Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MAZINGE HII NDIO HISTORIA ZA MAKANISA 11 DUNIANI DEVIL WORSHIPER. XPASTOR WAZIRI & SH YAHYA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июн 2020
  • DAAWAH MITAANI SEHEMU YA 100

Комментарии • 348

  • @adnankamunyu4439
    @adnankamunyu4439 4 года назад +29

    Mmenifunza mengi Sana kuhusu uislamu Masheikh wetu kupitia huu mtandao wenu, nililelewa katika ukristo nkasilimu mwaka jana. Allah awahifadhi mzidi kutuelemisha Insha Allah.

    • @mwanaishamlima2047
      @mwanaishamlima2047 4 года назад +1

      Amin

    • @rudathekaka699
      @rudathekaka699 3 года назад +1

      Masha Allah

    • @oman7710
      @oman7710 3 года назад

      Masha Allah Allah akujaalie ujui uislamu

    • @rajah9328
      @rajah9328 3 года назад

      Mashallah

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад +1

      Pole sana,,, YESU aliesema nyakati za mwisho watu watajitenga na IMANI ya kweli,,,watafata mafundisho yadanganyayo na mafundisho ya shetani

  • @akaachoseries4673
    @akaachoseries4673 4 года назад +10

    Nlikuwa mkirsto pia mm namshukuru Allah kwa kuniongoza.Allah awaongoze mueendelee kutoa mafunzo haya

  • @kimoyochemokos6908
    @kimoyochemokos6908 4 года назад +4

    Asante kwa kutuelimisha historia za dini hizi walizozibuni! Ahaa ni shaa jua sasa uisilamu ndio dini ya kweli.

  • @doctorkisale9430
    @doctorkisale9430 4 года назад +20

    Nashukuru kunipa elim mimi niliwahi kujiuliza nivipi kabisa nyingi kilammoja wanafanya wanyojua wao Kama hili la kuowana wanaume kwa wanaume lilituchanganya Sana tulimuuliza mchungajiwetu hakutujibu alisema sisitumfate yesu nawale wanae owana nao ukiwauliza wanasema wanamfuata yesu Sasa inachanganya Sasa yesu ndio karuhusu wanaume kuowana duuu!!!!!!! Nashukuru kutupa elim mimi siendi Tena kanisani nimegundua wanatuvuruga sio wakweli

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 4 года назад +3

      Doctor Kisale kila LA heri ndugu, ukishaujua ukweli unachukuwa hatua hongera sana!

    • @shifaazawadi4438
      @shifaazawadi4438 4 года назад +1

      Hongora Sana kaka kwakujua ukweli hamakasa huko waachie wenyewe

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 4 года назад +3

      Tunakukaribisha kwenye uislamu ndugu,ndo maana kl cku mm nasema ukristo ni kampuni ya wazungu kukufurisha watu,wewe huon makanisa yot yametokea uzunguni

    • @abdur-rahmanmuhammad3426
      @abdur-rahmanmuhammad3426 4 года назад +3

      Mwenyezi Mungu akuogoze ujiuge na uislamu

    • @mwabwagizojaytummumwabwagi7182
      @mwabwagizojaytummumwabwagi7182 4 года назад +4

      KISALE karibu kwenye uislamu kaka

  • @ErukwanLosike
    @ErukwanLosike 5 дней назад

    Mazinge namjuwa vizuri ni mkaguzi mzuri ambaye hajewai ongelea jambo bila ushaidi nampenda sana

  • @mwanahamisisaid506
    @mwanahamisisaid506 4 года назад +3

    Uislamu ni nuru na Allah umwongoza amtakae , Ma shaa Allah. TAKBIIIR!

  • @manamisi2680
    @manamisi2680 4 года назад +12

    Mafunzo mazur sana ALLAH awape umri mrefu afya na uzima In Sha Allah.

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 4 года назад +14

    Masha Allah I'm the first one to comment. Nimefurahi Sana masheikh wetu wa leo wakati nimepata notification ya hii video.Mola awahifadhi Sana.

