MSITU WA MOTO ep.1 New African series 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 232

  • @asantechota8974
    @asantechota8974 3 месяца назад +24

    Tunaosema serikali imfatilie bavo gonga like hapa huyu anahitaji kuwa mambele ova sio mbongo yan🎉🎉🎉

  • @GozbertGscale
    @GozbertGscale 3 месяца назад +33

    Unyama sana alf naombeni like zangu hapa😅

  • @DanielKabanja
    @DanielKabanja 3 месяца назад +13

    Kwenye mapambano style mko vizuri sema kwenye story ndo inakua haieleweki hakuna mpangilio mzuri😮😮😮

    • @frenkamosi-sz1gr
      @frenkamosi-sz1gr 3 месяца назад

      Kwer dam yangu

    • @ziahdapox3729
      @ziahdapox3729 2 месяца назад

      Kumbe wewe unajua

    • @JoelJackson-xm9xf
      @JoelJackson-xm9xf Месяц назад

      Nakubali

    • @greydonalds4286
      @greydonalds4286 Месяц назад

      Hili ndio linawafelisha. Shida ni kwamba wanalazimisha kazi zote wafanye wao: kuanzia kutunga story, kudirect mpaka kuigiza. Wenzao mbele wanaandikiwa story na watu wenye uzoefu wa uandishi

    • @hallmenaboud3192
      @hallmenaboud3192 18 дней назад

      Ñimeona ivo ivo pale ilipoanza mwanzo tu

  • @norbertkwizera3673
    @norbertkwizera3673 Месяц назад +1

    From Burundi 🇧🇮 agent bavo u re the best

  • @TonyMkongo
    @TonyMkongo 3 месяца назад +6

    Kazi safi mzee baba, ❤❤❤❤

  • @benardbenvy
    @benardbenvy 2 месяца назад +1

    Bavo nakubali xana sho zakoo man niilizikiya

  • @DeusMasunga-lq1jo
    @DeusMasunga-lq1jo 2 месяца назад

    Nyie mlitakiwa muende Korea Sasa ❤❤ action Kali kabsa

  • @shimazone528
    @shimazone528 3 месяца назад +9

    tuwapeleke korea tu,, 💪

  • @Footballre-zx9lc
    @Footballre-zx9lc 3 месяца назад +6

    Bavo mwanetu katisha sana

  • @PablooHakim
    @PablooHakim Месяц назад

    Sema anaua Sana bavo mnyama kisenge

  • @AbdulisaBongole
    @AbdulisaBongole 3 месяца назад +1

    Hongera sana mwenyezi mungu aku zidishie

  • @MuharramiNjoka
    @MuharramiNjoka Месяц назад

    Kazi nzuri
    Changamoto mwanga wa camera 📷

  • @VedastusMathew
    @VedastusMathew 3 месяца назад +1

    Bavo unaweza sana sema kuna mda unakua mkimya sana

  • @rashidnuru4972
    @rashidnuru4972 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa bavo ni nyoko utazami Boika

  • @MamdouhHussein-m8g
    @MamdouhHussein-m8g 2 месяца назад

    Moto Atari keep it up 💪💯🔥🌟🌟🌟🌟🌍🎞️📽️📺

  • @RamadhaniMbepo
    @RamadhaniMbepo 2 месяца назад

    Nakumbuka uringo wa 🔥 ilikuwa 🔥 kwel

  • @MofaKomba
    @MofaKomba 2 месяца назад

    bavo wew balaa sana kaka mungu yupo nawe

  • @VinRaj-w9z
    @VinRaj-w9z 2 месяца назад

    Mm nimkenya lkni mara nyingi napenda kutizama movie za bavo big ups from Kenya much love

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi 2 месяца назад

    Mwambaaa karudi kwa kishindo bonge la movie ndani ya tz umetisha Bavo kanyaga twende mashine yetu

