HADI RAHA ALIKIBA ALIVYOCHANGANYA KUIMBA AJE, MBIO NA NAKSHI NAKSHI
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - Развлечения
Mm ALl KIBA KING... ❤❤ Huniambii kitu mpaka nakufa...hajawahi kutokea wa hivi
Sikuwahi kudhani kama bongo tuna hizi ladha, Ali the GOAT
Kiba live performance yuko vzur big respect 🔥
King kiba is good truly speaking with out fear or fever coz performance speaks volumes.Ilove Ali kiba for real.he deserve it
good one my all tym fav
Namkubali sana huyu mwamba tangu Nina miaka 9 2006 ndo nimeanza kumsikia katika albam yake ya Cinderella........nakshinakshi mrembo ilikua ndani ya albam ❤❤❤❤❤❤❤ live long mwamba @alikiba
Watahangaika sana ila kukufikia kiba hawawezi unafanya kazi nzuri sana❤❤❤❤❤❤❤ chukua maua yako🎉🎉🎉
King of the best Melody .MFALME wa hiz mambo
Mwambaa huyuu hapaa sasa😂 yan Kiba ni pure talent nyiee
I waiting you Evropě congratulations company kiba❤❤❤tongetha
Ucheshi na sauti unenifanya nimpende tu ntafanya part nyumbani tena mwambie ajee🙌🏿🔥
The thing I always loved him since i was a kid is the fact that, in every show, he must remind us of his old songs if that is the right word. And again, sauti ni ile ile tu❤️❤️❤️❤️🥰
Though his ability to write new songs of the current market and generation has become difficult to him
The King of live band ❤❤❤
Nothing but respect for this legend 🔥💯💪🏻
Aiseeee, I'm speechless kwa huyu mwambaaa, sioni msanii mwingne wa kufanya hivi, NDIO MAANA #VANISIKAKA anapofanya reaction ya nyimbo za KIBA huwa km anaelekea kudata anavyomsifia,
Nilijuwa Niko peke yangu kumbe tupo wengi hakika mollah amuweke kiba
Nilijuwa Niko peke yangu kumbe tupo wengi hakika mollah amuweke kiba
G.O.A.T🌹🌹 Wachana na Hao wengine ni Collabo tuu hawana Chao😂😂😂#Kiba To the Fulliest All the way from 🇰🇪
Hii ni kwa wale wote wanaopenda burudani Mia mia
King kiba is the Genius of live performances
Nakubali kabisa king kiba
Moree life king kibaaaaaa
Super live alikiba est le meilleur artiste tanzanien a produire un concert responsable il mérite d'être un héros 💪
Kiba Kiba Kiba.... This is the music we love❤
I love you my king you inspired me to the football and music only live long the only one king KIBA🔥🔥🔥
Team kiba huwaga atuna papara mambo mdogo mdogo ❤❤❤
Real voice ..Sema alifaa kuimba live band
King of Live performance #kingkiba❤
Umeua King 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Long live the King Kiba. The Living Legend 🎉
Jamaa anajua kuimba mpaka raha waallah jamaa atumii CD king king
Nice song Ali
Yupo juuuuuuuu king kiba
Alikiba hongera kaka!!!!
This guy is best one in tz achen na wale wa huni wa matusi daily
Jaman mmeskia alivyo weka melody kwenye kunikonyeza konyeza mchumba hapo
King kiba always the best❤❤
Kk unajua sana mauwa mengi kwako
unajuaaaaa kaka.............king kibaaaaaaaaaaa
Nice incroyable king kiba in touchable
sauti ya uyu jamaa inaattract attention bigup bro
A dead crowd
Ali is super class act
Sending love from Sierra Leone 🇸🇱
Now this is the real voice of show 😁😁
Hio band bado iko chini sana
Nakubari kiba mungu muendeleze Na kipaji cha mziki,
Nyimbo ya Alikiba ukiipa Miaka Mia bado yasikika hii ni mfano wa Asali.
Uyu jama Ni king Tanzania ki live
Alikiba anastahili kila heshima kwny mzk wetu
Huyu jamaa c ajengewe sanamu tu serikali inasubir nn
Sirikari hauko active na watu wanafanya makubwa wako na wanao roga wengine
😂😂😂😂😂😂 labuda mashabiki
😂😂😂😂umeua broow
Me nashangaa
Much respect my king forever
We always follow you bro .
Big up
Vraiment jm trop beaucoup cette chanson
Mwisho wa mawazo... amazing
Good
Fundii, utazani 2057🎉🎉🎉kwa king
Nimerudi tena ❤️ kiba kiboko yao
Love you alikiba
King kiba ninoma sanaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nomaaa!watasubili sna
ILoved the show between Ali Kiba &Yvone Chaka chaka.
King kiba bigap sana
❤❤❤❤❤
I ali songs n shows💪💪💪💪♥️♥️♥️♥️
Jmaa sauti haipotei...kbisa
Love u more kiba
Anajua
NOMA SANA
Mr upwiru🔥🔥🔥🇰🇪
Relevant forever
Bonge la sanamu ya anajua sana uy kaka
KING of bongo flavour 🔥🔥
Hongera sana kiba live unaiwezea kinomanoma
Hey
Kwa melodies hamna anaemkuta huyu mwamba👆
King ni Mmoja Tu King 👑 Kiba
Hakuna kama alikiba, mziki wa alikiba hauishi ladha namkubari huyu mwamba balaaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Ali jmn Ali,, bhac Tumwachie Allah
Kiufupi wewe ni fiiiiiireeeee,, jamani jamani ❤❤❤❤
Much better ❤❤
Napenda
Huyu jamaa live show,anajua
Thanks so matho 😂😂😂😂
Mwanamuziki mkali kwa live performance Africa
Kiba akiacha kiburi atakakuwa zaidi ya superstar
O
Kiburi kipi tena 😮
Live upo pekeyako bongo kwa sauti
Much respect king kiba the best one😂😂
Yaan sauti ni nouma hadi haichoshi
King Kiba is good muther fucker so Iappeal to brother Harmonizer to learn from bro Alikiba and do good live music.Kiba is good men.ilove tis live concert more than any E.Africa musicians butter ilove them all but king Kiba the best.
Love
Kaka humetisha bgp Sana Yan wew. Ni kiboko hapo sav
Mkali wa hizi Kazi, huna baya Baba imeenda hiyo
King kiba him self
PAPILEE
Shikamooo king mungu akupe Maisha malefu aimeee
Jamaa since day one anajua is real V.O.G
Uko pw
Dahhh hakuna kama king kiba jamiiiii
Wewe ndio mwanamuziki tanzania
Kama mkongomani ivi 🤔🔥🔥🔥
ALIKIBA NI MOTO🔥❤
🔥🔥🔥
I'm proud to be one of your best friends
Alikiba unajua baba ningilikua mwanamke mimi
Munyama upewe mauwa Yako bro
Daaa noumaaaa sana
King ni mwamba from tanzania amzidi diamond
Kiba is the King and I knew Alkiba is good in live band more than any other artists in Bongo and konde is second, Ryvanny third and maybe Diamond may follow but diamond is more likely adancer