FREE MASON - MAWAIDHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 окт 2012

Комментарии • 471

  • @kunuzebwofy4921
    @kunuzebwofy4921 2 года назад +18

    Coronavirus and it's 9years ago.
    Beauty of my religion.
    May God bestow us all His Blessings.

  • @mangalamlala3516
    @mangalamlala3516 6 лет назад +15

    Mimi ni mkristo ila maneno yako nimeyakubali sana

  • @khadijakombo4207
    @khadijakombo4207 8 лет назад +8

    Mashaallah.... Kwa aliyetaja caliphates kuwa ni Freemasons Allah akusamee... Na nyie wakristo mtaacha chuki nendeni msikize mapadri wenu uko kitu ka ni uongo si lazima mcomment...

  • @dullymsomaly3782
    @dullymsomaly3782 3 года назад +5

    Ulishaaaongea zaman kumbe...daah mashallah...kila mwenye macho aone

    • @mohdsalum5428
      @mohdsalum5428 2 года назад +1

      Haswaaaa.ni.zaman sn

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 2 года назад +2

      Toka nina miaka 13 mpka sasa nina 21 bdo watu haweelew

  • @dullywamashairi121
    @dullywamashairi121 3 года назад +9

    Yalisemwa miaka nane iliyopita, hatimaye leo kuhusu suala la chanjo limetimia!! Allah Akbar

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 2 года назад +2

      Nilikuwa natafuta hii coment na bado tutaona mengii🙌🙌🙌

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 2 года назад +1

      @@zalhathasaid2060
      Allah Akbar!!
      Japo n hiyari, binafsi nakushauri usikubali kuchanjwa, n hatari sana

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 2 года назад +1

      @@dullywamashairi121 mm labda waniue

    • @dullywamashairi121
      @dullywamashairi121 2 года назад

      @@zalhathasaid2060 Maashaallaah!!
      Allah atatuvusha salama kwa rahma zake. Ingawaje hii vita n kubwa lkn kwa Allah n jepesi mno. Pia kuwa makini sana na Shekh yeote anaye hamasisha kuchanjwa, ukiona mawaidha ya namna hiyo n bora ukatia vidole masikioni (usiwasikilize). Watakuja mashkhe wa namna hiyo, wataunga mkono jambo hilo, waepuke. Wametumwa, wanatumika kuhamasisha waumini wasiojitambua

    • @lorahjhoo3690
      @lorahjhoo3690 2 года назад +1

      Iwas looking for this comment

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 года назад +2

    Mwenyeezi Mungu ndiye anaehukumu tumuachie kazi yake sisi tafuateni yale mema aliyotuamuru na kutoa mawaidha yanayosaidia vizazi vyetu.

    • @hellenjelimokiplagat5615
      @hellenjelimokiplagat5615 2 года назад

      Ni vyema kabisa kwao kutuelimisha ambapo tutakua makini kujiepusha na mambo zingine,maanake ata jatika biblia ukisoma ufunuo 13:18 tumeonywa pia.kwangu Mimi naona tu ni Bora waendelee na dawaa

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 года назад +8

    Ma sha allah..
    Namuomba ALLAH akulinde na maadui. Na akupe uzima, afya na umri mrefu in Sha Allah.🤲

  • @husnakabaya4546
    @husnakabaya4546 6 лет назад +6

    Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir!

  • @emmyngowi1681
    @emmyngowi1681 6 лет назад +3

    Asante sana mwalimu kwa ukweli huu mkubwa ulioufichua, kwa kweli waafrika inabidi tuamke toka kwenye huu usingizi na tuache kukimbilia mambo ya wageni , ikiwa mwanzo hawakutupenda leo itawezekanaje inabidi tuwe macho sana asante sana mwalimu kwa mara nyingine

  • @fathimaishmail2768
    @fathimaishmail2768 9 месяцев назад

    Ooo Ma Sha Allah THABAARAKA pongezi kwenu mungu azidi kuwapa imani ya kuzidi kutuelimisha Inshaallah 🙏

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 3 года назад +5

    Mashaallah maustdh mungu awape kheri 🙏 kwa kutufafanulia mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah

  • @thuweinthabit6313
    @thuweinthabit6313 2 года назад +6

    Hapo inapozungumziwa chanjo, sijui kuna mtu katika wakati huu anasikiliza kwa umakini hii video

