTO nao watadanganya wengi.) 😃😃😃 MATHAYO 24 mstarii wa 24 Kwa maana watatokea MAKRISTO wa Uongo. na MANABII Wa UONGO .Nao Watatoa Ishara kubwa Na Maajabu: Wapate kuwapoteza kama yamkini hata Walio wateule 😃😃😃😃😃😃 Sikia Sasa UCHAWI Ulianza Wapi? MATENDO YA MITUME 8 mstari wa 9 Na mtu Mmoja jina Lake SIMONI. Happ kwanza alikua akifanya Uchawi katika mji Ule.Akiwashangaza watu wa Taifa la Wasamaria. Akisema ya kua yeye ni Mtu Mkubwa. 10 wote wakamsikiliza tangu mtoto hata Mkubwa. Wakisema. Mtu huyu ni Uweza wa MUNGU. Ule Mkuu.11 Wakamsikiliza. Kwa Maana Amewashangaza Muda Mwingi kwa Uchawi wake; 😃😃😃😃😃😃 Someni vitabu vitakatifu Ndugu zangu KABLA HAMJAROPOKA.😃😃😃

    • @rajabuahmed4407
      @rajabuahmed4407 4 года назад

      Huna akili mbwa wewe hayo maneno mwambie mama yako

  • @allyjafari4267
    @allyjafari4267 3 года назад +2

    Hongeren sana mashujaa

  • @lazarosimon3431
    @lazarosimon3431 2 года назад +2

    Muongo , Hihao, kamanikwel wangekuwa wamemkamata ruban. Hapo ndipo nigeamin kweli ni wataalam.

  • @rahabrahab9207
    @rahabrahab9207 4 года назад +1

    Natafuta WA kunisaidia kukinga Wezi wamenilemea Saidieni wenzangu ...Mungu husaidia anaejisaidia.

  • @sakinabakari9813
    @sakinabakari9813 4 года назад +6

    Njooni huku mtuchukue tuwalipe mtupeleke nyumbani viwanja vya ndege vimefungwa kuliko kuwatia watu matatizo

  • @awadhirajabu6833
    @awadhirajabu6833 4 года назад +39

    Ukichunguza Watanzania Wengi Ujifanya Eti Wao Wako Na Imani Za Dini Uku Wakijua Wazi Asilimia Kubwa Ya Watanzania Tegemeo Kubwa Ni Waganga Wa Kienyeji Cha Ajabu Watu Ao Ukiwauliza Ivi Wanapenda Waganga Wao Uluka Futi Mia Kukataa Wakisema Wao Awaamini Uchawi Kumbe Niwaongo Mtu Yeyote Mwenye Imani Ya Dini Nilazima Ajue Kua Uchawi Upo Hata Mtume Muhamadi Anajua Uchawi Upo Na Yesu Anajua Uchawi Upo Ndo Mana Anakemea Kwa Kasi Sasa Wewe Mtu Ambae Ujui Kitu Unasema Akuna Uchawi Uchawi Nikitu Ambacho Kila Mahali Vipo Kijiji Kikiwa Na Uchawi Hata Nyumba Ujengi Tena Watanzania Mjue Izi Nyumba Za Mjini Asilimia Kubwa Ziko Na Mazindiko Ya Kichawi Sasa Kwanini Wanaeka Mazindiko Ya Kichawi Wachawi Kwanza Mjue Mganga Ni Mchawi Pia Tofauti Yao Mganga Yeye Ni Mchawi Zaidi Ya Mchawi Wa Kuuwa Bila Kuokoa Wachawi Awafai Mtoto Anaweza Kusoma Sana Siku Ya Mitihani Afanyi Chochote Ukweli Kama Mtu Unasema Akuna Uchawi Basi Jenga Nyumba Kijiji Ambacho Unasikia Wapo Wachawi Ili Ujue Kua Wachawi Wako Au Lah Wachawi Awana Mana Kabisa Mimi Nashuudia Wachawi Wanavunja Vungu Njia Panda Ivi Ukimuona Mtu Anavunja Chungu Njia Panda Je Uyo Sio Mchawi Kweli Nimchawi Tu Msieamini Mtakuta Hata Kanisani Amuendi Niwachawi Wakubwa Ukiona Mtu Anasema Akuna Uchawi Mchunguze Sana Utajua Tu Kumbe Nae Yuko Uchawini Au Ndugu Zake

    • @eliasharun3273
      @eliasharun3273 4 года назад +2

      Mungu analinda watu wake, Ukiamini ushirikina na ushirikina utakuwa unakufuata.

