SHK.OTHMAN MAALIM | QISA CHA MJI WA SYRIA ULIVYOTOA MITUME NA WANAZUONI WENGI NA KUPATA BARKA KUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #ShkOthmanMaalim

Комментарии • 96

  • @aishakali3082
    @aishakali3082 2 года назад +6

    Shukran jazeelan sheihk kwa elmu , umenifunza mengi tangu kusilimu Allah akulipe zaidi

    • @asiamohd5516
      @asiamohd5516 2 года назад +1

      Mashaallah, Allah akuzidishie Iman ww na Familia yako. 🤲

    • @hawamhanga2951
      @hawamhanga2951 Год назад

      Mashallah

  • @binbaya923
    @binbaya923 2 года назад +4

    Maa shaa Allah. Allah akupe umri mrefu ili uzidi kutuelimisha yaa ustadh

  • @kamikazigenerose7882
    @kamikazigenerose7882 2 года назад +3

    Asante Sheh wetu Mwenyezi Mungu akulipe kila la heri apa duniani na kesho ahera insha Allah

  • @w4058
    @w4058 2 года назад +3

    Miaka mingi kweli kabisa Subhanallah Allah awape Nur maqaburini mwao na sie atupe khusnilkhatima

  • @dahelahmad1408
    @dahelahmad1408 2 года назад

    Allah akuzidishie al habib akupe nguvu afya na uwezo wa kutupa ilmu

  • @skozamsai2654
    @skozamsai2654 2 года назад

    Jazzakallah khair. Shekhe Othman maalim. Hivi sasa waarabu ndio wabaguzi kwa watu weusi kuliko hata wachina na wahindi. Bora uishi na muhindi wa india kuliko mwarabu. Utajuta jinsi utakavyobaguliwa . Sio kula makombo tu , hata choo wanachotumia wao hawaruhusu mtu mweusi atumie.

    • @osmanelema3030
      @osmanelema3030 2 года назад

      Hii ndio Kazi Mungu Akupatie nguvu zaidi ya Kutuelimisha InshaAllah

  • @asaduzamanalmaxmud7671
    @asaduzamanalmaxmud7671 2 года назад +2

    Masha allah shukran

  • @maryamabdullah2419
    @maryamabdullah2419 3 месяца назад

    Na mpenda Sana sheikh Othman

  • @zuu__95
    @zuu__95 2 года назад +1

    Shukran shekhe wetu

  • @AlibabaZanzibar-st9ff
    @AlibabaZanzibar-st9ff Год назад

    Mashallah❤

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 2 года назад +1

    Allah akufanyie wepes ktk kla hatua ya maisha yako, na umri wenye mafanikio, khusni lkhatima yaa Rabbiy, kwa sote

  • @maftahanachumatv7017
    @maftahanachumatv7017 2 года назад +3

    Be blessed shekh!! Great history

    • @aminanahimana8759
      @aminanahimana8759 2 года назад

      اللهم بارك لك ياشيخنا الفاضل

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 2 года назад

    Allahuma swali alla saidina muhammad waala alihi waswah bihi wasalam shukran habby ❤️❤️❤️

  • @SalmaPandu
    @SalmaPandu 25 дней назад

    Allaahu Ak-bar. 😔 الموت باب

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад +1

    Jina la othman zur sana
    Othman mazinge, Othman maalim, othman Maiko 🙏🙏🙏🇹🇿

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 2 года назад

    Jazzakumllah Khery

  • @dadamaisha4470
    @dadamaisha4470 2 года назад

    Allah amrehemu bibi Zaynab. Amghufirie na atughufirie nasi pia.

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 года назад +1

    Mashaallaah mola akuzidishie elimu uweze kutufundisha amiin yaarabaliaalaamiin maasalam

  • @saidiabas8855
    @saidiabas8855 2 года назад

    Amin Mimi naitikia hizo duaa

  • @gylainefafa7651
    @gylainefafa7651 Год назад

    Ameen🙏🙏🙏

  • @yasinmzuka3328
    @yasinmzuka3328 2 года назад +2

    othmanmaalim 🤲🙏💘

  • @sabrinayounisaden7238
    @sabrinayounisaden7238 2 года назад

    JazaakAllah shiekh

  • @ramauo4410
    @ramauo4410 2 года назад

    Shukurani shehk wangu

  • @barackmakacha709
    @barackmakacha709 2 года назад +1

    Bihusni lkhatima 🤲

  • @w4058
    @w4058 2 года назад

    Allahu Akbar

  • @rugeyeawadh7426
    @rugeyeawadh7426 2 года назад

    Shukran

  • @w4058
    @w4058 2 года назад

    Naaam Allah amraham

  • @juneithartony9543
    @juneithartony9543 2 года назад

    Hao wasyria shekhe wangu othman, huku ulaya ni watu ambao kama si waislam wanaiga madhehebu ya wazungu, wameipa mgongo dini yao ya kiislam, inasikitisha Kweli alaf ni watu wamoja eanafik, wanbea na mafisadi bora nidgo wa yemen wanajitahid

