MCHUNGAJI IBRAHIMU WA QURAN SIO IBRAHIM WA BIBILIA..MAZINGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 147

  • @zoey2635
    @zoey2635 3 года назад +1

    Allahu akbari, Allah akuhifadhi sheikh mazinge jr

  • @عليحمد-ح8ث4ح
    @عليحمد-ح8ث4ح 4 года назад +5

    Alhamndulilah alaa islam.allah akuzidishie shekh wetu na akulinde na kila shari .dini yahaki niuslam lakini hawa wakristo tatizo hawa fahamu na hajui nini dini wanafuata tu matamanio yao.

  • @adamdalnurshe4207
    @adamdalnurshe4207 4 года назад +22

    Allah atusamehe dhambi yetu na asaidie ummah ya mtume wetu muhammad salalahu aleyhi wasalam kutoka hii janga la corona.

  • @Noahhersi
    @Noahhersi 4 года назад +4

    ManshaAllah Ustadh Allah akupe umri katika kazi ngumu ya kwa kuelimisha dini ya haki. Elimu hii hata hata kwa waislam walio ughaibuni. Allah atawalipa yote kwa daawa mnazo tangaza

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 4 года назад +5

    Masha Allah Allah SWT awa hifadhi Mashekhe wetu Amin ya Rabbi ajmain

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 года назад +3

    Maa Shaa Allah, Shukran Sana Sheikh Wetu,Allah awabariki.

  • @salimomarmkapa
    @salimomarmkapa 4 года назад +1

    Alhamdulillah. Mbona Mazinge anaeleweka jamani hoja nyingi za nini tena. Mazinge Mungu akuzidishie nguvu na kukupigania vita hivi make sio shwari

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 4 года назад

    Ma sha Allah sheikh Mazinge, Allah akubariki na akupe afya njema ili utetee dini ya kweli ya Allah.

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 4 года назад +2

    Jazakallahu Khair Sheikh

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 4 года назад +4

    Safi sana Sheikh wetu MashaAllah, Allah akuzidishie na akuongoze kw kutetea dini yake

  • @Alextucker88
    @Alextucker88 3 года назад

    Kiswahili ya mazinge is to the next level wallahi masha Alah

  • @mwanaidikuzi4865
    @mwanaidikuzi4865 4 года назад

    Jazaka allahu kher masheikh mungu awalipe in sha allah

  • @alihassan-hy9sz
    @alihassan-hy9sz 3 года назад

    Allah awabariki sheikh wetu,haki mumewaonyesha lakini wamekuwa wagumu kuielewa waacheni mradi wamekataa waendelee kufuata uwongo amboa watahukumiwa na Allah siku ya Qiyama...

  • @isarichard
    @isarichard 6 месяцев назад

    Watched from Lusaka Zambia 🇿🇲

  • @moanamohammed1406
    @moanamohammed1406 4 года назад +1

    Masha Allah..unafundisha vzr sana taratiib

  • @makenakendi282
    @makenakendi282 4 года назад

    Mashallah ALLAH BARIIK always

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 4 года назад

    MashaAllah sheikh.jazakallah!

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 года назад +6

    mazinge wa tanzania
    mazinge wa kenya
    hawa vigogo
    mm sijawahi kuwatofautısha kabsa kwa misumari dhidi ya makafiri

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 Месяц назад

    Dini ya majinni...poleni sana waislamu ...watu wa kiumbe cha kutisha kiitwacho Allah!

