Wakristo wastuka kusikia hakuna kuokoka hapa duniani kumepambazuka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 60

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Год назад +4

    Mashallah sheikh endeleeni musichoke maana wengi hawajui anayestahili kuabudiwa Allah atawafadhili

  • @YafidOstadh
    @YafidOstadh Год назад +7

    Masha,alaah mfumo mnaoutumia ktk ulinganiaji mtaa kwa mtaa nimzuli sana

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад

      Nandyo.sababu..watukuingiaKatikaDini.yamungu..Allah.awalipemalipo.mema.yaarabi.

  • @samxx411
    @samxx411 Год назад +3

    Sheikh Ali kwa kuchomekea vineno vineno lkn vizuri na vya kitaalamu

  • @suleimanabdull1958
    @suleimanabdull1958 Год назад +7

    Yaani wallah uislam ni neema na knowledge hawa watu hawajui hata sifa ya Mungu wamo tu . Waislam tumshkur Allah kwa kukujalia kuwa miongoni.

  • @sadickkagoma5297
    @sadickkagoma5297 Год назад +4

    Kazi Nzuri sheikh wangu, Allah awajalie kheri na baraka

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 11 месяцев назад +1

    Bando lng huwa linaisha hta cjutii, Ahsanten sn ma Shekh wng

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Год назад +3

    Mashallah Allah awabariki naawazidishie afya nzuri na guvu yakuendeleza dawaa

  • @rogojr712
    @rogojr712 Год назад +10

    Assalam alaikum ni vizuri kuwaombea Dua ma sheikh wetu ila Dini inataka Dua na Mali . Tusiishie KWENYE Dua Tu tutoe kwa Ajili ya Allah ILI Neno la Allah litanganzwe namba ya kuchangia IPO hapo KWENYE video chochote shukran

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Год назад +1

    ALLAHU wakibar mafundisho Yako saw walim wetu ALLAH wape hafya nauzima na pia waongezee eelimu

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw Год назад +2

    Hakuna apasaye kuabudiwa ila Mungu tu ....❤❤❤

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Год назад +3

    Wooooi wakristo hizi masababu mingi ndio zinafanya. Shakahola watu wanakufa kubalini maandiko vile yalivyo wacheni kuongezea vitu haziko na kutumia akili kujugde kitu soma vile imaandikwa tosheka nayo bas si kutimia akili na kuvuruga mambo masallam

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Год назад +4

    Allah awalipe masheikh kweli munafundisha hata waislamu

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад

      SaanaNasyePiatunaelimika.Alhamdulilah.walipwe.malipo.memaInshaAllah

  • @abdullahihabashow3606
    @abdullahihabashow3606 Год назад +4

    Asalamu Alaykum warahmatulllah wabarakatu.MashAllah you are doing great work may Allah reward you with Janatul Firdaws.i am suggesting that one day you try to demystify the crucifixion of Jesus as believed by christians

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Год назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @achimoramadhanimataka1208
    @achimoramadhanimataka1208 Год назад +4

    Salimu nawapenda sana kwajili ya Allaaha

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +8

    So much confusion wallahi. Mara Yesu ni Mungu , mara Yesu ni mwana wa mungu , mara Yesu ni malaika. There’s no consistency

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Год назад

      Eleza John 17:5 please

    • @DhB-z1p
      @DhB-z1p 6 месяцев назад

      Subhanallah allah atawaongoza njia iliyo nyooka inshallah

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Год назад +5

    Mimi ni mkristo! Ila suala la kuokoka nakataa😢

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Год назад +2

      Karibu katika dini ya haki kwa maana hakuna mtume aliekua mkiristo

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Год назад +1

      @@halimahbwelele694 ukae kwa kutulia tu siku ya mwisho ndio tutajua ukweli

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 3 месяца назад

      Kaingiamitin.naukweli.kauona.HatajuaMwenyewe

  • @mwanamtotosaid702
    @mwanamtotosaid702 Год назад +3

    Masha Allah 🥰

  • @HafsaHassanHusen
    @HafsaHassanHusen Год назад +1

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @Musawanjala
    @Musawanjala Год назад +2