    • @zalhathasaid2060
      @zalhathasaid2060 2 года назад +1

      Tupo mbona tutaona mengi tu

    • @idamammy6081
      @idamammy6081 Год назад

      Sasa mbna madaktari wanatulazimisha watoto wetu wadungwe sindano

  • @benjathekingofficialshows
    @benjathekingofficialshows 2 года назад +1

    Hawa jamaa wakweli kabsa japo waislamu siwaelewagi kabisa ila ukweli mtupu duh yesu mungu wangu tuokoe

  • @mbwanamohamedy5488
    @mbwanamohamedy5488 7 лет назад +5

    Safi sana shehe kwa kutuelimisha kwa ss ambao hatuelewi

  • @meekdee3819
    @meekdee3819 2 года назад +2

    Sheikh leo tunapiga chanjo Allah knows the best

  • @benardyengo1241
    @benardyengo1241 2 года назад +10

    Everyone is 4r himself bt God is 4r us all.

  • @sharmakeahmed6768
    @sharmakeahmed6768 8 лет назад +16

    masha Allah good information my brother thanks

  • @zahraomar6172
    @zahraomar6172 2 года назад

    Allah.sw akulinde sheikh akujaalie uongoze ummah na vijana wetu na ma binti zetu...kwa kweli ummah unaangamia karibu daresalam kuwafanyia daawa vijana wetu...inaskitisha sana

  • @Fazuunafac
    @Fazuunafac 3 года назад +16

    May Allah grant us the highest rank in jannah Ameen thuma Ameen

  • @saduninassoro849
    @saduninassoro849 10 лет назад +35

    Allah akulipe kila la kheri katika elimu yako

    • @lianabram4088
      @lianabram4088 3 года назад

      dunno if anyone gives a damn but if you're stoned like me during the covid times then you can stream pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. Been streaming with my brother during the lockdown =)

    • @winstonhuxley5064
      @winstonhuxley5064 3 года назад

      @Lian Abram Yea, been watching on InstaFlixxer for since december myself :)

  • @shaffitsuma1250
    @shaffitsuma1250 6 лет назад +4

    Assalaam waleikum, MashaAllah Mola awazidishie kwa ilmu mnayotupa in shaa Allah

  • @husnakabaya4546
    @husnakabaya4546 6 лет назад +1

    Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir

  • @mugishayves81
    @mugishayves81 3 месяца назад

    Asww sheik mtupe habari za dunita❤❤

  • @amineznymlessniccur175
    @amineznymlessniccur175 5 лет назад +2

    Sheikh mungu akupeleke mpaka janah

  • @zipporahbiyaki2463
    @zipporahbiyaki2463 7 лет назад +44

    Tell them my brother,Mimi c Islamic but I support maneno yako .

  • @chrispinramadhani3662
    @chrispinramadhani3662 7 лет назад +24

    Jesus is the way the truth and life no one can go to his heavenly except by him

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад +1

      chrispin ramadhani wewe nawe huna ujualo mungu wako ni Paulo ndo kawaandikia nyie bible af mwadanganyana eti ni nitabu ya issa peace be upon him

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад

      chrispin ramadhani utaenda pepo ya nani paulo hana pepo hko

    • @rahimbanda4954
      @rahimbanda4954 6 лет назад

      sasa quran nani akayandika

    • @saidadan8018
      @saidadan8018 6 лет назад

      kkkkkkkk let chrispin tell us...tuone ataenda wapi Ati pepo...do think Paul ana pepo

    • @jjody1980
      @jjody1980 2 года назад

      Jesus de only truth

  • @bahatiboicomedian6067
    @bahatiboicomedian6067 2 года назад +1

    Ak uongo yenye mko nayo na Ni jina ya mungu mnachezea ..

  • @rashidmaina2166
    @rashidmaina2166 2 года назад +1

    Kweli xx watu waliona kuwa nlikua waongo bt hii Corona imesadikisha yote nlikua mkisema kweli

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 2 года назад +1

    Wallah Nina mashaka na chanjo ya korona huenda ndo tayari wameshapigwa hizo sign

  • @sizzladennh5334
    @sizzladennh5334 2 года назад +2

    But kuna mahali umeogea uogo,natural mystic ya bob hakuna mahali amesema mungu ako na dhambii...zingne uko right but hio ya bob ziii

  • @atuyanyangeri3748
    @atuyanyangeri3748 2 года назад +1

    Uyu sheikh ni mwongo😂😂😂😂

  • @saidabdallah684
    @saidabdallah684 11 лет назад +9

    ALLAH atulinde na hao mashaitwan

  • @tumainsawe6960
    @tumainsawe6960 3 года назад +3

    Wangapi mnaangalia hawa masheihk mpa leo

  • @kamalolatofficialpage
    @kamalolatofficialpage 4 года назад +7

    Mashaallah continue with daawa.