  • @user-sc4iv7qp9b
    @user-sc4iv7qp9b 2 года назад

    بارك الله فيك أتابعك وأنا في سلطنة عمان أفدتني كثيرا لأني قبل ١٠ سنوات كنت معتنقا بإحدى تلك الكنائس (EAGT) ، والحمد لله على نعمة الإسلام

  • @abdulmalikngola9244
    @abdulmalikngola9244 4 года назад +7

    Yani when I see u guys videos my heart is full of joy u guys are my super stars first one Ahmed deedat,othman mazinge,Suleiman mazinge,yahya,Yusuf.m and now new kid on the block waziri&wahshi etc u are many I cant finish the list Allah bless u all for the great work pls video should be minimum 1hr.🙏jazakhallh kheri

  • @anacretsindabaha9395
    @anacretsindabaha9395 2 года назад +1

    Usabato mwanzilishi ni Mungu mwenyewe Mwanzo:2:3

  • @saidseiph8576
    @saidseiph8576 2 года назад

    Masha Allah
    Allah ajaalie ujumbe huu uwafikie wasio kua waislam ili waweze kuijua khaki na kuifuata

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 4 года назад +3

    MashaaAllah vizuri sana, mashekhe zetu endeleeni kufichua siri za wapagani imani yao haina mashiko

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 3 года назад +1

    Ukirsto utaendelea kudhalilika nakufilisika. .wasio msujudia mungu.shetan Ataendelea kuwabaka ciku zote uciku..nikazi yashetan kuwabaka wanaadam wasio msujudia mungu...

  • @abuhajaranwar558
    @abuhajaranwar558 4 года назад +6

    MashashaAllah tabaraqallah rahman. Akhy Mohammed na Wahshy. Fuwatilieni ruqya Sana maana Kuna mtihani kwa maadui zenu ruqya kwa wingi kila wiki kwa Sasa maadui mamewakodoleya Macho. Na mola atawaepusha na hassad na majanga ya wanafiki.

  • @yvesmontana9043
    @yvesmontana9043 2 года назад

    Dhambi ya ushoga daah Mungu atusame 👏🏿

  • @user-js8tk2ge8k
    @user-js8tk2ge8k 5 месяцев назад

    ❤❤❤🎉🎉Eeeiishh how many times do I have to listen to this song so as I can feel comfortable

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 4 года назад +3

    Ma shaallah masheikh somo nzur.san

  • @husnaodhiambo6848
    @husnaodhiambo6848 4 года назад +3

    Mashallah Maustadh wetu Allah awaifathi wote Inshallah.mafunzo mazuri Mashallah

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 4 года назад +2

    ALLAHU AZIDI KUWALINDA NDHUNDHI NA WAZIRI AWAPE UMRI MREFU WENYE KHEIR MA SHA ALLAH.

  • @davidmuswi5702
    @davidmuswi5702 4 года назад +3

    Assamwaikum w. w Kenya dawat kanibuni Burundi

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally111 3 года назад

    Toka Namibia
    Allah akuongozeni

  • @salimamry9432
    @salimamry9432 4 года назад +2

    الله يحفظكم و يبارك فيكم و في عملكم الدعوية - اللهم امين يارب العالمين

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +2

    Masha Allah mola awazidishie moyo huo hou wazir Allah yupo pamoja na ww

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 4 года назад +3

    Mashaallah
    Kuna ukatikaji wa picha. Mada nzuri mno napendelea mandhari isiokua na kelele za upepo
    Allah bariq inshaallah

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 2 года назад

    Mubarikiwe sana mashekhee

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati7456 4 года назад +2

    Ma Sha Allah, Allah awazidishie afya njema In shaa Allah

  • @moseskimani6088
    @moseskimani6088 3 года назад +1

    Mazinge shugulika na mambo ya mskiti,maneno ya mdomo mtupu hatutaki

  • @jumaatuwa2599
    @jumaatuwa2599 3 года назад

    Jazaka allahu khaira mashekh mbarikiwe sanaa kwa elimu hii Ka aliye naakili baina ya kila mkristo nafikir atafatilia historia yamakanisa ilikujua ukwl

  • @yvesmontana9043
    @yvesmontana9043 2 года назад

    Amin Allah awabariki

  • @injilinuruyamilele
    @injilinuruyamilele 4 года назад +2

    Chapter (22) sūrat l-ḥaj (The Pilgrimage) Verse 40
    [They are] those who have been evicted from their homes without right - only because they say, "Our Lord is Allah." And were it not that Allah checks the people, some by means of others, there would have been demolished monasteries, churches, synagogues, and mosques in which the name of Allah is much mentioned. And Allah will surely support those who support Him. Indeed, Allah is Powerful and Exalted in Might.

