Mashaallah.... Kwa aliyetaja caliphates kuwa ni Freemasons Allah akusamee... Na nyie wakristo mtaacha chuki nendeni msikize mapadri wenu uko kitu ka ni uongo si lazima mcomment...
@@zalhathasaid2060 Maashaallaah!! Allah atatuvusha salama kwa rahma zake. Ingawaje hii vita n kubwa lkn kwa Allah n jepesi mno. Pia kuwa makini sana na Shekh yeote anaye hamasisha kuchanjwa, ukiona mawaidha ya namna hiyo n bora ukatia vidole masikioni (usiwasikilize). Watakuja mashkhe wa namna hiyo, wataunga mkono jambo hilo, waepuke. Wametumwa, wanatumika kuhamasisha waumini wasiojitambua
Ni vyema kabisa kwao kutuelimisha ambapo tutakua makini kujiepusha na mambo zingine,maanake ata jatika biblia ukisoma ufunuo 13:18 tumeonywa pia.kwangu Mimi naona tu ni Bora waendelee na dawaa
Asante sana mwalimu kwa ukweli huu mkubwa ulioufichua, kwa kweli waafrika inabidi tuamke toka kwenye huu usingizi na tuache kukimbilia mambo ya wageni , ikiwa mwanzo hawakutupenda leo itawezekanaje inabidi tuwe macho sana asante sana mwalimu kwa mara nyingine
Allah.sw akulinde sheikh akujaalie uongoze ummah na vijana wetu na ma binti zetu...kwa kweli ummah unaangamia karibu daresalam kuwafanyia daawa vijana wetu...inaskitisha sana
dunno if anyone gives a damn but if you're stoned like me during the covid times then you can stream pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. Been streaming with my brother during the lockdown =)
Hawa jamaa ni waongo sana,hiyo nyimbo ya bob marley ni uongo anauelezea sana,waislamu jamani jifunzeni kuutafuta ukweli nyinyi wenyewe kwa wenyewe,kwa yeyote aangalie wimbo huo halafu uje kwa hawa
mimi pia ni muislam lakini sheikh ,nyinyi mumezidisha, kuna kati ya vitu vichache mumepatia lakini vingi nahisi sio kweli 100%(kama eti jackie chan started mitsubishi na mengi mengine mliyo taja)... it is this kind of talk that is the foundation of terrorism that portrays a bad image on us muslims
mengi njo ivo ita tutafautisha mpaka itakapo tufika ajali hata sisi...sasa kila umoja wetu ameisha sikia angalao kuona ata kidogo katika maisha yake basi twende!
Iyo nikweri munzunga anakuwuwa kidogo kidogo kwamafikiriyo ye anajuwa ati hatapata binguni lazima apereke wengi sana. Sasa hapo wazazi warudishe makii wafanye sana vita kwa wazazi wawo ata mimi yiko yivo lazime niambiye watoto wangu kukuwa makini sana na wawace kabisa kujidanganya na ma cartoon izo akuna tunda ndani esipokuwa upotevu tu
Da FAUDHIA achana nao hao wameshazoea kudanganwa shekhe yupi alishawahi kuskia ni maconic zaid ya mapadri?! ajue hicho ni chama cha biashara wala si dini, unahubir mwaka unatembelea hummer huombewi mpk ulipie HAAAAAAA..
Ule mda wenye unakaa ukiwachunguza mafreemason huo mda c ushughulike kumcha Mungu na kuwaombea ama ufagie kwako toa boriti kwenye jicho lako ndio uanze kuangalia vibanzi kwenye macho ya wengine unauhakika gani wewe utaenda peponi ama pia wewe juhanum inakungoja tuu hukumu muachie Mungu
Until the day ignorance gets out of you then you will come to real understanding. Do not ashame Muslims brother, ati wasema Bob amesemaje, ustaadhi maandazi wewe, wimbo unaitwa NATURAL MYSTIC not mistake, wimbo huo unatukuza kazi za Mungu na si kumkosoa. Kwa nini wapenda dhambi ya uongo?
Haha! Hii ya Mitsubishi kali sana, Maskini jackie Chan Mchina wa Hong Kong.. Mitsubishi Kampuni ya Japan Ila tumeelewa suala la Freemason ijapokua si jambo jema kuwabandika watu wasiohusika katika ibada za kishetani
Coronavirus and it's 9years ago.
Beauty of my religion.
