Maswai nakuona nakuona, kaka zako tupo hapa mashati na useri tunafarijika sana kwakutuwakilisha. Tunagonga cheers na chupa zetu za banana kiroho safi. Aika Vavae.
Abar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2:30 usiku bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia RUclips andika sir Binladen 786
Jaman Kila siku naangalia hii clip wanaimba dada anajua kuimba kwa feeling sijawai kucomment ila imenibidi tu daah 💗💗
🔥🔥
M.
Nikusameh kwa lip
Huo wimbo wa kwanza ni WA nani....naomba ni download
@@zamzamalima5354 barnaba
Kama na wewe umegundua jamaa ndio mshindi wa Tuzo gonga like twende sawa
Duuuu hatal sanaa
Bruce🎻🎻🎻
Ila hawa watu wasipopewa tuzo bas bss siangalii tena Like twende sawa
Kaka ni noma💙💙💙
Dada pigo za ruby kdg💛💛💛
Edit : hiyo wooow ya ommy😅😅👏👏
Mme Tisha Sana barnaba njoo uone huku Mambo ni 🔥
Neema unaumwa mafua mpendwa saut yako leo sio hio kbs..unajua mama🔥🔥
Hao jamaaa wametisha sana aisee wametendea haki huu wimbo na zaidi na zaidi🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🎆😘Love this song
Huyu mdada wamrudishe kama walivyo mrudisha hamisi.. anajua sanaaa
Kwani ametolewaaaaa????????
Pendo Ndossy ndio
Bss ya huu mwaka iko levels tofauti saana
Aise ame mlamba Kofi kama umelisikia like tuwe wote
Jamaaa hakuwa anategemea kabisa😂😂😂
jamani LIKE za wapiga Drums
Najivunia Sana tz nch kubwa vipaj vikuu japo mavaz haya sanifu tamaduni zetu ila elimu tutatoa nakufika
For real in this season the winer will from TEAM CBO😉
Wafundi wa sauti bongo star 👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Hawa Ni hatari n'a nusu wameimba vizuri n'a Pia wamejua kumiliki stage poa snaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah wapiga magiter wamewatendea haki kwa kweli wameua kizazi zaidi🔥🔥🔥🔥
Neeemaaa....Neeeeemaaaa Neeeeemaaa mdogo angu ... umeuaaaaaaaaa😋😍😍
Sanaaaaa
Nzur mno nic performance neema u have unique voice
Maswai nakuona nakuona, kaka zako tupo hapa mashati na useri tunafarijika sana kwakutuwakilisha. Tunagonga cheers na chupa zetu za banana kiroho safi. Aika Vavae.
Kuna. KAZI kumpata mshindi mwaka huu💥💥💥💥
Sana
Yaani ngumu na nusu
Aki ya mungu wanajuwa balaaa
Nakubal hiyo kaz 👊👊👊👊👊
Napenda Huyu kijanaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hata mm nampenda cjui kaoa jaman coz namfeel kwel
This girl is something else
Safii Sana mashaallah oman 001
I love this duet
noma sana dada and bro
Jaman jamaniiiiiiiiiiii💯
Naipenda sana hii aisee walijua kuinogesha sichokagii kuingalia
team bella ni 🔥🔥🔥
Issa ndo alikuwa moto
Wow wow the Best in all....BELLA tu es le grand Arangeur!!!
Waaaaaau so touching so lovely anavyio imba nahisia huyo kaka
Mwaka huu n on fire asee Mimi mwenyewe sijui atashinda nani
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥from Kenya hii imeweza sana
Wow! I love this performance
Huyu kaka anakipaji salute
Uneza sema nyimbo niyao 🎉🎊🎊🎊🎊🎊
Mbona nimeipenda sana hii
Good chemistry
And physics also 🤣🤣🤣
Beautiful performance. Wow!!!
Very sensitive i like it
Aboubakar anajua sanaa
Wa Congo tunapenda Bss... watching from USA 🇺🇸
#randykinamber
I'm watching from Kuwait the show was Soo wow.nimeipenda mno
Hi
@@abedkarume9088 indeed yes 😂
Hi @@janekemunto2347 how are you doing
@@janekemunto2347 hi too I hope you are very fine
I love this song ❣️ ❣️ ❣️
Jamani hyumdada ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 anajuwaaa
Mpiga bass kauaaa likes nyingii kwakee
Chemistry is 🔥 ♥️❤️
Hiyo ni kavukavu daaah so amaizing sana
They nailed it waow
Team christian Bella washindi
Hatari sana season 11
Nimeipendaje
Outstanding 🔥🔥🔥🔥🔥
Dahhh mpka rahaaaaa😘😘
Mafundi wa musiki ndio hawa sasa
👇👇👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Vijana wametisha100% majaji angalieni
This duet is my favorite,,,eeish🔥
Neema swai🤩😍😍 rwanda
Daah nimeangalia zaidi ya mara nne this guys u kill me
hii ndiyo sanaa
Wew team christian Bella Oyeee ❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰🥰🥰🥰
It's fantastic show
Such amazing voice 💞💞💞
Mko vzr ,sauti tamu
Kazeni buti mmefanya vizuri sana ,
that lady!!!! anafanya nifeel goosebumps
Daah Dada anasaut nzr huyuu
sikiza sasa mafundi wa music na sauti 👉👉 ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Sauti Nzuri Sana na anajituma sema ndo kametoka sasa jamani.
Much respect they doing well number one couple I like that
Waooow mmeua wanang 😍
Vizuri sasa 👌👌👌👌
Mbn nzurii sana
Dem,I like them much
Abar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za maradhi mbali mbali kila Alhamisi saa2:30 usiku bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia RUclips andika sir Binladen 786
kuna watu wako serious na maisha
Ahahhaha 😂😂🤣🆘️
Kwel kaka wako serious knoma na hela hawa nqbal
🤣🤣🤣
😄😄😄
Tunasaka pesa yan😄
Haya majaji mnaoshindia kuponda pondeni sasa .. Dadeckh... You got dat yesssss..
Waaoo nice kbx nimependa hy 👍👍
Love you
Best show ever
Uuuuwiiiii jamen hongereni
Show kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Jaman huyu kaka noma
💯💯💯💯💯💯✔️✔️✔️ Mungu awatangulie 🙏
Abubakar ni 🔥🔥🔥
Just wow 🔥🔥🔥🙌🏾
Huyu Kaka yupo good
One of the best performance ever seen
Fantastic amaizing
Atar saaaan
Team bella imefunika
Yes yes
Wanastahir pongezi
Wameuwa show! 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🇰🇪✅
Mmmh mwaka huu balaa Kuna watu wanavipaji jaman Yan Hadi unaenjoy ....this is music
Huyu mtoto ni Chakula ya WAKUBWA ndomana tunamuacha kidogo but anaimba vizuri
Na huo ndo ukweli c unaona kifua kimeongezeka kidogo😉😉
Awweee team Bella wote wabaki jamani
Wajei ni file
So nice
wow....so lovely 😘😘😘
Mmetishaaaa sana
Duuh,makubwa haya apa walai👏
Perfect combination
Noumah saaan 💪💪💪💪
Uyu msela vox zake ziko na mzuka...uyu dada pia yuko sawa...
Band pia iko vizuri