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 4 года назад +1

    Mashaallah Allah azidi kuwapa uwezo Na elmu ya kutujuza tusiyoyajua, Allah ajaze kila la kheri🤲

  • @rishadmohamed9319
    @rishadmohamed9319 4 года назад +1

    Weka wazi ndiyo njia ya kujisalimisha Kwa Allah, Allah awape Taufiq.

  • @allykutenga2862
    @allykutenga2862 4 года назад +5

    Kutoka kisiwa cha ZANZIBAR..

  • @khalfanifarsy8216
    @khalfanifarsy8216 4 года назад +3

    Allah ndiye mola wa haki na Muhammad s.a.w) ni Mtume wake wa mwisho. Siyo ahmadi mirdhi wala Paulo. Qur,an 21:107) Qur,an 7:158) Qur,an 25:51)

  • @halimaalimwamajeni6291
    @halimaalimwamajeni6291 4 года назад +2

    Mashaallah jzka Allah kheri

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 3 года назад

    Inalilahi wakirsto jamani walio toka huko mungu awape kheri 🙏 wanakufuru

  • @ahmedmaalin3462
    @ahmedmaalin3462 4 года назад +3

    Masha Allah

  • @shizoman6061
    @shizoman6061 4 года назад +9

    uislam kboko huyo wazir amekuw n sura nzl n ya unyenyekev🙆‍♂️🙏

  • @FatmaAli-dp9ps
    @FatmaAli-dp9ps 4 года назад

    Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh, Masha Allah, kaka Muhammad hasaa kanawiri kweli uislam ni nuru, na mwenye kufata haki hapati hasara

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 4 года назад +2

    MashaAllah. Toweni siri zao

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад

    Sheikh Suleiman a.k.a mazinge kiboko ya free mason. Allah akuhifadhi na Shari yao

  • @abuhajaranwar558
    @abuhajaranwar558 4 года назад

    ALLAH awatilie nuru nyote mashekhe wetu awahifadhi na kila balaa nakula atakae fanya baya juu yenu mola alirudishe kwake. inshaAllah,

  • @ibrahimabdallah7189
    @ibrahimabdallah7189 4 года назад +1

    Allah awajalia her nyingi shee

  • @babuzemacan3713
    @babuzemacan3713 4 года назад

    Mungu awajalei mashekhe wetu,kweli mnatufanyia sana kazi nzito sana

  • @ellon5239
    @ellon5239 4 года назад +2

    Amakweli njia ielekeayo mbinguni ni nyembamba,waionayo ni wacheche....usabato hamuuelewi wala siri ya ukombozi ya mwanadamu kupitia Yesu kristo hamuulewi..May God help you understand His secret of salvation before the very end of time

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 4 года назад

    Ahsante kwa kubadilisha mazingira mkiwa ktk fukwe za bahari. Inapendeza sn na Allah awalipe kheri. Amina

  • @abuhajaranwar558
    @abuhajaranwar558 4 года назад +3

    inshaAllah tunasubiri panapo majaliwa sehemu zifuatazo

  • @hashimmoote3587
    @hashimmoote3587 4 года назад +2

    ماشاء الله أساتذتنا الله يحفظكم ويرعاكم
    Shukra kwa kazi yenu, ustdh yahya, ustadh Muhammad, ustadh mazinge na alioko nyuma ya camera

  • @babuzemacan3713
    @babuzemacan3713 4 года назад +2

    MashaAllah sheikhs

  • @hamidharunsaid1666
    @hamidharunsaid1666 4 года назад

    Kindly share the link to your all social media accounts even to christians so that this important message reaches many people.... Don't just like plz... Very great message

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 4 года назад +3

    Ahsante twasubiri part 2 inshallah

  • @ummabdulrahman170
    @ummabdulrahman170 4 года назад

    Mashallah mawaidha mazuri saanaa na mungu atuhifadhi sisi na vizazi vetu atuongoze njia iliyo nyoka.jazaa yenu kwa Allah biidhnillah