  • @BarakaKombe-k6o
    @BarakaKombe-k6o 3 месяца назад +3

    Nakubali we mkali

  • @SelemanJuma-qz8ez
    @SelemanJuma-qz8ez 3 месяца назад +3

    Unajua broo lakn hii story inafanana na ya nyamaume

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb 2 месяца назад

    Bavo anajua sanaa tangia moris had sasa

  • @gloryladislaus6639
    @gloryladislaus6639 3 месяца назад +1

    Naona kabisa Korea inawahusu na nyie aiseee mama samia angalia hii❤️❤️❤️❤️

  • @FelicianNyaulingo-lx5sm
    @FelicianNyaulingo-lx5sm 2 месяца назад

    agent bavo mnyama sana hujawahi tuangusha kitu imekaa unyama

  • @toshirokuroda24
    @toshirokuroda24 3 месяца назад +1

    naona mnataka kuanza kuupiga mwingi. tunataka tuone mikono mingi mnoo❤

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 3 месяца назад +4

    Mwanangu unajua tuache unafiki ayo mengine siwezi kuyasema najua kutokana na maisha yetu ila mzee unaweza

  • @InnocentKarangwa-to1yn
    @InnocentKarangwa-to1yn 5 дней назад

    Courage baba nabapenda sana 🤜🤛❤️

  • @aidingoma5040
    @aidingoma5040 2 месяца назад

    Hili picha kali sana💪

  • @AbdulyBendela
    @AbdulyBendela Месяц назад

    Nakubali master 🤜🤛

  • @SelinaGodfrey
    @SelinaGodfrey 3 месяца назад +1

    Nawaona mbali Mungu awasimamie

  • @badrusimba1267
    @badrusimba1267 3 месяца назад +2

    Amani iwe juu yenu Oya bavo mtu wangu nimda kidogo ila sio mbaya kwa vile umengia mjengoni baada ya kukuona ktk mov ya zaidi ya rafiki

  • @SirEdoBoss
    @SirEdoBoss 3 месяца назад +1

    Nakubal sana man

  • @DanielyGerald
    @DanielyGerald 3 месяца назад +1

    Mtu wa maana kabisaa wewee

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp 3 месяца назад

    Gud Gud Bavo 👍👊👊👊👊

  • @henryzzongavuma3552
    @henryzzongavuma3552 3 месяца назад +3

    Nakubali sana

  • @JohnKiwelo
    @JohnKiwelo 21 день назад

    Mmejitahidi san

  • @JaphetLawrence
    @JaphetLawrence 3 месяца назад +1

    Jitahidi kufanya kazi na wataalam wa kupangilia stori ili muvi iwe na mpangilio wa kimataifa usijifanye mbahili sana unavyozidi kuwekeza ndivyo kipato kinaongezeka

