Ubarikiwe mtumishi na mimi nilikuwa naomba usiku wa manane Mungu anilejeshea kabali changu nilikuwa na vita vikali kupitia maombi ya usiku wa manane Mungu aminishindia
God bless you Mwalimu nimejifunza na Kule wa jins Mungu anajifunua katka mambi ya usiku na Vita vyangu adui anafanya zaidi usiku hapa naingia kwa Matendo moja kwa moja nimuone Bwana thanks God for this Man of God
Yesu mwaka huu nitaamka usiku kuutumia vizur Ili uokoe ukoo,familia na maisha yangu binafsi thanks so much kwaajili ya neema hiii nakucheka shetanii unipati tena😂😂😂😂🎉
Asante Yesu kwa hili somo nimelitafuta sana kwa muda mrefu maana mara kwa mara ikifika saa tisa nakosa usingizi na sijui chakufanya Ashukuriwe Mungu leo nimejua nini cha kufanya Ubarikiwe Mtumishi Hakika kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kùsudi chini ya mbingu
Ubarikiwe sana mchungaji umeyagusa maisha yangu Mungu naomba Neema ya kuweza kuamka usiku wa manane ili niombe maombi ya dhabihu niweze kuzivunja mbegu za magugu katika maisha yangu,katika familia yangu,kwa ndugu zangu na kwa afya yangu Mungu nihurumie mimi ❤
@@nurumtewele2835jinsi ulivyoiset Imani Yako maana iwe usiku iwe mchana YESU KASEMA ukiwa na Imani kiasi Cha punje ya haradali utauambia mlima huu onfoka na utatii..pasipo Imani haiwezekani kumpendeza
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kuutafuta uso wa Mungu usiku wa manane.Mungu atusaidie Wana wa Mungu kutenga muda wa kumtafuta Mungu Maombi ni Ulinzi kwa Mkristo
🤲 eeeh! Mwenyezi mungu nilikuwa siombi usiku ila sahii naomba usiku nakuomba sana baba yangu uniponye magonjwa yote yanayonitesa yaurithi,yakujituma na kutumwa ,fungua kizazi cha mama yangu fungua ndugu zangu kila minyororo ,kamba n nira zote za kimapepo zikakatike Kwa nguvu zako 🙏🙏🙏
Maombi yangu ni changamoto kutokana na Yesu Kristo mwokwozi wa maisha yangu....mimi huomba kila wakati kwa Mungu wangu....mafundisho yako Pastor hunisaidia kusoma na kunifundisha mambo mingi ya MUNGU.... Amen n Amen.
Jaman pastor.......nimesikiliza huu ujumbe zaidi ya mara tatu na sijachoka bado,,,Mungu akubariki sanaaaaaa sielewi niseme nini ila umenifungua macho sana🙏
Hakika nmepokea nguvu mpya katika hii safari ya ki imani vile nitakavyoweza kupigana na nguvu za kiroho za ulimwengu,,,nashukuru sana mtumishi wa mungu ,,popote uedapo mungu akutagulie na kukushka mkono,,👏👏🙏🙏
Nairobi 🇰🇪 following the sermon very well.God bless this servant of God
Asante Mtumishi wa Mungu akubariki nimekuelewa vizuri somo la maonbi usiku wa manane.
Amen kuna raha sana kuomba usiku wa manane na kuna uwepo wa tofauti sana Mungu hujibu papo kwa papo 🙏
Asante MUNGU kwa ajili ya hili neno litanisogeza mbele zaidi
Be blessed pastor ❤ Mungu unapobariki wengine usimsahau na uyu pastor ametufunza mambo muhimu sna ❤
Mungu nsaidie niwe naomba usiku, Mungu akubariki mtumishi kwa neno hili
Ubarikiwe mtumishi na mimi nilikuwa naomba usiku wa manane Mungu anilejeshea kabali changu nilikuwa na vita vikali kupitia maombi ya usiku wa manane Mungu aminishindia
Nimebarikiwa sana na somo hili mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki.