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад +3

      Yakikukututa ndio utajua uchawi upo naupo saana

    • @kabilamassawe4379
      @kabilamassawe4379 4 года назад

      @@fatemaligalawa4151 kama unajifanya ujui wachawi wewe utakuwa mwongo. Wewe ni king

    • @kabilamassawe4379
      @kabilamassawe4379 4 года назад

      @@eliasharun3273 mwongo wewe ndiye chifu

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад +2

      @@kabilamassawe4379 duuu kwanini unasema mm king au siwajui?naonaujaiyelewa mesejiyangu ipitie vizuri nandio ukomenti

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed 4 года назад +10

    Mm naskiliza kma hadisi za abunuwasi😂😂

  • @leahsilau6983
    @leahsilau6983 3 года назад +2

    Daaaa njaa mbaya 😁😁😁uongo hadi meno yameng‘oka.

  • @bakariathumani3161
    @bakariathumani3161 Год назад +1

    Nikachuka nchanga nikatia kinywani nikaendelea na safari 😂😂

  • @mohamedwarsame3073
    @mohamedwarsame3073 4 года назад +3

    Subhana allah - muogopeni na kumwamini mungu.acheni USHIRIKINA.kkkkkk Ndege gani.ujinga mtupu.

    • @kacherosimba5762
      @kacherosimba5762 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kabisa wana tumalizia tu mb zetu eti ndege

    • @uspanicman9345
      @uspanicman9345 2 года назад

      Hamjawai kurogwa nyie .. ngoja siku mkiuvagaa mziki.

  • @biberpriyer330
    @biberpriyer330 3 года назад +5

    Hahaaaaa uchawi upo lakini tujitathmin Qiyama kinakaribia uuwii Allah atuongoze katik njia iliyo ya haki

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 2 года назад

    Mwenye Tishit nyeupe ndiyo mwenye dill ya kuwataperi wanakijiji

  • @mohdbusra6442
    @mohdbusra6442 3 года назад

    hongereni sana kwa mitego mikali njooni na huku kwetu wacha with wengi kishenzi

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 4 года назад +6

    Hiyo ndege kwanini isianze safari zamikoani aiseee mbona inabeba abiria wengi alafu ilipe kodi kweny serikali saaaaafi wawe huru na kampunilao la ndege

  • @allysurrt1237
    @allysurrt1237 4 года назад +2

    Daah serekal yetu kama ikiwana wanajeshi wastail hi itapendeza zaidi na tutakua Salama zaid

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko7001 4 года назад +6

    Jmn kama umesikia iyo ndege ni ya kampuni tena kubwa yan hawa jmaa wako shilik kubwa sana

  • @nalobwamugesha6838
    @nalobwamugesha6838 2 года назад

    Noma sana , ndege ya kishirikina!!

  • @minnahlove7035
    @minnahlove7035 4 года назад

    Duh nyumbani kbs 😀😀😀😀😀😀😀mnazi mmoja

  • @josephjohn8681
    @josephjohn8681 4 года назад +8

    Mgangana mchaw lao moja hatawewe kwa mamlaka Yajina layesu vikutoke navisikuingie tena

    • @patrickmuna2582
      @patrickmuna2582 3 года назад

      Wapumbavu matapeli wakubwa nyie,nendeni mkalime pumbavu njaa zinawasumbua tu kenge nyie

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 2 года назад

    YESU Anawapenda karibuni kwake

  • @melkizedekiwiliam5533
    @melkizedekiwiliam5533 4 года назад +1

    Huyo muwongo! Vitu vyote ni vyake. Anatumia viin macho kupumbaza watu. Tumeshawazoea. Jaman mtaliwa sana na maan ninyi ni wabishi ngoja mliweeeeee! Mtakuja kuzinduka mmeliwa.

  • @lavalava4076
    @lavalava4076 3 года назад

    Uyo mzenge uyo muongo tapeli namjua sana tena sana ajui chochote iyo ametoka nayo kwakwe msenge uyo

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад

    Jamaa ana ma pengo 😄😄hao waongo washirikina utege nn mwizi wee

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 4 года назад +3

    Uchawi Upo Ila hao niwaongo, Sana . Na mda wowote mtaibiwa mpaka Mujute.

  • @erickmapunda4231
    @erickmapunda4231 4 года назад +3

    Lindi uchawi n mwingi sana tangu miaka ya 30 na hawtaki kubadilika, na ndy Sababu hata maendeleo hamna.

