Комментарии •

  • @worth_monkey
    @worth_monkey 11 дней назад +15

    jamni umasikinii utatuburuzaa sisi wabongooo tutumie akiliiii hawa watu ni matapelii na washirikinaaaa hata kwa macho hatuoniii jamaniii dah

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 11 дней назад +3

    Nilichokuelewa ni kwamba ww ni tajiri wa moyo ndo mana una uthubutu wakutoa sadaka sanaa na ndo mana unatamani watumishi wako wajenge wawe na magari wasije pia na mashat yaliochanika god bless my broo

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 11 дней назад +7

    Huyu jamaa. Ukimzingatia na ukiwa na akili timamu utajua anamuabudu nani. Kama C3 huna hutonielewa. Mungu atuongoze.

  • @lilianmnkondya150
    @lilianmnkondya150 3 дня назад

    Amina Baba piga kazi umenisaidia sana Madhabahu yako ina nguvu🙌

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 12 дней назад +13

    Sokuona sababu ya muziki huo katikati ya mahojiano

  • @wildlife5730
    @wildlife5730 11 дней назад +9

    Wakristo tusome biblia vzr tusibebwe na huu upepo

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 11 дней назад +6

    Wacha uhuni wewe uchawi ndionini ? Yaani mzee wamiaka 70 akifa tayari ni mchawi ? Kweli?

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 11 дней назад +2

    Aisee nimesikiliza vizuri sana jamaa unajua kujieleza vyema una utaniutani kitu ambacho ni kizuri pia God bless all of us

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 10 дней назад +2

    Mwizi tu kupitia imani ira mungu anawaona kazi ipo kwenye malipizo

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 9 дней назад +2

    Yani hera Hera ndo neno Lake Kuu umakini uwepo wakati ukimsikiliza

  • @nekaagripa3993
    @nekaagripa3993 11 дней назад +6

    Watu 70,000 hivi anawajua? Means uwanja wa mkapa?? Watu bwana

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c 12 дней назад +10

    Dalili za kuchochea Ushoga kwa Huyu ??

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 10 дней назад +1

    Mimi ni Mkristo huyu jamii ni tapel wa kiroho hafai hata kusikilizwa kwa mtu anaye mjua Mungu lakini kwasababu ya ujinga wenu ataendelea kuwa ibia hana ukibo wowote

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 11 дней назад +1

    This man Big Brain,🙌 mengine sijui nawaachie walimwengu!!😅

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 7 дней назад

    Hapo kwa watumishi wako hawajapauka wala mashati yaliyo chanika nakupa pongezi..big high five!

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 11 дней назад +2

    Binafsi nilikuwa ckufwatilii kabsa lakn kws maelezo haya nahis kama naanza kukuelewa sanaaa sanaaaa sanaaaa nankukufwatilia umachosema ni kweli kabisa

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 11 дней назад +4

    Huyu bishop anahitaji matibabu ya akili

  • @AhadiPromise-z3z
    @AhadiPromise-z3z 4 дня назад

    Nakukubali sana wataongea sana awakuwezi babaa wambie😂😂

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 12 дней назад +2

    Kuhusu vitambi nimecheka 🤣🤣Nakupenda ❤

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 12 дней назад +3

    Aamina sana Mtumishi wa Mungu.

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 8 дней назад

    kuna mambo kadhaa umeyasema nimefurah..moja wapo ni kuwa”utajiri wa kweli ni kile unachokiacha kwenye mioyo ya watu”ni ujumbe tosha na nadhan kwa hali ilivyo sasa watumishi wa Mungu,Raisi wa nchi na viongozi wake jalini sana mioyo ya wananchi mnaiachaje kutokana na nguvu za mamlaka mliyopewa na Mungu

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise 10 дней назад +1

    Nabii.nipo.harusha.nimefatilia maji na.tishet.sijawakuta.watendakazi.stedim arusha❤

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 6 дней назад

    Mbingu si ya wakristo,bali ya waliookoka.Waliomkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi.

  • @Nicaonlinetv7324
    @Nicaonlinetv7324 3 дня назад

    Hapo pa kuwapenda mashemasi na wahudumu nimekukubali, mtu huwezi kuwa mbaya kwa nyanja zote.

