FAHAMU NGUVU YA MAOMBI USIKU WA MANANE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Gospel Teachings for soul winning Purpose.

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @samuelkaranja1801
    @samuelkaranja1801 2 месяца назад +15

    Nairobi 🇰🇪 following the sermon very well.God bless this servant of God

  • @Judith-y6q
    @Judith-y6q 10 дней назад

    Asante Mtumishi wa Mungu akubariki nimekuelewa vizuri somo la maonbi usiku wa manane.

  • @shijacharles
    @shijacharles Месяц назад +4

    Amen kuna raha sana kuomba usiku wa manane na kuna uwepo wa tofauti sana Mungu hujibu papo kwa papo 🙏

  • @RosemaryCosma
    @RosemaryCosma 11 дней назад +1

    Asante MUNGU kwa ajili ya hili neno litanisogeza mbele zaidi

  • @EthelRehema
    @EthelRehema 4 месяца назад +37

    Be blessed pastor ❤ Mungu unapobariki wengine usimsahau na uyu pastor ametufunza mambo muhimu sna ❤

  • @GraceNeema-l8v
    @GraceNeema-l8v 8 дней назад

    Mungu nsaidie niwe naomba usiku, Mungu akubariki mtumishi kwa neno hili

  • @VictorErenest
    @VictorErenest 2 месяца назад +6

    Ubarikiwe mtumishi na mimi nilikuwa naomba usiku wa manane Mungu anilejeshea kabali changu nilikuwa na vita vikali kupitia maombi ya usiku wa manane Mungu aminishindia

  • @PlasidaMbilinyi
    @PlasidaMbilinyi 18 дней назад

    Nimebarikiwa sana na somo hili mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki.

  • @AgreyAckim-pt3wv
    @AgreyAckim-pt3wv 10 месяцев назад +19

    Munguu tutunziee huyuu mzee miaka mingii❤❤❤

  • @Jane-h5n7u
    @Jane-h5n7u 4 дня назад

    From 🇲🇾 Asante Mungu Kwa kumfahamu huyu mchungaji

  • @Sali-dr3xx
    @Sali-dr3xx 6 месяцев назад +19

    Pastor n kweli naamini mungu anasikia n anajibi maombi y usiku barikiwa kwa hil neno limenigusa mahali

  • @AkiliBeatrice
    @AkiliBeatrice 9 дней назад

    Amen Baba Mungu akuongoze zaidi

  • @ZakayoMhadisa
    @ZakayoMhadisa 6 месяцев назад +4

    Asante Mungu kwa yoote unayotutendea watu wako naomba uwepo wako katika maisha yangu na familia yangu simama nami Bwana

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 15 дней назад

    Mungu akubariki sana pastor kwa kutufungua macho na kupambana na maovu.

  • @THOMASNYAMBEGA-d6r
    @THOMASNYAMBEGA-d6r Месяц назад +4

    Eee mungu wangu nisaidie niwese kukujua kwa maombi ya usiku wa manane uniondoree mgonjwa mbali mbali na unibaliki kwa kila jambo ninalolifanya Amen

  • @GraceMgalla-w6z
    @GraceMgalla-w6z 16 дней назад

    Nmebarikiwa sana mchungaji Kila siku ntakuwa naamka usku wa manane Mungu anisaidie 🙏

  • @christabelaluvisia7297
    @christabelaluvisia7297 3 месяца назад +5

    This is so true. Thank you so much pastor for this teachings. I started praying mid night and God has done so much for me

  • @SumaJems-h8r
    @SumaJems-h8r 2 дня назад

    Mungu anisaidiee kupitiaa haya mafundisho yaa mtumishi wa mungu yabadilishee maishaa yangu

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 7 месяцев назад +6

    Ee mungu wangu nijalie Neema ya kukujua kukupenda na kukutumikia,nijalie pia nisiwe na ulegevu katika maombi Amen 🙏🏼

  • @estermulungu3833
    @estermulungu3833 4 дня назад

    Mungu akubariki mchungaji kwa ujumbe mzuri wenye nguvu.

