Pt1_USHUHUDA WA EV.SAMSON SUNGWANA ALIEKUA BAUNSA JAMBANZI YESU AKAMTOKEA KWA CHUMBA CHAKE CHAUCHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 27

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 4 месяца назад +16

    Ushuhuda huu ni moto sana,acha Mungu aitwe Mungu,tusimkatie tamaa binadamu yeyote aliye hai Kwa maana hujui siku atakutana na Yesu Kristo,nampenda sana uyu Mwokozi Yesu.🙏❤️

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 4 месяца назад +11

    YESU ANATISHAAAAAA

  • @EvelinWilson-zx6uq
    @EvelinWilson-zx6uq 4 месяца назад +9

    Hakika mungu ni mwomozi acha tu aitwe mungu instosha

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg 4 месяца назад +7

    Kweli Yesu anaokoa

  • @FrançoisBarakaFaustin
    @FrançoisBarakaFaustin 2 месяца назад +1

    Mungu amekusaidiya sana muheshimiwa
    Asante sana

  • @Esthermordecai
    @Esthermordecai 4 месяца назад +5

    Sehemu ya pili Jacktan tunasubiri Kwa hamu kubwa mno.Mwenyezi Mungu Awabariki wote.🙏

  • @annkim2690
    @annkim2690 4 месяца назад +5

    Wachungaji wako na KAZI kweli tunafaa kuwapenda na kuwa heshimu kweli

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991 4 месяца назад +5

    Ufunuo 12:11
    Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.

  • @evermayala5817
    @evermayala5817 3 месяца назад +1

    Yesu ni mwamba. ❤

  • @josephmuli8300
    @josephmuli8300 4 месяца назад +1

    Namshukuru MUNGU kwa kunifungua macho zaidi, jose kutoka Kenya.

  • @bishopgeorgemusapreacher7374
    @bishopgeorgemusapreacher7374 4 месяца назад +1

    Safi Sana Ubarikiwe Evangelist

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 4 месяца назад +4

    Aiseee

  • @Frosita
    @Frosita 4 месяца назад +3

    Nlichogundua hadi leo vita ni kubwa lkn vita ya watoto wa watumishi ni kubwa zaidi..

  • @giffttymlemwa4523
    @giffttymlemwa4523 4 месяца назад +1

    Mungu ni kweli

  • @HellenDana
    @HellenDana 3 месяца назад +1

    Chinekemeeoooooh!!!hakika Mungu anatoa watu mbali

  • @xcaliber8300
    @xcaliber8300 4 месяца назад +6

    " ati sijawahi kumkaba mtu halafu asijinyee"😂🤣🤣 duuuuh

  • @LispafulgenceSimon-rs1zg
    @LispafulgenceSimon-rs1zg 4 месяца назад +1

    Jina la Bwana litukuzwe

  • @esterpeter8556
    @esterpeter8556 4 месяца назад

    Mungu hataudharau moyo unaomtafta zaburi51:17. Moyo wa mamaake na mtumishi Sam, nawaza ayo machozi ya mamaake

  • @PCharlzy-rr2iv
    @PCharlzy-rr2iv 4 месяца назад +3

    Pastor una unyakyusa mwingi .... Mbinguni tutafika? Ashukuliwe Mungu aliye hai anayetutoa gizani na kutuweka ktk mwanga wa tumaini la wokovu na utukufu wake

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 3 месяца назад

    MUNGU anaweza yote

  • @shuhudazakweli3406
    @shuhudazakweli3406 4 месяца назад +1

    Amen

  • @endlessloveofchristlovewor9991
    @endlessloveofchristlovewor9991 4 месяца назад

    Mushtara ni neno la kiarabu maana yake "mutual"

  • @MaryMichaelMaryMichael-i7o
    @MaryMichaelMaryMichael-i7o 4 месяца назад

    Blessd kaka jacktan na Audax n promover tv ❤..the power of testimony