May God bestow us all His Blessings.
this is really
Very true
Am afraid
Mimi ni mkristo ila maneno yako nimeyakubali sana
Mashaallah.... Kwa aliyetaja caliphates kuwa ni Freemasons Allah akusamee... Na nyie wakristo mtaacha chuki nendeni msikize mapadri wenu uko kitu ka ni uongo si lazima mcomment...
Ulishaaaongea zaman kumbe...daah mashallah...kila mwenye macho aone
Haswaaaa.ni.zaman sn
Toka nina miaka 13 mpka sasa nina 21 bdo watu haweelew
Yalisemwa miaka nane iliyopita, hatimaye leo kuhusu suala la chanjo limetimia!! Allah Akbar
Nilikuwa natafuta hii coment na bado tutaona mengii🙌🙌🙌
@@zalhathasaid2060
Allah Akbar!!
Japo n hiyari, binafsi nakushauri usikubali kuchanjwa, n hatari sana
@@dullywamashairi121 mm labda waniue
@@zalhathasaid2060 Maashaallaah!!
Allah atatuvusha salama kwa rahma zake. Ingawaje hii vita n kubwa lkn kwa Allah n jepesi mno. Pia kuwa makini sana na Shekh yeote anaye hamasisha kuchanjwa, ukiona mawaidha ya namna hiyo n bora ukatia vidole masikioni (usiwasikilize). Watakuja mashkhe wa namna hiyo, wataunga mkono jambo hilo, waepuke. Wametumwa, wanatumika kuhamasisha waumini wasiojitambua
Iwas looking for this comment
Mwenyeezi Mungu ndiye anaehukumu tumuachie kazi yake sisi tafuateni yale mema aliyotuamuru na kutoa mawaidha yanayosaidia vizazi vyetu.
Ni vyema kabisa kwao kutuelimisha ambapo tutakua makini kujiepusha na mambo zingine,maanake ata jatika biblia ukisoma ufunuo 13:18 tumeonywa pia.kwangu Mimi naona tu ni Bora waendelee na dawaa
Ma sha allah..
Namuomba ALLAH akulinde na maadui. Na akupe uzima, afya na umri mrefu in Sha Allah.🤲
Aamin
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir!
Asante sana mwalimu kwa ukweli huu mkubwa ulioufichua, kwa kweli waafrika inabidi tuamke toka kwenye huu usingizi na tuache kukimbilia mambo ya wageni , ikiwa mwanzo hawakutupenda leo itawezekanaje inabidi tuwe macho sana asante sana mwalimu kwa mara nyingine
Ooo Ma Sha Allah THABAARAKA pongezi kwenu mungu azidi kuwapa imani ya kuzidi kutuelimisha Inshaallah 🙏
Mashaallah maustdh mungu awape kheri 🙏 kwa kutufafanulia mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah
Hapo inapozungumziwa chanjo, sijui kuna mtu katika wakati huu anasikiliza kwa umakini hii video
Tupo mbona tutaona mengi tu
Sasa mbna madaktari wanatulazimisha watoto wetu wadungwe sindano
Hawa jamaa wakweli kabsa japo waislamu siwaelewagi kabisa ila ukweli mtupu duh yesu mungu wangu tuokoe
Kweli kweli kabisa
Safi sana shehe kwa kutuelimisha kwa ss ambao hatuelewi
Sheikh leo tunapiga chanjo Allah knows the best
Everyone is 4r himself bt God is 4r us all.
masha Allah good information my brother thanks
Allah.sw akulinde sheikh akujaalie uongoze ummah na vijana wetu na ma binti zetu...kwa kweli ummah unaangamia karibu daresalam kuwafanyia daawa vijana wetu...inaskitisha sana
May Allah grant us the highest rank in jannah Ameen thuma Ameen
ameeen
Allah akulipe kila la kheri katika elimu yako
dunno if anyone gives a damn but if you're stoned like me during the covid times then you can stream pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. Been streaming with my brother during the lockdown =)
@Lian Abram Yea, been watching on InstaFlixxer for since december myself :)
Assalaam waleikum, MashaAllah Mola awazidishie kwa ilmu mnayotupa in shaa Allah
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir
Asww sheik mtupe habari za dunita❤❤
Sheikh mungu akupeleke mpaka janah
Tell them my brother,Mimi c Islamic but I support maneno yako .
Zipporah biyaki I support
Zipporah biyaki
Facilitator bowy jazakallah
Zipporah biyaki what are you waiting?
