MANENO YA SHK.OTHMAN MAALIM UTALIA TU WACHA MUNGU SIO WACHAFU FUENI NGUO ZENU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Комментарии • 61

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o Год назад +6

    Anllah akupe falaja katika maisha yako ya dunia na kesho akhela 🤲 nakupenda kwaajili ya Anllah ♥️🤲

    • @mohdjuma3695
      @mohdjuma3695 Год назад +1

      na mm nawatakia ramadhin kareem

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Год назад +4

    Ewe yarabi tusamehe dhabi zetu katika waisilam wote utujalie mwisho mwema

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +15

    Subuhanallah nimuhimu waumini wakiislam tukazidi kuitafuta elimu kwani hata sisi wanawake mtu anakaa na nguo tokya asubuhi ikifika mida ya swala anaswalita ileile lakini tukienda maharusini nimtihani yarabi tuongoze kwenye heri wajawako

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад +3

    Asalaam aleikum mashaallah tabarak rahmaan shekh othmaan napenda mawaidha yako

  • @user-ib2en8dz9e
    @user-ib2en8dz9e 6 месяцев назад

    الحمد لله على نعمة الإسلام ❤❤الحمد لله دائما وابدا، واشهد آله إله إلا الله محمد رسول ☝!!!Shukran jazzaq Allahu kheir sheik Athuman Allah azd kukuhifadh ,n akulinde n shar n hassad ,Allahu azd kukup elmu uzd kutuelimisha n tuyafat kwa kutak radhi zake Allah

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Год назад +2

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI INSHALLAH SHRIKH

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 Год назад +3

    sheikh othman malim my words can not describe the way I appreciate him, may Allah swt bless him abundantly and indeed bless all the Muslims and inshallah make the kafiris become Muslims

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 Год назад

    Masha Allah shukrani kwa darsa barak Allahu feeq

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve Год назад +2

    Mashaallah shukran Ahsante sheikhe wetu nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад

    Shukran maalim wetu allah akujaalie kher

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 Год назад

    MASHAALLAH, JAZZAKALLAH KHERI. Bega kwa bega mpaka Firdaus

  • @barwani890
    @barwani890 Год назад +1

    Mashaallah mashaallah hadith na kisaa vizuri kuna watu wanapenda kudharaulina subhanallah Allah atujaalie tuwe waja wa imani sbarwani

  • @nizigiyimanarodrigue928
    @nizigiyimanarodrigue928 Год назад

    Allah atujalie mwisho mwema pia namuomba Allah anijalia kukutana nawew sheikh wetu

  • @salimmariga149
    @salimmariga149 Год назад

    Jazak Allah kheiryan...Allah akujaalie umr taweel wenye kheir...tuzd kuelimika

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 Год назад

    MASHA ALLAH SHEIKH

  • @SudyNgayela-gp7zk
    @SudyNgayela-gp7zk Год назад

    Masha Allah

  • @saidanramadhani-xo4fb
    @saidanramadhani-xo4fb Год назад

    Subhanaallah mungu ni mwema kwetu

  • @user-qn4gs5dq3t
    @user-qn4gs5dq3t Год назад

    Mashaallah

  • @fadhilimnalale2742
    @fadhilimnalale2742 Год назад

    Jazakallahu kheir, 🙏

  • @sikulukanga
    @sikulukanga Год назад

    Mashallah mola atujalie mwisho mwema

  • @ahmed59122
    @ahmed59122 Год назад

    Kila ninapokuona wewe naona maadili mema kwa nini awakupi nafasi kubwa kitanzania uwaongeza Wana dini wa kweli..Mwenyezi akufanyie wepesi Maalim Othuman.

  • @binbaya923
    @binbaya923 Год назад

    Maa shaa llah. Shukran yaa sheikh

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 Год назад

    Tunakupenda Burundi

  • @zainabmusa2006
    @zainabmusa2006 Год назад

    MASHA ALLAH SHEIKH 🤲

  • @mejumaaabuu618
    @mejumaaabuu618 Год назад

    Shukran sheik wetu

  • @anasamaaliki843
    @anasamaaliki843 Год назад

    ❤❤❤shukran

  • @tazkiamohammad9285
    @tazkiamohammad9285 Год назад

    Twaibuu swahih 🇰🇪

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад

    Baaraka Allahu Fiikum

  • @sabrinayounisaden7238
    @sabrinayounisaden7238 Год назад

    May Allah bless you shiekh othman maalim.

    • @mazoyaruhere7627
      @mazoyaruhere7627 Год назад

      Nakuombea kwa Alla mwenyezimgu akuongezee umri mrefu

  • @saadiyejaffarjaan2807
    @saadiyejaffarjaan2807 Год назад

    Allah atuongoze kwa ajili yake

  • @husseinmnyaka136
    @husseinmnyaka136 Год назад

    Allahu akibru

  • @ibraimabubacar8417
    @ibraimabubacar8417 Год назад

    Masha allah allah hu akbar

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Год назад

    Kuvaa kanzu ni pambo la kiislam sio kwa waarab,ila waarabu nchini kwao wameeka ni utamaduni kwao kuvaa kanzu, ni kweli sheikh kuna watu wanasema kanzu ni vazi la waarab inafaa utoe Elmu kuhusu kanzu…Allah akuhifadhi Sheikh wetu kipenzi…

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Год назад

    Kweli Sheikh, Tunajisahau Sana kwenye usafi wa vyoo vyetu vya misikiti

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад

    tabarakaAllah 🤲🤲

  • @mwanahawayunus3653
    @mwanahawayunus3653 Год назад

    Ameen yarabi

  • @mustaphamajdy9334
    @mustaphamajdy9334 Год назад

    Mungu akulipe

  • @hindukapasa1423
    @hindukapasa1423 Год назад

    Shukran sana

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 Год назад

    Shukran

  • @fatmahaji7301
    @fatmahaji7301 Год назад

    Mashaa Allah Mashaa Allah

  • @aishaiddi5246
    @aishaiddi5246 Год назад

    Maashallah

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 Год назад

    Mashallah sheih

  • @salimashambi7047
    @salimashambi7047 Год назад

    Asalaam alaykm asante kw mawaidha mazur tunayafanyia kz shekh Allah karim

    • @ibugharib389
      @ibugharib389 Год назад

      Assalam aleikum,Shambi wa kijumbani-kisiwani

  • @salimashambi7047
    @salimashambi7047 Год назад

    Ni kweli shehe unayoyasema vyoo vyetu ni vichaf sana miskitn sijui kw nn elim izid kueneea tunajisahau waislam

  • @nuruddin5074
    @nuruddin5074 Год назад

    SHEIKH SHUKLAN

    • @asilahassan9965
      @asilahassan9965 Год назад

      Allhmdullah Allah azidi kutuekea vingozi wetu wa dini ili kutuelimisha na Allah awalipe ujira ulokua mwema fidunia wall akhera na xx atujaalie malipo yalokua mema na atuelimishe tusoyajua na tuyafanyie kazi tusoyajua

  • @aishaiddi5246
    @aishaiddi5246 Год назад

    Uwislam.unarahaa

  • @kingramah8213
    @kingramah8213 Год назад

    Kuna wale wanaofanya udhinifu Kisha mda wasala anaenda sali iv ina swii

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад

    Do,a husababishwa nin kupewa nikiTasa ayaa yakwanza jee ukonsahii upon hoja malumu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад

    Yani uislam haukuacha kitu

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd Год назад

    Nikheri waislam tukumbuswe tumeendekeza mambo ya kidunia

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Год назад

    Mashaallah