Kifupi mimi nlipockia tu sauti ya juma khan nkavutiwa kuangalia hii movie so i like it big up bavo big up juma khan ubunifu mzuri huu hasa kwasisi tunaopenda movie zilizotafsiriwa
Ebwana eeeh!! Kuangalia hii movie bila koment ni dhambi,, this is amaaaziing yaaani,, hadhi ya movie hii ni ya juu sana. Mmetishaa vbayaaa,, mtafsiri piaah umenogesha movie yaani fresh,, naisubiri part nyingine kwa hamu🔥🔥🔥🔥
Kaz kubwa imefanyika, bravo we Nimkubwa Sana, Nakuona Mbali Sana bro! Khan umesmama poa Sana mkuu in short tumeona jambo flan jipya ambalo km tukiliongezea kdg tunaweza kukuza uchumi wetu wa tasnia nchini, TUONGEZE QUALITY KWENYE MAENEO MADOGO MADOGO KWA MFANO CAMERA, LOCATION, CASTING NA SCRIPT KWAUJUMLA, BADO TUNAMATATIZO YAKIUCHUMI KWENYE TASNIA YETU ILA tukiendele KUKOMAA KM IVI NAAMINI ONE DAY YES, NIMEPENDA SANA HII INASHAWISHI PIA KUANGALIA MUNGU ATUJAALIE INSHAALLAH.
Ndio tunaigiza kwenye mazingira halisia ya nyumbani tz!! Lakni improve quality kdgo including light!! Na baadhi ya location na mavazi twende sawa!! God b blex tz's journey
Mnakosea sana, mnavyotafsiri wakati movie ni ya kiswahili na tafsiri ni ya kiswahili.... hii inakua meaningless, tafuteni njia nyingine ya kuongeza utamu na si njia hii. Lakini pia kwenye action mpo vizuri ila sasa tafuteni mawriters wazuri zaidi, story bado haijakaa poa inatakiwa mtafute watunzi wabunifu ili ukiunganisha na hio action inakua bora zaidi. Lakini pia jaribu kuhustle mpate best cameras na editors wazuri ili quality ya movie iwe bora zaidi.
Kifupi mimi nlipockia tu sauti ya juma khan nkavutiwa kuangalia hii movie so i like it big up bavo big up juma khan ubunifu mzuri huu hasa kwasisi tunaopenda movie zilizotafsiriwa
Lazima tusifie vya kwetu cyo wazungu kila ck hata cye tunaweza safi sana kazi nzuri hongereni nimeipenda ile mbaya kazeni tutafika
The best flm in Africa nani kama bavo
IDEAS na ACTORS super sana , Tumebakiza Mavazi na Location!...
There we go , tutafika tu 'Ee M/mungu tuongoze katika sanaa yetu.🙏🙏
Ameen
Kabisa ani
move nzuri jamaa anajua kaz
Ebwana eeeh!! Kuangalia hii movie bila koment ni dhambi,, this is amaaaziing yaaani,, hadhi ya movie hii ni ya juu sana. Mmetishaa vbayaaa,, mtafsiri piaah umenogesha movie yaani fresh,, naisubiri part nyingine kwa hamu🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥 we jamaa noma san kam mbele vile khaa
Iko fiti sana
Bonge la movi,uwezo sana tuweke muendelezo mzee baba
Ndio mzee baba
Noma sana bonge moja movie
Wangapi tunaipa asilimia 90% Action Bongo Movie!!? Tujuane.
#Uyuu anaetafsrii ndo anaalibu movie mpk anakela...
