JINSI YA KUTEMBEA KATIKA UTAJIRI l PASTOR GEORGE MUKABWA l ANNUAL CONFERENCE 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Subscribe our channel for more
    / bishopdicksonmtalitinya
    follow me on instsgram
    pCiK8Wz9MWhB/?igshid=MDJmNzVkMjY=
    follow me on facebook
    web. MTBCMinistries
    mawasiliano :0754822304
    Sadaka (offerings):
    TIGO LIPA NO : 17459609
    CRDB NO : 1050487687900
    #mtbc #connectinglivestochrist #annualconference #2024 #ministry #wealth #christianity

Комментарии • 83

  • @thadeusmathiews2564
    @thadeusmathiews2564 3 месяца назад +13

    Kama tuna muelewa mwalimu Chapa like halafu kuanzia SASA kile kiwango tuko nacho Kwa MPESA tuanze Ku transfer bank kuanzia SASA tucheze na bank

  • @essywanga6240
    @essywanga6240 3 месяца назад +5

    Naamini Mungu atanisaidia ili nitoke kwenye madeni ambayo yamenikozesha amani.Anisaidie ili nifuate kanuni zake,ili nitakapoanza biashara nifanikiwe.Mungu naomba msamaha kwa yote nilifanya kinyume na mapenzi yako.Baraka kwako mtumishi.Esther kutoka kenya

  • @HappyBrown-gq7oe
    @HappyBrown-gq7oe 5 месяцев назад +9

    Amina nimebarikiwa sana,kupitia mafunzo haya Mungu naomba mwakani mwezi kama huu nitoe ushuda wa madiriko ya maisha yangu.

  • @shillagahigi7961
    @shillagahigi7961 Месяц назад

    Amina ...nimebarikiwa sana na some hili.

  • @gwantwajoseph5564
    @gwantwajoseph5564 5 месяцев назад +5

    Asante sana mtumishi Mungu akupe maisha marefu

  • @DanBoikei
    @DanBoikei Месяц назад

    Be blessed man ofGod

  • @STF-2024
    @STF-2024 5 месяцев назад +18

    Unataka utoke mahala ulipo kiuchumi
    1. Patia Mungu nafasi
    2.Zalisha
    3.Wekeza
    4.Jifunze kuweka akiba
    5.Kuwa mwaminifu

  • @FaithFaith-hc9se
    @FaithFaith-hc9se 4 месяца назад +1

    Barikiwa sana mtumish wa mungu much love from Kenya

  • @LukaSimon-wz9vs
    @LukaSimon-wz9vs 5 месяцев назад +3

    Unanibariki sana mtumishi, mungu akuinue sana.

  • @barakayekonia7468
    @barakayekonia7468 5 месяцев назад +2

    Mungu akubariki mahubili yako yameinua sana.

  • @beatricemukulas8705
    @beatricemukulas8705 2 месяца назад

    Amina nq ubarikiwe sana, nimejifunza kitu hisiweke hela chini ya gaodoro. Naitoa leo naipeleka kwa watu wa riba

  • @TELEZIAMWASHIUYA
    @TELEZIAMWASHIUYA 5 месяцев назад +1

    Mungu kubarki Sana mtumishi, umenipa hatua tena.

  • @NannyNanny-fo9yh
    @NannyNanny-fo9yh 5 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏🙏,barikiwA sana,kwa ujumbe mzuri wa mafanikio🙌🙌🙌

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    Aminaaa sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @LucyPaul-e7v
    @LucyPaul-e7v 4 месяца назад

    Baba mchungaji ahsante sana kwa somo lako zuri hakika umenifumbua macho.Mwenyezi Mungu akubariki sana.🙏

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 4 месяца назад

    Hakika nabarikiwa Sana kupitia masomo unayofundisha,Mungu akutunze mtumishi,

  • @JacientaMuchunga
    @JacientaMuchunga 3 месяца назад

    Jina la bwana lipewe simu, pastor hii neno imenijenga sana namshukuru mungu

  • @TELEZIAMWASHIUYA
    @TELEZIAMWASHIUYA 5 месяцев назад +1

    Baba umenisaidia saana Mungu akubariki

  • @wilsonkahuthu6604
    @wilsonkahuthu6604 5 месяцев назад +1

    God is Great n omnipresent Always.... God's Grace Is Sufficient For Us....Naomba Neema ,Kibali na Imani ya Bwana Yesu Kristo Mwokozi Wetu... Amen n Amen n Amen 💘💗❤️🙏🙏.