    • @superwomankulwa620
      @superwomankulwa620 4 года назад

      Nakukubali mm mzaliwa wa lindi na najua fika uchawi upo ndo mana lindi aiendelei

    • @ummiaziza7742
      @ummiaziza7742 2 года назад

      Kabisa kaka

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад +8

    Me napita tu 😂😂😂🤣

  • @seremkipchirchir4786
    @seremkipchirchir4786 3 года назад +3

    Duh!! Mimi nasikiliza haya Kama funzo la fasihi 🤣🤣 🇰🇪🇰🇪 best invention and technology ever seen : size , volume fact and magnification applied with highest specialization

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 4 года назад +3

    "Duuuuuh, African technology!!! Unbelievable this can carry 360 pasengers! can you tell us more , what is in the tank?? Kerosin or blood?? Is it made of metal or bones? How many km.does it cover in one hour?? (Boeng/ Jumbo jet covers 950km/hr) what the name of the engine? How high can it fly?( nomal airplane international 13,000 meter/13 km. above the sea leval), does it make noise / polute the air?

  • @badiuraabdallah1897
    @badiuraabdallah1897 4 года назад +1

    Ushirikina mbaya jamani allah atunusuri noa

  • @divaimafuru2394
    @divaimafuru2394 4 года назад +12

    Hyo ndege ni yangu naitafuta,mdogo wangu aliniazima hakurufisha😟😟😟

  • @dousamrashid1643
    @dousamrashid1643 2 года назад

    😂😂Wanawachonganisha wenyewe ili wapate wateja hao hao,,, sayans bana😂😂😂

    • @jeremiagervas6942
      @jeremiagervas6942 2 года назад

      Wanatafuta Kiki wat wenye changamoto wapigwe hela

  • @ramadhanmzee7113
    @ramadhanmzee7113 4 года назад +8

    Namuomba mungu aendelee kukupa afya njema Odo🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fidessalema6500
    @fidessalema6500 3 года назад

    KALAZE MKUNDU. WAJINGA NDIO WALIWAO.

  • @salmaabduli700
    @salmaabduli700 3 года назад

    Kaja nay mwenyew huy

  • @magdalena7223
    @magdalena7223 3 года назад

    Jamani mpeni yesu maisha awe dereva wa maisha yenu acheni uchawi hautawasaidia

  • @charlesmihuwa6287
    @charlesmihuwa6287 2 года назад

    Nchi hii raha sana wengine Katiba mpya wengine Chanjo wengine Watadai ndege yao siku si nyingi.😁😁😁

  • @arifgvxbxbdbbbsb8907
    @arifgvxbxbdbbbsb8907 3 года назад

    Tariq nimekupnda mtoto mashallah

  • @jafarimohamed1072
    @jafarimohamed1072 3 года назад

    Wanatisha vijana

  • @mohamedmbaulambaula214
    @mohamedmbaulambaula214 4 года назад +3

    duuuu! mambo ya ajabu kwel

  • @rashidylubida8898
    @rashidylubida8898 4 года назад +6

    Mataperi awa

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 года назад +3

    Na hayo mazindiko mara nyengine ndo yanayodhuru familia zetu na vizazi vyetu. Allah atuepushe na ushirikina, Amiin

  • @chegemazuku2623
    @chegemazuku2623 4 года назад +7

    Duuu!!jamani ama kweli njaa aimpendezi mtu, ndege kichawi unaiona live!!

  • @johnsonbernald11
    @johnsonbernald11 3 года назад +1

    Katika wezi hawa ni wamoja wao, nilishawai shuhudia utapeli wao mkoani mbeya hawa waganga.

  • @allykasoni2729
    @allykasoni2729 3 года назад +2

    Km umegundua hawa jamaa ktk maongezi yao hawanaga "M" ni mwendo wa " N" tu mfano mtu wanasema ntu' na mnazi m1 wanasema nnazi m1 na mtoto wanaita ntoto! Hebu gonga like tujuane aiseee! 😂😂😂😂

    • @abuusix6320
      @abuusix6320 3 года назад

      Acha ukabila na uxhamba wako chko ww

  • @alimohd5123
    @alimohd5123 2 года назад

    Hyo ndege ipelekwe Kabul airport in Afghanistan kuwaokoa marekani from TALIBAN.