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise 10 дней назад

    Mtu.wa.mungu piga kazi.mungu.amekupa Kibali.cha.kuwa.kiboko.cha.wachawi.hapa 🇹🇿

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija 11 дней назад +2

    Nabiii wote ni safi tu wewe unaeita nabii tapeli no moja ni wewe zungumza yako msiwachafue manabii wazuri wanasaidia sana

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e 10 дней назад +1

      Tapeli Mwingine😂😂😂😂

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 9 дней назад

      @@PaulinaNyanzalashija fala Paulina shija

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 5 дней назад +1

      Dada Mimi ni mkristo, nitafute tufanye maombi Mungu mwenyewe atuoneshe kipi ni kipi

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 4 дня назад

      Usijali roho mtakatifu atawashukia😊​@@didasmajor9288

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 10 дней назад

    Biggerup Mtumishi wa Mungu Dominiq, Mungu awalindee woote

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 11 дней назад +2

    Najivunia sana kuwa mkiristo wa kikatoliki

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e 10 дней назад

      Walewale Wote Wasaka Tonge😂😂😂😂

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 10 дней назад

    Wagawanye tuwatawale.
    Shida ndio zinatusonga mpaka tusijue lakufanya EE mungu tujalie ufahamu

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 2 дня назад

    Naomba mwili upoe kwa nguvu sana

  • @BonifaceOirere
    @BonifaceOirere 5 дней назад

    Hapa ni biashara na uganga Bali si injili ya kueneza ukombozi.Mungu akaokoe kondoo na mchunga wao

  • @MulshiduYusuph-yw2os
    @MulshiduYusuph-yw2os 4 часа назад

    Nakukubali baba

  • @justineswai5885
    @justineswai5885 9 дней назад

    Wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, ole wenu KRISTO YESU anarudi

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n 11 дней назад +4

    Tapeli wa kikongo huyu uhamiaji weka ndani wewe ndie mchawi mkubwa mshirikina wa kwanza kwanza ni mchochezi eti wazee wachawi imaana ata babu yako kule kongo ni mchawi eti tumepiga maombi wazee wamekufa sasa unawaponya watu au unaua watu mpigaji mkubwa..

    • @fatumatandika6220
      @fatumatandika6220 10 дней назад

      Yaani anafurahi kuua wazee. Una uhakika gani Kama ni wachawi kuweni makini jamii

    • @GluckSifaeli
      @GluckSifaeli 5 дней назад

      watu wa mungu tusikilze sauti ya mungu tuu

  • @user-bs7dj7ps9g
    @user-bs7dj7ps9g 11 дней назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂watu niwajinga sana

  • @omarally5460
    @omarally5460 8 дней назад

    Hii issue ni mtambuka, Jamaa kaanzia kuziba midomo watendaji wa chini wa Serikali na Jeshi la police, Ni Ngumu kumchukulia hatua zozote,, Inahitaji maamuzi magumu sana. 🤔🤔🤔

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d 11 дней назад +2

    Wenye wivu acheni upuuzi hebu kuwen makini na maneno yake katika maisha yangu sikutegemea kuwakubali wachungaji ila kwahuyu kiboko acheni wivu.jaman pambaneni na hali zenu tunampenda huyu baba mie nipo oman namkubali kula tano👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 11 дней назад +1

      Utakuwa fala wa mwisho wewe. Nahisi mkeo na watoto wanatombwa na houseboy au housegirl wako jinsi akili zako zilivyo. ulivyoshikwa akili fala mbwa mzee wewe 😅😅😅

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 10 дней назад

      Uc ya nn kama mtu humuelewi kaa pembeni

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 10 дней назад

      Wazawa woote wa buza mpaka daladala zoote zimeneemekakama huku wai kufika kanisani kwake nenda kaone usithubutu kutukanavkabla magereza hospital polise kooote kapeleka magari namisoc

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk 11 дней назад +2

    UJINGA MTUPU NENDA KAJITANGAZE KUA WEWE NI KIBOKO YA WACHAWI TANGA AU SUMBAWANGA VIJIJINI ACHENI UJINGA dar Kuna wachawi hizo ni biashara za utapeli wahuni nyie

  • @lickumikidadi7630
    @lickumikidadi7630 8 дней назад +1

    Aaaminaaaa

  • @R1Lifestyle-f6n
    @R1Lifestyle-f6n 11 дней назад +1

    huyo jamaa ni sponser😂😂😂

  • @CamillahAdam
    @CamillahAdam 10 дней назад

    Mtumishi wa mungu 🎉

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 11 дней назад +1

    YEREMIA 50:6. YEHOVA ACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.