  • @mohamedhamduni9334
    @mohamedhamduni9334 10 лет назад +8

    Wote wanao wapinqa mashehe wetu wasitoe dawa nasema munqu awarani hao ndo wanawapa nquvu makafiri

    • @rahmaabid447
      @rahmaabid447 3 года назад

      Ni.kweli wanaona dunia ni tamu sana....ukweli wanaukwepa hata waislamu kwwli majanga hii dunia nitambara bovu.jamani

  • @godwinakengo3060
    @godwinakengo3060 2 года назад +2

    Kila mtu ashike sana imani yake maana siku zimefika

  • @lelahassanali7373
    @lelahassanali7373 6 лет назад +3

    Mashallah tabarakallah aliekua na akili amekuelewa

  • @kassimmzee1589
    @kassimmzee1589 3 года назад +6

    Kama chanjo ya Corona

    • @ayotiyosamu698
      @ayotiyosamu698 2 года назад

      Kweri kabisa kwenye chanjo nimemuerewa sana

  • @mnyamwezionlinetv3998
    @mnyamwezionlinetv3998 7 лет назад +1

    Ismail Gitau Ndutaa,Allah akulinde na azidi kukuongoza katka kheri.

  • @jojoskitchen1210
    @jojoskitchen1210 2 года назад +1

    Allah atunusuru, kama chanjo nimeshachanja😢😢

  • @samsonadhiambo1391
    @samsonadhiambo1391 2 года назад +17

    I love your research my brothers, I truly believe.

  • @amranismail6979
    @amranismail6979 3 года назад +2

    Shekh alitabiri ndo chanjo hiyo sasa watu wanachanjwa

  • @stephenemuya8575
    @stephenemuya8575 5 лет назад +2

    watu wanaitaji elimu sana kutolishwa ujinga hivi wanachulia ujinga wa watu for manufaa yao waliuza cd lakini

  • @Chekanamimi_
    @Chekanamimi_ 4 года назад +1

    Hawa jamaa ni waongo sana,hiyo nyimbo ya bob marley ni uongo anauelezea sana,waislamu jamani jifunzeni kuutafuta ukweli nyinyi wenyewe kwa wenyewe,kwa yeyote aangalie wimbo huo halafu uje kwa hawa

  • @Andre-jr7vq
    @Andre-jr7vq 2 года назад +1

    Wewe ni utumbo kweli

  • @trikxstar
    @trikxstar 11 лет назад +4

    mimi pia ni muislam lakini sheikh ,nyinyi mumezidisha, kuna kati ya vitu vichache mumepatia lakini vingi nahisi sio kweli 100%(kama eti jackie chan started mitsubishi na mengi mengine mliyo taja)... it is this kind of talk that is the foundation of terrorism that portrays a bad image on us muslims

  • @saidiramazani1550
    @saidiramazani1550 11 лет назад

    mengi njo ivo ita tutafautisha mpaka itakapo tufika ajali hata sisi...sasa kila umoja wetu ameisha sikia angalao kuona ata kidogo katika maisha yake basi twende!

  • @n.w.l1091
    @n.w.l1091 2 года назад

    Muongooo bob hajawai sema mungu ana makosa ...shenz

  • @donedaddy4561
    @donedaddy4561 3 года назад +2

    Sasa tunajionea shekhe

  • @husseinabdulahi1036
    @husseinabdulahi1036 9 месяцев назад

    Marsha Allah may Allah help us inshaalah amen may Allah grant us to jannah

  • @mashiabdul4997
    @mashiabdul4997 11 лет назад +8

    asante sheikh

  • @topclipentertainment7173
    @topclipentertainment7173 2 года назад +1

    Daah n hatar kwenye swala la kuwekewa cheap ndo mambo ya corona na chanjo

  • @kabibikhamis6897
    @kabibikhamis6897 2 года назад

    Allah atuepushe n atuongoz n atupe mwisho mwema n Pepo inshallah

  • @kennethsondoyi7785
    @kennethsondoyi7785 2 года назад +8

    Thanks for giving me the word of God Jesus is my chief shepherd.

