KILA SIKU JIAMBIE MANENO HAYA - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 203

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Год назад +26

    1. POSITIVE SELF TALK (Daily Self Affirmation)
    - Zungumza kwenye singular
    - Zungumza kama kitu kiko tayari kimetokea
    2. MOTIVATIONAL SELF TALK
    - Kujitia moyo wewe mwenyewe
    - Kujiambia wewe mwenyewe utakuwaje.
    3. INSTRUCTIONAL SELF TALK
    - Kujiambia mambo unayotakiwa kuyafanya.
    - Kujiambia hatua unazopaswa kuchukua.
    💪💪💪💪💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏

  • @aidanmbilinyi8184
    @aidanmbilinyi8184 Год назад +17

    Umebadilisha sana maisha yangu sijafanikiwa sana ila naiona nuru najiona mshindi haipiti siku lazima niingie nione clip zako na vitabu vyako vimenisaidia sana

    • @solomonbirago9639
      @solomonbirago9639 Год назад

      Iv ivyo vitabu napataje na mm niwez kujifunza

    • @RizikiNishimwe
      @RizikiNishimwe 8 месяцев назад

      Naitaji vitabo nisome tavipataje?

    • @FredrickSimba
      @FredrickSimba 7 месяцев назад

      naweza kukusaidia baadhi ya vitabu vyake
      @@solomonbirago9639

  • @charlesoputi7101
    @charlesoputi7101 Год назад +5

    Hii video imekuja wakati sahihi Kwa maisha yangu shukrani sana Kaka 🇰🇪🇰🇪💪

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 Год назад +4

    HATA MIMI HUWA NAJISEMEA NITAKUWA MILLIONAIRES..UKO VIZURI SANAA.
    ALLAH BLESS YOU

  • @majidsudi2324
    @majidsudi2324 Год назад +5

    Joel respect u,, kwa iyo kwa mwaka unavipindi 365 ubarikiwe !!

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Год назад +7

    Mashaalah Niko hapa nimeweka NNE naisubiria video yenye ujumbe wa THE BRAIN FOOD

  • @endpoint4580
    @endpoint4580 Год назад +3

    Shukran mtumishi.

  • @mustafamnape9808
    @mustafamnape9808 Год назад +2

    Mm nafurah sana yangu wamtwara nilikua sijuw kama unatoka mtwara kumbe mtwara Kuna vipaj vikubwa sana kaka
    Ongera sana kaka
    Pia napenda ukiwa darasan kama hivi bas mungu akubaliki kaka

  • @PendoBukuru
    @PendoBukuru 27 дней назад

    Positive talk
    Kujizungumzia mimi mwenyew (singular)

  • @muniraahmed8794
    @muniraahmed8794 Год назад +3

    Joel nanauka asante Sana . Napenda kukuskiliza hakika unanisaidia sana.

  • @jacklinechahilu6659
    @jacklinechahilu6659 Месяц назад

    Kundi la kwanza lapili na la tatu Niko hapo.. thanks and God bless you bro 😊

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 Год назад +1

    Kwa kiwango Fulani nimepiga hatua kubwa sana katika positive self talk na naninaona mafanikio yake. Pia hii ninaiona imekaa kiroho zaidi kwani hata mungu anaongea sana na SISI katika self talk na kutuambia Cha kufanya JAPO wengi hupuuza
    Ukweli ni kwamba mungu alituumba kamili na akatupa uwezo wa kiroho wa kisimamia vile unavyotaka kuwa
    See you at the top

  • @FeisalShomari-fc3ej
    @FeisalShomari-fc3ej 8 месяцев назад +1

    joel

  • @SijaliChisunga-b3k
    @SijaliChisunga-b3k Месяц назад

    Mimi hapo katika self tollkor nimekwelewa lakini pia kiujmla umeeleweka maana huwa na jitamkia sitorudisha hali ya kukataa tamaa vitu vingi huwa na jitamkia

  • @patrabrandon2365
    @patrabrandon2365 2 месяца назад +1

    Asante kwa ujumbe mzur wakati wa Mungu nisahii nakwenda kufanikiwa..

  • @peninahmuthoka8667
    @peninahmuthoka8667 Год назад

    Let say want finacial breakthrough I keep on say I have money?

