Jazzakallah khair. Shekhe Othman maalim. Hivi sasa waarabu ndio wabaguzi kwa watu weusi kuliko hata wachina na wahindi. Bora uishi na muhindi wa india kuliko mwarabu. Utajuta jinsi utakavyobaguliwa . Sio kula makombo tu , hata choo wanachotumia wao hawaruhusu mtu mweusi atumie.
Hao wasyria shekhe wangu othman, huku ulaya ni watu ambao kama si waislam wanaiga madhehebu ya wazungu, wameipa mgongo dini yao ya kiislam, inasikitisha Kweli alaf ni watu wamoja eanafik, wanbea na mafisadi bora nidgo wa yemen wanajitahid
Ni haki yao nchi zao kufanywa hivo ni adhabu ya kutoka kwa Allah, ukiwepo huko utasema wameknewa kumbe ni fimbo ya Mungu ni watu wamoja huku ulaya wamempa kidogo Mungu, eanavaa u hi, wanajifanya wazungu, hawasali, hawa ibada wanagkifanya, alaf wao go, wanafik na wabaguzi hao wasyria
Kinachonipa mashaka makubwa licha ya historia mubashara ya kanda hizo za Siria n.k vp mbona leo hii wana urangi na ubaguzi mzito kwa waafrika weusi licha ya kua na dini moja(uislamu) na kuafadhalisha watu hata wasio na dini moja nao ??????!!!!!🥺🥺🥺🥺🙄🙄🙄🙄🙄
@@saidalhinai1131 unasema niende na ndio tumetoka huko...wote Kulluqum waheed! Muarabu anaafadhalisha mushriqin kuliko muislamu mwenzie kisa rangi ya ngozi na sehemu atokayo.... tumeona mengi, inastkitisha sana licha ya dini njema na manabii wote lakini roho bado hazijawakunjuka kabisa😭😭😭😭
@@lenniefei6710 Hapo huja ongea ukweli , ni uzushi propaganda. Nchi za kiislamu hazina uovu na ukosefu wa amani , kwa kadiri ilivyo hali katika nchi zisizo za kiislamu. Hizi nchi zishatambuliza vitimbi vya makosa mengi tunazo zifanya kwao.
@@abdulhakimhasan7673 Nimejionea mengi tu kwa macho yangu binafsi wala sio kusimuliwa, lakini atakaewahukumu ni Allah wala sio sie wanadamu. Cha msingi nimeelewa fika sababu ya kupelekewa manabii huko kwani roho zimewachakaa ubaya mzito sana!
@@lenniefei6710Mazao ya dini ya kiislamu ni mazuri katika nchi za kiarabu , na orodha ya ukweli iko kwenye ripoti ya dunia nzima katika umoja wa mataifa, fungua net. Huku kwetu, ndiko roho zime chakaa ubaya mzito sana.
Shukran jazeelan sheihk kwa elmu , umenifunza mengi tangu kusilimu Allah akulipe zaidi
Mashaallah, Allah akuzidishie Iman ww na Familia yako. 🤲
Mashallah
Maa shaa Allah. Allah akupe umri mrefu ili uzidi kutuelimisha yaa ustadh
Asante Sheh wetu Mwenyezi Mungu akulipe kila la heri apa duniani na kesho ahera insha Allah
Miaka mingi kweli kabisa Subhanallah Allah awape Nur maqaburini mwao na sie atupe khusnilkhatima
Allah akuzidishie al habib akupe nguvu afya na uwezo wa kutupa ilmu
Jazzakallah khair. Shekhe Othman maalim. Hivi sasa waarabu ndio wabaguzi kwa watu weusi kuliko hata wachina na wahindi. Bora uishi na muhindi wa india kuliko mwarabu. Utajuta jinsi utakavyobaguliwa . Sio kula makombo tu , hata choo wanachotumia wao hawaruhusu mtu mweusi atumie.
Hii ndio Kazi Mungu Akupatie nguvu zaidi ya Kutuelimisha InshaAllah
Masha allah shukran
Na mpenda Sana sheikh Othman
Shukran shekhe wetu
Mashallah❤
Allah akufanyie wepes ktk kla hatua ya maisha yako, na umri wenye mafanikio, khusni lkhatima yaa Rabbiy, kwa sote
Be blessed shekh!! Great history
اللهم بارك لك ياشيخنا الفاضل
Allahuma swali alla saidina muhammad waala alihi waswah bihi wasalam shukran habby ❤️❤️❤️
Allaahu Ak-bar. 😔 الموت باب
Jina la othman zur sana
Othman mazinge, Othman maalim, othman Maiko 🙏🙏🙏🇹🇿
Mashallah mashaallah
Imani rohoni
Namshuku allah8
Basi ni metosheka
Kwa nini uliniata kutumikia wengine
Jazzakumllah Khery
Allah amrehemu bibi Zaynab. Amghufirie na atughufirie nasi pia.
