Rap si kitu Cha mchezo kitendo Cha rapper huyo yusuph nizar a.k.a yuzzo mwamba kuwashawish majudge na sio majudge hata me na ww katushawish an kitu kikubwa jamaa anaweza saana 🔥🔥🔥🔥
Download app ya StarTimes then ukifungua utaona sehemu imeandikwa kura za jumla bonyeza hapo itakupeleka moja kwa mpk washiriki. Cha kufanya nenda mpk group D utamuona kwa picha na jina la Yusuph Nizar then gusa neno kura na utaweza kumpigia kura Tano kwa kila siku 🙏🙏🙏
Hawa watu wameua jana Yan kl mda narudia daah kwel master j alkuwa n vipaji tupu nngetmn wote wawe top ten il mshnd n mmoja tu , ila kiufup show ya yn ndo imefunika saana hongeraaaa. Master
I feel for the judges coz.. The game is so tough.. I pray for them to make the right decision.. Coz.. It is very hard to decide for the best artist.. Coz.. Everyone is talented
Kama unamkubaliii rapa we2 gonga like
Ok
Nakbal rapa
Sana tu 🤗
Appreciate YUZZO
😍😍
Alooh! Wanaomkubali huyu fundi gonga like hapo💪💪🇹🇿
Kam unamkubali yusuph nizar bas usipite bila kugonga like
Kama unajua huyu ndiye mshindi wa bss gonga like tumsapoti 👌👌😻😻😊
gonga like kama unaamini Yusuph ndie mshindi wa BSS2020
Jamani na mimi nipeni likes zenu wote mnao mkubali huyo kaka 🥰
Estre nimekupenda
Sikiza hizi sauti zama fundi
👇👇👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Kaka anajua jmn
Mbona nimewapenda bule uyo dada namjuwa namuaminia uyo kaka naye katisha, hakafu hendsame
Kumbe nyimbo ya bilinas na nandy nzur Lakin nimeiona nzur walivyo imba hawa
Oyaa wanajuaa saana...Kali kuliko ata official music... Wanae niunga mkonoo..Leo ndo nimejua hi I ngoma kallii..master
Sikiza hawa mafundi
👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Nam ndo knkadanload baaada ya hapa
@@priscamlyuka5531 yaapp ipoo
@@priscamlyuka5531rrrrrrrr rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Aseee wameimba vizuri na ngoma imesikika kuliko hata song Original waloimba Nandy na Nenga
Kama unaamini hilo dondosha comment lako hapa twende sawa
Wajua hawa walimu wa music?
👇👇👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Kweli aise
@@calvinkapinga8341 amini
Hiyo bangi unayovuta hebu iache mara moja
Rap si kitu Cha mchezo kitendo Cha rapper huyo yusuph nizar a.k.a yuzzo mwamba kuwashawish majudge na sio majudge hata me na ww katushawish an kitu kikubwa jamaa anaweza saana 🔥🔥🔥🔥
Mkali sanaa 👊🏻👊🏻👊🏻
Jamaa anatisha
So wakawaida aisee
Sanaaaa
Jamaa ingekuwa maamuz yang bas ningempatiaaa ushind tu mapema aseee maana anajua had anakeraaaa namaneno yake duuu😂🔥🔥🔥🔥🔥
Yusuf na magaritha nawakubali Sana na mungu awe pamoja nanyi,like zangu zote ziende kwenu,by lemali nnko from arusha
Daaaah this is one of my favorite electric performance I ever seen,unajua hii kitu wamefanya mpaka zaidi ya Coke studio🔥🔥👊👊
Kabla ya kifo Cha mende ujue kuna mbuz kagoma kwendaaa🤣🤣🤣🤣mwambaaaaa🔥🔥🔥@yusuph nizar daaa🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣
Ni Hatari
Huyo jamaa anarap had nashindwa kutype. Anajua
Ume sikiza hii?
