![Pizzo Online TV](/img/default-banner.jpg)
- Видео 1 015
- Просмотров 367 880
Pizzo Online TV
Танзания
Добавлен 22 янв 2016
Видео
#LIVE: PROGRAMU ZA UFUNGUZI WA MAKAMBI MTAA WA CHUO KIKUU 2024 // 20 JULAI 2024 || UDSM YOMBO 4
Просмотров 823 часа назад
Karibu sana katika ibada ya leo. Kurejea nyumbani series Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
#LIVE: KILELE CHA MAFUNDISHO MAALUMU YA KUREJEA NYUMBANI // 20 JULAI 2024 || KINYEREZI SDA
Просмотров 738 часов назад
Karibu sana katika ibada ya leo. Happy Sabbath #sabatonjema Kurejea nyumbani series #magomenisdachurch Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
#LIVE: DAY 1 MAKAMBI MTAA WA CHUO KIKUU 2024 // 21 JULAI 2024 || UDSM YOMBO 4
15 часов назад
Makambi mtaa wa chuo kikuu mwaka 2024 Nitakwenda na familia yangu Karibu katika matangazo mbashara kutokea kanisa la Waadventista wa Sabato Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Golani ambapo sikukuu ya vibanda inaendelea kwa juma zima. Mhubiri mkuu akiwa ni Mchungaji Caleb Migombo. Jiandae kubarikiwa na amfundisho mbalimbali yatakaykujia kila siku tukijifunza, kuuliza maswali na kupata tiba ya kiroh...
#LIVE: IBADA YA SABATO KUTOKEA NAIROBI CENTRAL SDA | 20 JULAI 2024
Просмотров 27921 час назад
Karibu katika ibada ya leo. Be blessed so much. Happy Sabbath
Nairobi Central SDA Children's Choir || Niongoze Live Perfomance
Просмотров 11День назад
Karibu katika ibada ya leo. Be blessed so much. Happy Sabbath
Nyimbo za Kristo wakati wa Ibada kuu Nairobi central SDA || 20 Julai 2024
Просмотров 12День назад
Karibu katika ibada ya leo. Be blessed so much. Happy Sabbath
THE BOOK OF MARK || LESSON 3-CONTROVERIES
Просмотров 1День назад
Karibu katika ibada ya leo. Be blessed so much. Happy Sabbath
#LIVE: MAFUNDISHO MAALUMU YA KUREJEA NYUMBANI // 18 JULAI 2024 || MAGOMENI SDA
Просмотров 802 дня назад
Karibu sana katika ibada ya leo. Kurejea nyumbani series Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
NAFASI YA MUZIKI WA KIKRISTO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU || NA MZEE TEGEMEA CHAMPANDA
Просмотров 1704 дня назад
Karibu tena katika kipindi cha Nguvu ya maarifa kinachoratibiwa na Chama cha ATAPE Konferensi ya Mashariki Kati mwa Tanzania. Ikumbukwe kuwa ATAPE ni chama cha wanataaluma na wajasiriamali waadventista wa sabato waliopo Tanzania. Leo tunakuletea mada isemwayo Nafasi ya muziki wa kikristo katika maisha ya kila siku kutoka kwa mwandaaji, mtayarishaji, mtunzi na mzalishaji wa kazi za muziki kutoke...
TALANTA YA MVUTO:UCHUNGUZI WA HAIBA NA SAYANSI YA KUZUNGUMZA || NA ISHMAIL PHILLIPS MWAMBAPA (Ph.D)
Просмотров 1516 дней назад
Karibu tena katika kipindi cha nguvu ya maarifa ambapo leo tutakuwa na amada isemayo, (appraising the talent of influence,; the quest of personality and rhetoric//tathmini ya talanta ya mvuto; uchunguzi wa haiba na sayansi ya kuzungumza) tutakuwa na mkufunzi wetu ambaye pia ni mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es Salaam Daktari Ishmail Phillips Mwambapa kitengo cha lugha (lingusitics) Jiandae kuji...
FARAGHA NA USALAMA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII // NA ENG MUGISHA P BISANDA
Просмотров 18117 дней назад
Karibu tena katika kipindi chetu pendwa chww Nguvu ya Maarifa kutokeaATAPE ECT. Juma hili tulikuwa na mada inayohusu FARAGHA na usalama katika mitandao ya kijamii hususani Facebook na WhatsApp ambazo hivi karibuni imeendelea kuonyesha hali nyingi za baadhi ya taarifa kuibwa na pengine kuleta maudhui yasioendana na muhusika katika akaunti yake. #pizzoonlinetv #nguvuyamaarifa #atapeect #atape #Ng...
YAFAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU BIMA YA MOTO // 2 BROTHERS INSURANCE AGENCY
Просмотров 3618 дней назад
Maelekezo muhimu kuhusu Bima ya Moto na 2Brothers Insurance Agency Karibu tujifunze pamoja #NguvuyaMaarifaSeries #NguvuyaMaarifa #ATAPEECT #pizzoonlinetv
#LIVE: KILELE CHA MAKAMBI MTAA WA KIBAMBA 2024 || NITAKWENDA NA FAMILIA YANGU || IBADA YA SABATO
Просмотров 7921 день назад
Karibu katika ibada ya Kuhitimisha makambi mtaa wa kibamba 2024, Nitakwenda na Familia yangu #haachwimtu #Kibambasdachurch Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
"WATU SITA WALIBATIZWA KWANZA" HISTORIA INAYOSIMULIWA
Просмотров 2921 день назад
Karibu katika ibada ya Kuhitimisha makambi mtaa wa kibamba 2024, Nitakwenda na Familia yangu #haachwimtu #Kibambasdachurch Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
HAACHWI MTU NITAKWENDA NA FAMILIA YANGU // PR. MUSSA NZUMBI
Просмотров 6621 день назад
Karibu katika ibada ya Kuhitimisha makambi mtaa wa kibamba 2024, Nitakwenda na Familia yangu #haachwimtu #Kibambasdachurch Welcome into this session, we believe that it will add somethig in your growth spiritually, academically, socially and inspirationally.