  • @dominionbiginga4170
    @dominionbiginga4170 2 года назад +24

    Mara ya kwanza kukusikia yaani masomo yako yananifaa saana namshukuru Mungu kwa ajili yako be blessed abundantly

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi 18 дней назад

    Asante yesu 🙏 kwa neno naamini kuanzia leo nimebadilika 😢😢

  • @ValentinaMapunda
    @ValentinaMapunda Год назад +10

    Asanteeeeh eeeeh YESU 🙏simama na mm katika utekelezaji 🤲😢 AMEEN 🙏

  • @carolinChambangwe
    @carolinChambangwe 22 дня назад

    God bless you pastor mungu akubariki nimejifunza kulingana na mahubiri yako

  • @exaveryndelwa2309
    @exaveryndelwa2309 2 года назад +5

    God bless you Mwalimu nimejifunza na Kule wa jins Mungu anajifunua katka mambi ya usiku na Vita vyangu adui anafanya zaidi usiku hapa naingia kwa Matendo moja kwa moja nimuone Bwana
    thanks God for this Man of God

  • @LydiaNyanchera
    @LydiaNyanchera 18 дней назад

    Mungu wangu nakuomba kwanxia usku huu npee neema ya kuamka usku wa manane maombi

  • @aminakabuka8700
    @aminakabuka8700 9 месяцев назад +48

    Yesu mwaka huu nitaamka usiku kuutumia vizur Ili uokoe ukoo,familia na maisha yangu binafsi thanks so much kwaajili ya neema hiii nakucheka shetanii unipati tena😂😂😂😂🎉

  • @Christine-y2v
    @Christine-y2v День назад

    Mungu akubariki muchugaji Mimi ni mebarikwa kweli🙏🙏🙏🙏🙏🎤🎤

  • @lilianosward8319
    @lilianosward8319 4 месяца назад +6

    Asante Yesu kwa hili somo nimelitafuta sana kwa muda mrefu maana mara kwa mara ikifika saa tisa nakosa usingizi na sijui chakufanya
    Ashukuriwe Mungu leo nimejua nini cha kufanya
    Ubarikiwe Mtumishi
    Hakika kwa kila jambo kuna majira yake na wakati kwa kila kùsudi chini ya mbingu

  • @RUDONONGOMAHWA
    @RUDONONGOMAHWA Месяц назад

    Aminaaaa Mungu Akunue zaidi nazaidiii Amen

  • @ChristopherSkawa
    @ChristopherSkawa Год назад +18

    Asante mungu kwa kumwinua mtumishi wako tumebarikiwa sana endelea kumfunika kwa damu yako hili awe mchungaji mwema wa kulisha kondoo wako amen

    • @WestZabibu
      @WestZabibu 5 месяцев назад +2

      Mtumishi mimi na shukuru Mungu sana nime saidiwa na somo...

  • @Eva-e8z1i
    @Eva-e8z1i 20 дней назад

    We Mungu wangu nisaidie niweze kuomba usiku wa manane Kwa maana Na mini uponyaji wangu , Baraka zangu zinapatikana masaaa hayo

  • @JANEMAHINYA-g3t
    @JANEMAHINYA-g3t 2 месяца назад +4

    God bless you pastor your teaching very powerful God bless you

  • @mrbuhwihwi4160
    @mrbuhwihwi4160 3 дня назад

    Mungu unifungulie vifungo vyote usikuhu na uachilie balaka zako kwa jina la yesu amen

  • @تتغتا-س6ش
    @تتغتا-س6ش 9 месяцев назад +30

    Mafundisho yako yamenitoa machozi😢Mungu atupe ufahamu wakujitambua,asante mchungaji ubarikiwe🎉.

  • @TheophilosGabriel-if9th
    @TheophilosGabriel-if9th Месяц назад +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi kwa huduma ya neno halisi la Mungu.

  • @celestinenatulukucheto-gg7ti
    @celestinenatulukucheto-gg7ti 3 месяца назад +4

    Ee mungu nipe ufahamu wakukujua Zaidi,minyororo ya shetani itoke kwenye maisha yangu nkuwe mwepesi WA kuamka usiku WA manane na kutukuza Jina lako

  • @mariamlawrence4100
    @mariamlawrence4100 18 дней назад

    Very powerful message,,GOD bless you

  • @RafikiMpolee
    @RafikiMpolee 8 месяцев назад +7

    Ubarikiwe sana mchungaji umeyagusa maisha yangu Mungu naomba Neema ya kuweza kuamka usiku wa manane ili niombe maombi ya dhabihu niweze kuzivunja mbegu za magugu katika maisha yangu,katika familia yangu,kwa ndugu zangu na kwa afya yangu Mungu nihurumie mimi ❤

  • @JaneMakokha-bm1xd
    @JaneMakokha-bm1xd 12 дней назад

    Amen ... Be blessed man of God umenitoa mahali naomba Mungu anisaidie niweze kuamuka usiku 😢 nikiomba

  • @eliasmhagama4978
    @eliasmhagama4978 2 года назад +8

    Barikiwa sana Mtumishi wa BWANA kwa neno la uzima. BWANA YESU akutunze

  • @aminahakeem897
    @aminahakeem897 4 месяца назад +1

    Asante yesu kwa ufunuo huu uliompa mtumishi wako kutufundisha somo hili!

