Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani
Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii
Naitaji connection ya kununua nguo na kuuza
Uko wapi
Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze
Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha
Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze
By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿
Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe
naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.
Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you
Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel
Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel
Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢
😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi
@@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘
Tupo wengi
Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune
Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa
God bless you 🎉
Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa
Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.
Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...
Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk
Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri
Unaakili nyingi sana
Nanauka uko sahh kutukumbusha mawazo tunayoshidwa kuyafanya kaz tena yapo meng tu
Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu
Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa
Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza
Mungu akuongoze
From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa
Thank you so much Sir!
God blessed through you
Marafiki kuwa wateja
Asante, mungu akubariki
Following from songea
Mungu akubariki sana
Barikiwa zaidi kaka Joel
I like it
Baba ubarikiww
😮😮
Big up broo❤
Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi
Asant kak
🙏🙏🙏kaka
Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri
Penye Nia Pana njia
Asante sana
Asante
Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.
nimejifunza kitu hapo kaka
Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama
Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮
Kwelikabisa unachokisema
5:51 nimejifunza point ya 4
Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?
Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani
Hapo ni kweli kabisa
😅😅😅
Shukrani