Munguu tutunziee huyuu mzee miaka mingii❤❤❤
Kabisa yaani somo nzuri sana
From 🇲🇾 Asante Mungu Kwa kumfahamu huyu mchungaji
Pastor n kweli naamini mungu anasikia n anajibi maombi y usiku barikiwa kwa hil neno limenigusa mahali
Amen
Amen Baba Mungu akuongoze zaidi
Asante Mungu kwa yoote unayotutendea watu wako naomba uwepo wako katika maisha yangu na familia yangu simama nami Bwana
Mungu akubariki sana pastor kwa kutufungua macho na kupambana na maovu.
Eee mungu wangu nisaidie niwese kukujua kwa maombi ya usiku wa manane uniondoree mgonjwa mbali mbali na unibaliki kwa kila jambo ninalolifanya Amen
Nmebarikiwa sana mchungaji Kila siku ntakuwa naamka usku wa manane Mungu anisaidie 🙏
This is so true. Thank you so much pastor for this teachings. I started praying mid night and God has done so much for me
Mungu anisaidiee kupitiaa haya mafundisho yaa mtumishi wa mungu yabadilishee maishaa yangu
Ee mungu wangu nijalie Neema ya kukujua kukupenda na kukutumikia,nijalie pia nisiwe na ulegevu katika maombi Amen 🙏🏼
Mungu akubariki mchungaji kwa ujumbe mzuri wenye nguvu.
Mara ya kwanza kukusikia yaani masomo yako yananifaa saana namshukuru Mungu kwa ajili yako be blessed abundantly
Asante yesu 🙏 kwa neno naamini kuanzia leo nimebadilika 😢😢
Asanteeeeh eeeeh YESU 🙏simama na mm katika utekelezaji 🤲😢 AMEEN 🙏
God bless you pastor mungu akubariki nimejifunza kulingana na mahubiri yako
God bless you Mwalimu nimejifunza na Kule wa jins Mungu anajifunua katka mambi ya usiku na Vita vyangu adui anafanya zaidi usiku hapa naingia kwa Matendo moja kwa moja nimuone Bwana
thanks God for this Man of God
Mungu wangu nakuomba kwanxia usku huu npee neema ya kuamka usku wa manane maombi
Yesu mwaka huu nitaamka usiku kuutumia vizur Ili uokoe ukoo,familia na maisha yangu binafsi thanks so much kwaajili ya neema hiii nakucheka shetanii unipati tena😂😂😂😂🎉
Amina
😂😂😂eti wamcheka Shetani...meipenda hii
Mungu akubariki muchugaji Mimi ni mebarikwa kweli🙏🙏🙏🙏🙏🎤🎤
Asante Yesu kwa hili somo nimelitafuta sana kwa muda mrefu maana mara kwa mara ikifika saa tisa nakosa usingizi na sijui chakufanya
Ashukuriwe Mungu leo nimejua nini cha kufanya
Ubarikiwe Mtumishi
Hakika kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kùsudi chini ya mbingu
Hata Mimi nakosa usingizi mda huo
Aminaaaa Mungu Akunue zaidi nazaidiii Amen
Asante mungu kwa kumwinua mtumishi wako tumebarikiwa sana endelea kumfunika kwa damu yako hili awe mchungaji mwema wa kulisha kondoo wako amen
Mtumishi mimi na shukuru Mungu sana nime saidiwa na somo...
We Mungu wangu nisaidie niweze kuomba usiku wa manane Kwa maana Na mini uponyaji wangu , Baraka zangu zinapatikana masaaa hayo
God bless you pastor your teaching very powerful God bless you
Mungu unifungulie vifungo vyote usikuhu na uachilie balaka zako kwa jina la yesu amen
Mafundisho yako yamenitoa machozi😢Mungu atupe ufahamu wakujitambua,asante mchungaji ubarikiwe🎉.
Amen
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa huduma ya neno halisi la Mungu.
Ee mungu nipe ufahamu wakukujua Zaidi,minyororo ya shetani itoke kwenye maisha yangu nkuwe mwepesi WA kuamka usiku WA manane na kutukuza Jina lako
Very powerful message,,GOD bless you
Ubarikiwe sana mchungaji umeyagusa maisha yangu Mungu naomba Neema ya kuweza kuamka usiku wa manane ili niombe maombi ya dhabihu niweze kuzivunja mbegu za magugu katika maisha yangu,katika familia yangu,kwa ndugu zangu na kwa afya yangu Mungu nihurumie mimi ❤
Am be blessed by this teaching.