  • @EsterbernardoVumo-kn2xv
    @EsterbernardoVumo-kn2xv 8 месяцев назад +5

    Mungu Mikumbuke Nakuhitaji Sana Mungu Wangu Mungu EYesu Kristo nisaidie.mimi Mtumishi Wako.

  • @tumainimwaisemela7985
    @tumainimwaisemela7985 2 месяца назад +1

    Mungu abariki sana uyu pasta anamafundisho mazuri sana nimebarikiwa sana amen

  • @SaraKalinga-i6v
    @SaraKalinga-i6v 2 месяца назад +6

    E mungu nisaidie Usk niwe naamka

  • @helenwanjiru4962
    @helenwanjiru4962 2 месяца назад +2

    I praise God for opening this forum,I'm blessed n I will follow this powerful man of GOD. I'm blessed mightly.

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 7 месяцев назад +130

    Ameeen nilikuwa naomba usiku silali nilikuwa na shida Yesu alinijibu na kunitendea Atukuzwe Mungu.

    • @nurumtewele2835
      @nurumtewele2835 4 месяца назад +10

      Amina

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 3 месяца назад

      ​@@nurumtewele2835jinsi ulivyoiset Imani Yako maana iwe usiku iwe mchana YESU KASEMA ukiwa na Imani kiasi Cha punje ya haradali utauambia mlima huu onfoka na utatii..pasipo Imani haiwezekani kumpendeza

    • @gabrielchami9831
      @gabrielchami9831 3 месяца назад +3

      ​Ameni

    • @LovenessPaul-yf7rz
      @LovenessPaul-yf7rz 2 месяца назад +2

      Amin kubwa

    • @jenivajacob7460
      @jenivajacob7460 Месяц назад

      Atukuzwe Mungu milele

  • @JesicaPhibi
    @JesicaPhibi 9 дней назад

    I have a testimony too through this midnight prayers,Amen amen amen

  • @japhetlazaro3
    @japhetlazaro3 6 месяцев назад +31

    Huyu pastor ni chombo ya Mungu.

  • @JohnShemsanga
    @JohnShemsanga 29 дней назад

    Mtumishi naomba umuombee Babayangu anaumwa naomba iombee familiayangu kwaujumla amen Mungu azidi kukutia nguvu balikiwamno

  • @PraxyMakhulo
    @PraxyMakhulo 8 месяцев назад +14

    God give me grace to pray at night.Go bless you Man of God

  • @AbdulbaqShiloo
    @AbdulbaqShiloo Месяц назад

    God bless you pastor ,am bless !

  • @LydiaMoses-p5u
    @LydiaMoses-p5u 8 месяцев назад +5

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri ya kuutafuta uso wa Mungu usiku wa manane.Mungu atusaidie Wana wa Mungu kutenga muda wa kumtafuta Mungu Maombi ni Ulinzi kwa Mkristo

  • @Amanimkaine-f6s
    @Amanimkaine-f6s Месяц назад

    Amina sana mtumishi wa mungu ubarikiwe

  • @joyskazungu9167
    @joyskazungu9167 4 месяца назад +17

    🤲 eeeh! Mwenyezi mungu nilikuwa siombi usiku ila sahii naomba usiku nakuomba sana baba yangu uniponye magonjwa yote yanayonitesa yaurithi,yakujituma na kutumwa ,fungua kizazi cha mama yangu fungua ndugu zangu kila minyororo ,kamba n nira zote za kimapepo zikakatike Kwa nguvu zako 🙏🙏🙏

  • @neemarichard1778
    @neemarichard1778 Месяц назад +1

    God bless you Pastor, Mungu anisaidie nichukue hatua

  • @asnathpascal852
    @asnathpascal852 6 месяцев назад +44

    MUNGU ambariki sana huyu Mtumishi. Tangu nianze kufuatilia mafundisho yake maisha yangu ya kiroho yamebadilika. Napokea mabadiliko mapya kila siku.

  • @AbdiOsman-c9x
    @AbdiOsman-c9x Месяц назад

    Amen asifiwe yesu mwana wamungu❤

  • @AlexSambagi
    @AlexSambagi 5 месяцев назад +3

    Mungu akubariki mtumishi nami naomba mungu anisaidie niutumie usiku huo

  • @ruthmhando522
    @ruthmhando522 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana. Mafundisho mazuri kuhusu maombi.

