Wallah sijajuwa kama sheikh othman alikuwa oman 😢subhan allah 😭 kwanini imenipita hii ziyara yake maana hakuna sheikh anaye itafsir quraan kwa haq nihuyu mbaba othman maalim Allah akuhifadhi insha allah yarab
Masha Allah shekh wangu shukurani Sana Kwa mawaidha muimu Sana in shaallah mwenyezi mungu akuifadhi shekh wetu na akuzidishie umri ili uzidi kutupa elimu
Nakupendeni kwa zote tumo kwenye kufaidika na neema hii ya mawaidha na pia ziara hii ya sheikh in Oman Hakika tunaendelea kufaidika Hakika tumesikia tumetii
Jazakumullah kheir
Jazaka ALLAH kheri
Maashallah jazaakallahul kheyri Sheikh othman Maalim baaraka llahu fiyka kwa hakika ni elimu isio na kikomo
Wallah sijajuwa kama sheikh othman alikuwa oman 😢subhan allah 😭 kwanini imenipita hii ziyara yake maana hakuna sheikh anaye itafsir quraan kwa haq nihuyu mbaba othman maalim Allah akuhifadhi insha allah yarab
Maa shaa Allah darsa nzuri sana yalea nyoyo
My favourite ever from canada we love you ❤
Masha Allah shekh wangu shukurani Sana Kwa mawaidha muimu Sana in shaallah mwenyezi mungu akuifadhi shekh wetu na akuzidishie umri ili uzidi kutupa elimu
MashaAllah tabarak Allah
Nataman sana kukutana na huyu sheikh. Anaeweza kunipa namba yake plz
Ni sharaf iliojo kupendeza kama huyu bwana
Nakupendeni kwa zote tumo kwenye kufaidika na neema hii ya mawaidha na pia ziara hii ya sheikh in Oman Hakika tunaendelea kufaidika Hakika tumesikia tumetii
Natamn kujifunza kw sheikh
Asanteni sana