👇👇👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Team master ni fire moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰😍🇰🇪
Safiiii sanaa Yusuph aka Yuzzo Mwamba wewe kwangu ndie mshindi mpk sasa 👏👏👏🙌🙌🙌
Yec💥
Yeeees
Hawa wa2 nawapenda hatare nimekuja kurudia hii k2 baada ya kuona mpo kwny 4 bora wanao amin yusuph na margarita wanajua comment plz
My Favorite Performance from Yusuph Nizar 🎉
Yusuf umetisha bro❤️💯💯
Kaimba kumshinda bilinasi nikweri like hapa
Jomoni nampigiaje kura Yusuph mkaka ni mkaliiii jamaniii 💗💗💗
Download app ya StarTimes then ukifungua utaona sehemu imeandikwa kura za jumla bonyeza hapo itakupeleka moja kwa mpk washiriki.
Cha kufanya nenda mpk group D utamuona kwa picha na jina la Yusuph Nizar then gusa neno kura na utaweza kumpigia kura Tano kwa kila siku 🙏🙏🙏
@@princeibra2042 ngoja na mm niende chap
@@beautyibrahim8428 ❤️❤️
Huyu jamaa yuko vizuri sanaaa🔥🔥🔥
Yuzzo mwamba the best rapper on the shaw ever
Yaan hii show jmn naipenda sana bahati mbaya kwetu hakuna hata TV jamn
yani uyo kaka more 🔥🔥🔥🔥🔥penda yeye sana
Nyie ni 🔥🔥 nyie ndo wasanii wakubwa mjao TZ
Watching from Ukraine nice boy flow good...this show is hot...
Sijawahi comment kwa kweli @masterJ bigup sanaa
Tunaosema hy ndo mshindi wetu 2021 tujuane kwenye like👇👇
Yaan nairudia kil wkt
🎉🎉🎉🎉😂
This duet was lit.. Walikiamsha sanaaaaa...
Huyu magaritha ako na kipaji tangu advance alkw anaimba kwaya ya ukwata go go mommy 😍😍😍😍 u killed it wallah🔥🔥🔥
Oyaa weee billnenga akasome mzee huyu jamaa anachana mpaka mistari inachanika
Huyu kaka yusuph Ni moto wa kuotea mbali hongera sana kaka mshindi wa bss
Noma sanaaa,jamaaa amechana mixtari kuntu sanaaaaaaaaaaaaa
Yussufa mkali saaana waku raper 🔥🔥🔥
Duet kali🔥🔥🔥
We Mdada umefunika balaa Ongeza bidii Mbn Upo ✔️
Hawa watu wameua jana Yan kl mda narudia daah kwel master j alkuwa n vipaji tupu nngetmn wote wawe top ten il mshnd n mmoja tu , ila kiufup show ya yn ndo imefunika saana hongeraaaa. Master
Anh bela kachukua waimb kwaya kaacha vkpaji
Noma aisee...kura zitaamua maana daa wote mafundi
Daaaaaa yuzoo n fireeeee
Sina kitu yakulongea mumeuwaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu rapa ni genius ase🔥🔥
Dah..... Grt more good performance...... Excellent guys keep it up
Namkubali uyo kaka mungu akupe ushindi
Yusuph nizar anajua sana hd majudge wanatambua hilo moto wakuotea mbali sana wew
Wa Congo tunapenda Bss... watching from USA 🇺🇸
#randykinamber
This year's bss is 🔥🔥🔥
Waoooo wanaimba kuriko wenye wimbo
And Yusuf won...congratulations Yusuf I loved you right from the start may you shine
Yuzooooo ur the best...u know...u do en u feel the music
I proudly of that.....wako juu sana Masha Allah.....Allah bless her....nimependa sana
Dahh!! Huyu jamaa noma sana
I feel for the judges coz.. The game is so tough.. I pray for them to make the right decision.. Coz.. It is very hard to decide for the best artist.. Coz.. Everyone is talented
That's right
Kabisaa
Sasa hii ndoile inayotakiwaga 💟💟💟
My Gee yuzzo mwamba✊
Yaani brother Yuso Anajua mpaka anakera
Sana
Wallah wanajuaa khaaa. 😘😘😘😘😘😘😍😍😍
Hatariiii kubwaaaa na Nusu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mi mumeo kama umeme, nikiondoka nikirudi hakikisha unasema uooo😂
Huoooo
😂
🤣🤣🤣
Kabxa
Kabxa
Idris arudi next season pia his good for the show
Ni hatareee na nusuuu wote wanajua ila huyoo brother Ni noumaaaaaaa😘😘😘😘
Huyo brother duh next level anajua sana
All the way from 254 kali sana
Band wanastahili pongezi🔥🔥
These guy's are lit 🔥🔥 what???