Amen ... Be blessed man of God umenitoa mahali naomba Mungu anisaidie niweze kuamuka usiku 😢 nikiomba
Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA kwa neno la uzima. BWANA YESU akutunze
Asante yesu kwa ufunuo huu uliompa mtumishi wako kutufundisha somo hili!
Mungu Mikumbuke Nakuhitaji Sana Mungu Wangu Mungu EYesu Kristo nisaidie.mimi Mtumishi Wako.
Mungu abariki sana uyu pasta anamafundisho mazuri sana nimebarikiwa sana amen
E mungu nisaidie Usk niwe naamka
I praise God for opening this forum,I'm blessed n I will follow this powerful man of GOD. I'm blessed mightly.
Ameeen nilikuwa naomba usiku silali nilikuwa na shida Yesu alinijibu na kunitendea Atukuzwe Mungu.
Amina
@@nurumtewele2835jinsi ulivyoiset Imani Yako maana iwe usiku iwe mchana YESU KASEMA ukiwa na Imani kiasi Cha punje ya haradali utauambia mlima huu onfoka na utatii..pasipo Imani haiwezekani kumpendeza
Ameni
Amin kubwa
Atukuzwe Mungu milele
I have a testimony too through this midnight prayers,Amen amen amen
Huyu pastor ni chombo ya Mungu.
Mtumishi naomba umuombee Babayangu anaumwa naomba iombee familiayangu kwaujumla amen Mungu azidi kukutia nguvu balikiwamno
God give me grace to pray at night.Go bless you Man of God
God bless you pastor ,am bless !
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kuutafuta uso wa Mungu usiku wa manane.Mungu atusaidie Wana wa Mungu kutenga muda wa kumtafuta Mungu Maombi ni Ulinzi kwa Mkristo
Amina sana mtumishi wa mungu ubarikiwe
🤲 eeeh! Mwenyezi mungu nilikuwa siombi usiku ila sahii naomba usiku nakuomba sana baba yangu uniponye magonjwa yote yanayonitesa yaurithi,yakujituma na kutumwa ,fungua kizazi cha mama yangu fungua ndugu zangu kila minyororo ,kamba n nira zote za kimapepo zikakatike Kwa nguvu zako 🙏🙏🙏
Amina
AMEN
God bless you Pastor, Mungu anisaidie nichukue hatua
MUNGU ambariki sana huyu Mtumishi. Tangu nianze kufuatilia mafundisho yake maisha yangu ya kiroho yamebadilika. Napokea mabadiliko mapya kila siku.
Ahsante we barikiwa pastor
Amen asifiwe yesu mwana wamungu❤
Mungu akubariki mtumishi nami naomba mungu anisaidie niutumie usiku huo
Ubarikiwe sana. Mafundisho mazuri kuhusu maombi.
Asante mchunaji umenifunza mengi Mungu akubariki
Asante sana kwa neno ya maana sana!
Mungu akubariki zaidi!
I'm really blessed, very powerful teaching 🙏 🙌
Mimi nilipokea kunena kwa lugha usiku wa manane , Asante sana pastor nazidi kupata nguvu zaidi na zaidi . Mungu akubariki.
This is a great revelation..... God help me to wake up at mid nights for prayers
Mi too
This is amazing! Kwa kweli hapa ninapata kitu Mungu akubariki sana mtumishi
Amen somo ni nzuri Sana limenifumbua macho ya roho I barikiwa sna mtimishi
Amen Amen uko wapi nataka nije nisali kwenye kanisa lako. Nimebarikiwe sana Tena sana. Mwenyezi MUNGU akubariki sana.
Hali somo Nlilitendea kz na limenitoa i thnk god limenibadilisha mno
Amen Mtumisshi wa Mungu ipo siku na mmi nishuhudia Makuu ya Huyu Mungu🙏🙏
asante Sana mchugaji kwa mafunzo haya mazuri kwanzia sasa ninaomba mungu anipe ujasiri wa kuomba usiku wa manane 🙏🙏🙏
Am ready now to rise and fight,,,thanks man of God we really need this type of truth
Pastor God bless you so much.