  • @salmaabdulabdul5200
    @salmaabdulabdul5200 2 года назад

    Ndege inatenki ya mafuta 🤣🤣🤣🤣 noma Sana

  • @msigwaonestv9353
    @msigwaonestv9353 3 года назад

    Pole sana amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu maana naye atakufa
    Karibu uamsho wa kikristo Tanzania (Uwata) utubu dhambi hukutani tena na adha za wachawi
    Kwa maelezo zaidi google mtandaoni UWATA
    Kujiunga bure
    Unaombewa shida zako bure
    Usihangaishwe na wanadamu

  • @abillahseif8021
    @abillahseif8021 4 года назад

    Kumbee mzee magu kapata tabu kwenda kanada Lindi ndege kibao

    • @agnessmwendwa7542
      @agnessmwendwa7542 4 года назад

      Muongo uyu katengeneza watu wake walete ili awadanganye watu Pepo mkubwa uyu ashindwe Kwa jina la yesu

  • @abdullahsayid5280
    @abdullahsayid5280 4 года назад +11

    😂😂😂😂😂 muogope mungu wewe usilete fitna katika jamii. Ndugu zangu msiwape nafasi hao mtafarakiana wenyewekwawenyewe

    • @DWAYNEKI
      @DWAYNEKI 4 года назад +3

      Huja rogwa wewe ka kimyaaa...mbona hospitalini unakwenda ? Kwani panadon wanakupa SiO hio hio miti 99 mwenyezi mmungu ametupa? Kama hujarogwa kaa kimya na waombeee wenzie mwenyezi mmungu awajaalie wasikumbwe na majanga hao

    • @NIUX007
      @NIUX007 4 года назад

      K

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 4 года назад

      naam washirikina ni makafiri

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 4 года назад

      @@DWAYNEKI wewe ni mshirikina

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 4 года назад

      @@DWAYNEKI wewe ni mpuuzi wa kutupwa kwa kuamini wapuuzi hao

  • @kinglikalala1101
    @kinglikalala1101 4 года назад

    Mamaa mganga juma napataa from chikunda newala 😂😂😂😂😂

  • @philemonmartine7317
    @philemonmartine7317 4 года назад +3

    Oh hawa ndio vimoda sasa😂

  • @sarahogama9540
    @sarahogama9540 4 года назад

    Duuuu watanzania jamani tuko 2020 bado hamjaokoka mwangojea nini jamani ,,,,uchawi hautawapeleka mahali jamani

  • @fikiripeter7440
    @fikiripeter7440 3 года назад +1

    Maisha yao ya kawaida mabovuu ila uchawini matajiri shenzi taipu mipaka nyau.

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 4 года назад +4

    Tafuteni kazi ya kufanya nyie acheni utapeli,, ndege ya WATU 360 ni ndogo kuliko shuka aliyoiacha dereva wa ndege 🙂

  • @godfreykayange7997
    @godfreykayange7997 4 года назад

    Good

  • @happyfamilly1049
    @happyfamilly1049 4 года назад +1

    Wamepata shoooo kweli

  • @williammoses1856
    @williammoses1856 4 года назад

    Duh Tanzania niya viwanda kweli mpaka ndege mnabuni kushinda wazungu.saluti

  • @neemaseverine6164
    @neemaseverine6164 4 года назад +1

    Bomba dia hio 🤣🤣

  • @davidjulias6350
    @davidjulias6350 4 года назад +1

    Namba zake

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 2 года назад

    Kazi za shetani na Hila zake,maelezo ya hekaya zisizo nauthibitisho,kama ni wataalamu kwanini washindwe kuthibitisha kwakuwashika,kwanini waziwidiwe?,MLINZI ni MMOJA tu ALLAH SWT,MWENYEZI MUNGU PEKEE

  • @mwasitibakari3805
    @mwasitibakari3805 4 года назад +4

    Msikatae uchawi upo. Mm niliiona live mtaani kwetu alidondoka mbibi yuko uchii km alivyozaliwa.

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 4 года назад

      Aliongwa aigize, acha uwongo. Haya yameshajulikana na mbinu zao.

    • @danielsantael8799
      @danielsantael8799 4 года назад +1

      Uchawi upo ndg zangu tusiwe wabishi.hata ktk vitabu vyetu vya dini vinauelezea uchawi tangu enzi na enzi

    • @amanimanase5794
      @amanimanase5794 4 года назад

      Duuuh wapi uko

    • @hamisisabdallah3146
      @hamisisabdallah3146 3 года назад

      Uchawi upo hakuna ubishi mimi nimeshawahi shuhudia dogo mmoja amejifanya mganga anatoa uchawi katika stahili mkono wake wa kulia ukakatwa mpaka leo huyo jamaa hana mkono

  • @thomasndaki40
    @thomasndaki40 2 года назад +2

    Huousafiri uhalalishwe kupunguza msongamano

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 2 года назад

    Lindi hiyo naijua vema hata ukipangiwa kikazi huko yataka moyo. Mwl...NY...mwenyewe alichemka.