  • @marymutindi-iy4uh
    @marymutindi-iy4uh 3 месяца назад +4

    Asante mchunaji umenifunza mengi Mungu akubariki

  • @ateyocosolata3683
    @ateyocosolata3683 6 месяцев назад +1

    Asante sana kwa neno ya maana sana!
    Mungu akubariki zaidi!

  • @janetogalo9681
    @janetogalo9681 3 месяца назад +4

    I'm really blessed, very powerful teaching 🙏 🙌

  • @jamesmsafiri3436
    @jamesmsafiri3436 Месяц назад

    Mimi nilipokea kunena kwa lugha usiku wa manane , Asante sana pastor nazidi kupata nguvu zaidi na zaidi . Mungu akubariki.

  • @GatiMohabe
    @GatiMohabe 3 месяца назад +3

    This is a great revelation..... God help me to wake up at mid nights for prayers

  • @henrykandore9998
    @henrykandore9998 Месяц назад +1

    This is amazing! Kwa kweli hapa ninapata kitu Mungu akubariki sana mtumishi

  • @marthabui9292
    @marthabui9292 3 года назад +5

    Amen somo ni nzuri Sana limenifumbua macho ya roho I barikiwa sna mtimishi

    • @zawadikimaro4087
      @zawadikimaro4087 2 года назад

      Amen Amen uko wapi nataka nije nisali kwenye kanisa lako. Nimebarikiwe sana Tena sana. Mwenyezi MUNGU akubariki sana.

  • @petersafari2154
    @petersafari2154 21 день назад

    Hali somo Nlilitendea kz na limenitoa i thnk god limenibadilisha mno

  • @MagdalenaAyubu-ox5fz
    @MagdalenaAyubu-ox5fz Год назад +4

    Amen Mtumisshi wa Mungu ipo siku na mmi nishuhudia Makuu ya Huyu Mungu🙏🙏

  • @feminambone7075
    @feminambone7075 3 месяца назад +1

    asante Sana mchugaji kwa mafunzo haya mazuri kwanzia sasa ninaomba mungu anipe ujasiri wa kuomba usiku wa manane 🙏🙏🙏

  • @lilianfruitful19
    @lilianfruitful19 Год назад +9

    Am ready now to rise and fight,,,thanks man of God we really need this type of truth

  • @NDAVUKAIMOLLEL
    @NDAVUKAIMOLLEL 8 дней назад

    Pastor God bless you so much.

  • @elishamcosta8034
    @elishamcosta8034 Месяц назад +4

    Amina, barikiwa mtumishi 🙏🏻
    Nimepata somo zuri kwa hatima ya maisha yangu

  • @gwantwajoseph5564
    @gwantwajoseph5564 2 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana kwa mafundisho yelio jaa maarifa nimepokea kwa jina la Yesu

  • @magrethchallange
    @magrethchallange Год назад +5

    Mungu wa mbinguni naomba unitie nguvu niliweze hili Amen 🙏

  • @AlineNyasamaza
    @AlineNyasamaza 25 дней назад

    God bless you pastor ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇨🇩

  • @annnjeri864
    @annnjeri864 Год назад +43

    Ewe Mungu wangu naomba unipe neema ya kukwabudu usiku wa manane haya ni maombi yangu mbele yako ewe Jehovah Mungu wangu 🙏🙏🙏🙏

    • @basilisapuka5321
      @basilisapuka5321 7 месяцев назад +4

      Asante yesu kwa ajili ya siku hizi nimesikia neno la mtumishi wako.

    • @GordianBenedicto
      @GordianBenedicto 6 месяцев назад

      Mungu yesu Akubariki Kwa mafundisho mazuri​@@basilisapuka5321

    • @carlosnamende2766
      @carlosnamende2766 6 месяцев назад

      0p😢😮​@@basilisapuka5321

  • @PriscillahMutemi
    @PriscillahMutemi Месяц назад

    Asante sana pastor kwa kutufunza jizi ya kupigana vita ya kiroho na shetani .

  • @WilliamLuogaAJ
    @WilliamLuogaAJ 2 года назад +8

    Umenifaaaaaaa mno baba ,limenifaa neno hili , Akutunze Bwana 🙏🏾

  • @RehemaImamu
    @RehemaImamu 21 день назад

    Somo nzuri sana mtumishi wa bwana

  • @ericmajige7857
    @ericmajige7857 3 года назад +6

    Asante mtumishi wa Mungu, umenifungua vifungo vya shetani

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 4 месяца назад

      Wewe ni mimi 😭😭😭 nimemsikiliza Leo, ndo siku yangu yakwnza nanimepokea amen,

  • @LídiaKayanda
    @LídiaKayanda 25 дней назад

    Asante sana bb kwa kutuamsha kweli tulikua usingizini

  • @paulnicholaus1458
    @paulnicholaus1458 6 месяцев назад +5

    Bwana YESU asifiwe!
    Hakika umenifunza jambo kubwa kuliko hata ungeniombea, ni muhimu kwangu kujua kujitetea na sio ktetewa tu.