  • @janeflorencesajjabi1545
    @janeflorencesajjabi1545 Год назад +1

    MUNGU Akubariki kwa Kutufundisha mambo mengi haswa Kujitia moto na Kujiamini Mr.Joel ni

  • @shukrathhamza4298
    @shukrathhamza4298 Год назад +2

    Nasubr madini darasan

  • @arnoldbernad1474
    @arnoldbernad1474 Год назад

    Kaka habari yaan Mimi nikisikiliza video zako ninapata moyo Sana wa kupambana Ila baada ya muda hali ya kukata tamaa inanijia, nifanyeje? Naomba msaada wako

  • @SamsonIbrahim-o9x
    @SamsonIbrahim-o9x 3 дня назад

    Thanks for your advice brother 👍

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Год назад +2

    Savi sana

  • @zarnatmohd6635
    @zarnatmohd6635 Год назад +2

    Hongera sana kaka

  • @levinajackson2773
    @levinajackson2773 Год назад +1

    Mungu akulipe mema, hakika wewe ni tunu ktk maisha yangu. Umebadilisha maisha yangu.

  • @African511
    @African511 Год назад +2

    Nanauka asante kwa mambo mazuri

    • @nellyirankunda1466
      @nellyirankunda1466 Год назад

      Hii positive self talk kunipa nguvu zaidi ya kupata moyo ya mafanyikio kwenye biashara yangu,asante sana

  • @BahatiNgabire
    @BahatiNgabire 9 месяцев назад

    Nashkur kW hili nimejifunza kitu

  • @peninahmuthoka8667
    @peninahmuthoka8667 Год назад

    Thanks good idearvto alway positive in our l lifes

  • @norahmateru4312
    @norahmateru4312 День назад

    Asante sana Mungu akubariki❤

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Год назад +1

    Niko darasan namsubiri mwalimu

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад

    AMINA

  • @denssimon5585
    @denssimon5585 10 месяцев назад +1

    Wewe ni mwamba👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿😁👏🏿

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 Год назад +6

    Mungu akubariki sana kaka Joel hakika mwaka huu 2023 niwaushindi kwangu naamini

  • @kaburuabdallah9092
    @kaburuabdallah9092 Год назад +1

    Tusubiri vitamini vya mafanikio

  • @SarahTsuma-g3r
    @SarahTsuma-g3r 5 месяцев назад

    Mm upande nitaanza na daily self talk itanisaidia

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Год назад +7

    NANAUKA FOR LIFE💡💚

  • @GLORIANYIGU-mk1ey
    @GLORIANYIGU-mk1ey Год назад +1

    Postive self talk ndo natumia zaidi

  • @libeafyapoint9815
    @libeafyapoint9815 Год назад +1

    Hakika Mimi imenusaidia Sana afframation kwenye biashara yangu mana nikijiambia ninauza na kweli nauza Sana .

  • @JoyceHaule-v7t
    @JoyceHaule-v7t Год назад

    Shukrani Joel

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Год назад

    Je kama unaongea na familia kutumia neno sisi

  • @upperclass68
    @upperclass68 4 месяца назад

    kaka asante sana umekuwa msaada sana kwangu

  • @hakizimanamoise8754
    @hakizimanamoise8754 Год назад +1

    Asante kaka Kwa elimu nzuri nimetuma pasa katika ofa ya mwaka

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 21 день назад

    Somo zuri Sana nimejifunza

  • @richardmadede9974
    @richardmadede9974 Год назад +1

    Mimi Natakiwa kuyafanyia yote kazi at time to time

  • @anselemimchulo4084
    @anselemimchulo4084 Год назад +4

    Ahsante kaka Joel kwa nondo matata ya kusafisha akili

  • @stellaraiton6429
    @stellaraiton6429 Год назад +1

    Be blessed bro Joel hakika mwaka huu naamin utakuwa wa baraka kwangu maana Kila siku najifunza kutengeneza maisha yangu 🙏