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 месяца назад

    Hapa kwenye uaminifu nikweli kabsaaa mimi nilianza biashara na m1.5 but leo Ooooooooohhhhhh hallelujah Mungu wambinguni nimwema im more blessed🙏🙏🙏

  • @TELEZIAMWASHIUYA
    @TELEZIAMWASHIUYA 5 месяцев назад +2

    Ni kweli baba nibariki na mimi niwe baraka kwa wengine

  • @GraceKivolwe
    @GraceKivolwe 5 месяцев назад +1

    Wow mafunzo ya baraka sana baraka mtumishi

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    Amen najionaga mimi ni tajiri mkubwa

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga 5 месяцев назад +1

    Asante umenifuza sana mkabwa hapo kwenye mfano wa soseji

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 5 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Sana mtu wa Mungu.
    hapo mwisho nimeelewa vizur😂 ati dady kisa vitu vitamu.
    Ninakupenda unanibariki sana

  • @JonasAmon-q3z
    @JonasAmon-q3z 4 месяца назад

    Amen mtumishi nafunguliwa sana na mahubiri yako.Mungu azidi kukutumia zaidi 🙏

  • @marykasigwa68
    @marykasigwa68 5 месяцев назад

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu.

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 5 месяцев назад +3

    Napenda pale pastor ukiongea (useme kule nyumbani) proud to be a kenyan ❤❤

  • @anitashishi4118
    @anitashishi4118 3 месяца назад

    Balikiwa saana mutymishi wa mungu akulinde

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws 5 месяцев назад

    Amen and amen, God help so I can grow up in my life

  • @BethuelKipngetich
    @BethuelKipngetich 5 месяцев назад

    Watching live from Bomet Kenya

  • @Sidi-f1g
    @Sidi-f1g 5 месяцев назад

    Asante mtumishi umenisaidia sana

  • @NkurunzizaDon
    @NkurunzizaDon 4 месяца назад

    Shalom shalom,mimi Niko Burundi mnanifurahisha sana

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty 3 месяца назад

    Ahsante sana baba

  • @STELLAHZACHARIA
    @STELLAHZACHARIA 5 месяцев назад

    Amen amen Pastor nmebarikiwa sana

  • @nellykadenyi
    @nellykadenyi 4 месяца назад

    mungu niweke kiwango kingine

  • @mrbuhwihwi4160
    @mrbuhwihwi4160 4 месяца назад

    Naomba mungu anipe fursa

  • @roghatebrighton8799
    @roghatebrighton8799 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana

  • @mtumishidalmas4402
    @mtumishidalmas4402 5 месяцев назад

    Amen leo tumefika ju ya huyu Man of God 🙏

  • @MariaLucas-xs9ji
    @MariaLucas-xs9ji 4 месяца назад

    Natamani sana kuwa tajiri kiuchumi lakn sijui nianze wapi eeeh mungu nisaidie

  • @lilianshivinah-w1n
    @lilianshivinah-w1n 5 месяцев назад

    Mafunzo mazuri pastor Asante

  • @marundimahugija8168
    @marundimahugija8168 5 месяцев назад

    Barikiwa sana Pastor

  • @GaudeIgonzela-pv2vk
    @GaudeIgonzela-pv2vk 5 месяцев назад

    Asante baba

  • @agneskilemwa8671
    @agneskilemwa8671 3 месяца назад

    Amina

  • @BornfaceSilindu
    @BornfaceSilindu 3 месяца назад

    Eee umenigusa sana nimtoto lakini na Mimi nimepitia yakutembea peku kwenda shule Asante baba mungu akubariki .Ewe mungu nibariki namimi niliteseka sana nilisahau baba Asante sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @افلينافلين-ي9ك
    @افلينافلين-ي9ك 5 месяцев назад +1

    Amennn amennn

  • @ClaudiaMdongo
    @ClaudiaMdongo Месяц назад

    Mchungaji nabarikiwa sanaaa na mafundisho yako. Unapatikana mwanza sehemu gani?

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 5 месяцев назад

    Amen!!!

