Hili ndio linawafelisha. Shida ni kwamba wanalazimisha kazi zote wafanye wao: kuanzia kutunga story, kudirect mpaka kuigiza. Wenzao mbele wanaandikiwa story na watu wenye uzoefu wa uandishi
Jitahidi kufanya kazi na wataalam wa kupangilia stori ili muvi iwe na mpangilio wa kimataifa usijifanye mbahili sana unavyozidi kuwekeza ndivyo kipato kinaongezeka
Sema huaga siangalii movie za kibongo za action ila apo mwanzo nmependa action zen sy za kitoto mpaka nmejkuta naangalia mpaka mwsho ngoja niwasubcrbe sema mscheleweshe kipande kinachofata
Movie kali mnaigiza vizuri sana Lakin mpangilio wa matukio haujakaa sawa Pia pressure ilikua kubwa sana kuona agent anakuja na nini saiz lakin doo inakua tofauti kabisa
Tunaosema serikali imfatilie bavo gonga like hapa huyu anahitaji kuwa mambele ova sio mbongo yan🎉🎉🎉
Serikali tena😂
Unyama sana alf naombeni like zangu hapa😅
Nakubali
Uhakika🎉
Kwenye mapambano style mko vizuri sema kwenye story ndo inakua haieleweki hakuna mpangilio mzuri😮😮😮
Kwer dam yangu
Kumbe wewe unajua
Nakubali
Hili ndio linawafelisha. Shida ni kwamba wanalazimisha kazi zote wafanye wao: kuanzia kutunga story, kudirect mpaka kuigiza. Wenzao mbele wanaandikiwa story na watu wenye uzoefu wa uandishi
Ñimeona ivo ivo pale ilipoanza mwanzo tu
From Burundi 🇧🇮 agent bavo u re the best
Kazi safi mzee baba, ❤❤❤❤
Bado wew
Bavo nakubali xana sho zakoo man niilizikiya
Nyie mlitakiwa muende Korea Sasa ❤❤ action Kali kabsa
tuwapeleke korea tu,, 💪
Bavo mwanetu katisha sana
Sema anaua Sana bavo mnyama kisenge
Hongera sana mwenyezi mungu aku zidishie
Kazi nzuri
Changamoto mwanga wa camera 📷
Bavo unaweza sana sema kuna mda unakua mkimya sana
Huyu jamaa bavo ni nyoko utazami Boika
Moto Atari keep it up 💪💯🔥🌟🌟🌟🌟🌍🎞️📽️📺
Nakumbuka uringo wa 🔥 ilikuwa 🔥 kwel
bavo wew balaa sana kaka mungu yupo nawe
Mm nimkenya lkni mara nyingi napenda kutizama movie za bavo big ups from Kenya much love
Mwambaaa karudi kwa kishindo bonge la movie ndani ya tz umetisha Bavo kanyaga twende mashine yetu
Nakubali we mkali
Asante
Unajua broo lakn hii story inafanana na ya nyamaume
Bavo anajua sanaa tangia moris had sasa
Naona kabisa Korea inawahusu na nyie aiseee mama samia angalia hii❤️❤️❤️❤️
agent bavo mnyama sana hujawahi tuangusha kitu imekaa unyama
naona mnataka kuanza kuupiga mwingi. tunataka tuone mikono mingi mnoo❤
Sawa
Mwanangu unajua tuache unafiki ayo mengine siwezi kuyasema najua kutokana na maisha yetu ila mzee unaweza
Asante
Courage baba nabapenda sana 🤜🤛❤️
Hili picha kali sana💪
Nakubali master 🤜🤛
Nawaona mbali Mungu awasimamie
Amani iwe juu yenu Oya bavo mtu wangu nimda kidogo ila sio mbaya kwa vile umengia mjengoni baada ya kukuona ktk mov ya zaidi ya rafiki
Nakubal sana man
Mtu wa maana kabisaa wewee
Gud Gud Bavo 👍👊👊👊👊
Nakubali sana
Mmejitahidi san
❤
Jitahidi kufanya kazi na wataalam wa kupangilia stori ili muvi iwe na mpangilio wa kimataifa usijifanye mbahili sana unavyozidi kuwekeza ndivyo kipato kinaongezeka
Bavo Mkali wao
Kazi safi na salama
Lete vitu bavo ww htr Kazi nzur
Nakubali kazi tamu hiii
Asante
Babaaaa ii tumekujaa kivyenginee baada ya ukimyaa kidgooo
Jamaa Unajua Sana Kweny Sector Huna Mpinzan Kakaa✊
Asante
Soo izi ndio moves kwa hapa tz
Good 👍 job
Umetisha sana kazi nzuri
Derick gutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunabapenda ❤❤
Kaka unajua sanaaa 🎉🎉🎉🎉
Umetisha bro
Like ni ishu sana kweli
Wakubwa movie nzuri, lakini quality mnatuangusha.