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 13 дней назад

    Asante sana Mwalimu

  • @WilliamJulius-p1q
    @WilliamJulius-p1q Год назад

    Asante sana kaka pamoja sana

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 29 дней назад

    God bless u my teacher❤

  • @jameskitheka5791
    @jameskitheka5791 10 месяцев назад

    Nikiwa 254 ,Mafunzo yako nimazuri sana brother Joel ,ubarikiwe sana Brother 🙏

  • @pastorblessedruwaichi8102
    @pastorblessedruwaichi8102 Год назад

    BWANA YESU KRISTO ASIFIWE MTU WA MUNGU, Nafurahishwa Sana Sana na mafundisho Yako, MUNGU azidi kukuzidisha ili Uelimishe Wengi. Aemn

  • @Mwalazanyi
    @Mwalazanyi Год назад

    Asante joel

  • @martinnsunza7288
    @martinnsunza7288 Год назад

    Naomba namba yako kakaangu

  • @Proonline29
    @Proonline29 3 месяца назад

    Nakushukuru Sana kupitia wewe nimeweza kufikia mambo mengi ambayo nilihis sitaweza hongera Mungu akubariki

  • @MasungaGahima-es5ei
    @MasungaGahima-es5ei 2 месяца назад

    Kundi la tatu linanifaa

  • @AlphonceDavid-yu2fb
    @AlphonceDavid-yu2fb 10 дней назад

    More blessings to you 🫡💯

  • @jeffntakabanyura2877
    @jeffntakabanyura2877 Год назад

    PROPHETS asante sana kwa mafunzo unayo tupatia Mubalikiwe sana MUNGU awajalie

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 Месяц назад

    Asante kwa SoMo, kundi langu Mimi Ni la kujiambia maneno chanya bila kujali mazingira yangu ya sasa

  • @DiofStanley
    @DiofStanley 3 месяца назад

    Maisha marefu kaka

  • @josephkiwovele7806
    @josephkiwovele7806 Год назад

    Kundi la pili na la tatu

  • @AshaKachapuka
    @AshaKachapuka 5 месяцев назад

    Kundi namba moja

  • @neemaibrahim4900
    @neemaibrahim4900 Год назад

    Asant sana kwa mafundisho yako barikiwa sana, je tutapataje vitabu vyako tafadhali ????

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Год назад +1

    Niko hapa mapema sana kupata madini💎

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana

  • @prsmb6973
    @prsmb6973 Год назад

    Mimi nitashinda

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 Год назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @YohanaHaruni-nn8jy
    @YohanaHaruni-nn8jy 11 месяцев назад

    Kundi la pili.

  • @SmilingBeaver-od7hy
    @SmilingBeaver-od7hy 21 день назад

    Thanks be blessed bro

  • @josephmutuku5207
    @josephmutuku5207 10 месяцев назад

    Thanks alot brother

  • @nasranyagali7226
    @nasranyagali7226 Год назад

    Brow Joel Mimi nna mtaji kdgo Ila sijajua biashara gani ya kufanya kutokana na ugumu wa eneo nipo mtwara

  • @JoyceMathias-st5xp
    @JoyceMathias-st5xp 4 месяца назад

    Thanks much bro

  • @juliethbusso1761
    @juliethbusso1761 Год назад

    Asante sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +2

    Amazing my brother Joel

  • @naibethRafael
    @naibethRafael 10 месяцев назад

    Ahsante kwa mafundisho yako Mungu akubaeiki sana uendelee kuelimisha jamii

  • @viviannjau9910
    @viviannjau9910 Год назад

    Mm ninavyokupenda mm daaa kaka angu Mungu pekeee akutunze.... unanifundisha sana na ninamshukuru Mungu nakuelewa sana hata mtihan uje kwa vipind vyako vyote napasua....