    • @AbdulAden-m7w
      @AbdulAden-m7w Месяц назад

      Wafuasi wa Paulo wamechanganyikiwa pole sana

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad6225 2 года назад

    Maashaallah

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 4 года назад

    Shukran ustadhi wangu

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 года назад

    Mungu awabariki sana watumishi

  • @mdmalik8484
    @mdmalik8484 3 года назад

    Mungu akupe umri mfefu no akuhifadhi

  • @rickrosal3147
    @rickrosal3147 4 года назад +1

    Allah akbar

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 4 года назад +6

    Al Quran Karim ni kitabu peke kitaka Tifu na cha Haki

  • @axmedcabdi3660
    @axmedcabdi3660 3 года назад

    Asallam aleiykum warahmatullahi wabarakatu.
    shukran maalim mafunzo poa sana
    na inafahamika sana

  • @nak3477
    @nak3477 4 года назад +1

    Je wajuwa unapo angalia sex video na kupiga puu unaifanya akili kutokuwa na uwezo wa kufikiria (brain fog)kukosa guvu mwilin,kuwa mchovu, na hata kushusha afya ya mwili,kuuwa kizazi (infertility) uume kuwa lege lege,kukosa hamu ya tendo la ndowa.watu wengi wanajaribu kuacha kuangalia sex video na kupiga puu nyeto lakin wanashidwa njian.hii inatokana na addiction follow me kwa ajili ya kuacha kuangalia sex video na puu nyeto..
    you born to be free not to be slave
    Any one want to stop from porn addiction and masterbation follow me.. Ponography is ruin your life and future..
    Build your future today..
    Follow us in instagram ..account name.. join_befree

  • @axmedcabdi3660
    @axmedcabdi3660 3 года назад

    barakallah

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Mini nafuatilia Sana bio midahalo lakini hadi Leo sijafahamu Dino ha ikristo imeanzishwa na Nani na Hilo neno Kristi no Jina au mini naomba jibu wadau kaaba naona huku mitaani wanaswma Kristi no mungu yaani yeah we fine wanasema neno Kristi no mpakwa mafuta wengine wanasema wakristo no wafuasi wa Kristi Sasa kama no wafuasi wa Kristi Dino Yao no ipi

  • @musanike3079
    @musanike3079 2 года назад

    Islam is the true Religion. Nimeamini 😭

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Alikuwa katika kanisa kanisa sio kanisani maana kanisa sio jengo kanisa no mkutano baada ya mkutano ibada inafanyika katika sinagogi nyinyi mnangania kuingia kanisani Yesu hajaingia kanisani

  • @khalifakhamiss8785
    @khalifakhamiss8785 4 года назад +1

    Dah mungu akueke ivi ulipotelea wap miaka mingi hata zile cd za kuelezea freemason hutoa tena au ni mkwala wao

  • @manirumvaabdillah1759
    @manirumvaabdillah1759 4 года назад +1

    Umetembeya vizuli kweli kwemada hiyo

  • @mrwhite3418
    @mrwhite3418 3 года назад +2

    Mi nilifikili uwo mchungaji wa Wakristo ataeleza asili ya dini ya Ukristo kaja hapo kuponda tu!! Mchungaji wa Wakristo nakuomba eleza asili ya ukristo, nabii gani alikuwa Mkristo,kanisa limetoka wapi,,

  • @manirumvaabdillah1759
    @manirumvaabdillah1759 4 года назад

    Allah akuhifadhi kwenye kaziyake inshallah

  • @latifahmilkah4371
    @latifahmilkah4371 4 года назад

    Huyu pastor ana kanusha yale shehe Aliyo toa kwa Quran na bibilia wala hatoi ushahidi wa ukristo n dini ya kweli...cha pili ame vaa kanzu na waumini wenzake hawa vai..yaani haelekezi waumini wa kanisa wa vae kanzu. ...jameni mlango wa Islam uko wazi njooni mkiri maneno machache tu tuzidi na kumwabudu Allah kwa dini safi....mchungaji stahamili tu...Allah Akbar

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 года назад

      Wanapenda uislam wanajua ni ya haki ndio mana wavaa kanzu za kislam ila maslahi wameka mbele ila ole wao kwa mmngu ktk jahanam

  • @josephmtemi5658
    @josephmtemi5658 4 года назад +1

    Profesa bandia mazinge....Mohammad anawapoteza waislam

    • @faisalwaafrica7478
      @faisalwaafrica7478 4 года назад +2

      Ww ni mchungaji tu ustadh mazinge ameweka wazi haq ni ww sasa ndio wakutafakari nakujua ukweli toka uko kabla mauti haijakufikia