    Mashaallah

  • @josemu870
    @josemu870 8 месяцев назад +1

    Mungu ni moja tu

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Год назад +2

    Ukiristo niukafiri mtupu .wakiristo wanamfuata shetani

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +5

    The truth hurts when see it in their own scripture. They were not taught much

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Год назад +2

    Assallam aleilum im back again nilikuwa nje ya mtandao sasa nimerudi InshaAllah tuko pamoja nimefurahi kuwaona tena Allah barik

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Год назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh karibu sana

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Год назад

    Kweli kabisa, watu saii wanaongoka na kuwa wataua mpaka ile siku ya mwisho dio watu wataokolewa, ssasa wote wanamfuata YESU KRISTO wakona hii subra ufunuo 14:12

  • @mkambasalehomar7436
    @mkambasalehomar7436 Год назад +1

    Hao wamisheni walijiandaa kuwapoteza wenziwao tu

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Год назад

    الحمد لله على نعمة الإسلام

  • @ClintonGetenga-ys9op
    @ClintonGetenga-ys9op Год назад +2

    99 percentage of christians are they follow the taughts of false prophet nowdays na makanisa haina umoja ,chuki tu so kila mtu amini kwa mungu mmoja tu,

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Год назад +2

    Shakahola Ile ilikuwa kafara ya mwaka azidi kupata utajiri wake kwa majini

    • @Sai.Mo69
      @Sai.Mo69 Год назад +2

      KanIsa la Makenzi ni ya EZEKIAL.
      KAFARA ili tolewa na EZEKIAL, kupitia Makenzi!
      Sio Makenzi aliji tolea KAFARA kwa sababu Makenji hana cho chote Kikubwa!
      EZEKIAL ndiye ame jenga WAREHOUSES SITA, zaku pokea WATU 12,000 PER Warehouse!
      6 x 12000 = 72,000 People!
      This means kila BUSINESS DAY, au SUNDAY, kama kila mtu aki towa ksh600-1000 each, EZEKIAL ata pokea between 3.6M to 7.2M Million !
      This is WHY KAFARA ya WATU 300 ili tolewa na EZEKIAL.
      Makenzi ni small Fish tuu!
      EZEKIAL ndio BOSS!

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Год назад

      Yan ni boss na bado mnampa sadaka

  • @ramadhanisalum3548
    @ramadhanisalum3548 Год назад

    Allah Akbar

  • @Adm9464
    @Adm9464 Год назад +3

    1+1+1=1. Even your math teacher hata kubali.

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Год назад +2

    Problem they don't read the Bible on their own that's why see new vases every day ,may Allah show them the streight path

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 Год назад

    Alf nina swali je wayaudi walikuwa wa dini gani

  • @NathanielNathan-m4o
    @NathanielNathan-m4o Год назад

    Na tazama sauti kutoka mbinguni ikasema,Huyu ni mwanangu mpendwa ninaye pendezwa na yeye.Matthew 3:17

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Год назад

      Hiyo sauti ni ya nani???

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o Год назад

      @@salimdaawah123 mwenye mwana ndio mwenye hiyo sauti.Saa hii mwana yuko Kwa baba

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 5 месяцев назад

      Kwani uliambiwa Mungu yuko mbinguni? Mungu yupo popote na si mbinguni. Na mbinguni ndio wapi?

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 5 месяцев назад

      @@hashimchaoga9566 Mohamed alienda pewa wapi hizo sala Tano Kwa siku, Afghanistan? Ama hujaambiwa kwenye mohamed alienda na usiku?

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 5 месяцев назад

      Hebu waulize hao wataalam wanajua kila kitu vitabu vyote. Lakini hiyo iko katika nguzo tano za uislam mojawapo ni swala nazo ni tano hiyo imo katika kur ani. Nyinyi hamko serious na hayo mambo masista wanasali mara nyingi zaidi na wengine hao hao lakini ni jumapili tu ndio wanaenda kanisani kusali. Yesu katika biblia anasema sauti ya Mungu hamjaisikia popote hebu wasikilize hao wasomi