#SIASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #EXCLUSIVE: TUNDU LISSU "NAUTAKA URAIS 2025"...
    #morning #lissu #chadema #morningbrainstorming #npointtz #npoint #ikulumawasiliano #ikulutanzania #samia #wizara #wazirimkuu #majaliwa #ikulumawasiliano #ikulu #ikuluzanzibar #thetrend #shortsvideo #shorts #comedy #amazing #amazingthings #nguvumoja #wenyenchi #alahly #mnyama #afl #africanfootball #africafootballleague #yanga #mayele #mayelestyle #uefa #yangasc #maxnzengeli
    #yangasc #azamsports1hd #nbcplupdates
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: # / npointtz
    INSTAGRAM: # / npointtz
    FACEBOOK: # / n-point
    Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti yetu ya RUclips na mitandao mingine ya kijamii.
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia
    WhatsApp/Telegram +255746180800
    nPOiNT, 2024 © All Rights Reserved

Комментарии • 84

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 месяцев назад +2

    Good mno mh lissu 🙏Mungu akulinde

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 6 месяцев назад +1

    Mungu akubariki Mheshimiwa Lissu

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf 6 месяцев назад +1

    Hongera Sana kamanda lisu,

  • @joachimmahoo9786
    @joachimmahoo9786 6 месяцев назад +5

    Tanzania Haina kiongozi bora kuliko Tundu Lissu. Labda tu kura ziibiwe kwa msaada wa DPW waliopewa Mika 30 ya kufanya uhujumu wa uchumi wa Taifa hili. Huyo mama na form four yake ( angalia mkataba wa
    bandari) hafai kukaa huko Ikulu kwa kipindi cha miaka 5. Mkimruhusu kwa ujinga wetu inchi itatawaliwa na waarabu

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 месяцев назад +1

    Love lissu kwa uwezo kipekee w kutwambia mambo tuliokua hatuajui.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 5 месяцев назад

    HATUTAKI PUPPETS AFRICA

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 6 месяцев назад

    Safi Sana kaka lisu mungu akujalie uje uwe rais wa nchi hii

  • @user-sw8fo7wz8i
    @user-sw8fo7wz8i 6 месяцев назад

    Lissu anafaa Sana Kuwa Rais wa Tanzania..!

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 6 месяцев назад +1

    Sawa mheshimiwa

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z 6 месяцев назад +2

    Safi sana tundu lissu

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 6 месяцев назад

    Hatar mh.lisu umenyoka

  • @Peterkipemba
    @Peterkipemba 6 месяцев назад +1

    lisu hazina ya tanzania

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Месяц назад

    Nimekuerewa gombea tena

  • @muhiyidinishabani
    @muhiyidinishabani 6 месяцев назад +1

    Ndoto za mchana Urai 😂😂😂😂😂

  • @Buga-mv3dk
    @Buga-mv3dk 6 месяцев назад +1

    Zanzibar hatuna raisi😂 wa kweli

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 месяцев назад

    One love lissu tz tunakupenda ndio mana ma ccm wana kwepa kua na katba mpya na tumehuru.

  • @SitaYusufu
    @SitaYusufu Месяц назад

    mimi sita Yusuph toka bariadi kisu unafaa kubwa lais

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 6 месяцев назад +2

    Uraisi utausubiri sana mzee! Ropo ropo imekuzidi!😂😂😂

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 месяцев назад

    Haswaaa

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 6 месяцев назад +1

    Unaongea ukweli mwamba Tundu Lissu,wananchi tuamke tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao, huu ukweli kuna siku mafisadi hawa wataujua!

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад +1

    Lisu a genius 😮😮😮 strong hold wamemdhulumu waliohusika taabu wataipata kwani Mola analipa aliedhulumiwa.

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад

    Good to you 😢😢😢

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq 5 месяцев назад

    Mtu wa haki na mpenda kweli huna baya mheshimiwa lisu,najua sisi wenye elimu ndogo ndo tunakuelewa ila Hawa wengine cjui.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 месяцев назад +1

    Jalibun kueka haki za uchaguz ndpo mtajua ccm na samia hatuwataki nandpo mtajua ma zuzu n wchache walio baki na ccm ya samia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 месяцев назад

    ✌️👍👊。

  • @user-bz1mz9om8l
    @user-bz1mz9om8l 6 месяцев назад

    Alafu yule AloicyNyanda anataka kujifanya anaijua siasa yule mpumbavu

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 6 месяцев назад

    Wewe unafaa kuwa rais wetu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 месяцев назад +1

    Huwez kumpa mwehu URAIS anatapatapa tuu,

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 месяцев назад +1

    Asie elewa haya unao ya weka waz bas n chaw w ccm tuuu wla sio kingne.

