#SIASA
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #EXCLUSIVE: TUNDU LISSU "NAUTAKA URAIS 2025"...
#morning #lissu #chadema #morningbrainstorming #npointtz #npoint #ikulumawasiliano #ikulutanzania #samia #wizara #wazirimkuu #majaliwa #ikulumawasiliano #ikulu #ikuluzanzibar #thetrend #shortsvideo #shorts #comedy #amazing #amazingthings #nguvumoja #wenyenchi #alahly #mnyama #afl #africanfootball #africafootballleague #yanga #mayele #mayelestyle #uefa #yangasc #maxnzengeli
#yangasc #azamsports1hd #nbcplupdates
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: # / npointtz
INSTAGRAM: # / npointtz
FACEBOOK: # / n-point
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti yetu ya RUclips na mitandao mingine ya kijamii.
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia
WhatsApp/Telegram +255746180800
nPOiNT, 2024 © All Rights Reserved
Good mno mh lissu 🙏Mungu akulinde
Mungu akubariki Mheshimiwa Lissu
Hongera Sana kamanda lisu,
Tanzania Haina kiongozi bora kuliko Tundu Lissu. Labda tu kura ziibiwe kwa msaada wa DPW waliopewa Mika 30 ya kufanya uhujumu wa uchumi wa Taifa hili. Huyo mama na form four yake ( angalia mkataba wa
bandari) hafai kukaa huko Ikulu kwa kipindi cha miaka 5. Mkimruhusu kwa ujinga wetu inchi itatawaliwa na waarabu
Love lissu kwa uwezo kipekee w kutwambia mambo tuliokua hatuajui.
HATUTAKI PUPPETS AFRICA
Safi Sana kaka lisu mungu akujalie uje uwe rais wa nchi hii
Lissu anafaa Sana Kuwa Rais wa Tanzania..!
Sawa mheshimiwa
Safi sana tundu lissu
Hatar mh.lisu umenyoka
lisu hazina ya tanzania
AMEEEEEEN
Nimekuerewa gombea tena
Ndoto za mchana Urai 😂😂😂😂😂
Zanzibar hatuna raisi😂 wa kweli
One love lissu tz tunakupenda ndio mana ma ccm wana kwepa kua na katba mpya na tumehuru.
mimi sita Yusuph toka bariadi kisu unafaa kubwa lais
Uraisi utausubiri sana mzee! Ropo ropo imekuzidi!😂😂😂
Haswaaa
Unaongea ukweli mwamba Tundu Lissu,wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao, huu ukweli kuna siku mafisadi hawa wataujua!
Lisu a genius 😮😮😮 strong hold wamemdhulumu waliohusika taabu wataipata kwani Mola analipa aliedhulumiwa.
Good to you 😢😢😢
Mtu wa haki na mpenda kweli huna baya mheshimiwa lisu,najua sisi wenye elimu ndogo ndo tunakuelewa ila Hawa wengine cjui.
Jalibun kueka haki za uchaguz ndpo mtajua ccm na samia hatuwataki nandpo mtajua ma zuzu n wchache walio baki na ccm ya samia
✌️👍👊。
Alafu yule AloicyNyanda anataka kujifanya anaijua siasa yule mpumbavu
Wewe unafaa kuwa rais wetu
Huwez kumpa mwehu URAIS anatapatapa tuu,
Mwehu mwenyewe, we ndo unapiga kula peke ako
Asie elewa haya unao ya weka waz bas n chaw w ccm tuuu wla sio kingne.
Usalama wa Taifa mmmmm 2025
Wewe unaesema Lisu anainenea mabaya Israel mauaji huyaoni
Ba ba naitwa mage nipo shinyanga tundu lisu baba kura yangu itakua ya tatu baada ya kura yako na nama lisu
In your dreams 😢😢😢😢😢
Magufuli hakufaa Kupewa Cheo Zaidi ya Uwaziri wa wizara husika.!
Wewe unaishi musituni? Hakuna Rais aliyekuwa bora kushinda Magufuli? Kusema alishinda 2015 unadanganya. Ni nanii angeshindana na Magufuli? HAKUNA.
Nani atawaliwe na Robot ! Mwili mzima nyaya za bandia halafu nani aongozwe na. Shoga ? Kila siku ni kulialia tu ! Mbowe anafaa! Nasema Mbowe anatosha! Ana hekima
Shoga babako, we want intelligent person not a woman who her self admitted she failed.
Punguza ukali wa maneno hujafa hujaumbika
Hakuna anayejua kesho yake.
@@lusajomwaipopo5042 umemwelekeza vyema
Wewe unaonekana Zombi fulani hivi! kwani huyo unaemtukana ana nyaya mwili mzima alipenda kuwekewa hizo nyaya au alishambuliwa na mashetani watu waliyotaka kumuuwa lakini Mungu akamnusuru! Kwa hiyo wewe zombi unaemtukana unaijua kesho yako??? Hovyo sana! Na utambue Mungu alimponya Lissu kwa makusudi maalum, kwa uwezo wa Mungu huyo ndiye rais wa Tanzania ajaye. Unasema shoga alishawahi kukupa? au inawezekana hata wewe!?