  • @ismailibrahim8313
    @ismailibrahim8313 2 года назад

    🙏🙏🤲

  • @w4058
    @w4058 2 года назад

    Allah atupe Makamo yake

  • @jackyhassan4635
    @jackyhassan4635 2 года назад +2

    ALLah akupe mwisho mwema 🙏

  • @seifwazir6709
    @seifwazir6709 2 года назад +1

    Mashallah, baraka llah fiyka

  • @jamaliwallady5260
    @jamaliwallady5260 2 года назад

    Wema uwendelee amin

  • @hamadialiidris5184
    @hamadialiidris5184 2 года назад

    As

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 года назад

    Na misikiti waliigeuza kuwa Makanisa. Na sasa majengo na majina ya miji ni ya kiislamu au kiarabu.

    • @stephenmnkande8192
      @stephenmnkande8192 2 года назад

      Ni Makanisa ndio yaligeuzwa kuwa Misikiti. Kumbuka Damascus ilikuwa ni moja ya miji mikubwa wakati wa Byzantine

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 года назад

    Hakika alieitemvelea Syria na kuiyona leo ilivo atalia machozi. Na Iraq hivo hivo.

    • @juneithartony9543
      @juneithartony9543 2 года назад

      Ni haki yao nchi zao kufanywa hivo ni adhabu ya kutoka kwa Allah, ukiwepo huko utasema wameknewa kumbe ni fimbo ya Mungu ni watu wamoja huku ulaya wamempa kidogo Mungu, eanavaa u hi, wanajifanya wazungu, hawasali, hawa ibada wanagkifanya, alaf wao go, wanafik na wabaguzi hao wasyria

  • @khatibvuai-bl7dr
    @khatibvuai-bl7dr Год назад

    Mussa ame mussa

  • @hamadialiidris5184
    @hamadialiidris5184 2 года назад

    Sa

  • @w4058
    @w4058 2 года назад

    Tena kafa na shahada yake

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 2 года назад +1

    Kinachonipa mashaka makubwa licha ya historia mubashara ya kanda hizo za Siria n.k vp mbona leo hii wana urangi na ubaguzi mzito kwa waafrika weusi licha ya kua na dini moja(uislamu) na kuafadhalisha watu hata wasio na dini moja nao ??????!!!!!🥺🥺🥺🥺🙄🙄🙄🙄🙄

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 2 года назад

      Waarabu hawana ubaguzi kama wazungu wewe nenda suria na baadae nenda ulaya utaona tofauti

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 2 года назад +1

      @@saidalhinai1131 unasema niende na ndio tumetoka huko...wote Kulluqum waheed! Muarabu anaafadhalisha mushriqin kuliko muislamu mwenzie kisa rangi ya ngozi na sehemu atokayo.... tumeona mengi, inastkitisha sana licha ya dini njema na manabii wote lakini roho bado hazijawakunjuka kabisa😭😭😭😭

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад

      @@lenniefei6710 Hapo huja ongea ukweli , ni uzushi propaganda. Nchi za kiislamu hazina uovu na ukosefu wa amani , kwa kadiri ilivyo hali katika nchi zisizo za kiislamu. Hizi nchi zishatambuliza vitimbi vya makosa mengi tunazo zifanya kwao.

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 2 года назад

      @@abdulhakimhasan7673 Nimejionea mengi tu kwa macho yangu binafsi wala sio kusimuliwa, lakini atakaewahukumu ni Allah wala sio sie wanadamu. Cha msingi nimeelewa fika sababu ya kupelekewa manabii huko kwani roho zimewachakaa ubaya mzito sana!

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад

      @@lenniefei6710Mazao ya dini ya kiislamu ni mazuri katika nchi za kiarabu , na orodha ya ukweli iko kwenye ripoti ya dunia nzima katika umoja wa mataifa, fungua net. Huku kwetu, ndiko roho zime chakaa ubaya mzito sana.

  • @alimzee
    @alimzee Год назад

    Allah akujalie kila la heri inshallah 🙏🙏🙏

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад

    Jazakumullah kheir

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 2 года назад

    Kaz nzuri sana mungu akuzidishie

  • @hamadialiidris5184
    @hamadialiidris5184 2 года назад

    As

  • @hamadialiidris5184
    @hamadialiidris5184 2 года назад

    Asa