    • @AsiaShaban-zz4yr
      @AsiaShaban-zz4yr 10 дней назад

      Ana sifa huyo namajigambo mmh nilishatapeliwA pesa nyingi na mgonjwa broo hakupona fyuuuu anawapaga watu anaogea kwenye redio vinzur lkn ukienda kanisani anakuchamba wee sijawai onaa utakufa utaenda motoni kafiri wewe

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 11 дней назад +21

    Najivunia Sana kua Muislam maana nina uwelewa wa hali ya juu sana huyu jamaa ni tapeli tu na hao wote anaojifanya anawatibu anawapanga

    • @bobdelwinsky9363
      @bobdelwinsky9363 11 дней назад +10

      Hauhitaji kuwa muislamu kujua uhuni wa mwamba. Hata wakristo wanajua mwamba ni msakatonge sheikh. Ni vile tunajivunia kuvumiliana na umoja ndio maana wahuni kama hawa wanaibuka kama uyoga. Sheria na taratibu za nchi zitakapobadilika kuwashughulikia hawa watu kihalali kama kutaifisha mali na kuwafunga watajifikiria sana.

    • @richardvallerian1003
      @richardvallerian1003 11 дней назад +3

      Hauhitajiki uelewa wa juu kujua huyu ni tapeli, ni uelewa wa kawaida kabisa!

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 11 дней назад +3

      Weslam nao wanachanga moto yao acheni unafki nyinyi Weslam huku unajiitq Mweslam baadaye unaenda Gest kufirwa mkunduni

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 11 дней назад

      ​@@bobdelwinsky9363 ubarikiwe kakangu unasema ukweli kabisa Yani nahitaji Serekali iwashike handi Ndani hata myaka 10 kumi tu watanyooka kweli kweli

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn 11 дней назад +1

      Wee ni mwanga TU umepangwa na shetani na wewe!

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 11 дней назад

    Kwaiyo hizo sadaka umeona uwape bodaboda wenye kipato kuliko kuwapa wasio jiweza Kaya maskini, magereza na hospitalini

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 11 дней назад

    Kama umeshinda jaribu la pesa basii nabii kiboko Sio mtumishi wa mchezomchezo!

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 9 дней назад

    Huyu ni muhalifu!!! Ila inabidi uwe na elimu ya #cuba

  • @bobdelwinsky9363
    @bobdelwinsky9363 11 дней назад +1

    Msaka tonge muhuni na Mhuni makini

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise 10 дней назад

    Kweli nabii.umesema ukweli.hapo.hata.kama.wanasema.wewe.ni.nabii.wa.uongo wanakuonea wife.piga.kazi.baba.fufua.watu.wataelewa tuu.mungu.akitie.nguvu

  • @worth_monkey
    @worth_monkey 11 дней назад +6

    watuu mbona hamfungukiii akili zenuuu huyu ni tapeliii jamaniii fungukeniiiii

    • @GislaMushi
      @GislaMushi 11 дней назад

      Amewai kukutapeli Nini?😂

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e 10 дней назад

      Tapeli la Kikongo Kawasaidie Congo..Vita ishe..

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 10 дней назад

    Kiboko ya wachawi nimependa hilo jina. Wachawi niwakuchapa sana

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 10 дней назад

    Huyu mtu hauhitaji udhahidi kuwa ni muongo huwenda kajijazia misukule pale sisi tunaona ni watu

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 11 дней назад

    Sasa unasema mtu mwenye kitambi hana yesu kwa sababu yesu akuwa na kitambi mbona yesu akuwq na pesa ww pesa unatoa wapi pia yesu akuoa ww kwann uoe umejipiga mkorogo umenyoa wey mmh

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 11 дней назад

    Nabii yupo vizuri aendereza huduma hiyo haina upinzani?

