MAENEO MANNE AMBAYO FEDHA IMEJIFICHA - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 57

  • @salomemrembo7482
    @salomemrembo7482 11 месяцев назад +23

    Hallo Nauka. Yote hunayo shungumza ni hukweli...nilijaribu..biyashara..ya kuhuza nguo wengi akanipuzaa..sahii niko top..wale wale watu sahii wananiomba mawaitha kazi yoyote..hinaitaji..nidhamu..na kukomaa. Kwa kazi..nakumshirikisha..mungu kwa mapato yako..hili hupate maraka zake.mungu..ndiye hubariki kazi zetu..piya bidii

  • @fundivigaetzchannel1899
    @fundivigaetzchannel1899 11 месяцев назад +8

    Ahsante kaka Joel Nanauka ubarikiwe sana MUNGU akutunze
    Kweli kwa unavyo tuelimisha MUNGU awezi kukuacha
    Mahana kunawatu wanafanikiwa kusikiliza cilip zako MUNGU akutunze
    By ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi 🇹🇿

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 11 месяцев назад +2

    Joel nidude kubwa lenyeakili mlima barikiwa Sana baba.matatizo yanajitokeza nanung'unika kumbe nifursa ngo kesho nikinukishe

  • @elishathepapaapeter
    @elishathepapaapeter 3 месяца назад

    naitwa elisha ryoba peter maarufu kama ELISHA"KUCHA ni mzaliwa wa mkoan mara wilaya ya bunda_musoma, mimi ni Mr kucha alieamua kupambana kwa bidii ili kufika mahala sku moja, kiukweli nakufatilia sana nataman sana nifike mahala kupitia ww uncle.... NAESHIM SANA MAWAZO YAKO TAFADHALI KA.A UKIWEZA NAOMBA HATA KUWASILIANA NAWW nipo tayr kukuskiliza na kukuzingatia zaid kiongoz wangu, MUNGU AKUBARILI SANA.

  • @SamwelHaygaru
    @SamwelHaygaru 3 месяца назад

    Usikate tamaa kaka, nakuona mwenye mawazo mapana sana. I appreciate, let God lift up your legs so that you get strengthened. Love you

  • @dizzojozer6137
    @dizzojozer6137 10 месяцев назад +1

    Mimi kipaji nilichonacho kuandika vitabu kuhusu maisha mitazamo ya maisha jinsi ya kuanza nakosa motivation na atua ya kwanza nifanye vipi msaada kidg joel

  • @MonikaMbuya
    @MonikaMbuya 11 месяцев назад +1

    Habar kaka joel mim nipo oman nafanya kaz za ndan uku lakin nimepata wazo zuri sana kaka nataka nifanye biashara ya tissue nazitoa uku oman kuzileta tanzania maana tissue za uku ni tofaut sana na za kwetu tanzania yaan za uku zipo kwenye ubora mzur na packed nzur sana na pia nataka nizitangaze kwa ukubwa sana maana watu wengi sana awaongelei kuhusu hii biashara NAOMBA USHAUR WAKO kaka joel

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 11 месяцев назад +6

    Joel 😢video nikimaliza kusikiliza uwa na download na weka cm imejaa video zako Ubarikiwe sana 😢

    • @user-bk6ue5zl5t
      @user-bk6ue5zl5t 4 месяца назад

      😂😂😂 nikajua niko peke yangu nae download hizo video kumbe tuko wengi

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 4 месяца назад

      @@user-bk6ue5zl5t kama zote nime badilika mimi kweny status zangu ukut vitu vya kijinga zaidi Ya video za.. Joel. Huy kaka 😭😘

    • @mayanishamila6349
      @mayanishamila6349 2 месяца назад

      Tupo wengi

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasama 3 месяца назад

    Nanauka tunakupenda sana pokea smu zetu hatukupigii iri kukusumbuwa ss ni mavuno yako ulio panda iri uvune

  • @BennyPhilip-zq7vb
    @BennyPhilip-zq7vb 4 месяца назад

    Asante sana kaka Joel , umekuwa msaada mkubwa sana kwangu. Hapa nilipo kwenye huu mtaa niliopo kunamatatizo mengi sana ngoja niyageuze kuwa fursa

    • @DaenoPol
      @DaenoPol 3 месяца назад

      God bless you 🎉

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 11 месяцев назад +1

    Marazion nimenghi ,ila yatakiwa kwanza kabisa uwe na mtaji ndipo uwenze kuyatatuwa

    • @MOSHIMWOLOHA-fg1pf
      @MOSHIMWOLOHA-fg1pf 11 месяцев назад

      Kitu cha kwanza ni kuwa na problem solving mindset ( akili tatuzi ya matatizo). Pesa hitaji mmojawapo lakini si namba moja wala la lazima.

  • @taramakimaty5902
    @taramakimaty5902 11 месяцев назад

    Nashukuru nimeelewa vyema,ubarikiwe mnooo...