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 3 года назад

    Good job. Masha Allah. Watching from Boston USA

  • @sadanahimana7193
    @sadanahimana7193 4 года назад

    Na penda sana Daawa ya Suleiman Mazinge huwa ana tafsir mpaka watu wanaelea In shaa Allah ampe umri mrefu wenye kheir aendelee kuwafundisha wasiyo elewa dini yetu ya uwislam Nina wafwata kila siku vipindi vyenu vinanifunza na kunifurahisha

  • @bisimwashamboko5713
    @bisimwashamboko5713 4 года назад

    Masha Allah. Clip nzuri sana. Tunasubiri clip nyingi kama izi. Ilituelimike zaidi. @YAHYA. @MAZINGE.@MOHAMMAD. ALLAH AWALINDE.

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  4 года назад

      inshaAllah

    • @fahadkhalfan2079
      @fahadkhalfan2079 4 года назад

      A.alykum sheikh. Nilikuwa nakuomba uwaambie wahadhiri wa kiislamu wa huku Tanzania kina ustadh shafi shomari na jopo lake wawe wanafanya daawa mitaani kama nyinyi huko kw hakika wakristo ni watu waelewa wakiujua ukweli ni rahisi kuufuata ila naona jitihada kama hizo mnazofanya nyinyi huko Kenya za mitaani huku hazipo na zingeleta tija kubwa endapo zitafanywa. Wabillah Tawfiq shukran

  • @abdur-rahmanmuhammad3426
    @abdur-rahmanmuhammad3426 4 года назад +1

    Jazak'Allaahu khayran
    Kwa mada nzuri Allah awalinde na kila Shari mbaya

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  4 года назад +1

      Amin

    • @abdur-rahmanmuhammad3426
      @abdur-rahmanmuhammad3426 4 года назад

      @@kenyadawahtv90
      Huu ni wakati mzuri wa kuwaambia wakristo ya kwamba ukristo aujatokana na Yesu mwenyewe wala uyaudi , hizi dini zote za ukristo zimeazishwa na watu .
      Kama Yesu ndiye mwazilishi wa ukristo kwa nini makao makuu ya ukristo yako Rome Vatican , na kama Yesu ndiye mwazilishi wa uyaudi kwa nini makao take makuu ya marekani ??

  • @harbisulub
    @harbisulub 4 года назад

    Allahuma barik all of you brothers masha Allah. I f am ever in Kenya insha Allah I will take you all out for lunch.

  • @asiriyaaljabriy434
    @asiriyaaljabriy434 4 года назад

    Mashaallah Allah Awabariki kwa kazi yakuwatoa watu ktk giza kuwapeleka ktk nnur

  • @habilisma6599
    @habilisma6599 4 года назад +2

    Asalamu aleykum sheikh yahya... unafanya kazi mzuri keep going sheikh...I.Allah iam hoping 4 50k subscribers i.Allah...

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 года назад +2

    ASSALamu aleikum warahmatullahi wabarakaatuh, ma sha ALLAH nawapata VIZURI sana .جزاكم الله خيرا

  • @alhajkisaka2645
    @alhajkisaka2645 4 года назад

    Mungu awape maisha marefu

  • @user-qz2yd5wm2m
    @user-qz2yd5wm2m 4 года назад

    Allah akuzidishieni inshaallah na Allah akulipeni kheir duniani na akhera.

  • @aminamarie2387
    @aminamarie2387 4 года назад

    Waalekum Salam warahmatullahi wabarakatu,. Mashallah Allah Awape until inshallah

  • @hamza89945
    @hamza89945 4 года назад

    Sure waziri 👏👏 welcome our brother

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 года назад

    Walykumu salaam warahmatullah wabarakatu ..mashaallah wataelewa tu,

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +6

    NDACHA upoo pinga hapo Kisha ushikile kuukadhifu Uislamu kuwa kuleta Muhammad sio Dini ya Mungu KUMBE historia ya kanisa lako ndio hiyo sikliza watu wanye haki ya kujiita watumishi wa Mungu sio nyie wachungaji

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 4 года назад

      God is great
      Nakukubali sana kaka, Namuomba Allah atufishe tukiwa waislamu saafi.. Aamin

  • @GilbertoBaswa
    @GilbertoBaswa 2 месяца назад

    Kiongozi Gani WA kisabato

  • @aminabdi7530
    @aminabdi7530 4 года назад +1

    AllahuAkbar MashaAllah...