  • @mmachedijr9345
    @mmachedijr9345 2 года назад

    Uwongo huwo ndege kudondoka hata majeruhi amna katengenaza mwenyewe tu wapigaji hao

  • @swaijrswai5802
    @swaijrswai5802 4 года назад +1

    Nipewe nambaa za madoctor

  • @kalssambaboo9705
    @kalssambaboo9705 4 года назад +2

    Mmmh

  • @ibrahimmatindimula1248
    @ibrahimmatindimula1248 2 года назад

    Hiyo Kali mwaka

  • @jojikeneth9024
    @jojikeneth9024 4 года назад +10

    Ayo Mambo Kama ujawai kuyaona unaweza ukafikir uongo

  • @luganoesomu5301
    @luganoesomu5301 3 года назад

    Remote??

  • @askarikamaaskari1936
    @askarikamaaskari1936 4 года назад +12

    Kama wewe Ni mganga wa kweli jioteshe meno🤣😃

  • @egnopokela5089
    @egnopokela5089 5 дней назад

    Huyu mganga noma nisaidien namba

  • @fatmaalaufi9073
    @fatmaalaufi9073 4 года назад +5

    Sahivi ndege nyingi hazisafiri inabidi kaka utueleze tiketi tunakata wapi tunataka kusafiri

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 2 года назад

    basi hapo mademu wanamtamani duuh wanamuona bingwa kumbe mzinguaji tu 😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @bashiruahmad418
    @bashiruahmad418 3 года назад

    Sawa mzee

  • @kisoukejothame210
    @kisoukejothame210 3 года назад

    Duuuh ilo dege sopowa aisee

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +2

    Mhh kama ni kweli basi hao wachawi wana kesi ya kujibu kwa mola wao, ila kama hawa wanadanganya basi nao wasubiri hukumu yao.

  • @EmanuelJoseph-cx3hz
    @EmanuelJoseph-cx3hz 4 месяца назад

    Hao watu wamegeuka sisimizi,ambao wanakaa kwenye hiyo ndege

  • @shafiimpilika41
    @shafiimpilika41 4 года назад +1

    Allah ndo kila kitu

  • @princelikali9846
    @princelikali9846 2 года назад

    Kwelii uchawiii upo kama hvyooo

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 3 года назад

    Hii ndege inaweza fika uingereza

  • @tabumussa6705
    @tabumussa6705 3 года назад +1

    Njaaa izo

  • @esterlucasi3226
    @esterlucasi3226 2 года назад

    Acheni uchawi mkumbukeni mungu jamani

  • @abduljuma8122
    @abduljuma8122 3 года назад

    Kimsingi serikali haiamini ushirikina ila watu wake ndio wanaamini ushirikina na wanapishana sana kwa waganga

  • @dasonsdachi3087
    @dasonsdachi3087 4 года назад

    Duh maajabu

  • @fledymavikamavika6580
    @fledymavikamavika6580 2 года назад

    Noma na nusu kaa

  • @betsonmugisha9604
    @betsonmugisha9604 3 года назад

    Wote wachawi tu, mnasumbua sana na mna roho Mbaya sana

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 2 года назад

    Jamaa liongo hili duu,unashindanaje na watu 360 kama sio uongo

  • @user-mh9rn5to5v
    @user-mh9rn5to5v 19 дней назад

    Mamba mazuli sana

  • @calebisaiah3891
    @calebisaiah3891 4 года назад +10

    Hessbu 23:23hakika hapana uchawi ju ya yakobo Wala unganga ju ya Israel tuliokoka hatuwezwi na uchawi

  • @expresshop5740
    @expresshop5740 3 года назад +1

    Naomba namba ya doctor

  • @shabanilukindo8858
    @shabanilukindo8858 4 года назад +7

    Waongo iyoo ishuwametengeza iliwapate dilihapo kijijini kuenimacho

    • @timejames4590
      @timejames4590 3 года назад

      Hawa wezi nyinyi watu mrudieni Allah hamna Kitu matapeli hao Sana'a wanawaaminisheni mliwe ela zenu haya mi napita tu

  • @zainabuabdully2078
    @zainabuabdully2078 2 года назад

    Mmmhh uwongoooooooo

  • @salumumkanda3182
    @salumumkanda3182 3 года назад

    Mmedanganya saanaaa

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 2 года назад +1

    Hee bombadia hii au airport force!!!

  • @princelikali9846
    @princelikali9846 2 года назад

    Goog