    • @ayushiabubakar1930
      @ayushiabubakar1930 4 года назад

      Wana elewa ila wagaindi

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад +1

      Quran 2 131Na Mola wake Mlezi alipo mwambia: Silimu, Nyenyekea! Alinena: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote.
      132.
      Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu... Ibrahim ameamrishwa Silimu wote mitume

    • @mwabwagizojaytummumwabwagi7182
      @mwabwagizojaytummumwabwagi7182 4 года назад

      @@faisalwaafrica7478 👏👏👍😷

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 4 года назад

      We Joseph mtemi huna akili hata moja! Maana mwenzio professor anatoa aya za Qur'an na biblia haya weye unayatoa wapi hayo maujinga yako

  • @happyfraha5649
    @happyfraha5649 3 года назад

    Haki sio kweli ni haki lakini haiendi mbinguni

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially5234 4 года назад +1

    Msomaji changamka!!!!!

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Hawa wapotoshaji WA kikristo wanayoa Aya katika kuraan kuikanusha quraan

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 года назад

      Itowe tusome..... Hiyo labda uandike wewe

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 3 года назад

      @@chiefmkalikibz1503 unasema Pope ni kiongozi wa waislamu waislamu na wakristo nani anaabudu kanisani wewe uliwahi sikia siku moja akitajwa kiongozi wa miskiti duniani Pope John Poole au kiongozi wa Kanisa na kanisa ni Mali yao wasioabudu Mungu wakristo hasa ndio wasio na dini wala kitabu kwa sababu ukristo ni mpango wa warumi sio wa Mungu kama ukipata andiko linasema ukristo ni dini basi waonyeshe waislamu waone ukiwa mkristo wewe ni mshirikina tena kafiri

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 года назад

      @@godisgreat1845 Assalam alleykum. Thwaiyib Bro👏. ....kihakika hakuna andiko linalo sema ukristo ni dini ,wala bibilia ni kitabu cha MUNGU.
      Tatizo limetokea hapa kati ya mimi na wewe ni kutoelewana na kwa hili naomba AFWAN(samahani).
      Comment yako ulikosea kupanga maandishi ya sentensi ndio maana sikukuelewa WAPINGA QURAAN AMA WAIKUBALI (bimaana sikukuelewa wewe ni muislam ama vipi?)
      Siku Njema

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 3 года назад

      @@chiefmkalikibz1503 Allah akbar

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 года назад

      Tabaraka Allahu👍

  • @fatumamohamed4518
    @fatumamohamed4518 4 года назад +1

    kama mwaka mwanamume kama
    ana uwezo na anafanya haki
    sio tu kuowa wanawake bila uagalifu

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +3

    Sasa high yesu wapi alizungumza na nyie wakimuyu maana naona kola andiko wanatajwa Wana WA Israeli Sasa ikiwa yesu no kwa ajili ya ulimwengu Sasa kwanini kola andiko wanatajwa Wana WA Israeli kwani mungu alikuwa hajui kuna makabila mengine

  • @happyfraha5649
    @happyfraha5649 3 года назад

    Jahananu itajaa kweli kweli dini haiwezi kuku peleka mbinguni njia ni YESU nyi nyi waisilamu muna potea

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 года назад +1

      Hilo jina toa bada kueka ni masikitiko hujui unaongea tu angalia sasa wenzako wanahubiri yesu si mungu ,mazinge mmungu kampenda kwa kumtoa huko alijua ukweli nyiyi mmpetea kwanza yesu wala si mzungu na pia nyiyi mnabudu misalaba na spicha za madukani mnanunua eti ni yesu kumbe ni mzungu na bii mnamuitavmungu atawakana

    • @mariamabdallah115
      @mariamabdallah115 3 года назад

      Mulio potea ni nyinyi musio jielewa twawaonea huruma sana bora usilimu usikufe kafiri wewe kondoo

    • @AbdulAden-m7w
      @AbdulAden-m7w Месяц назад

      Wewe ndo umepotea .......