Kazi nzuri saana💪
Kaka kazi yako njema
Asante
mon héros est de retour. je préfère bcp tes action frérot
Nilikua sijakometi ila uyu mwamba mpeni walinzi
You are a boyka from Tanzania, we believe in you and we are following your work You are very good
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mbona movie haieleweki jitahidi kupangilia matukio vizuri , tujue chanzo n.k
huyu Jamaa ndio Walitakiwa Serikari impeleke KOREA na America mana Film zake ni Bora na zinaelimisha hazina mambo ya Kishenzi
Pamoja sana kk
Hongera sana mdogo wangu, kazi nzuri sana. Huyo jamaa aliemkata mwenzake na shoka kichwan hk anapiga mluzi mbingu aisahau tu😆😆😆😆😆😆
Ni uwakika sanaaaaaaa
Good 👍 sana tu peni ya 2 ila musicherwe
Yan tokea kwenye uringo wa moto ni ,,,
Ubabe ju ya ubabe nakubali
Nakubali bro unyama mwingi 🤪💪💪💪💪
😅😅 am enjoying
Ilaa bavo so poa mama Samia awatengee fungu Hawa vijana watengeneze movie Kar Zaid Moto mkari huu
Zingatiaa mwendelezoo kaka
Sawa
Ataliii sanaaaa🔥🔥
Noma kwel
Katika #NGUMI
Bavo kwangu ni namba 1 kwa Bongo
Nomaaaa sana
Ulikuwap mda mlefu mwamba
Man unajua sana ila camera na story zinaguangusha sana hebu tulia umiza kichwa story utafanya mapinduzi ya dunia
Camera shida
Unyama n mwingi sanaa
Asante
oyaaa bongee la move
Me huw nkuftilia san kijn ujawah kufel kweny action em jarbu kuwek akil yako pamoj bavo mfanye kitu muone mtakavyoipndua Afrika yetu
Directory anawaangusha saana
Mtu kafa na bado anahema😅😅😅😅😂😂😂😂
Nipeni like zangu. Kutoka Sudan kusini hapa
Asante sana
Unyama sana BAVO Good work
KAKA UNAJUA SANA TENA SANA ATUNA EKTA TANZANIA HII KAMA WEWE 🎉🎉🎉
😊😊😊😊😊😊
Msitu wa moto🔥🔥🔥 😂😂😂💪
Kaliui
hatari 💥💥💥💥
Asante
@@JonathanJoancy piga kaz kaka mambo mazuri hayo wacha tuenjoy migumi na miteke
Halaf chengine jitahid kutafuta wawekezaji watakao ekeza kwenye movie zako
Mwamba kweli kweli huyu
Mzigo mkali
Asante
Kwanza like zangu
Nimependa graphics design ya movie keep it up bro 🫡
Asante
Nakubali Sana bro ❤🎉❤🎉❤
Fundi agent bavo 🔥🔥🔥🔥🔥
Sema huaga siangalii movie za kibongo za action ila apo mwanzo nmependa action zen sy za kitoto mpaka nmejkuta naangalia mpaka mwsho ngoja niwasubcrbe sema mscheleweshe kipande kinachofata
Asante
I have one story for you bro @@JonathanJoancy
Movie Kali tatizo camera au ndiy director ndiy kafanya ivo
One love kaka
Safi sana broo but acha kulost
🙏🏾🙏🏾
Unyama sana
Hizi ndo move za kuangalia
Umerud kaka
Bavo kama utaendelea kuigiza tnzania hii utaifikisha mbali kingi kubali kuunda gang wapiganaji wapo wengi ata home zanzibar
Movie noma 🇰🇪🔥🔥Alaf wananguu hivi kwani likes kwenye comments zinalipa,,maana si kwa kunganganiwa ivoo😅
Nc job ❤
Bavo is 🔙
Movie kali mnaigiza vizuri sana
Lakin mpangilio wa matukio haujakaa sawa
Pia pressure ilikua kubwa sana kuona agent anakuja na nini saiz lakin doo inakua tofauti kabisa