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 6 месяцев назад

    Usalama wa Taifa mmmmm 2025

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 6 месяцев назад +1

    Wewe unaesema Lisu anainenea mabaya Israel mauaji huyaoni

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 6 месяцев назад +1

    Ba ba naitwa mage nipo shinyanga tundu lisu baba kura yangu itakua ya tatu baada ya kura yako na nama lisu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 6 месяцев назад

    In your dreams 😢😢😢😢😢

  • @user-sw8fo7wz8i
    @user-sw8fo7wz8i 6 месяцев назад

    Magufuli hakufaa Kupewa Cheo Zaidi ya Uwaziri wa wizara husika.!

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 5 месяцев назад

      Wewe unaishi musituni? Hakuna Rais aliyekuwa bora kushinda Magufuli? Kusema alishinda 2015 unadanganya. Ni nanii angeshindana na Magufuli? HAKUNA.

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 6 месяцев назад +2

    Nani atawaliwe na Robot ! Mwili mzima nyaya za bandia halafu nani aongozwe na. Shoga ? Kila siku ni kulialia tu ! Mbowe anafaa! Nasema Mbowe anatosha! Ana hekima

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 6 месяцев назад +1

      Shoga babako, we want intelligent person not a woman who her self admitted she failed.

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 6 месяцев назад

      Punguza ukali wa maneno hujafa hujaumbika

    • @christophersaqwari6531
      @christophersaqwari6531 6 месяцев назад +1

      Hakuna anayejua kesho yake.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 месяцев назад

      @@lusajomwaipopo5042 umemwelekeza vyema

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 6 месяцев назад

      Wewe unaonekana Zombi fulani hivi! kwani huyo unaemtukana ana nyaya mwili mzima alipenda kuwekewa hizo nyaya au alishambuliwa na mashetani watu waliyotaka kumuuwa lakini Mungu akamnusuru! Kwa hiyo wewe zombi unaemtukana unaijua kesho yako??? Hovyo sana! Na utambue Mungu alimponya Lissu kwa makusudi maalum, kwa uwezo wa Mungu huyo ndiye rais wa Tanzania ajaye. Unasema shoga alishawahi kukupa? au inawezekana hata wewe!?

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r 6 месяцев назад +1

    Aliye kosa ufahamu utamtamjua kwenye mchango wake,Lisu kajaliwa maarifa,kajaliwa ufahamu mpana mno tena watu wa aina kama Lisu ni wachache na kama wapo ni waoga.na wote wanao koment msg za matusi ni kakundi ka watu wachache hawa hawa wanaotupaka mafuta kwa mgongo wa chupa tangu enzi hizo.lakini upo wakati wa Bwana ukifika mtaachia madaraka maana tumeona kwa watawala wengi kwa mfano rais wa Gambia alisema yeye ni wa milele akang'olewa msimu uleule,naye rais wa kwanza wa Malawi alisema yeye ni wa muyaya ati ni wa milele naye utawala wake ukaanguka kwa hiyo hata ninyi mnaong'ang'ania mfumo mbovu wa nchi hii ipo siku mtaondoka madarakani mpende msipende hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha.

  • @EuniceIango-uu7tm
    @EuniceIango-uu7tm 6 месяцев назад

    Umeishiwa mbinu

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 6 месяцев назад +1

    Urais wa mashoga labda

    • @geofreatumbo4543
      @geofreatumbo4543 6 месяцев назад +1

      Mpaka Sasa huwezi chukuwa mikopo bila kukubali hushoga hushoga jump kwenye shiria za kimataifa kwa kigezo Cha haki za binadamu hukuipewa mkopo lazima husaini Sasa wewe mjinga

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 месяцев назад

      @@geofreatumbo4543 Duh mbombo ngafu

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 6 месяцев назад

      😂😂😂

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 6 месяцев назад

    Kuhusu Ushoga jee...!!