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 11 дней назад +1

    Uyu ni mkongomani kamata rudisha kwao

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 10 дней назад

    Pastor anaway yake imetulia awee not this in God's Kingdom 😢

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 11 дней назад

    Mungu wenu alikua analindwa na panga

  • @AberhartNdauka-nu3do
    @AberhartNdauka-nu3do 9 дней назад

    We msenge kweli tapeli mkubwa kabsa

  • @musamusa6374
    @musamusa6374 10 дней назад

    Watu 70000 unajua ni zaidi ya watu wanaoingia kwa mkapa

  • @user-do1xs4om1b
    @user-do1xs4om1b 11 дней назад

    Ndo maana ccm chama tawala imetulia kwa maana ya kwamba wana muunga mkono huyu jamaa wanapata maslah.

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 10 дней назад

    Natamani niende hata leo kwa huyu nabii.

  • @alicesimbeye7978
    @alicesimbeye7978 6 дней назад

    Tunaosoma Comment tujuane

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 10 дней назад

    Mwacheni afanye kazi yake. Msihukumu. Hiyo siyo kazi yetu. Unahukumu kuwa huyu ni tapeli. Je wewe ni nani? Ulishajichunguza tabia yako je upo salama

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 8 дней назад

    Uyu jamaa kweli anaongea kweli

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x 11 дней назад

    Ile ni pesa Yako au ni , ?

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 11 дней назад +1

    Ni mupango wa ubunge

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r 9 дней назад

    unakuta limtu lizima limekaa kanisani ni kusema amenii ameniii shenzi na nusu

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 12 дней назад

    Mmmh mbona kama nimeanza kukuelewa mtumishi

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 8 часов назад

    Kwaio kila mzee ni mchawi selkai usiken uu ni uchochez wa mambo ya kipuz husababisha watu kuja kukosa aman wazee wetu

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r 10 дней назад

    Hii move mwisho wake tutauona

  • @irenemuro5077
    @irenemuro5077 6 дней назад

    Jamaa muongo sana, hakuna mwenye ufahamu na uwelewa wa Aliyeumba wote, vyote na yote atakaye mwelewa huyu jamaa inaonyesha dhahiri kuwa yuko nyuma ya Pazia laaa!!!!😏

  • @AbelsonGidion-vo1uj
    @AbelsonGidion-vo1uj 11 дней назад +1

    Amna k2 apoo

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 10 дней назад

    😂😂😂😂 Watuwangu wana angamia kwa kukosa maarifa poleni sana kondoo wake

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 9 дней назад

    Hujui kusoma hata picha huioni

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 10 дней назад

    Atuambie amepata wapi hela?

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc 10 дней назад

    Huyu jamaa ni muongo sana anataja namba ukipiga hapokei kumbe wanapangwa wakupokea

  • @KaguluZuu
    @KaguluZuu 8 дней назад

    Nasisi waislam tunawo mataperi kama huyu baba acheni kulaumu ukiristo biblia ilisema manabii feki watajitokeza wakiristo wanaojielewa huwakuti kwa huyu jangiri hata siku moja.sijui serikari iko wapi kanisa uchwara zinajitokeza kila kona imekuwa biashara Kawanunulia police nini?😮

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 12 дней назад

    Weweunakanisalipi lisilimujuaMungu. namwana waMungu ? Unamuombananikama ndiyo hivyo.