  • @wilsonmajo2067
    @wilsonmajo2067 2 месяца назад

    Bavo Mkali wao

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 3 месяца назад

    Kazi safi na salama

  • @nassornassor3417
    @nassornassor3417 3 месяца назад +6

    Lete vitu bavo ww htr Kazi nzur

  • @FERUZZI-2020
    @FERUZZI-2020 3 месяца назад +1

    Nakubali kazi tamu hiii

  • @Hkiller8481
    @Hkiller8481 3 месяца назад

    Babaaaa ii tumekujaa kivyenginee baada ya ukimyaa kidgooo

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 3 месяца назад +1

    Jamaa Unajua Sana Kweny Sector Huna Mpinzan Kakaa✊

  • @NassoroMneka
    @NassoroMneka 2 месяца назад

    Soo izi ndio moves kwa hapa tz

  • @AntonyDaniel-pr1vc
    @AntonyDaniel-pr1vc 2 месяца назад

    Good 👍 job

  • @mountvalue9848
    @mountvalue9848 3 месяца назад

    Umetisha sana kazi nzuri

  • @DerickBukeyeneza
    @DerickBukeyeneza 3 месяца назад +1

    Derick gutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunabapenda ❤❤

  • @delibuzaceo850
    @delibuzaceo850 3 месяца назад

    Kaka unajua sanaaa 🎉🎉🎉🎉

  • @RevocatusCosmas
    @RevocatusCosmas 2 месяца назад

    Umetisha bro

  • @abdufaki7429
    @abdufaki7429 2 месяца назад +1

    Like ni ishu sana kweli

  • @KagomaMoses
    @KagomaMoses 3 месяца назад

    Wakubwa movie nzuri, lakini quality mnatuangusha.
    Kazi nzuri saana💪

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 3 месяца назад +1

    Kaka kazi yako njema

  • @MeekworthPeace-kv4lq
    @MeekworthPeace-kv4lq 3 месяца назад

    mon héros est de retour. je préfère bcp tes action frérot

  • @HeranaBaachana-eu2ew
    @HeranaBaachana-eu2ew 2 месяца назад +1

    Nilikua sijakometi ila uyu mwamba mpeni walinzi

  • @FrancisNgadi-o6n
    @FrancisNgadi-o6n 3 месяца назад +1

    You are a boyka from Tanzania, we believe in you and we are following your work You are very good

  • @TumainiNahatula
    @TumainiNahatula 3 месяца назад

    Mbona movie haieleweki jitahidi kupangilia matukio vizuri , tujue chanzo n.k

  • @isayachisongela923
    @isayachisongela923 3 месяца назад +7

    huyu Jamaa ndio Walitakiwa Serikari impeleke KOREA na America mana Film zake ni Bora na zinaelimisha hazina mambo ya Kishenzi

  • @mutajumarobhe9788
    @mutajumarobhe9788 3 месяца назад

    Hongera sana mdogo wangu, kazi nzuri sana. Huyo jamaa aliemkata mwenzake na shoka kichwan hk anapiga mluzi mbingu aisahau tu😆😆😆😆😆😆

  • @Mohammad-jd2ug
    @Mohammad-jd2ug 3 месяца назад +1

    Ni uwakika sanaaaaaaa

  • @NabilAli-z1e
    @NabilAli-z1e 3 месяца назад +2

    Good 👍 sana tu peni ya 2 ila musicherwe

  • @RamadhaniMbepo
    @RamadhaniMbepo 2 месяца назад

    Yan tokea kwenye uringo wa moto ni ,,,

  • @PaulCharles-ox9pg
    @PaulCharles-ox9pg 3 месяца назад

    Ubabe ju ya ubabe nakubali

  • @idrisayahya3568
    @idrisayahya3568 3 месяца назад +1

    Nakubali bro unyama mwingi 🤪💪💪💪💪

  • @PacomeJunior
    @PacomeJunior 3 месяца назад

    😅😅 am enjoying

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 2 месяца назад

    Ilaa bavo so poa mama Samia awatengee fungu Hawa vijana watengeneze movie Kar Zaid Moto mkari huu

  • @ministerchristopherjohn7781
    @ministerchristopherjohn7781 3 месяца назад +1

    Zingatiaa mwendelezoo kaka

  • @midohn.t.b1761
    @midohn.t.b1761 3 месяца назад

    Ataliii sanaaaa🔥🔥

  • @jacksonmadulanga7121
    @jacksonmadulanga7121 2 месяца назад

    Noma kwel

  • @SaydonMusic
    @SaydonMusic 3 месяца назад

    Katika #NGUMI
    Bavo kwangu ni namba 1 kwa Bongo
    Nomaaaa sana

  • @RamadhaniKagoma
    @RamadhaniKagoma Месяц назад

    Ulikuwap mda mlefu mwamba

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 3 месяца назад +9

    Man unajua sana ila camera na story zinaguangusha sana hebu tulia umiza kichwa story utafanya mapinduzi ya dunia

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 месяца назад +1

    Unyama n mwingi sanaa

  • @Ezekiel1-z4u
    @Ezekiel1-z4u 3 месяца назад

    oyaaa bongee la move

  • @MmwamMaruume
    @MmwamMaruume 2 месяца назад

    Me huw nkuftilia san kijn ujawah kufel kweny action em jarbu kuwek akil yako pamoj bavo mfanye kitu muone mtakavyoipndua Afrika yetu