    • @c.l.g.mchurch6426
      @c.l.g.mchurch6426 2 дня назад

      Wew tuliza uwoni ccm imeruhusu ushoga ata kwa macho uwoni kengee wee😢

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 6 месяцев назад +1

    Ovyooo hata tukikupambanisha na Rais wa Yanga huwezi kumshinda

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 6 месяцев назад +1

    Falisafa na mtazamo wako ndo unadhihirisha kuwa huna sifa ya kupewa nchi.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 6 месяцев назад +1

    Dikteta mbaya sana sana huyu😢😢

  • @shabaninayopa-nw9cf
    @shabaninayopa-nw9cf 6 месяцев назад

    nchi ipi?

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 6 месяцев назад +1

    Rais msimamishen i mbowe 2025

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 6 месяцев назад

    Tundu Lisu hawezi kuwa Raisi wa jamhuri ya Tanzania kwasababu anaikataa Israel na kuinenea mabaya

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 6 месяцев назад +2

    Lissu usitumie nguvu nyingi kumponda magufuli,ongea uongeavyo huwezi kumuondoa kwenye mioyo ya watanzania tulio wengi,pambana kivyako bila ya jina la magufuli

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 6 месяцев назад +1

      Ameulizwa swali: Inabidi ajibu. Labda umwambie mwandishi asiulize maswali ya Magufuli.

  • @onetwo12981
    @onetwo12981 6 месяцев назад

    Mwamba TUVUSHE

  • @dommycash1
    @dommycash1 6 месяцев назад

    MUANDISHI ANA CHEKA CHEKA TU....HANA MASWALI,YANI HAJAKWIVA BADO

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 6 месяцев назад

      Wewe wa wapi? Lisu kshahojiwa karibu mara Zaid ya 20 na vyombo vikubwa vya kimataifa. Na hajawahi kufeli. ACHA upuuzi.

  • @amanam2735
    @amanam2735 6 месяцев назад

    Rais wa TFF labda

  • @zachariamalley7076
    @zachariamalley7076 6 месяцев назад

    Kwa maono yapi? Kwa haiba ipi watanzania wakufikirie? Labda utapata ya mashabiki wa LGBT na waropokaji wenzako wasio na mwelekeo wa wakudakadaka hoja potovu na za wongo. CCM imeshapita kwa kuweka aina ya watu kama wewe, unga juhudi tu😢

  • @claraamana1345
    @claraamana1345 5 месяцев назад +1

    Huo urais unaoutaka labda wakupe familia yako

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 месяцев назад

    YAN NMAJIFANYA KUSINGIZIA SHERIA ZA UCHAGUZ LAKIN KWA TAARIFA YENU HATUWEZ KUWAPA DOLA HATA SKUMOJA CHAMA CHENU BADO N DHAIF SANA

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 6 месяцев назад

    Chilzi wewe nenda zako ubeligigi huna jipya na usahau neno URAIS MDOMONI KWAKO

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 6 месяцев назад

      Wewe kibaka ndani ya ccm, tuliyenae ndo huyu ubongo umechuja, kabaki kuuza rasilimali zetu. Magu alikataa na kuona ni mwehu tu anaweza uza mali zetu, lakini yeye kabinafdisha bandari zetu, misitu yetu, madini yetu, wanyama wetu nk. Huyu nini cha maana anafanya. Anawapa waarabu, kwao jangwa, halafu waarabu watutunzie misitu yetu. Kuna akili hapo?

  • @michaelmeshaki9931
    @michaelmeshaki9931 6 месяцев назад

    BORA MBOWE KULIKO WEWE

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 6 месяцев назад

    Wewe itatufanyia nini?? Na mbona nyie mnatukana tu hadi Raisi anawaambia mufanye siasa xa kistaarabu!😢

  • @stationerykinondoni7241
    @stationerykinondoni7241 6 месяцев назад

    Unatumia nguvu nyingi sana kumpinga mama ila unaokotaokota vihoja

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 6 месяцев назад

    ACHEN HIZO HUYU HAFAI HATA KIDOGO KUWA RAIS LABDA UBUNGE ILA USIZUNGUMZIE KABISA MAMBO YA URAIS

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 6 месяцев назад +1

    Akili kubwa sana lakini wajinga hawatakuelewa

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 6 месяцев назад

    Labda wa mitandaoni