  • @saidbakhlaaofficialchannel3950
    @saidbakhlaaofficialchannel3950 3 года назад

    Mbona hawa watu wanapenda kutumia kitabu cha baruwan .. kitakua ni cha kinafiq

  • @fatumamohamed4518
    @fatumamohamed4518 4 года назад +2

    kwani wakristo wanava kazu
    tangu lini??

    • @anghamij7046
      @anghamij7046 4 года назад

      Wanavaa jua kuazia leo

    • @anghamij7046
      @anghamij7046 4 года назад

      @@masterantojbeatz7884 walawi 3:4 soma bibilia

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 4 года назад +1

    Ombi ndogo tu camera man anachezesha camera ni marekebisho tu kidogo Debate uko vinzur mashallah naona hata wachugaji pia wameva kanzu leo🙏🙏

  • @josephmtemi5658
    @josephmtemi5658 4 года назад

    Kabla Muhammad ajasilimu alikuwa Wa dini ganii?????

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад +1

      @@petromachanga29 Soma vitabu vya Mwenyezi Mungu asilim ni Neno la kiarabu maana yake ni unyenyekevu au kunyenyekea... Ukisoma hata Yesu mwenyewe kasema yeye amenyenyekea na Musa na Ibrahim hivyo hivyo... Huwezi kuwa Mtume bila ya kunyenyekea Mungu

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад +2

      Mathayo 11:29
      Mathayo 11:29 BHN
      Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtatulizwa rohoni mwenu.
      BHN: Biblia Habari Njema... Yesu nae kasema yeye amenyenyekea

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад +1

      Quran 3 43 Ewe Maryamu! Mnyenyekee Mola Mlezi wako na usujudu na uiname pamoja na wainamao. Maryam nae kabla ya kupewa uja uzito kaambiwa anyeyekee..

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад +1

      Quran 28 Basi alipo ufikia aliitwa kutoka ng'ambo ya bonde la kuliani katika eneo lilio barikiwa kutoka kwenye mti: Ewe Musa! Hakika Mimi ni Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote.
      31.
      Na tupa chini fimbo yako. Basi alipo iona ikitikisika kama nyoka, akarudi nyuma wala hakutazama. (Akaambiwa): Ewe Musa! Njoo mbele wala usiogope. Hakika wewe ni miongoni mwa walio salimika.
      32.
      Ingiza mkono wako kwenye mfuko wako, utatoka mweupe pasipo na ubaya. Na jiambatishe mkono wako ukihisi khofu. Basi hizi ni dalili mbili zitokazo kwa Mola wako Mlezi kumpelekea Firauni na wakuu wa umma wake. Hakika hao walikuwa watu mafaasiki.... Musa ameasilimishwa( amenyenyekea) kabla ya kupewa utume

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 года назад

      @@petromachanga29 hata wewe Yesu anataka usilimu

  • @ritanget9174
    @ritanget9174 4 года назад

    Hawa wapinga Kristo wangoje yesu akiteremka hapa wajua hawajui ndio wataomba msamaha mtaambiwa mmechelewa muda umeisha.njooni kwa yesu muokolewe

    • @عليحمد-ح8ث4ح
      @عليحمد-ح8ث4ح 4 года назад +1

      Wewe dini huijui bora unyamaze.

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 4 года назад +3

      #RitaNget ....hahaaa....Mpinga Kristo ni ww ndugu’
      1- Yesu alikua Muislam ‘ ww Mkristo
      2-Yesu Aliingia Msikitini’ ww kanisani
      3-Yesu Alikua anasujudu’ ww unapiga magoti
      4-Yesu Alikua anavua viatu akiabudu’ ww unavaa.
      5-Yesu Alikua anaosha viungo kabla ya Ibada ‘ ww huoshi..!
      6-Yesu alikua Anaabudu MUNGU ‘ww unamuabudu Yesu
      7-Yesu Alifundisha Watu wazikwe na sanda’ww unazika na Suti/magauni ..!
      8-Yesu hakuabudu Kwa kuimba’ ww unaimba...!
      ...SASA HAPO MPINGA KRISTO NANI...?
      .......TAFAKARI...!

