ASKOFU KAKOBE - "MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • ASKOFU KAKOBE - "MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana"
    Askofu Zachary Kakobe wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Amempongeza Rais Magufuli, kwa kuendelea kuiletea Tanzania maendeleo baada ya kuleta tena ndege mpya ya sita ya Airbus A220-300
    Askofu Kakobe ametoa pongeza hizo sambamba na maombi maalum katika hafla ya kuipokea ndege hiyo leo Januari 11, 2018 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere.
    Ndege hiyo ambayo tayari inanakshi za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) endapo itakodishwa kwa shirika hilo kama ilivyofanyika kwa ndege nyingine tano itafanya jumla ya ndege za ATCL kufikia 6, ikijumlishwa na ndege yao ya zamani aina ya Bombardier Q300 ambayo sasa ipo katika matengenezo.
    #NdegeMpyaAirbus #RaisMagufuli
    Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App:
    ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....
    Jiunge na Familia ya Global TV Upande Mtandao wa Mafanikio
    Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club
    goo.gl/mkvuoB

Комментарии • 32

  • @matthewglory2877
    @matthewglory2877 5 лет назад +4

    Nakuelewaga sana Bishop kakobe hasa kwene uchambuzi wa neno la Mungu na kuwianisha na maisha tunayoishi hapa Duniani

  • @mukayamukama3123
    @mukayamukama3123 5 лет назад

    Amen baba Ask of u were mbinguni njia nyeupe.. Mana umelijua hili..maombi yako

  • @JuliusKaonga-y8n
    @JuliusKaonga-y8n 10 месяцев назад

    This is the man of the word of God

  • @motonkalipaschal4790
    @motonkalipaschal4790 5 лет назад +1

    Ubarikiwe sana Askofu Kakobe

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 11 месяцев назад

    Magufuli ,the regend 👏👏👏👏,rest easy 😭😭😭

  • @sylvestersanawa963
    @sylvestersanawa963 5 лет назад

    The best evangelist I ever seen

  • @eliasbufula6290
    @eliasbufula6290 5 лет назад

    Kakobe hakika wewe ni mtumishi wa Mungu hongera sana, na pia Hongera kwa rais wetu JPM.

  • @manassehleonard2879
    @manassehleonard2879 5 лет назад +4

    Hekima hii ni kubwa sana. Ubarikiwe sana Askofu wangu Kakobe.

  • @isayalalika6189
    @isayalalika6189 5 лет назад

    Duuh!!!! Dunia hii!! Jamani?

  • @hajamijohana6979
    @hajamijohana6979 5 лет назад

    hich kitendo cha serikal kubenzi din moja upinzan pointi

  • @nelsonkazaura6954
    @nelsonkazaura6954 5 лет назад

    Kakobe unasifia ndege, hukusoma gazeti mojawapo la leo, kwamba iko Shule moja hapa Nchini iko hoi kwa Kunguni?

    • @alexanderdustan8872
      @alexanderdustan8872 5 лет назад

      Kwa hiyo while ikiwa hoi unazuia kuleta ndege?

    • @nelsonkazaura6954
      @nelsonkazaura6954 5 лет назад

      Alexander Dustan Kama wewe ni Baba ktk familia, ukaenda kununua Smart phone ya Sh.500000/- Ukijua watoto wameshinda na kulala jaa kwa kukosa ugali, basi wewe utaitwa Mwanaume-suruali!

    • @alexanderdustan8872
      @alexanderdustan8872 5 лет назад +1

      @@nelsonkazaura6954 lakin kumbuka hiyo samart. Phone inaweza ikawa nyenzo ya kupata hela nyingi sana na hata kumpleleka hyo mtoto kusoma ulaya huku akila bata mwanaume suruali ni yule ambaye hawezi Fanya lolote

    • @alexanderdustan8872
      @alexanderdustan8872 5 лет назад +1

      @@nelsonkazaura6954 Kunguni zinatokana na nn? Kwa nn shule iwe na kunguni? Hafu uone zimesababishwa na serkal kununua ndege? C kila kitu kujiona unajua brother kunguni wafanye usafi tu ndo tiba ova

  • @bonifasiemanueli2708
    @bonifasiemanueli2708 5 лет назад

    mbona mwanzoni ulimponda,ukasema,hauitaji chai ya ikulu kwamba hiliki ya ikulu ni ile ile,

    • @sabastianraymond8841
      @sabastianraymond8841 5 лет назад

      Bonifasi Emanueli
      Magufulu,AMEMKOSHA Kakobe ndiyo sababu ya kwenda,sivinginevyo.

  • @mkombozikiratv.9733
    @mkombozikiratv.9733 5 лет назад

    Injili mkanganyiko baada ya kulewa vitisho ni dalili kuwa Mungu hana nafasi tena kwa kina kakobe.
    Mimi namkubali rais kwa haya maendeleo lakini unaponichanganyia injili na siasa chafu hizi nakutazama kwa kicho la mwewe.
    Juzi uliposimama na kweli ukawaambia uovu wao walikupima mkojo,wamekunyang'anya paspoti na kukwambia siyo raia,je wamekupa nini leo mpk uwaone watakatifu?

    • @sabastianraymond8841
      @sabastianraymond8841 5 лет назад +1

      Deus Kira
      Panapostahili kusifia sifia,Panapostahili kukemea kemea.MUNGU hajipingi.

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 5 лет назад

    huyu si yule mcongo?

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 5 лет назад

      Hahaha, unachekesha, kama yy mcongo na ww kwenu wapi?
      Watu mliokuja tz baada ya nyerere kufarik mna shida sana, ila mtabainika tu cku c nyngi na mtarud kwenu

    • @bickosteven9730
      @bickosteven9730 5 лет назад

      Akofu umebugi usingeenda wamekufuatilia sana tra na wewe. Leo umeenda kumfagilia umejithalilisha sana

  • @jephterkayila7693
    @jephterkayila7693 5 лет назад +2

    Ameeeeeeeeen

  • @danielbugwema6969
    @danielbugwema6969 5 лет назад +2

    Mtumishi Kakobe nimekubali kweli wewe unaubishi wa maana nimekuelewa

  • @sulelubwaza9335
    @sulelubwaza9335 5 лет назад +2

    umekomeshwa na selikali ndo maana umeacha kuropokaropoka

    • @mudhakirudauda7933
      @mudhakirudauda7933 5 лет назад

      Hati yake ya kusafiria bado imemilikiwa lazma awe mpole!

    • @sabastianraymond8841
      @sabastianraymond8841 5 лет назад +1

      sule lubwaza
      panapostahili sifa ndipo anaposifia LAKIN,Raisi akifanya Ujinga atamkemea tu.

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher4795 5 лет назад

    Unajikosha tuu wewe kakobe.