Hapa sasa ndipo jacktan . Lamno ni umuulize maswali peupe kama alivyoeleza chombo Cha usafiri yani ngozi ya mtu HII inarahisisha wakati unaomba unaufahamu ya vyombo wanavyotumia
Wanapendelea kutumia fagio,ungo,gamba la konokono au mwanadamu ila katika ulimwengu wa kiroho yaan roho ya mwanadamu hutumika kama usafiri na ndio maana kuna watu wanaamka asubuhi wanasikia kuchoka na maumivu kwenye mgongo, shingo na kichwa...hii ni kweli mpendwa wangu
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi zaidi ya yeye hakuna mwokozi milele na milele
Thank you God for delivering him 🙏
Yesu tusaidie shetani anatesa sana watu dah
Mungu awabaliki watumishi wa promover
Wueeeeh..ushuhuda mzito❤
Proud to be delivered
Hongera sana Paulo huyu mtumishi namfahamu tumesoma nae chuo cha biblia sakila Arusha
Waaaaa Eee Mungu tusaidie watoto wako,shetani ana mbinu nyingi jmn,mbarikiwe Promover kazi yenu ni njema
Yesu kristo ni Mwokozi
Amen BWANA YESU apewe sifa
Amen watu watoa watoto wao kwa ajili ya moleki
Shatani ni mwezi ya watu wa mungu asente Sana jactan Msafiri
Jesu kristo ni mfalme wa wafalme
Yote kwa yote Mungu ni mkuu kuliko vyote
Amen
Jamani shetani hafai kabisa MUNGU tusaidie
Waa aisee unakutana nae unasema umepata mume kumbe
Shetani ji muongo sana
MUNGU nimmojaTU
Nimechelewa kweli lakini nimefika
Hapa sasa ndipo jacktan .
Lamno ni umuulize maswali peupe kama alivyoeleza chombo Cha usafiri yani ngozi ya mtu HII inarahisisha wakati unaomba unaufahamu ya vyombo wanavyotumia
Wanapendelea kutumia fagio,ungo,gamba la konokono au mwanadamu ila katika ulimwengu wa kiroho yaan roho ya mwanadamu hutumika kama usafiri na ndio maana kuna watu wanaamka asubuhi wanasikia kuchoka na maumivu kwenye mgongo, shingo na kichwa...hii ni kweli mpendwa wangu
Umechangua jambo jema sana Mchungaji Paulo.. Ukristo ndio dini ya haki na ya kweli... Bwana YESU atukuzwe
Ukristo siyo dini, bali ni mahusiano binafsi kati ya mwanadamu na Bwana wetu Yesu Kristo.
shalom .😊