  • @NyalagiMalando-cj4jf
    @NyalagiMalando-cj4jf 5 месяцев назад

    Asante sana joeli kwa kulikumbuka taifa lako kk

  • @EmmanuelGillux-uw1th
    @EmmanuelGillux-uw1th 11 месяцев назад

    Nanauka mimi nimeapply kanuni zako na sahizi nipo vizuri

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 11 месяцев назад +1

    Unaakili nyingi sana

  • @MachimuNocoraus
    @MachimuNocoraus 3 дня назад

    Nanauka uko sahh kutukumbusha mawazo tunayoshidwa kuyafanya kaz tena yapo meng tu

  • @mhandondahani2656
    @mhandondahani2656 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Mungu akupe maisha marefu

  • @EmmanuelGillux-uw1th
    @EmmanuelGillux-uw1th 11 месяцев назад

    Joel Mimi giluli mwita nakushukur San nimeapply kanuni zako na nimefanikiwa

  • @DavidNdosa-mj4ei
    @DavidNdosa-mj4ei 3 месяца назад

    Ww mtu inaonekana umesoma sana au umekaa sana ulaya au unasoma sana vitabu maana auchoshi kusikiliza

  • @KinanaLemaiba
    @KinanaLemaiba 10 месяцев назад

    Mungu akuongoze

  • @ENOSOUND
    @ENOSOUND 2 месяца назад

    From Moonnight inn kaka nakupata hapa nimeelewa

  • @stanleysome8821
    @stanleysome8821 11 месяцев назад +1

    Thank you so much Sir!

  • @MichaelJordan-t3v
    @MichaelJordan-t3v 11 месяцев назад

    God blessed through you

  • @johnbanda6601
    @johnbanda6601 11 месяцев назад

    Marafiki kuwa wateja

  • @ediphonceedwin1482
    @ediphonceedwin1482 3 месяца назад

    Asante, mungu akubariki

  • @FrancisGerold
    @FrancisGerold 11 месяцев назад

    Following from songea

  • @user-bp6ue2sz8d
    @user-bp6ue2sz8d 11 месяцев назад

    Mungu akubariki sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 11 месяцев назад

    Barikiwa zaidi kaka Joel

  • @RivaKilimo
    @RivaKilimo 3 месяца назад

    I like it

  • @NuratyAlly-lq7xc
    @NuratyAlly-lq7xc 11 месяцев назад

    Baba ubarikiww

  • @ZakayoMaugo
    @ZakayoMaugo 25 дней назад

    😮😮

  • @amesalum3636
    @amesalum3636 11 месяцев назад

    Big up broo❤

  • @mhandondahani2656
    @mhandondahani2656 11 месяцев назад

    Mi nakipaji cha kupiga vyombo vya muziki lakini watu waniishia kunisifia tu kitu kinachoniingizia hela ni kazi nyingine ambazohuwa nazifanya hii imekaaje kiongozi

  • @BenisiaTitus
    @BenisiaTitus 3 месяца назад

    Asant kak

  • @user-ty6qx5bp3x
    @user-ty6qx5bp3x 11 месяцев назад

    🙏🙏🙏kaka

  • @user-jt3yw1gz2j
    @user-jt3yw1gz2j 4 месяца назад

    Me ninakipaji cha kuimba kaka joel ila mazingira yananiumiza sana kama kuna vita inainuka juu yangu kwa baadhi ya ndug wakisikia nataka kuimba wanaanza kuleta zogo nyungi kunipinga wanasema ni uhuni tu naomba ushauri

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj 11 месяцев назад

    Asante sana

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 11 месяцев назад

    Asante

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 11 месяцев назад

    Nipo mwanza vitabu vyako vinapatikana wapi na kwa bei gani.

  • @MabeyoKachembeho
    @MabeyoKachembeho 11 месяцев назад

    nimejifunza kitu hapo kaka

  • @HamisuuAbdallah
    @HamisuuAbdallah 6 месяцев назад

    Mimi nina idea ya ufugaji wa kuku wa kienyeji naishi nalo wazonhili karibu miaka lakini cjalianza lakin imani yangu ipo hapo tu kua ufugaji wa kuku wa asili ndio utaonitoa kimaisha kwa sababu mmimi ni mwalim nina watu wengi wamenizunguka na naamini wanahitaji huduma hii lakin kila nikitaka kuanza nashindwa cjui wapi nakwama

  • @sirleemally5314
    @sirleemally5314 11 месяцев назад

    Matatizo yaliyo tuzunguka mtaani ni watu kukosa uamknifu 😮

  • @Paschalmachang
    @Paschalmachang 11 месяцев назад

    Kwelikabisa unachokisema

  • @MabeyoKachembeho
    @MabeyoKachembeho 11 месяцев назад

    5:51 nimejifunza point ya 4

  • @arriyamistamp4945
    @arriyamistamp4945 11 месяцев назад

    Mimi nataka ushauri kama unahitaji mlango wa kufanyia biashara lakini bei ni kubwa ya kukodi kwa mwezi milioni moja na nusu lakini huna pesa yakutosha ukaamini nikipata nitaweza kufanikiwa ufanyeje?

    • @niriacatering172
      @niriacatering172 11 месяцев назад +2

      Unaweza kuanzia hapo ulipo, nyumbani inategemea biashara unayotaka kodi kubwa inaweza kukusumbua Anza na kidgo ulicho nacho, tumia mitandao ya kijamii, Piga picha nzuri weka kwenye ukurasa wako, au wafuate watu Anza taratibu kwa kuwafuata WATEJA ukiwa muanifu, kauli nzuri na nidhamu kwa WATEJA unatoboa wengi tumeanzia nyumbani

    • @farijanibakari9018
      @farijanibakari9018 11 месяцев назад

      Hapo ni kweli kabisa

  • @MIBWA
    @MIBWA 11 месяцев назад

    😅😅😅

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 11 месяцев назад

    Shukrani