  • @mariomimi4769
    @mariomimi4769 7 лет назад +13

    MashaAllah

  • @ramiahassani5603
    @ramiahassani5603 Год назад

    nilikuwepo ulipo kua ukiichambua mada hii ni Msiki wa Dar es salaam Buguruni Rozana unaitwa Masjid Haqqa,
    yaani kweli imepita miaka 10

  • @ke.4612
    @ke.4612 2 года назад

    Ndo maana Africa ipo nyuma. Upusi tu! Wacha watu wasonge Mbele. Kwani ni kesho.

  • @kanyamagaraabdallah8300
    @kanyamagaraabdallah8300 2 года назад

    Iyo nikweri munzunga anakuwuwa kidogo kidogo kwamafikiriyo ye anajuwa ati hatapata binguni lazima apereke wengi sana.
    Sasa hapo wazazi warudishe makii wafanye sana vita kwa wazazi wawo ata mimi yiko yivo lazime niambiye watoto wangu kukuwa makini sana na wawace kabisa kujidanganya na ma cartoon izo akuna tunda ndani esipokuwa upotevu tu

  • @cypriansinkala4693
    @cypriansinkala4693 2 года назад

    Mbona kama kweli

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 3 года назад +2

    Baraka Allahu fiiQ

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +3

    Hiyo logo ya Vodafone/Vodacom maana yake ni tone la damu itokayo kwenye moyo ulio chomwa kisu! Maana yake ni huzuni tupu kwa binaadamu duniani.

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад

      Metal Combat shikilia hpo hpo patakuokoa sawa eeh

  • @maryamkokani4683
    @maryamkokani4683 8 лет назад +2

    Hahahaaaa wah wazimuuu c wale wako mathare...weeeeh huku ni kutafuta Hela au nikuchizi....Mungu Akusamehe ndugu...

    • @faudhiaamiry2785
      @faudhiaamiry2785 6 лет назад

      Hun akili wew ukwer unaongea ukwer

    • @faudhiaamiry2785
      @faudhiaamiry2785 6 лет назад

      Yanayo semwa ukwer nyamaz kam hun chakusema

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 лет назад

      Ww mpumbavu ulishawahi sikia shekhe kafufua m2 zaid ya mapadri wenu sasa nani anatafuta hela?! mungu akusamehee...

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 лет назад

      Da FAUDHIA achana nao hao wameshazoea kudanganwa shekhe yupi alishawahi kuskia ni maconic zaid ya mapadri?! ajue hicho ni chama cha biashara wala si dini, unahubir mwaka unatembelea hummer huombewi mpk ulipie HAAAAAAA..

  • @jjody1980
    @jjody1980 2 года назад

    Ule mda wenye unakaa ukiwachunguza mafreemason huo mda c ushughulike kumcha Mungu na kuwaombea ama ufagie kwako toa boriti kwenye jicho lako ndio uanze kuangalia vibanzi kwenye macho ya wengine unauhakika gani wewe utaenda peponi ama pia wewe juhanum inakungoja tuu hukumu muachie Mungu

  • @yahyaabdi4547
    @yahyaabdi4547 5 лет назад +1

    Allah subxana watalla akupatie kheir

  • @khaliddawa6821
    @khaliddawa6821 Год назад

    Amazing genius...

  • @ramadhankijana9442
    @ramadhankijana9442 2 года назад +1

    Dah pole sana kwa wazazi

  • @orpharmogaka3736
    @orpharmogaka3736 8 лет назад +1

    Thanks to sijui nimuite muubili Kwa uchumbe ila kila mtu anaelewa kifiake

  • @abdulsoccerkid
    @abdulsoccerkid 11 лет назад

    alla akubarik kwa kutuelimisha

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 года назад +2

    حقا يافضيلة الشيخ.

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 2 года назад

    These are some enlightened individuals.

  • @musamadegeda-kf2qb
    @musamadegeda-kf2qb Год назад

    Hawa jamaa ivii wazima mpk Leo bado wapo

  • @youngblvck3019
    @youngblvck3019 2 года назад +1

    😂😂😂hapo kwa cartoon amedanganya 😂😂likes za 2021

  • @ramazecha2877
    @ramazecha2877 2 года назад

    Shekh umeongea ukweli mtupu juu ya chanjo 4yrs ago bt ssa tunadungwa vaccines

  • @consultantbayport5285
    @consultantbayport5285 2 года назад

    Hii ni miaka 9 iliyopita na sasa imekuwa kweli

  • @m.d0015
    @m.d0015 6 лет назад +4

    Masha Allah

  • @mathayonelson9500
    @mathayonelson9500 6 лет назад +3

    Mashalaah

  • @ayomaamediaa9011
    @ayomaamediaa9011 2 года назад

    Dah wataanzisha ugonjwa ili udungwe🙏kweli ndo kinachotokea

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 года назад +3

    Laahaulaa walaakuwwata illaa billah!!!