  • @kwayayamt.gemmakisongo7287
    @kwayayamt.gemmakisongo7287 3 месяца назад

    Directory anawaangusha saana

  • @ErickMgaya-kv2wl
    @ErickMgaya-kv2wl 3 месяца назад +1

    Mtu kafa na bado anahema😅😅😅😅😂😂😂😂

  • @GatbanyyangjiokKang
    @GatbanyyangjiokKang 3 месяца назад +1

    Nipeni like zangu. Kutoka Sudan kusini hapa

  • @ahmadkalumbeta
    @ahmadkalumbeta 3 месяца назад +1

    KAKA UNAJUA SANA TENA SANA ATUNA EKTA TANZANIA HII KAMA WEWE 🎉🎉🎉

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 3 месяца назад +1

    Msitu wa moto🔥🔥🔥 😂😂😂💪

  • @kaJEMBEvip
    @kaJEMBEvip 3 месяца назад +3

    Kaliui

  • @keystonetv7357
    @keystonetv7357 3 месяца назад +1

    hatari 💥💥💥💥

    • @JonathanJoancy
      @JonathanJoancy  3 месяца назад

      Asante

    • @keystonetv7357
      @keystonetv7357 3 месяца назад

      @@JonathanJoancy piga kaz kaka mambo mazuri hayo wacha tuenjoy migumi na miteke

  • @Snydacut
    @Snydacut 3 месяца назад +1

    Halaf chengine jitahid kutafuta wawekezaji watakao ekeza kwenye movie zako

  • @AbdullrazackHussein
    @AbdullrazackHussein 3 месяца назад

    Mwamba kweli kweli huyu

  • @wolfdjmovies
    @wolfdjmovies 3 месяца назад +1

    Mzigo mkali

  • @calvinmpachila1039
    @calvinmpachila1039 3 месяца назад

    Kwanza like zangu

  • @mazy4784
    @mazy4784 3 месяца назад +1

    Nimependa graphics design ya movie keep it up bro 🫡

  • @J74251
    @J74251 3 месяца назад +1

    Nakubali Sana bro ❤🎉❤🎉❤

  • @saultito2857
    @saultito2857 3 месяца назад +1

    Fundi agent bavo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @roggerssimon122
    @roggerssimon122 3 месяца назад +2

    Sema huaga siangalii movie za kibongo za action ila apo mwanzo nmependa action zen sy za kitoto mpaka nmejkuta naangalia mpaka mwsho ngoja niwasubcrbe sema mscheleweshe kipande kinachofata

    • @JonathanJoancy
      @JonathanJoancy  3 месяца назад +1

      Asante

    • @Fix473
      @Fix473 3 месяца назад

      I have one story for you bro ​@@JonathanJoancy

  • @JumaMwambwalo
    @JumaMwambwalo 2 месяца назад

    Movie Kali tatizo camera au ndiy director ndiy kafanya ivo

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 3 месяца назад

    One love kaka

  • @SleepyBeachHammock-xr8mb
    @SleepyBeachHammock-xr8mb 3 месяца назад +1

    Safi sana broo but acha kulost

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 3 месяца назад

    Unyama sana

  • @FoiBuba
    @FoiBuba 2 месяца назад

    Hizi ndo move za kuangalia

  • @kipetatz4674
    @kipetatz4674 3 месяца назад

    Umerud kaka

  • @SalumMuhsin
    @SalumMuhsin 3 месяца назад

    Bavo kama utaendelea kuigiza tnzania hii utaifikisha mbali kingi kubali kuunda gang wapiganaji wapo wengi ata home zanzibar

  • @hollyboyMW
    @hollyboyMW 3 месяца назад

    Movie noma 🇰🇪🔥🔥Alaf wananguu hivi kwani likes kwenye comments zinalipa,,maana si kwa kunganganiwa ivoo😅

  • @AshiiChuse
    @AshiiChuse 3 месяца назад

    Nc job ❤

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад +2

    Bavo is 🔙

  • @nicholausmwinuka7640
    @nicholausmwinuka7640 3 месяца назад

    Movie kali mnaigiza vizuri sana
    Lakin mpangilio wa matukio haujakaa sawa
    Pia pressure ilikua kubwa sana kuona agent anakuja na nini saiz lakin doo inakua tofauti kabisa