ALIYETUMIKA MIAKA 24 KUZIMU AJA NA MAPYA 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии •

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 3 дня назад

    Amina,Amina,, hallelujah

  • @uwimanadady6563
    @uwimanadady6563 5 дней назад +1

    Mungu atusaidiye mwisho mwema ❤❤❤

  • @tulianyota7040
    @tulianyota7040 3 дня назад

    Amen amen 🙏🏽 ila sasa kwanini musi muachie muongeaji maic mu mupumuzishe uyo anae mushikia? jamani muna mna muchocha

  • @AshleyMbasha
    @AshleyMbasha 4 дня назад

    Kanisa za ivo ndo tunataka zingine makanisa nimasoko mtupu.Mungu akubariki na azidi kukuweka katika kiwango cha juuu saaana

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 4 дня назад

    Mungu nimwema sikuzote

  • @DicksonMasatu-x8t
    @DicksonMasatu-x8t День назад

    Kutoka dar

  • @DicksonMasatu-x8t
    @DicksonMasatu-x8t День назад

    Kutoka Dar

  • @EmmyJerremiah
    @EmmyJerremiah 3 дня назад

    Kusema ukweli Bishop, Tunakupenda sana lakin.,kama ni ushuhuda muache mtu ashuhudie hadi mwisho maana unamkatisha sana mpaka inaboa fundisha mwishoni ila ukiwa unamkatishakatisha sanaa kweli badilika

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4x День назад

    Mngempa jamaa ashike mayk mwenyewe maana jamaa anachoka sana

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 5 дней назад +1

    Ni hatali ,kumbe shetani. Alishajipanga kitambo,vijana tuamke tukaihubili injili,

  • @njunwamulaki1219
    @njunwamulaki1219 4 дня назад

    HATA MAKUBWA HAYA YANAPATIKANA KIM TU. HAKIKA MUNGU WA KIM NI MKUBWA

  • @tulianyota7040
    @tulianyota7040 3 дня назад

    Munachosha uyomushika maic jamani

    • @EliaPetro-zw4pd
      @EliaPetro-zw4pd 3 дня назад

      𝐖𝐞𝐰 𝐡𝐮𝐣𝐚𝐞𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐚𝐬𝐤𝐚𝐫𝐢 𝐠𝐚𝐧 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐚𝐜𝐡𝐨𝐤𝐚 𝐤𝐚𝐳𝐢𝐳𝐢𝐧??