Asante sana kwa mahubili❤❤❤
Hallelujah 🙏
Mtumishi naipate no yako ya simu nataka kuongea na wewe
Nilikuwa naangalia haya mahubiri gafla simu ikapigwa na ndugu zangu ambao sio wema sana kule kijijini kwetu kumbe moja wao anaumwa nikamwambia utapona yani nina kama mwaka moja sijawai ongea nae lakin leo amepiga simu uku nasikiliza mahubiri haya
Dah nimejiona hapo, na nimezoomiwa kabisa
Hahahahaha 😂😂 kumbukumbu hizi za muhimu sana
Kwakweli Nimefurahi sana Leo hii kushiriki katika kipindi hiki Ahsanteni sana waandaji na muwasilishaji wa maada hii muziki una matokeo makubwa sana katika maisha yetu.
Oh haleluya... Ubarikiwe sana mtumishi
BWANA awabariki sana watumishi
Aminaaaa 🙏 ubarikiwe sana mwana wa Mungu
That was so insightful, thanks
You're welcome
Aminaaa
Hallelujah
Hongereni jaman kwa uimbaji mzuri sana maua kwenu
Barikiwa sana
Hongereni jaman kwa uimbaji mzuri sana maua kwenu
Barikiwa sana
Mbarikiwe.....
Hallelujah 🙏 tubarikiwe sote mtu wa Mungu
Amazing song
👏👏
Amen
Barikiwa sana
Bwana awabariki sana kutoka Dodoma mipango SDA
Hallelujah, barikiwa sana 🙏
Bwana awabariki
Amina 🙏
Amen
Barikiwa sana 🙏🤝
Amen 🙏
Hallelujah 🙏
Somo makini sana , tunabarikiwa mnoo pr.john
Amina
Wonderful sermon.
Hallelujah
Nilikuwa nalitafuta sana hili somo hili ubarikiwe sana
Bwana azidi kukubarik
Amina
Amina mbarikiwe sana kibamba
Haleluya Amen
BARIKIWENI SANA BARIJI
Haleluya
Hakika ninabarikiwa na kambi hili la kibamba kwa hotuba moto moto. Barikiwa Pr Nzumbi
Amen
Hongera sana
Ahsante sana @chaguaukwelitv1160
Amen
Barikiwa sana 🙏
Thank you mami❤VERY POWERFUL 😂 I'M BLESSED
Hallelujah 🙌
Amina😊😊😊
Barikiwa sana
🙏🙏🙏
Asante sn mama kwa kutukumbusha
Ahsante kushukuru
Ahsante kushukuru
Mabinti wa Yesu mubarikiwe sana
Haleluya
Ubarikiwe
Amina
Very good
Thank you so much
Na ya kwangu naomba mtashoot
Karibu sana mtumishi
@@pizzoonlinetv namba zenu weka apo sasa
@ulinganamakanji5737 Wasiliana nasi kupitia 0659360400 au kwa email ya pizzoonlinetvads@gmail.com
AMINA mama
Hakika ujumbe umefika kwa wakati sahihi #yatoshajangwani
Icho kizungu balaaa,,bonga swahili bro
Hahahaha
Jaman fantastic
Wow
Jambo papa miminatakanambayako ya simu
Ameeeeeen ameeeen yes mmenibaeriki sana mko vizurio mungu awapiganie mwende mbali
Haleluya
Wewe ndy skills dejay
Huyu aliwahi kuwa mtafsiri wa movies lakini kwa sasa ameamua kuingia kwenye tasnia nyingine ya Public Speaking and influencer, akiwa mtafsiri wa movies alitumia jina la DJ Skills, ni tofauti na yule wa Muziki (mixing)
Amen hallelujah
Amen Amen
Ninyi Bwana awabariki
Mtama mwekundu au mweupe
Mwekundu
Amen pasta
Barikiwa sana
Ooh its an amazing choir,may you please release and other songs so as we may be enjoying listening to them.May Almighty God bless you all
We will keep updating you for more songs by our school choir La Mirian
@@pizzoonlinetv Thank you soo much,Also may update the primary mass choir bcz i hav already missed my choir(i was also among the choir before graduating)
Mbaka sunflower ziko wana kaanga
Oooo nikweli ata warabu ziko kumbe nimuhimu asante sana kiongozi ❤❤
Amina macho ya moyo wangu yameona
Hallelujah ubarikiwe sana kijana
Amina
Barikiwa sana
sasa vp majani ya papai inatubu kisukari
Tutamuuliza Daktari kwa majibu ya swali lako
Mchungaji ubarikiwe , ila naomba unisaidie tofauti kati ya viumbe walio tupwa pamoja na shetani (pepo wa chafu na majini) na hao viumbe wengine wa sayari ambazo dhambi aikuingia.