  • @fauzialwi3488
    @fauzialwi3488 4 года назад +2

    Kenya Daawah online Asalam Aleykum warahmatullah wabarakatu naam please also include subtitles in English too In Sha Allah some of us our Swahili is not that good 🙂

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 4 года назад

    Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh maa sha Allah

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 4 года назад +3

    "TUMEPATA FAIDA KUBWA SANA,MPO VIZURI PEMBEZONI MWA BAHARI LEO,IMEPENDEZA SANA"

  • @ayushiabubakar1930
    @ayushiabubakar1930 4 года назад

    MashaAlla mungu awazidi shie

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 года назад +1

    Allah awaongoze nyote

  • @mohamedissack8053
    @mohamedissack8053 4 года назад

    Mungu awabariki ma sheikh wetu

  • @saidalkiyumi9270
    @saidalkiyumi9270 4 года назад

    جزاكم الله خير

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 16 дней назад +1

    Kwa hiyo sheikh unasema Ellen G. White alikuwa anapandisha maruhani au unaweza mizuka au pepo hayo yote ni majini

  • @yussufdaudi9408
    @yussufdaudi9408 4 года назад +1

    Dinii ya haki mbele ya mwenyezi lunch ni uislam

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 4 года назад

    Some tem Gerison anawambiaga wakristo wezake japokua yeye nimuyahudi .Walsh uislam ninur najivunia kuamuislam

  • @hamadibabu6384
    @hamadibabu6384 4 года назад

    Mazinge kwani kuna kanisa la mungu

  • @saidimuhidini4153
    @saidimuhidini4153 2 года назад

    na huu ndio uislam

  • @mussafanto7088
    @mussafanto7088 4 года назад +1

    Maashaallah

  • @khalidsulait9575
    @khalidsulait9575 3 года назад

    Mashallah

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 4 года назад +1

    Subhanallah

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 4 года назад +1

    MashaAllah

  • @mwanaumejasiri3835
    @mwanaumejasiri3835 3 года назад

    MAASHA ALLAH

  • @ummua5006
    @ummua5006 4 года назад

    Jazakumu Llaahu khairan

  • @duniaabdallah2852
    @duniaabdallah2852 4 года назад

    Raha sana

  • @oromiyaajittu7188
    @oromiyaajittu7188 4 года назад

    MashaAllah jzk

  • @eliyampesa4352
    @eliyampesa4352 2 года назад

    Mnaongea uongo mtupu kwa maslahi yenu

  • @jumamsembe1213
    @jumamsembe1213 4 года назад

    Allah awaongoze wapate kuujua ukweli

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад

    Mnafki mungu amfichi walisema nitabia za waislam japo wapo waisla na tabia izo ila uislam auruhusu ni dhambi ila upande wa pili ni halal😢

  • @sirqiutaislaamahambe1535
    @sirqiutaislaamahambe1535 4 года назад

    Allahu Akbarr

  • @jumajembe3570
    @jumajembe3570 4 года назад

    mashaAllah

  • @danielmutunga4566
    @danielmutunga4566 4 года назад

    Allah Akbar!!!!!!

  • @bamzeeali5413
    @bamzeeali5413 4 года назад

    Mbona fupi na vile mafunzo na uvumbuo waja vizuri, tupeni part 2 wabillah tawfiq.

  • @user-pz8cb9cj3i
    @user-pz8cb9cj3i 4 года назад

    allah awaongoze nyote kwa jumla na kakaetu muhammad allah azid kukuongoza kwenye din ya uislam mbona hatumuini harishi

  • @chimbaboytv2937
    @chimbaboytv2937 4 года назад +1

    Cogrotulation

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 года назад

    Allah Akbar🇹🇿

  • @jcobnyamweya8464
    @jcobnyamweya8464 2 года назад

    . ukweli ni kwamba sabato itasimama milele