Amina, barikiwa mtumishi 🙏🏻
Nimepata somo zuri kwa hatima ya maisha yangu
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yelio jaa maarifa nimepokea kwa jina la Yesu
Mungu wa mbinguni naomba unitie nguvu niliweze hili Amen 🙏
God bless you pastor ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇨🇩
Ewe Mungu wangu naomba unipe neema ya kukwabudu usiku wa manane haya ni maombi yangu mbele yako ewe Jehovah Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏
Asante yesu kwa ajili ya siku hizi nimesikia neno la mtumishi wako.
Mungu yesu Akubariki Kwa mafundisho mazuri@@basilisapuka5321
0p😢😮@@basilisapuka5321
Asante sana pastor kwa kutufunza jizi ya kupigana vita ya kiroho na shetani .
Umenifaaaaaaa mno baba ,limenifaa neno hili , Akutunze Bwana 🙏🏾
Somo nzuri sana mtumishi wa bwana
Asante mtumishi wa Mungu, umenifungua vifungo vya shetani
Wewe ni mimi 😭😭😭 nimemsikiliza Leo, ndo siku yangu yakwnza nanimepokea amen,
Asante sana bb kwa kutuamsha kweli tulikua usingizini
Bwana YESU asifiwe!
Hakika umenifunza jambo kubwa kuliko hata ungeniombea, ni muhimu kwangu kujua kujitetea na sio ktetewa tu.
Nisaidie Mungu wangu Yehova jire.Yehova Rafa.Adonai....❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢
Ni kweli kabisa💪
We need to pray thanks pastor
Maombi yangu ni changamoto kutokana na Yesu Kristo mwokwozi wa maisha yangu....mimi huomba kila wakati kwa Mungu wangu....mafundisho yako Pastor hunisaidia kusoma na kunifundisha mambo mingi ya MUNGU.... Amen n Amen.
Mungu ambariki Sana uyu pastoor
Ubarikiwe sana Pastor, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu Sana
Mungu ni mwema kwetu, Mungu mbariki Mtumishi, Mungu libariki somo la saa hii maana Mungu amekuwa mwema sana
Moyo wangu unaugua 😢mungu nisaidie kuomba usiku wa manane
Tujitahidi tuache usingizi mimi sijawahi hata siku moja ngoja nianze
Ubarikiwe sana mtu wa mungu
May Almighty God bless you servants of God more grace🙏🙏🙏 umenifunza mambo muhimu sana . Sikuwa naelewa chochote wakati wa usiku wa manane
Thanks pastor
Asante mtumishi Babayangu anaumwa yukokitandani naomba utende miujiza juuyake usikuhuu wasaasaba Mungu wambinguni mponye Babayangu mpenguvu aamkesasa
Jaman pastor.......nimesikiliza huu ujumbe zaidi ya mara tatu na sijachoka bado,,,Mungu akubariki sanaaaaaa sielewi niseme nini ila umenifungua macho sana🙏
Ubarikiwe Sana kwa ujumbe huu
Hakika nmepokea nguvu mpya katika hii safari ya ki imani vile nitakavyoweza kupigana na nguvu za kiroho za ulimwengu,,,nashukuru sana mtumishi wa mungu ,,popote uedapo mungu akutagulie na kukushka mkono,,👏👏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 very powerful n true,Lord grant me the grace for prayer n supplication n take away slumber from me.
Pastor Mungu wa mbinguni akubariki Sana Na akupe Maisha marefu
Bwana nipe uwezo kugeuza usiku wangu wa manane kua silaha kwa jina la Yesu kristo
Amina
AMEN ❤
Mungu akubariki mutumishi kwasomo nzuri litabalisha hatima yangu
Pastor,, another revelation Sir, another anointing. Thank you man of God. The hand of God proctect you always.
Unarikiwe mchungaji nimebariwa sana
Mnapatikana wapi?
Amen 🙏🙏🙏
Amina Amina neno zito hili Mtumishi wa Mungu.Ahsante