  • @seifukinyogoli7380
    @seifukinyogoli7380 5 лет назад

    Allah atuhifazi yarabi

  • @bintjuma6408
    @bintjuma6408 7 лет назад +2

    Nyinyi Mnapotosha watu wacheni uhuni wenu.

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад

      Bint Juma wacha ujinga nawe kuwaunga mkono makafiri ivi mlikuwa mwataka watulie to wasitoboe

  • @samsonokoth5033
    @samsonokoth5033 2 года назад +4

    God bless you

  • @joachimjojokhalifa7911
    @joachimjojokhalifa7911 11 лет назад +1

    ahhh nyinyi mseme mpanka mwisha baba!

  • @somicotv3000
    @somicotv3000 2 года назад +1

    Until the day ignorance gets out of you then you will come to real understanding. Do not ashame Muslims brother, ati wasema Bob amesemaje, ustaadhi maandazi wewe, wimbo unaitwa NATURAL MYSTIC not mistake, wimbo huo unatukuza kazi za Mungu na si kumkosoa. Kwa nini wapenda dhambi ya uongo?

  • @mafabimadina4183
    @mafabimadina4183 2 года назад +3

    Allah bless u

  • @simonshedrack6019
    @simonshedrack6019 2 года назад

    Nakubari shehe kwamafudisho manzuri

  • @chiefmjukuutm6666
    @chiefmjukuutm6666 2 года назад

    Ilshallaa Shee mungu mwema

  • @jm650m
    @jm650m 2 года назад

    Let's tearch our faithfuls the core values of religion instead of sowing fear and adding confusion to them.

  • @reubenayiendanyakundi9604
    @reubenayiendanyakundi9604 2 года назад +12

    don"t judge ,let God do his job

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 2 года назад

    Mungu atukomboe

  • @mohamedaboubakar1865
    @mohamedaboubakar1865 6 лет назад

    Haha! Hii ya Mitsubishi kali sana, Maskini jackie Chan Mchina wa Hong Kong.. Mitsubishi Kampuni ya Japan
    Ila tumeelewa suala la Freemason ijapokua si jambo jema kuwabandika watu wasiohusika katika ibada za kishetani

    • @saidabdallah9700
      @saidabdallah9700 4 года назад

      usiwe mnixhi ushaangara picha ya jack chaine mmasai hiyangalie vizuri

  • @mubarakabdirahman2220
    @mubarakabdirahman2220 2 года назад +1

    Nawatch sai

  • @rodaadan5623
    @rodaadan5623 3 года назад +2

    Nice 🙂👍

  • @maswanyakhaji6633
    @maswanyakhaji6633 7 лет назад

    natural mystic, bob alikua akionya watu juu ya dajjal, ama anticrist,

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад

      maswanya khaji umuongo hiyo kitu iko wazi kabisa kwa taarifa yako aloambia watu waponye dunia ni mickol Jackson na kibao chake (hill the world)

  • @andrewmsafiri4372
    @andrewmsafiri4372 9 лет назад +1

    pole sana,asna,sana.....!!!

  • @boywakitui3857
    @boywakitui3857 2 года назад +1

    mwingi napajua

  • @fathiafathia8701
    @fathiafathia8701 3 года назад +2

    Mashaallah

  • @belito1270
    @belito1270 2 года назад +1

    Sasa chanjo tumeipata, yawezekana kuwa unabii umetimia??

  • @paulbutundu9397
    @paulbutundu9397 3 года назад +1

    Ndio hii corona tunao hubiriwa

    • @cheekyboi9489
      @cheekyboi9489 2 года назад

      izi vitu n kweli nmeamini pia mm

  • @benjaminserem8630
    @benjaminserem8630 3 года назад +1

    Uliskia wapi hio wimbo wa Bob marley acha ku danganya watu

  • @kassimkhalfan7689
    @kassimkhalfan7689 11 лет назад +1

    Hawa nadhani ni Wachumia tumbo. Kuna mkenya mwingine huwa namuona sana tz anarandaranda mitaa mbalimbali. Wanayoongea ni haya haya, imekuwa ndo ishu