    • @shshygibb2236
      @shshygibb2236 6 месяцев назад

      Nisaidie Mungu wangu Yehova jire.Yehova Rafa.Adonai....❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢

    • @sakiwa
      @sakiwa Месяц назад

      Ni kweli kabisa💪

  • @JohnMwngiri-e6s
    @JohnMwngiri-e6s 3 месяца назад +1

    We need to pray thanks pastor

  • @wilsonkahuthu6604
    @wilsonkahuthu6604 5 месяцев назад +2

    Maombi yangu ni changamoto kutokana na Yesu Kristo mwokwozi wa maisha yangu....mimi huomba kila wakati kwa Mungu wangu....mafundisho yako Pastor hunisaidia kusoma na kunifundisha mambo mingi ya MUNGU.... Amen n Amen.

  • @RachelKipesile
    @RachelKipesile Месяц назад

    Mungu ambariki Sana uyu pastoor

  • @sundayherrieth9460
    @sundayherrieth9460 Год назад +9

    Ubarikiwe sana Pastor, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu Sana

  • @ZakayoMhadisa
    @ZakayoMhadisa 6 месяцев назад +1

    Mungu ni mwema kwetu, Mungu mbariki Mtumishi, Mungu libariki somo la saa hii maana Mungu amekuwa mwema sana

  • @AngelBlack-uf1tu
    @AngelBlack-uf1tu 6 месяцев назад +22

    Moyo wangu unaugua 😢mungu nisaidie kuomba usiku wa manane

    • @angelitapaulo
      @angelitapaulo 6 месяцев назад +2

      Tujitahidi tuache usingizi mimi sijawahi hata siku moja ngoja nianze

  • @RendoniAndrea-by8qz
    @RendoniAndrea-by8qz 28 дней назад

    Ubarikiwe sana mtu wa mungu

  • @sharonamugune2094
    @sharonamugune2094 5 месяцев назад +6

    May Almighty God bless you servants of God more grace🙏🙏🙏 umenifunza mambo muhimu sana . Sikuwa naelewa chochote wakati wa usiku wa manane

  • @JohnShemsanga
    @JohnShemsanga 29 дней назад +1

    Asante mtumishi Babayangu anaumwa yukokitandani naomba utende miujiza juuyake usikuhuu wasaasaba Mungu wambinguni mponye Babayangu mpenguvu aamkesasa

  • @happyhappy-ym2su
    @happyhappy-ym2su 2 года назад +7

    Jaman pastor.......nimesikiliza huu ujumbe zaidi ya mara tatu na sijachoka bado,,,Mungu akubariki sanaaaaaa sielewi niseme nini ila umenifungua macho sana🙏

  • @ElizabethMuthui-k5g
    @ElizabethMuthui-k5g 3 месяца назад +1

    Hakika nmepokea nguvu mpya katika hii safari ya ki imani vile nitakavyoweza kupigana na nguvu za kiroho za ulimwengu,,,nashukuru sana mtumishi wa mungu ,,popote uedapo mungu akutagulie na kukushka mkono,,👏👏🙏🙏

  • @marcelakose6540
    @marcelakose6540 4 месяца назад +5

    Amen 🙏 🙏 🙏 very powerful n true,Lord grant me the grace for prayer n supplication n take away slumber from me.

  • @Eva-e8z1i
    @Eva-e8z1i 20 дней назад

    Pastor Mungu wa mbinguni akubariki Sana Na akupe Maisha marefu

  • @noelimlinga9694
    @noelimlinga9694 6 месяцев назад +51

    Bwana nipe uwezo kugeuza usiku wangu wa manane kua silaha kwa jina la Yesu kristo

  • @BijouEsther-p5q
    @BijouEsther-p5q Месяц назад +1

    Mungu akubariki mutumishi kwasomo nzuri litabalisha hatima yangu

  • @bestinamafipa2002
    @bestinamafipa2002 2 года назад +16

    Pastor,, another revelation Sir, another anointing. Thank you man of God. The hand of God proctect you always.

  • @marthamahule2120
    @marthamahule2120 3 месяца назад +1

    Amina Amina neno zito hili Mtumishi wa Mungu.Ahsante