Zippy ukoje n unaeza kubali kua Muslim please 🙏🙏🙏
Jesus is the way the truth and life no one can go to his heavenly except by him
chrispin ramadhani wewe nawe huna ujualo mungu wako ni Paulo ndo kawaandikia nyie bible af mwadanganyana eti ni nitabu ya issa peace be upon him
chrispin ramadhani utaenda pepo ya nani paulo hana pepo hko
sasa quran nani akayandika
kkkkkkkk let chrispin tell us...tuone ataenda wapi Ati pepo...do think Paul ana pepo
Jesus de only truth
Ak uongo yenye mko nayo na Ni jina ya mungu mnachezea ..
Kweli xx watu waliona kuwa nlikua waongo bt hii Corona imesadikisha yote nlikua mkisema kweli
Wallah Nina mashaka na chanjo ya korona huenda ndo tayari wameshapigwa hizo sign
But kuna mahali umeogea uogo,natural mystic ya bob hakuna mahali amesema mungu ako na dhambii...zingne uko right but hio ya bob ziii
Uyu sheikh ni mwongo😂😂😂😂
ALLAH atulinde na hao mashaitwan
Wangapi mnaangalia hawa masheihk mpa leo
Covid19 imetuleta tena hapa
@@yahyashariff5693 acha tu ndugu yangu😭😭
@@tumainsawe6960 Tufanye maombi sana na tumumuaini Mungu tu
Tupo
Covid 19 Astra Zeneca Vaccine.
Mashaallah continue with daawa.
Wote wanao wapinqa mashehe wetu wasitoe dawa nasema munqu awarani hao ndo wanawapa nquvu makafiri
Ni.kweli wanaona dunia ni tamu sana....ukweli wanaukwepa hata waislamu kwwli majanga hii dunia nitambara bovu.jamani
Kila mtu ashike sana imani yake maana siku zimefika
Mashallah tabarakallah aliekua na akili amekuelewa
Kama chanjo ya Corona
Kweri kabisa kwenye chanjo nimemuerewa sana
Ismail Gitau Ndutaa,Allah akulinde na azidi kukuongoza katka kheri.
Aamiin yaa Rabbi
Allah atunusuru, kama chanjo nimeshachanja😢😢
😂😂😂😂
I love your research my brothers, I truly believe.
Nonsense
Shekh alitabiri ndo chanjo hiyo sasa watu wanachanjwa
Kabisa
watu wanaitaji elimu sana kutolishwa ujinga hivi wanachulia ujinga wa watu for manufaa yao waliuza cd lakini
Hawa jamaa ni waongo sana,hiyo nyimbo ya bob marley ni uongo anauelezea sana,waislamu jamani jifunzeni kuutafuta ukweli nyinyi wenyewe kwa wenyewe,kwa yeyote aangalie wimbo huo halafu uje kwa hawa
Kaka ucha ubaya
Wewe ni utumbo kweli
mimi pia ni muislam lakini sheikh ,nyinyi mumezidisha, kuna kati ya vitu vichache mumepatia lakini vingi nahisi sio kweli 100%(kama eti jackie chan started mitsubishi na mengi mengine mliyo taja)... it is this kind of talk that is the foundation of terrorism that portrays a bad image on us muslims
mengi njo ivo ita tutafautisha mpaka itakapo tufika ajali hata sisi...sasa kila umoja wetu ameisha sikia angalao kuona ata kidogo katika maisha yake basi twende!
Muongooo bob hajawai sema mungu ana makosa ...shenz
Sasa tunajionea shekhe
Tutaona mengi tu
Marsha Allah may Allah help us inshaalah amen may Allah grant us to jannah
asante sheikh
Daah n hatar kwenye swala la kuwekewa cheap ndo mambo ya corona na chanjo
Allah atuepushe n atuongoz n atupe mwisho mwema n Pepo inshallah
Thanks for giving me the word of God Jesus is my chief shepherd.
MashaAllah
nilikuwepo ulipo kua ukiichambua mada hii ni Msiki wa Dar es salaam Buguruni Rozana unaitwa Masjid Haqqa,
yaani kweli imepita miaka 10
Ndo maana Africa ipo nyuma. Upusi tu! Wacha watu wasonge Mbele. Kwani ni kesho.
Iyo nikweri munzunga anakuwuwa kidogo kidogo kwamafikiriyo ye anajuwa ati hatapata binguni lazima apereke wengi sana.