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 11 дней назад +1

    Wote nyiei ni iwezi tu

  • @CHAMSATV
    @CHAMSATV 10 дней назад

    NENO LANGU ;TUMCHE MUNGU NDIYE ANAYE JUA KESHO YA MWANADAMU

  • @SifuniKasimba
    @SifuniKasimba 9 дней назад

    Wanangu waangamia kwakukosa maalifa somen biblia

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 11 дней назад

    Mjini matapeli ni wengi

  • @BongoflevaHits
    @BongoflevaHits 9 дней назад

    Tapeli la kikongo

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l 10 дней назад

    Wanao enda kanisani kwa huyu jamaaaa Hawana akili

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 10 дней назад

    Someni bible

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 12 дней назад

    Safi sn umetengeneza urafiki mkubwa mno na bodaboda,

    • @LuckyTemu
      @LuckyTemu 11 дней назад

      Kumwaga hela ndo kumpa m2 hela😅

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r 9 дней назад

    yanii mtu anatoka kongo anakuja Tanzania kuchoma wazee wetu kwamba ni wachawii

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 11 дней назад

    Shemasi aliye pauka pauka hahahah

  • @nickb3289
    @nickb3289 12 дней назад

    Koboko ya wachawi

  • @user-gr9kx8hz6t
    @user-gr9kx8hz6t 9 дней назад

    Uwongo una mwisho

  • @kassimkikwete3357
    @kassimkikwete3357 10 дней назад

    Uyu nae kama wala tu

  • @wizebiligetwaziri5540
    @wizebiligetwaziri5540 12 дней назад +6

    Alafu utasikia mpuuzi mmoja ana sema unatumika nashetani ukimuuliza ulifunuliwa nanani anakusomea andikotu lisemalo "watajitokeza manabii wauongo " shida yabongo wajuaji wengi

    • @EllyMoshi-vd9ds
      @EllyMoshi-vd9ds 12 дней назад +3

      Wewe utafurahishwa😂 tulia na ubishi wako unapenda kuombewa eee

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 12 дней назад +2

      Anapenda kuombewa huyo haelewi mtandao unasumbua kama angeielewa biblia asingeongea utumbo uo

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 11 дней назад +2

      Kwan uongo? Hakuna nabii zama hiz wote matapel tu washirikina tu

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 11 дней назад +1

      inaonekana akilizako nifupisana naww unategemewa kua nafamilia polesana

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 11 дней назад

      @@kutailass6671 hayo umesema wewe

  • @emanuelnjiku7354
    @emanuelnjiku7354 11 дней назад

    Sikiliza rafiki katika bwana katika Yesu kristo nikwambie tu dini wala madhehebu sikitu mbele za mungu wetu kilicho bora kati yetu ni kumjua mungu kikamilifu ili katika yeye tumlaki mwokozi mawinguni. Wasikutishe na misaada yao kwa jamiii maana walio wa shetani wanajua kutoa sadaka kwa shetani kuliko hata watu wanao mcha mungu na wanajua kuongea ukiwasikiliza unajua wanaroho wa mungu kumbe ni chenga

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 11 дней назад

    mbona anaongea tu bila kuulizwa

  • @dianaemmanuel3471
    @dianaemmanuel3471 11 дней назад

    Baba Niko mwanza nataka kuzulumiwa asilimia zangu za uchimbaji wadhahabu Niko mwanza baba nisaidie

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 11 дней назад

      Tafuta mwanasheria haraka na acha kujilengesha laa sivyo utatapeliwa na utalia zaidi. Pole sana

    • @HangiMakina-wf8hw
      @HangiMakina-wf8hw 11 дней назад

      Mgodi gani huyo kunajamaangu anaweza saidia

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 10 дней назад

    Wakristo wenzangu someni biblia. Hawo manabii achanani nao

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 10 дней назад

    Mmmmmmmh

  • @memehhhahshshdhdhd
    @memehhhahshshdhdhd 11 дней назад +1

    Hivi wachawi ni wazee tu peke yao?
    Hata watoto,vijana wapo wachawi

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 11 дней назад

      Thank you for this comment aisee. Pastor huyu ni kama anacampaign dhidi ya wazee maskini angekuwa nnchi niliyopo leo hii angelala jela for hateful speech.
      Pastor amejichubua hadi akili coz he is so stupid. hivi life expectancy ya nnchi maskini na familia maskini ni umri gani. Na wachawi vijana jee?

  • @mulashanibrasio8151
    @mulashanibrasio8151 11 дней назад

    Niçe interview, May God bless you

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 10 дней назад

    Wamalize tu,iunamalizaje ni yako

  • @worth_monkey
    @worth_monkey 11 дней назад +2

    Tapeliii huyuu hmna kitu hapa