Idriss unanifurahisha sanaa wallah😂😂😂
They killed this show
The rap was dope 👌
the first verse was his own writings as well, wow!
Sanaa
Hawa ndio walimu wao...
👇👇👇👇
ruclips.net/video/xRuuX0u64Cc/видео.html
Talent of magnitude he is on high level i believe he is a waiting star soon to flourish.
Wow kipaji wametisha htr yan ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Idriss😂🙌🙌🙌🙌daah unajua kunigesha mambo 🙌
Kama kuna mweny kumbukumbu kama mm master J alisema kuvaa kitambaa ni wakina mama yeye kavaa nn😂😂
Ndo hapo sasa me nakumbuka
@@marthadaudi3340 😂😂😂😂
Utajuaje kama ni mama
@@matridalule6477 kumbee😂😂
😂😂
Niatari hiyo duet more than other
Dah... #TeamMaster katisha. Rapper Hatari🔥🔥🔥 Patrick 🙏🙏🙏🇰🇪✅✅✅
@Margaritha Patrick karibu Maggy. Nawatakia mafanikio bora katika sanaa ya mziki. Hakika mnaweza.
to be honesty mwaka huu kuna vipaji sana daaah🙌🙌🙌
Fire 🔥
They nailed it.......
Idris na Ommy wanaichangamsha sana bss
Kumbe uliona broo nacheka mpaka naskia kulia
@@lailatuyusuf9131 yani saivi nikiwa stressed nskuja kuangalia bss😂
Wallay inachangamsha sanaaaa
Waooooo ilikuw atar😗😗😗😗
Wameuaaaaaa yan ni fireeee
Wooow haman hii ni nzur san hongeren san jamn nimeipenda hyo
kijana wakiume unajua sana weweeeeeee
Namiss saaana ii pafomanse
Naipenda sana❤❤
Yusuph🔥🔥
Wow!! Best i had never see!!!😍😍
Waooo!!!
Patrick na yusuph nyinyi mue washindi 2020
Jamaa anajua sana mpeni hela zake tu
Waoooh so funny guy's😘😘😘😘🔥🔥🔥
Daaaah Kali nimewaelewa sanaaaaa duet yao
Mnajua mpaka mnakera bigup yuzoooooo
Duh uyu nizar ni noma
Wangap wanarudia kucheck hii performance 2022
Kama unaaamin wametisha gonga like
Moto🔥🔥🔥🔥🔥
Atalisanaaaaaa
Wameimba vizuri🔥🔥
Hatareeeeeeeeee master j hatarii
Omy una vituko sana🤣😂😂😂😂
From 254 ...this show is damn lit....
Naqubal sanaaaa keep it up keep shining
Yusuph katisha iyo duet mmeuwa sanaaa
yaan cjawahi comment humu ila hii clip kila cku lazima niangalie daah mkaka anajua kurap
Call mingiii mingiii ad nimsahau ex , ewuuuuuuuuu billnenga u'r🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Fire inaamsha🔥🔥🔥