  • @hashkhantantrasiraji118
    @hashkhantantrasiraji118 Год назад +1

    Kaka Kaka Kaka Ubarikiwe kwa kweli 🙏

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 Год назад

    Positive self talk

  • @asifiwesamson2977
    @asifiwesamson2977 11 месяцев назад

    Kwakweli Joel toka nimeanza kutazama crip zako nimeongeza hali ya kujiamini na kuona kuwa ninaweza na malengo yangu naona nitayafikia2 maana nimeanza kuchukua hatua

  • @TumainiOmbeni
    @TumainiOmbeni Месяц назад

    Thanks be blessed

  • @ujasiriamalinyumbani2478
    @ujasiriamalinyumbani2478 6 месяцев назад

    👍

  • @dominantsawe6871
    @dominantsawe6871 10 месяцев назад

    Ni kitabu gani au ni document gani yenye ufafanuzi kwa undani ya haya makundi matatu. I highly appreciate you Joel

  • @magrethdicson8577
    @magrethdicson8577 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana! Huwa nabarikiwa sana na mafundisho yako yananifanya nisonge mbele kila siku

  • @ibrahimfrank-ye1qt
    @ibrahimfrank-ye1qt Месяц назад

    Life coach🎉🎉🎉

  • @MosesMussa-b8s
    @MosesMussa-b8s 11 месяцев назад

    kweli kak nitaendelea ! mume zaliwa kutujenga sis asiye elewa atoelewa tu mm binasfi napenda kusiliaz naimani mungu atasaidia asnt

  • @girambodominick1568
    @girambodominick1568 Год назад

    Thanks Nanauka

  • @CareenPanga-un7xx
    @CareenPanga-un7xx 5 месяцев назад

    Even in bible speaks about what you speak and that is faith

  • @rachelwazir4304
    @rachelwazir4304 Год назад

    Ninapopitia changamoto kauli ambayo huwa inaakuja haraka ni Asante Yesu najua umenipitisha katika hili ukijua naliweza na huwa linanipa nguvu sana yakuovercome the problem ni kutoka katika wimbo wa Ambwene...naona naww umeliongelea ubarikiwe sana na Zaburi 23:4🙌🏽🙏😇

  • @GLORIANYIGU-mk1ey
    @GLORIANYIGU-mk1ey Год назад

    Nashukuru kwa mafundisho mazuri ambayo yananipa matumaini naweza kufanya zaidi ya hapa

  • @thebestproductstz
    @thebestproductstz Год назад

    Mimi natakiwa kufanya affirmation ya zote kwa sababu ya mahali ninakotaka kwenda

  • @SurprisedGreyhound-qy1ky
    @SurprisedGreyhound-qy1ky 6 месяцев назад

    Toka niamze kuangalia video zako RUclips niamebadilisha maisha yangu kabisa

  • @asifiwesamson2977
    @asifiwesamson2977 11 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Joel haya ndo mambo Mungu akupe maisha marefu yenye baraka

  • @UpendoJacob-n3j
    @UpendoJacob-n3j 6 месяцев назад

    Kaka Joel Mungu akubariki sana kwakweli umeni saidia sana kujiona wa tofauti

  • @MalumeDiofu
    @MalumeDiofu 2 месяца назад

    unanita supdi yamaisha nashukulu sana uwepo wako kaka mungu asimame naww

  • @elinaagustinobefeeli5311
    @elinaagustinobefeeli5311 Год назад

    Hakika nabarikiwa sn kupitia mafundisho yako🔥💪💪 ubarikiwe sana

  • @specialkillerthesingtaraas3468

    Makundi yote nita ya fanyia kazi na pitia magumu lakini na hakika ni taya shinda
    Ast brother

  • @FrankHamis-hc3pd
    @FrankHamis-hc3pd Год назад

    Hongera sana kaka mkbwa kwa madin yako, najivnia kkjua mung akpe maisha maref ili uzid ktpa hamasa vjana

  • @swalhaomar9963
    @swalhaomar9963 Год назад +1

    Thanks Mr. Joel

  • @InviolataNduye
    @InviolataNduye 4 месяца назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @veronicawilsonmbwambo1054
    @veronicawilsonmbwambo1054 Год назад

    Asante sana umekuwa mbarak mkubwa sana Kila ninapokuw na changamoto ya biashara

  • @joycemapunda-u5x
    @joycemapunda-u5x 11 дней назад

    🎉❤

  • @EliyaJames-zp5ow
    @EliyaJames-zp5ow Месяц назад

    Hakika tangu nikufahamu maisha yangu yamebadilika

  • @JohnDaud-sv1oc
    @JohnDaud-sv1oc Год назад

    Mungu akutie nguvu uzidi kutuelimisha Mambo mazuri Kama haya