WAJIBU WA MWANAMKE KWA MUME WAKE // BI DEBORAH URIO DAY 17
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Karibu katika mkutano huu na mfululizo wa masomo mbalimbali kwa ajili ya watoto, afya ya akili (kimwili na kiroho), malezi na mahusiano pamoja na mafundisho makuu kutoka katika Biblia Pekee yenye ujumbe mkuu usemao #yatoshajangwani. Tutakuwa mbashara kuanzia 11 mei hadi 1 juni 2024, kila siku kuanzia saa 11:00-2:00 usiku.
#pizzoonlinetv #atapekahamanetevent2024 #yatoshajangwani #sdachurch #sdasermon #mahusiano #sda #family #live #livestream #livestreaming
Karibu sana.
Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
Ubarikiwe. Sana. Mtumishi. Wa. Mungu. Kwa. Mafundisho. Mazuri. Kwa. Kuliponya. Kanisa
Aminaaaa
Ubarikiwe
Amina
For me bi Deborah Urio is a best❤
And she is a blessing to many
Barikiwa sana mama urio
Amina
Asante kutufungua masikio mtumishi wa Mungu.
Mungu atukuzwe sana
Msingi mkuu imara wa ndoa yenye amani, furaha na upendo ni mume kudumu kumpenda mke na mke kudumu kumtii mume. Lakini hili haliwezekani kama kumcha Mungu kikweli hakupo kati ya wanadoa hao. Kipindi hiki cha haki kengeufu, mke nae ni kichwa juu ya mume katika ukristo uliokengeushwa na haki za wazungu.
Hakika
Ndio mama endelea kutupa vitu wanawake wa kisasa hawatutii kabisa
Mungu atusaidie kwakweli
Na ninyi hamtupendi vilevile
Kumekucha 🤗😁
@emmadora7848 kumekucha kumekucha 🤗
@@pizzoonlinetv ndio hawatupendi ,watupende waone kama hatuwatii na kuwaheshimu