Aliye kosa ufahamu utamtamjua kwenye mchango wake,Lisu kajaliwa maarifa,kajaliwa ufahamu mpana mno tena watu wa aina kama Lisu ni wachache na kama wapo ni waoga.na wote wanao koment msg za matusi ni kakundi ka watu wachache hawa hawa wanaotupaka mafuta kwa mgongo wa chupa tangu enzi hizo.lakini upo wakati wa Bwana ukifika mtaachia madaraka maana tumeona kwa watawala wengi kwa mfano rais wa Gambia alisema yeye ni wa milele akang'olewa msimu uleule,naye rais wa kwanza wa Malawi alisema yeye ni wa muyaya ati ni wa milele naye utawala wake ukaanguka kwa hiyo hata ninyi mnaong'ang'ania mfumo mbovu wa nchi hii ipo siku mtaondoka madarakani mpende msipende hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.
Umeishiwa mbinu
Urais wa mashoga labda
Mpaka Sasa huwezi chukuwa mikopo bila kukubali hushoga hushoga jump kwenye shiria za kimataifa kwa kigezo Cha haki za binadamu hukuipewa mkopo lazima husaini Sasa wewe mjinga
@@geofreatumbo4543 Duh mbombo ngafu
😂😂😂
Kuhusu Ushoga jee...!!
Wew tuliza uwoni ccm imeruhusu ushoga ata kwa macho uwoni kengee wee😢
Ovyooo hata tukikupambanisha na Rais wa Yanga huwezi kumshinda
Falisafa na mtazamo wako ndo unadhihirisha kuwa huna sifa ya kupewa nchi.
Dikteta mbaya sana sana huyu😢😢
Ume tumwa nn
nchi ipi?
Rais msimamishen i mbowe 2025
Tundu Lisu hawezi kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania kwasababu anaikataa Israel na kuinenea mabaya
Acha ujinga wako tafadhal Sasa Israel na tz inahusiana nn mzee
Israel sio Tz
LAZIMA AKATAE TAIFA LA MASHOGA 😢😢😢
Fwala wew
Lissu usitumie nguvu nyingi kumponda magufuli,ongea uongeavyo huwezi kumuondoa kwenye mioyo ya watanzania tulio wengi,pambana kivyako bila ya jina la magufuli
Ameulizwa swali: Inabidi ajibu. Labda umwambie mwandishi asiulize maswali ya Magufuli.
Mwamba TUVUSHE
MUANDISHI ANA CHEKA CHEKA TU....HANA MASWALI,YANI HAJAKWIVA BADO
Wewe wa wapi? Lisu kshahojiwa karibu mara Zaid ya 20 na vyombo vikubwa vya kimataifa. Na hajawahi kufeli. ACHA upuuzi.
Rais wa TFF labda
Kwa maono yapi? Kwa haiba ipi watanzania wakufikirie? Labda utapata ya mashabiki wa LGBT na waropokaji wenzako wasio na mwelekeo wa wakudakadaka hoja potovu na za wongo. CCM imeshapita kwa kuweka aina ya watu kama wewe, unga juhudi tu😢
Huo urais unaoutaka labda wakupe familia yako
Hv kwel una fikiria vzr
YAN NMAJIFANYA KUSINGIZIA SHERIA ZA UCHAGUZ LAKIN KWA TAARIFA YENU HATUWEZ KUWAPA DOLA HATA SKUMOJA CHAMA CHENU BADO N DHAIF SANA
Chilzi wewe nenda zako ubeligigi huna jipya na usahau neno URAIS MDOMONI KWAKO
Wewe kibaka ndani ya ccm, tuliyenae ndo huyu ubongo umechuja, kabaki kuuza rasilimali zetu. Magu alikataa na kuona ni mwehu tu anaweza uza mali zetu, lakini yeye kabinafdisha bandari zetu, misitu yetu, madini yetu, wanyama wetu nk. Huyu nini cha maana anafanya. Anawapa waarabu, kwao jangwa, halafu waarabu watutunzie misitu yetu. Kuna akili hapo?
BORA MBOWE KULIKO WEWE
Wewe itatufanyia nini?? Na mbona nyie mnatukana tu hadi Raisi anawaambia mufanye siasa xa kistaarabu!😢
Unatumia nguvu nyingi sana kumpinga mama ila unaokotaokota vihoja
ACHEN HIZO HUYU HAFAI HATA KIDOGO KUWA RAIS LABDA UBUNGE ILA USIZUNGUMZIE KABISA MAMBO YA URAIS
hata ubunge afai anachuki sana kasahau alivotolewa mafichoni
Akili kubwa sana lakini wajinga hawatakuelewa
kama wewe
KWELI YAANI NCHI HII KUNA WATU WANAMPINGA HUYU JAMAA YAANI NASHANGAA
Labda wa mitandaoni