Pt1_USHUHUDA WA ALIYETENGENEZEWA KIFO CHA UONGO NA WACHAWI•AONEKANE AMEKUFA KUMBE AMEFANYWA MSUKULE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 28

  • @SilaKayagwa
    @SilaKayagwa 4 месяца назад +1

    Ameen,, Mungu yupo Mchungaj huyu kwel kabisa amepita hyo majaribu lakn Mungu alimtetea,hakika tumtegemee Mungu.

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 5 месяцев назад +5

    Mungu ni wa Rehema na neema. Apewe sifa milele, mbarikiwe sana kwa ushuhuda huu. Waiting for parts 2 soon please.

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 месяцев назад +1

    Yani saanzingine unamwelewa Mungu usimwache mwanamke mchawi aishi yani hii michawi siipendi kabisa yani hawataki kushindwa kabisa

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 3 месяца назад

    Ni kwel hayo mamb yapo

  • @MamasIslandKitchen
    @MamasIslandKitchen 5 месяцев назад +5

    Ushuhuda huu nimeusubiri. Thanks promover tv.❤❤

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 5 месяцев назад +3

    Barikiweni sana watumishi wa Mungu kwa shuhuda hizi hakika twajifunza mengi..

  • @lovenessmjaka9754
    @lovenessmjaka9754 3 месяца назад +1

    Nyumbni kwetu itabagumba

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 3 месяца назад

    Interviewer unaongea sana. Mwache muhusika aongee mwenyewe.......yule mwingine/Joctan anafanya interviews nzuri sana. Haongei mengi zaidi ya kumtambulisha muhusika.

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 5 месяцев назад +2

    Mungu ni waajabu sana. Hongera mtumishi

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 17 дней назад

    DJ CHILILOOOOOO 😅😅😅😅😅🏃🏃🏃🏃🏃

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 5 месяцев назад +1

    Ushuhuda mzuri mtumishi wa mungu hayo yapo ukiwa haujakuna na majanga hayo utadhani story tu lakini dunia hii inawachawi tena wamebunda kimywa kimywa wanawafanyia ubaya watu na kuwauwa na wana maroho ya kinyama

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 4 месяца назад

    Bwana Yesu Asifiwe

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991 5 месяцев назад +1

    Yn 10:10 SUV
    Mwizi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.

  • @MGALILAYABillionaire
    @MGALILAYABillionaire 5 месяцев назад +1

    Parts 2 please. Ushuhuda mzuri sana🙏🙏

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 5 месяцев назад +1

    Amen Watumishi wa Mungu

  • @NathanaelMadihi-zu6hl
    @NathanaelMadihi-zu6hl 5 месяцев назад +1

    Bwana Yesu ni Mwema Sana. Ubarikiwe Sana Mtumishi

  • @denisbongore3098
    @denisbongore3098 5 месяцев назад +1

    Dunia inatisha sana bila Yesu sisi atuwezi

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 месяцев назад +1

    Uko ushuhuda wa mtu mmoja anaitwa Zablon alipitia hii hali mpaka akaishi gambosh hata kivuli alikua hana

    • @elizabethngallaba4422
      @elizabethngallaba4422 4 месяца назад +1

      Umenkumbusha mbali sana kwa story ya Zablon!!

    • @rerisamba
      @rerisamba 4 месяца назад

      @@elizabethngallaba4422 alipitia sana lakini apo mzima

  • @Glorytv5111
    @Glorytv5111 5 месяцев назад +1

    Amen amen

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 месяцев назад

    Sasa mko kwa class mkifa msije mkasumbuwe watu mkishika shika watu coz hawashikiki wako mwilini na wewe upo rohoni

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 5 месяцев назад

    Mungu ni mkuu kila wakati siri ya shatani zote hanajui

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya 5 месяцев назад

    Tupo tunafuatilia promover tv

  • @DicksoniOmond
    @DicksoniOmond 5 месяцев назад

    Mungu wa maajabu sana jamani

  • @annkim2690
    @annkim2690 5 месяцев назад

    Yupo mwanaume anaitwa Jeremy yeye alikua mkulima siku moja alikua kibarua cha kulima bibi akipita akamuuliza wewe ndio umelima hapa kote akasema eeh ungependa ukanilimie akaitika badae alimuona huyo bibi alikuja rohoni akampiga kichwa nahivyo kichwa kikauma akaaguka chini akapelekwa hospital na ndio kufa na kuzikwa lakini hakua amekufa alichukuliwa na bibi akapelekwa porini nandio hivyo akawa misukule ameishi huko miaka 10

    • @NeemaMngongo-fw3ku
      @NeemaMngongo-fw3ku 4 месяца назад

      Jeremy namafahamu kabisa yuko ufufuo na uzima ni.mtumish na alishaniombe na toka anarudishwa nikikuwepo .