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 года назад

      @@ismailyusuph740 yesu hajawai kua muislamu pole sana yesu alibatizwa mto Jordan hajawai silimu ISSA wenu ndie muislam lakini yesu wetu alibatizwa kama vile sisi tuna batizwa

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 года назад

      @@ismailyusuph740 yesu aliingia msikiti wa wayahudi wewe myahudi

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 4 года назад +1

      #RitaNget ....Safi ‘ Sasa jiulize ww’ Myahudi ni dini au kabila..?...Na myahudi akiingia kanisani anakua dini gani...?
      Kwa hiyo Yesu alikua ni myahudi akaingia msikitini Je atakua dini gani..?
      ....AMKA..

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 3 года назад

    Acheni ujinga waklisto kuruani kama mnasoma naukweli mnaujua kwanini mnakua nakibuli

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially5234 4 года назад

    Unataman xna kuwa muislam Ila huna namna ushanunuliw unabak kuadhin adhin tu nalisaut lako baya hovyo

  • @ritanget9174
    @ritanget9174 4 года назад

    Sasa hatujaona ukweli ndio maana hakuna mtu anatokwa machozi hatuendi Kwa shetani tuko kwa njia ya kweli na uzima wa milele

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 4 года назад

      Shetani hana makao

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 года назад

      @@mangeraalbert7982 alishindwa Kwa jina la yesu

    • @eastafrica6858
      @eastafrica6858 3 года назад

      Nyiyi mmefata huyo kwani ungelefata ukweli ungekua si shetani mmefata paulo si yesu mana ukiangalua mana bee woote ni uarabuni haya niambie nabi yupi alikua wapi marecani au rome fatilieni hata waislam huwa wanafatilia sana

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan4629 4 года назад

    Na siku hizi wakiristo wameanza kuvaa kanzu .ebu angalia huyo paster jameni amelemewa ...

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 4 года назад +1

      Kanzu ni nguo ya kawaida kanzu Takatifu ziko kanisani zile haziendi sokoni kama hizo zenu

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      @@ritanget9174 kanisani ni mini skirt hamna kanzu acha uwongo

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Hao makafiri Akina ndacha wanatoa boja kuwafumba ajili Hao wajinga wanao amino kola jambo

    • @abdulshakoursalumsaid7125
      @abdulshakoursalumsaid7125 4 года назад

      Dah wee Kijana kila mdahalo ushauangalia kila ntakaoangalia nakuta comment yako, unapenda ee.

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 года назад

      @@abdulshakoursalumsaid7125 siwezi kupotea bila kutoa comment maana siwezi kusikia mtu anatukana Imani yangu nikanyamaza maana kesho Allah ataniuliza nilichukua hatua gani kumtetea.mtume wangu wakati makafiri wamimshutumu kwa HOJA za uongo

    • @abdulshakoursalumsaid7125
      @abdulshakoursalumsaid7125 4 года назад

      Mashaallah, Allah atupe kheir na ahli zetu.

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 года назад

      @@abdulshakoursalumsaid7125 sote amina

    • @abdulshakoursalumsaid7125
      @abdulshakoursalumsaid7125 4 года назад

      @@godisgreat1845 Inshaallah.

  • @happyfraha5649
    @happyfraha5649 3 года назад

    Mimi siwezi kua muisilamu kabisaaa naichukia ka bisaaaa hawana roho mutakatifu

    • @maclinduksi4231
      @maclinduksi4231 3 года назад +1

      Basi imo siku utajichukia ukisema kwanini hukukuwa muislamu ukuwa duniani ya pili ukisema waislamu hawana roho mutakatifu ni kuwa tu elimu yako Indio ndogo sana kuhusu uislamu so I urge you to read more about Islam instead of blindly blackmailing the Muslim religion