Nice one 👍
Ahahahahahahahahahahahahahahahah muvi iko Powa kabisaaaa tena kwa utamu
Hii ndo bongo, Yani Sinema ya Kiswazi tena inatafasiliwa, Lol Am done hahhahahahhahahhahhahha
umenena vyema
Tunataka kazi kubwa kuliko hii bloo
Jumaaaaaaaaaaaaa kanyaga twende babaaaa
Noma sana
Kaz nzuri
nakubali DJ endelea kusmamia show ya argent
Nakubali bavo mkali wa tz
Daaaa umeibadlsha Tz ad raha Bavo hongera Sana bro God bless you and your family 🙏🙏🙏🙏You are 🔥🔥 🔥🔥🔥
From india juma khan to bongo wood so amaizng bro
eti maaa😁😁na kingereza chake kikavu
Kabisa tunaipenda sana burundi
Nzuri sana
Awesome kaka bavo
Izi movie zikitafsiliwa zinanoga wallah
Nakubariii hiii snaaaa
Chikongweee juma khan 😂 mwamba kama mwamba
Agent Bavo ndo d best Tz
Kazi nzuriii
Daaah jamaa anajua sana
Umetisha Bavo
Mmecheza vizuri but mawazo ya director yalilenga katika siasa
Aisee dj juma khan umetisha sikutegemea
Tamuuuuu hii move
Anaesimulia noma sana,umetishaa
Good job
Mambo yameenda vzr
Nice move bavo😍😘
Bro kazi nzur big up sana
Move Kali sana kimekosekana
Bavo ukishirikiana na Jimmy mponda Tanzania itafika mbali
Ushauli tu ungetafsiri kwa kingeleza kwa sababu sisi tunaelewa ilinawengine wa nchi mbali mbal waangalie ingekuwa powa san
Siokwamba hatujui kingereza wengine 2naangaliga muvi zi lizotafsiriwa kwakupenda vionjoo vyama DJ tisha sana juma khan Leo kinyumbani nyumbani
Nakuunga mkono kaka ngeli tunajua Ila tu na xx tutafxir zakwetu xx
Big up bro kazi nzuri 🇧🇮
Unajua bana wewe ni noma
Nakubali sana
Ipo swa sana
Add subtitle #this work is 🔥🔥🔥🔥
🇹🇿💯❤️🧡
Nazani hata Nageria wakasome wabaki na uchawi wao
Kaambali na mkali bavo ww
Fire
Kaz kubwa imefanyika, bravo we Nimkubwa Sana, Nakuona Mbali Sana bro! Khan umesmama poa Sana mkuu in short tumeona jambo flan jipya ambalo km tukiliongezea kdg tunaweza kukuza uchumi wetu wa tasnia nchini, TUONGEZE QUALITY KWENYE MAENEO MADOGO MADOGO KWA MFANO CAMERA, LOCATION, CASTING NA SCRIPT KWAUJUMLA, BADO TUNAMATATIZO YAKIUCHUMI KWENYE TASNIA YETU ILA tukiendele KUKOMAA KM IVI NAAMINI ONE DAY YES, NIMEPENDA SANA HII INASHAWISHI PIA KUANGALIA MUNGU ATUJAALIE INSHAALLAH.
FACT mzea
Daaaaa ikopowa tuuu🤣🤣🤣❤️❤️
👏🏾👏🏾👏🏾👍🏾
Bonge la idea Broo juma khan kafanya kitu kizur sanaaaaaaaa mtu mpka anapenda
This is big one
Kazi nzuri ila kwa kazi za kitanzania si vyema kuzitafsiri namna hii tuacheni tushuhudie vipaji vyote katika tasnia ya filamu
Mtafasiliaji anajisahau sana wengine hatujui kiswahili, oyaaa shushen like zenu ttuo mwendelezo
Hatariii👍👍👍
wow that's awesome 🔥🔥🔥🔥
Good
Nakubal bavo
Picha la kibongo lakini bado tunatafsiriwa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 wow 🤩
Uyu jamaa Ambae katafathili nd kanogesha kinoma hatari
Shemela jona uko vizur kwa kwel
Nice one
Bavo unagonga ngumi sio poa mithiri ya boyker
Hyo mdada i feel im home 😂😂😂😂 kizungu hicho vipi?? Though movie liko sawa mia kwa mia
Ndio tunaigiza kwenye mazingira halisia ya nyumbani tz!! Lakni improve quality kdgo including light!! Na baadhi ya location na mavazi twende sawa!! God b blex tz's journey
Tunaenda kumbee
Kiukwel huyu jamaa anajua sana alaf n.mwepes kishenz
Nani kama bavo Tz? ??? 👍👍👍👍
Sinema iko poaaaa
It.s.so.much.exclusive
Nan kaja baad ya kuona kapost mkude smba🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Mnakosea sana, mnavyotafsiri wakati movie ni ya kiswahili na tafsiri ni ya kiswahili.... hii inakua meaningless, tafuteni njia nyingine ya kuongeza utamu na si njia hii. Lakini pia kwenye action mpo vizuri ila sasa tafuteni mawriters wazuri zaidi, story bado haijakaa poa inatakiwa mtafute watunzi wabunifu ili ukiunganisha na hio action inakua bora zaidi. Lakini pia jaribu kuhustle mpate best cameras na editors wazuri ili quality ya movie iwe bora zaidi.
hapo tu ndio tumelwama
Nomaaaaaaaaaaa
Hapa sasa bongo move ndio yenyewe hongera kaka
Nakubal xana ila muzidi kutafuta location mzur at ikiwa nje tz
Mm nikajua wanaonge kiluga kama vile kinyiramba yeye anatafsiriiiiii umetisha sana
Yan muv ya kiswahili anatafli naye kiswahili duuu
Dah Yan ww bongo bahati mbaya Kaka unajuh sana
Bavoooooo
Nakubari
Gd
nic
Big up
Tujifunze hapa namna ya kusimamia misingi ya kazi.
Hii muvi ya mbele au bongo, na kama bongo mbona kama imewekwa maneno ya kiswahili
Agent bavo nakubal sana kaz zko
Bavo mi ipo siku ntaigiza nawewe
Move nzr sana tatizo mavazi bado
Kama umesikia juma khan kachapia badala ya frash anasema fraji gonga like twende sawa
Goods plan
Moto Moto moto
Hi move nmeipend bur
Haya mambo ndo yanayo tokea nchini DRC
Keep😂😂😂