Actually this is one of inspiration in Tanzania arts and entertainment and am so proud of this work yaani inatutia moyo kuwa kuna watu wanataka kupeleka bongo movie kwa viwango vya juu especially Jonathan 💯
Sinema nzuri kweli lkn we Dj unaharibu....kama wanaongea kiswahili sasa we wewe unaelezea nn na kwa nini?Eleza kingereza bc kwa faida ya wasioelewa kiswahili
Actually this is one of inspiration in Tanzania arts and entertainment and am so proud of this work yaani inatutia moyo kuwa kuna watu wanataka kupeleka bongo movie kwa viwango vya juu especially Jonathan 💯
What about seba and j plus
Mtangazaji unanikoshaga c haba, nakupenda buree 💖💖💖👍
Nakukubali Sana Mr Bavo hujawah kufeli 💖💖💖💖💖💖
napenda kutazama movies zenu mkiendelea kufanya sana mtaenea duniani kote hasa hasa Jonathan Jones mimi his fan kutoka Rwanda
Uyagwa mwanangu....full sbabu epsd ulikatisha.......au sio.....nakubali
Nakupenda sana Bavo👏👏❣️
Am a Zambian but I like Tanzanian movies
Witching from Japan....good work Naipenda Tanzania yangu🇹🇿🇹🇿❤❤
kazi mzuli sana Zombi apa mz
Big up sana brother mi nakukubali sana kazi nzuli sana mungu akupe nguvu na maalifa ya kufanya vizuli zaidi
Big up sana bro bavo atasiamini kma ungetoa filamu namna hii congratulation bro
Nice. vipi Bavo nampata munipe namba nduguzangu Mimi mkenya
Nakupenda sana bavo
I love this African movies
Jamani msaada kwani zilikiwa fight za kweli au camera take them fast movie was so good and funny 😆😂😂
😄😄😄
Nashukuru kwa mafunzo yaliomo ndani ya fillamu hii
Special claps for Bavo
I like your fighting style and the way you built your body
Nzuli sana🔥🔥
Kaliiii sanaaaaaa
Kama unamkubar juma Khan gonga like hapo
Jaman tusapot vya kwetu bavo unajua bwana..
Kweri kabisa vinzuri sana
Bavo kazi xana nzuri naomba vile mm naeza kujua mchezo wa movie.
Nawakubali sana nyinyi watuuuu
reta nyinginee kakaaaa
juma khan au chikongwe!!! ntuume
Na kubali Sana bavo👌👌👌👌👌
Safi sana kaka tutarajie makubwa zaidi mungu akusaidie
Movie kali sema mwanga bado tatizo kwenye movie zako sio HD
Very good movie. God bless!!
The person speaking at the intro was so annoying tho😪.
Agent bavo uwa nakukubali
Namkubali sana bavo ni hatari na nusu
Huyu deejay anayesimulia jin yake ni nani kazi yake pia jema san lugha safi hadi unawenza sikilinza na familia pamoja
Bavo ukovizur mungu akuongoze
I love this movie
Daaah unaweza bro
Mouvies hii hakika hata China ,Thailand,Japan nk inaweza kuuzika mno.
Mme upiga mwingi mm siangaliagi bongo move lakini hii nme ikubali sana pongezi sana
Agent bavo komesha uyo mtangazaji anafuruga movie
Asanteni.sana
Kizazi sana
KAzi nzuri bravo
🔥🔥🔥nice move
Félicitations vraiment bavo ila Acha upigwe na ww
Safi sana bavo
Hii movie bwana nikali so big up sana
Waaaah kimeumana❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Good job
Hiii Kaz ya moto sanaaa bavo Big up
I finally found it
For sure yaani daa😂😂
Dj anaitwaje plz mwenye anamjua
Well done Agent bavo and keep it up bro
Asante sana kbs ❤❤❤
English Subtitles please.
More movies
Kaliii
dah hyu jamaa co wa tz
Wivu 2 hio
Movie night mzur San ila saut ya juma Khan imenogesh zaid
Hayo ndio mambo
Iko poa sana but mkalimani n wakazi gani n wanaongea kiswahili we mkalimani n maembe sana wa harbu😮😮😮
Good film
My African movie
Erick kafuku ameapotia wapi
Inatosha sana❤❤❤
Gonga comment hapa
Kazi zuli sana
Sauti haipo jamaniiii
Hii imeenda muhidi wa tz
Makniii bro
Sinema nzuri kweli lkn we Dj unaharibu....kama wanaongea kiswahili sasa we wewe unaelezea nn na kwa nini?Eleza kingereza bc kwa faida ya wasioelewa kiswahili
Huyo juma khan nibora Kila siku
Movie Kali sans hivi hizi ngumi za ukweli au ni editing?
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭
Filmu iko sawa ila dj anaboo,ni kama anatangaza mpira
unabifu na juma khan wetu sio bure
yiyinibo viboko mufilamu
Bavo hakuna murpa
The background speaker ruins the flow of this movie, otherwise everything is good
Sasa hapo juma Khan alikuwa anatofasiri Nini Maana mnaongea kiswahili na Yeye anaongea kiswahili
hii nikali kuliko ulingo wamoto nakikubali
And try English please 😢🙏🏿
Atari sana
🔥🔥🔥
Naam
Action nzuri shida ninano moja uyo jama anaye tangaza kwa movie zako anaboo sana kwasababu mwangea kiswahili napia anaongea kiswahili hasinya
bavo
@@maxwellangoya1710 nimekuunga mkono
Hadi nime penda mara mia
💣💣💣
Sinema hii ni kali
Yaani ww huunmchezo wa kiswahili unahadithia nn
😂😂😂
Good job
Good job