Sasa hapo wazazi warudishe makii wafanye sana vita kwa wazazi wawo ata mimi yiko yivo lazime niambiye watoto wangu kukuwa makini sana na wawace kabisa kujidanganya na ma cartoon izo akuna tunda ndani esipokuwa upotevu tu
Mbona kama kweli
Baraka Allahu fiiQ
Hiyo logo ya Vodafone/Vodacom maana yake ni tone la damu itokayo kwenye moyo ulio chomwa kisu! Maana yake ni huzuni tupu kwa binaadamu duniani.
Metal Combat shikilia hpo hpo patakuokoa sawa eeh
Hahahaaaa wah wazimuuu c wale wako mathare...weeeeh huku ni kutafuta Hela au nikuchizi....Mungu Akusamehe ndugu...
Hun akili wew ukwer unaongea ukwer
Yanayo semwa ukwer nyamaz kam hun chakusema
Ww mpumbavu ulishawahi sikia shekhe kafufua m2 zaid ya mapadri wenu sasa nani anatafuta hela?! mungu akusamehee...
Da FAUDHIA achana nao hao wameshazoea kudanganwa shekhe yupi alishawahi kuskia ni maconic zaid ya mapadri?! ajue hicho ni chama cha biashara wala si dini, unahubir mwaka unatembelea hummer huombewi mpk ulipie HAAAAAAA..
Ule mda wenye unakaa ukiwachunguza mafreemason huo mda c ushughulike kumcha Mungu na kuwaombea ama ufagie kwako toa boriti kwenye jicho lako ndio uanze kuangalia vibanzi kwenye macho ya wengine unauhakika gani wewe utaenda peponi ama pia wewe juhanum inakungoja tuu hukumu muachie Mungu
Allah subxana watalla akupatie kheir
Amazing genius...
Dah pole sana kwa wazazi
Thanks to sijui nimuite muubili Kwa uchumbe ila kila mtu anaelewa kifiake
alla akubarik kwa kutuelimisha
حقا يافضيلة الشيخ.
These are some enlightened individuals.
Hawa jamaa ivii wazima mpk Leo bado wapo
😂😂😂hapo kwa cartoon amedanganya 😂😂likes za 2021
Unaijua historia ya cartoon?
Shekh umeongea ukweli mtupu juu ya chanjo 4yrs ago bt ssa tunadungwa vaccines
Hii ni miaka 9 iliyopita na sasa imekuwa kweli
Masha Allah
Mashalaah
Dah wataanzisha ugonjwa ili udungwe🙏kweli ndo kinachotokea
Laahaulaa walaakuwwata illaa billah!!!
Allah atuhifazi yarabi
Nyinyi Mnapotosha watu wacheni uhuni wenu.
Bint Juma wacha ujinga nawe kuwaunga mkono makafiri ivi mlikuwa mwataka watulie to wasitoboe
God bless you
ahhh nyinyi mseme mpanka mwisha baba!
Askafilu llah
Until the day ignorance gets out of you then you will come to real understanding. Do not ashame Muslims brother, ati wasema Bob amesemaje, ustaadhi maandazi wewe, wimbo unaitwa NATURAL MYSTIC not mistake, wimbo huo unatukuza kazi za Mungu na si kumkosoa. Kwa nini wapenda dhambi ya uongo?
Allah bless u
Nakubari shehe kwamafudisho manzuri
Ilshallaa Shee mungu mwema
Let's tearch our faithfuls the core values of religion instead of sowing fear and adding confusion to them.
don"t judge ,let God do his job
Mungu atukomboe
Haha! Hii ya Mitsubishi kali sana, Maskini jackie Chan Mchina wa Hong Kong.. Mitsubishi Kampuni ya Japan
Ila tumeelewa suala la Freemason ijapokua si jambo jema kuwabandika watu wasiohusika katika ibada za kishetani
usiwe mnixhi ushaangara picha ya jack chaine mmasai hiyangalie vizuri
Nawatch sai
Nice 🙂👍
natural mystic, bob alikua akionya watu juu ya dajjal, ama anticrist,
maswanya khaji umuongo hiyo kitu iko wazi kabisa kwa taarifa yako aloambia watu waponye dunia ni mickol Jackson na kibao chake (hill the world)
pole sana,asna,sana.....!!!
mwingi napajua
Mashaallah
Sasa chanjo tumeipata, yawezekana kuwa unabii umetimia??
Ndio hii corona tunao hubiriwa
izi vitu n kweli nmeamini pia mm
Uliskia wapi hio wimbo wa Bob marley acha ku danganya watu
Hawa nadhani ni Wachumia tumbo. Kuna mkenya mwingine huwa namuona sana tz anarandaranda mitaa mbalimbali. Wanayoongea ni haya haya, imekuwa ndo ishu