#Easy man unanikosha mpaka najisahau jina,,,,,,, na nimtu wa bara (mbeya) Pekee nipendae ngoma zako kwa sauti na,, Ujumbe & kinanda *#ila kaza sana mashabiki tunakupandisha nakukushusha hivo kamwe usidharau FANS wako 💪💪💪👣👣
@@eazymantz8464 Easy Man mdogo wangu unajua upo vizuri sana kaza dogo janja first time nasikia ule wimbo wako Kasoro wewe adi leo mimi ni shabiki wako namba 1 it's 31 Dec 2021 kaza Easy
Aisee hii nyimbo ni kali kinoma. Nmeiskia kweny mix moja ya singeli ila sjajua ninan kaimba. Aisee nmeirudia kama mara zote ikabid niingie youtube kukusearch bro. Kazi nzur sana man haswa icho cjui ni kigitaaa aisee.
Nani anaangalia hii Ngoma 2024 njoo tujuane
yote kwa yote nipo hapa tena 2024
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Nipo hapa tar 20/12/2024
Cpendi singeliii tokea mwaka 2005 ila hii SASHA htrii nmeaz kuelewa sngeliiiii🔥🔥🔥
Unajua sana kuanzia story ukaja safari song wahuni leo sasha big up sana
Nimetokea kupenda hatal nimesikiliza Kama Mara mia HIV huu wimbo❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Singeli kila kwel aix👏🏾👏🏾👏🏾👌🏾👌🏾👌🏾🤙🏾🤙🏾🤙🏾
Nakupenda bure sauti nzuri nyimbo zako nzuri
Nainjoi na nyimbo zakoo👍
mwamba kazi inzur iko poa fundi wa singer
Ngomaaa kubwaaaa
Nilikua naisubir sana hiii video mkali uko vizur
Hii ngoma imefanya nirudiane na mpenzi wangu
Hong era mzee
Haha yusuph bana hongera
Umenenepa
Eazy Umenenepa unamkumbuka joph k mimi dada yake
Umependeza hapo ulipovaz jinzi nyeupe
Easy man umepotelea wap mwamba 2024
Muheshimu saaanaa anaekutengenezea biti mdogo wangu itunze sana sauti yako
Great identification.. ruclips.net/video/cukwiklBo_s/видео.html
Kazikaz boy wazee wa singeli music
Nipo hapa tar 20/12/2024
easy man umepotea sana mzee
Goma kali
Kama una mkubali aezy man ngonga like
Kweli cyo poa mzee baba
Napenda nyimbo zako hazina matusi pongezi kwako dogo.kwani unajua Kama Kuna vingi vya kutungia nyimbo na c lazima kutukana,big up sanaEasy man
Unajua mzee baba
easy man unanikuna wewe moyo nalia namoyo moyo lazwa namoyo jmn easy wewe atariiiii
Bg up sana mwanangu ngoma zako zote ninazo hasa hiii sasha
We to gether my guy
nakubal xana hujawah kukoxeag yan cyo pw we mbayaaaaa bwaaaaanaaa
Bonge moja la ngoma
Easy man kweli mwanzo ilikuwa shida kukutokea binge la ngoma sina ata baiskel.....
Easy man huwa nakukubali sanaa broo 🔥🔥
NAPENDA SANA NYIMBO UYU JAMAA.
Bakoraa mwanzo mishoooo 🔥🔥🔥
Hatareeeeee easy man noumaaaa kinyamweeeee
We jamaa unajua Sana tena sana sasa sijui huwa unakwama wap?
katisha sana uyu jamaa mwanzo mwisho
Mwanakwetu huyu, Muziki wetu huu, Ushwahili ndio asili yetu. Najivunia
Yan kwa singel hizi man fongo na sholo mwamba wabaki kuvta bangi2 jamaa unajua mpaka unanikekera
Respect eazy man na mchizi wako wa ukweli mack zube salute kwenu
Easy man kuna mwiba unaitwa dragon boy unafuata nyayo zako mule mule
2025🎉🎉
Joukaa la kijani
unatisha baba hongela
Unaweza mzee baba
Daah!!!broo unajua mpaka bas hongera
Unanikosha sana man
Unapozungumzia singeli fundi wao huyu hapa, hujaniaungasha toka madikodiko ukaja ndombolo unanibamba nakitu hiii sijui napumulia wapi sasa
Hakika wewe ni genious hata voice iko poa man hivyo kaza tu unakipaji xana nyota inang'aa
haupo boomplay broo
Waukae huyo moyo nalia moyo
Haya like za kutosha kwangu kama zote SASHAAAAAAAA
mwangaza ibrah namkubali
Ngoma zko n hatar xnaaaaa,,ww ndo umefnya npnde singeli
Nimeikubali kinoma kaka
Iko poasana nimeipenda very very much
Noma sana
Bgp sana brza
Daa nakosa hata lakuongea unajua mbaka unaboa ni balaaa
Kaz mzee easy man
Leo Sasha unaweza sanaa
Nakukubl ongeza bidii
Pambeeeeeeeeee
#Easy man unanikosha mpaka najisahau jina,,,,,,, na nimtu wa bara (mbeya) Pekee nipendae ngoma zako kwa sauti na,, Ujumbe & kinanda
*#ila kaza sana mashabiki tunakupandisha nakukushusha hivo kamwe usidharau FANS wako 💪💪💪👣👣
Thnx
hepy mbisa namba namba mm saizi. Yaki
@@eazymantz8464 Easy Man mdogo wangu unajua upo vizuri sana kaza dogo janja first time nasikia ule wimbo wako Kasoro wewe adi leo mimi ni shabiki wako namba 1 it's 31 Dec 2021 kaza Easy
Umeimba blood 🔥 🔥
Nimimkubalisana
Sina lakusema zaidi yakusema big up kubwa sana Allah akutangulie kwakila hatua unayopiga
Naelewa sn hili song
Naipend huu wimbo ad naumwa
Hii ulijua kuiotea mwamba
Easy you are The best Singeli man bro.
Bonge la ngoma sema video imezidi ukatuni.
napenza nymbo inapoanza napenda yn
hii balaa duh sasha
Nakukubal xna kaka mkubwa na vitu vyako vzur kaza moto
Nakubali San nazipenda sana nyimbo zako
Your the best my brother easy
Jitahidi utafanikiwa
daaaa!!tam Sana
Wangapi wameiludia hii nyimbo zaid ya x 2
Nakukubali sana brooo
Uyu dogo fundi
Had naskia raha hii nymbo
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubal kaka9
Kaliiii
Nimekubali
Bonge la ngoma
Nakubali kaka
Kula maisha man
Pumzika kwa aman😥
woyooooooooooooooo
mimi naitwa john lifa wa kimara matosa nyimbo hii inanikumbusha mwaka 2018 kipind niko mlandiz tukiwa na rafik yangu john nyeura
Moyo tulia na size yako moyo
Aisee hii nyimbo ni kali kinoma. Nmeiskia kweny mix moja ya singeli ila sjajua ninan kaimba. Aisee nmeirudia kama mara zote ikabid niingie youtube kukusearch bro. Kazi nzur sana man haswa icho cjui ni kigitaaa aisee.
Ukweli watu wanyu
Moyo nalia na moyoo
Kama nawe unajua huyu ndo killer wa singel gonga like twende sawa
singeli ndiyo muziki wetu
Nice song
Daah enjoy good music
kama naanza kumuelewa mdogo mdogo
Kweli
Nice
Tatzo moyo ndo papala
I like the beat
💪💪💪💪💪💪💪💪
👌👌👌
Mode