  • @FridahFridahcent-qk8hw
    @FridahFridahcent-qk8hw 5 месяцев назад

    Amen, good massage

  • @YotememaNuhu
    @YotememaNuhu Месяц назад

    Huyu Mtumishi namuelewa sana

  • @happyidza7091
    @happyidza7091 5 месяцев назад

    Amen amen and amen 🙏🏾🤲🏾

  • @Madamlizzytz
    @Madamlizzytz 3 месяца назад

    🙏

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 5 месяцев назад

    ❤❤ameen

  • @JolleetNiaze
    @JolleetNiaze 5 месяцев назад

    Amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EliaNyandu
    @EliaNyandu 5 месяцев назад

    Amen❤❤❤❤

  • @MohammedAlsalamah-cz1gt
    @MohammedAlsalamah-cz1gt 4 месяца назад

    Amen

  • @leonardkasanga4435
    @leonardkasanga4435 5 месяцев назад

    Mmenikosea sana aisee yaani hii video mmeikata kata sana

  • @EliaNyandu
    @EliaNyandu 5 месяцев назад

    Asanti❤❤❤❤❤❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 5 месяцев назад

    Manabii wa uongo kazi kwelikweli

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz 5 месяцев назад

    Ameeeeeeeeeeeeeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jeannotVenqairesaanane-vi1xk
    @jeannotVenqairesaanane-vi1xk 4 месяца назад

    Nashukuru mchungaji kwa somo juya uchumi. Swali nihili. Nime mujuwa Mungu kanisani moja,sasa hapo nimepata mafanikiyo hapo. Sasa baada yasiku nimetoka hili kanisa kwaajili ya changamoto fulani limetokeya. Huko nime kwenda kwabudiya MUNGU marakwamara. Huyo mchungiji ana pashwa kula fungu la kumi langu? Ame yuletu mahili nime okokeya?

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 месяца назад

    Ajira inakupa mtaji but kazi inakupa mafanikio makubwaaaaaa.

  • @emmymshomi8893
    @emmymshomi8893 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 5 месяцев назад

    Kweli pastor
    Zaka tumewekewa asilimia 10 Ila kwa upendo unaokuwa nao kwa Mungu unaweza ukaongeza asilimia ya Zaka ya kumtolea Mungu 11%.....na kuendelea

  • @leonardkasanga4435
    @leonardkasanga4435 5 месяцев назад

    Wanauliza maswali wengine hatuwa sikii

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 месяца назад

    Hapa kwenye kuangalia fursa pasta tuweke sawa maana unaweza ona fursa ila ikawa kwaupande wako haina faida

  • @RamsonMaha-cx8nl
    @RamsonMaha-cx8nl 5 месяцев назад

    Ubarikiwa mtumishi amina

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    Iyo ndo hesabu ya biashara bishara yako ndo ilipe mkope na sivinginevyo ulifanya tofauti au kwa tamaa umejimaliza

  • @advelatandika6313
    @advelatandika6313 5 месяцев назад +1

    NINAZO BIDHAA NYINGI DUKANI PASTOR FUNGU LA KUMI LILILO KAMILI NITALIJUAJE

    • @jeremiaisowe4443
      @jeremiaisowe4443 4 месяца назад

      Shaloom!!! Ajiri mwasibu wakufanya mahesabu

    • @salomereuben-gg7nd
      @salomereuben-gg7nd 4 месяца назад

      Shalom, kwa ufupi unatakiwa ujuwe kwa mwezi unapata kiasi gani dukani, kiasi unachopata kwa mwezi gawanya kwa 10 ndio upeleke fungu la 10

    • @joycekambuga6286
      @joycekambuga6286 4 месяца назад +1

      Toa 10% faida unayo ipata baada ya matumizi ya BIASHARA

  • @AgnesNyaleso
    @AgnesNyaleso 5 месяцев назад

    Amen amen amen 🙏

  • @hopebuliga6831
    @hopebuliga6831 5 месяцев назад

    Leo hamn maomb ya mwez wa tisa

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 4 месяца назад

    Pastor maybe kama mtu alisahau

  • @NannyNanny-fo9yh
    @NannyNanny-fo9yh 5 месяцев назад +2

    Ni Jacky kutoka Nairobi,Nina swali kuhusu fundisho la juzi,kuhusiana na swala la kuinua sadaka ya kujenga madhabahu,umanufaa wake ni upi sababu zaka Zina manufaa yake?

  • @EliasSimwanza-w8r
    @EliasSimwanza-w8r 3 месяца назад

    Amina

  • @JonasNdinda
    @JonasNdinda 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @floraan4388
    @floraan4388 4 месяца назад

    Amen amen 🙏

  • @lifeisajourneyshow0816
    @lifeisajourneyshow0816 2 месяца назад

    Amen 🙏