Mashaallaah mola akuzidishie elimu uweze kutufundisha amiin yaarabaliaalaamiin maasalam
Amin Mimi naitikia hizo duaa
Ameen🙏🙏🙏
othmanmaalim 🤲🙏💘
JazaakAllah shiekh
Shukurani shehk wangu
Bihusni lkhatima 🤲
Allahu Akbar
Shukran
Naaam Allah amraham
Naammm
Hao wasyria shekhe wangu othman, huku ulaya ni watu ambao kama si waislam wanaiga madhehebu ya wazungu, wameipa mgongo dini yao ya kiislam, inasikitisha Kweli alaf ni watu wamoja eanafik, wanbea na mafisadi bora nidgo wa yemen wanajitahid
🙏🙏🤲
Allah atupe Makamo yake
ALLah akupe mwisho mwema 🙏
Amiin sote in Sha Allah na atupe Afya njema Daima na ufahamu wa dini na mwisho mwema amiin ya raan
Amiin
Amini ya Rabby
Mashallah, baraka llah fiyka
Wema uwendelee amin
As
Na misikiti waliigeuza kuwa Makanisa. Na sasa majengo na majina ya miji ni ya kiislamu au kiarabu.
Ni Makanisa ndio yaligeuzwa kuwa Misikiti. Kumbuka Damascus ilikuwa ni moja ya miji mikubwa wakati wa Byzantine
Hakika alieitemvelea Syria na kuiyona leo ilivo atalia machozi. Na Iraq hivo hivo.
Ni haki yao nchi zao kufanywa hivo ni adhabu ya kutoka kwa Allah, ukiwepo huko utasema wameknewa kumbe ni fimbo ya Mungu ni watu wamoja huku ulaya wamempa kidogo Mungu, eanavaa u hi, wanajifanya wazungu, hawasali, hawa ibada wanagkifanya, alaf wao go, wanafik na wabaguzi hao wasyria
Mussa ame mussa
Sa
Tena kafa na shahada yake
Kinachonipa mashaka makubwa licha ya historia mubashara ya kanda hizo za Siria n.k vp mbona leo hii wana urangi na ubaguzi mzito kwa waafrika weusi licha ya kua na dini moja(uislamu) na kuafadhalisha watu hata wasio na dini moja nao ??????!!!!!🥺🥺🥺🥺🙄🙄🙄🙄🙄
Waarabu hawana ubaguzi kama wazungu wewe nenda suria na baadae nenda ulaya utaona tofauti
@@saidalhinai1131 unasema niende na ndio tumetoka huko...wote Kulluqum waheed! Muarabu anaafadhalisha mushriqin kuliko muislamu mwenzie kisa rangi ya ngozi na sehemu atokayo.... tumeona mengi, inastkitisha sana licha ya dini njema na manabii wote lakini roho bado hazijawakunjuka kabisa😭😭😭😭
@@lenniefei6710 Hapo huja ongea ukweli , ni uzushi propaganda. Nchi za kiislamu hazina uovu na ukosefu wa amani , kwa kadiri ilivyo hali katika nchi zisizo za kiislamu. Hizi nchi zishatambuliza vitimbi vya makosa mengi tunazo zifanya kwao.
@@abdulhakimhasan7673 Nimejionea mengi tu kwa macho yangu binafsi wala sio kusimuliwa, lakini atakaewahukumu ni Allah wala sio sie wanadamu. Cha msingi nimeelewa fika sababu ya kupelekewa manabii huko kwani roho zimewachakaa ubaya mzito sana!
@@lenniefei6710Mazao ya dini ya kiislamu ni mazuri katika nchi za kiarabu , na orodha ya ukweli iko kwenye ripoti ya dunia nzima katika umoja wa mataifa, fungua net. Huku kwetu, ndiko roho zime chakaa ubaya mzito sana.
Allah akujalie kila la heri inshallah 🙏🙏🙏
Jazakumullah kheir
Kaz nzuri sana mungu akuzidishie
As
Alkhmis
Asa
Niombe dua
makosa niko
Niondosha mitihani maradhi wasiwai kwa dua zako
Ww malindi
@@hamadialiidris5184 Allah yashfik inshallah