ASKOFU KAKOBE - "MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana"
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- ASKOFU KAKOBE - "MAGUFULI Ole Wako, Mimi ni Mbishi Sana"
Askofu Zachary Kakobe wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Amempongeza Rais Magufuli, kwa kuendelea kuiletea Tanzania maendeleo baada ya kuleta tena ndege mpya ya sita ya Airbus A220-300
Askofu Kakobe ametoa pongeza hizo sambamba na maombi maalum katika hafla ya kuipokea ndege hiyo leo Januari 11, 2018 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere.
Ndege hiyo ambayo tayari inanakshi za Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) endapo itakodishwa kwa shirika hilo kama ilivyofanyika kwa ndege nyingine tano itafanya jumla ya ndege za ATCL kufikia 6, ikijumlishwa na ndege yao ya zamani aina ya Bombardier Q300 ambayo sasa ipo katika matengenezo.
#NdegeMpyaAirbus #RaisMagufuli
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App:
ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....
Jiunge na Familia ya Global TV Upande Mtandao wa Mafanikio
Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club
goo.gl/mkvuoB
Nakuelewaga sana Bishop kakobe hasa kwene uchambuzi wa neno la Mungu na kuwianisha na maisha tunayoishi hapa Duniani
Amen baba Ask of u were mbinguni njia nyeupe.. Mana umelijua hili..maombi yako
This is the man of the word of God
Ubarikiwe sana Askofu Kakobe
Magufuli ,the regend 👏👏👏👏,rest easy 😭😭😭
The best evangelist I ever seen
Kakobe hakika wewe ni mtumishi wa Mungu hongera sana, na pia Hongera kwa rais wetu JPM.
Hekima hii ni kubwa sana. Ubarikiwe sana Askofu wangu Kakobe.
kabisa
Duuh!!!! Dunia hii!! Jamani?
Umeona ?
hich kitendo cha serikal kubenzi din moja upinzan pointi
Kakobe unasifia ndege, hukusoma gazeti mojawapo la leo, kwamba iko Shule moja hapa Nchini iko hoi kwa Kunguni?
Kwa hiyo while ikiwa hoi unazuia kuleta ndege?
Alexander Dustan Kama wewe ni Baba ktk familia, ukaenda kununua Smart phone ya Sh.500000/- Ukijua watoto wameshinda na kulala jaa kwa kukosa ugali, basi wewe utaitwa Mwanaume-suruali!
@@nelsonkazaura6954 lakin kumbuka hiyo samart. Phone inaweza ikawa nyenzo ya kupata hela nyingi sana na hata kumpleleka hyo mtoto kusoma ulaya huku akila bata mwanaume suruali ni yule ambaye hawezi Fanya lolote
@@nelsonkazaura6954 Kunguni zinatokana na nn? Kwa nn shule iwe na kunguni? Hafu uone zimesababishwa na serkal kununua ndege? C kila kitu kujiona unajua brother kunguni wafanye usafi tu ndo tiba ova
mbona mwanzoni ulimponda,ukasema,hauitaji chai ya ikulu kwamba hiliki ya ikulu ni ile ile,
Bonifasi Emanueli
Magufulu,AMEMKOSHA Kakobe ndiyo sababu ya kwenda,sivinginevyo.
Injili mkanganyiko baada ya kulewa vitisho ni dalili kuwa Mungu hana nafasi tena kwa kina kakobe.
Mimi namkubali rais kwa haya maendeleo lakini unaponichanganyia injili na siasa chafu hizi nakutazama kwa kicho la mwewe.
Juzi uliposimama na kweli ukawaambia uovu wao walikupima mkojo,wamekunyang'anya paspoti na kukwambia siyo raia,je wamekupa nini leo mpk uwaone watakatifu?
Deus Kira
Panapostahili kusifia sifia,Panapostahili kukemea kemea.MUNGU hajipingi.
huyu si yule mcongo?
Hahaha, unachekesha, kama yy mcongo na ww kwenu wapi?
Watu mliokuja tz baada ya nyerere kufarik mna shida sana, ila mtabainika tu cku c nyngi na mtarud kwenu
Akofu umebugi usingeenda wamekufuatilia sana tra na wewe. Leo umeenda kumfagilia umejithalilisha sana
Ameeeeeeeeen
Mtumishi Kakobe nimekubali kweli wewe unaubishi wa maana nimekuelewa
Daniel bugwema pp
umekomeshwa na selikali ndo maana umeacha kuropokaropoka
Hati yake ya kusafiria bado imemilikiwa lazma awe mpole!
sule lubwaza
panapostahili sifa ndipo anaposifia LAKIN,Raisi akifanya Ujinga atamkemea tu.
Unajikosha tuu wewe kakobe.