Alikiba Amkosha Hamisa Mobetto Aimba kwa Hisia Wimbo Huu Mbele ya Marioo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
    FOLLOW US
    Follow on Instagram: / mwendokasitv
    Follow on Facebook: / mwendokasimedia

Комментарии • 301

  • @mickidadybakari9974
    @mickidadybakari9974 Год назад +510

    KING KIBA NI MMOJA TU TANZANIA NZIMA NIMEANDIKA KWA HERUFI KUBWA HATA NISIPO PATA LIKE ILA NIMEKUBALI MELODY YA KING KIBA

  • @thedon8048
    @thedon8048 Год назад +71

    Tukisema alikiba ni mfalme ila kuna watu wanabishaga xjui na hapa hawaelewiii au hawasikii sauti ya mfalme invyozizimisha mioyo ya watu jaman👏👏

  • @barnabaschars1637
    @barnabaschars1637 Год назад +91

    Kama mkali wa Vocal R.Kelly alikubali uwezo wako mm ni nani nikukosoe ww Bwana Mfalme,You are the Best of the best Big Bro!

  • @meryemanuel5292
    @meryemanuel5292 Год назад +199

    Tunao rudia rudia kwa ajiri ya kiba tujuane😍😍😍

  • @alijunijohn8181
    @alijunijohn8181 Год назад +44

    Daaaah jamn kwa live performance mpaka Leo sijaona wakuimba live Kama Alikiba

  • @user-zs7rw8rl8c
    @user-zs7rw8rl8c 8 месяцев назад +4

    Ali kiba eeh mina nakupenda sana ww tambuwa hilo mfarume wangu❤❤❤

  • @sarahanthony
    @sarahanthony Год назад +69

    Jamaa Kwa live ni Moto WA kuotea mbali... Anajua bana🙌🙌

  • @SolangeAksanti
    @SolangeAksanti 3 месяца назад +1

    Alikiba ametawala Tanzania myaka kitambo,tumupeni mauwa❤❤❤❤❤,king kiba bakuacha Living

  • @savanny_music
    @savanny_music Год назад +30

    Mfalme alipewa heshima zake maturity is on another level

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +35

    Mwanamuziki wangu bora wamuda woteee💯🔥🔥🔥💯❤️❤️❤️🙏🙏🙏💪

  • @theoneclever7879
    @theoneclever7879 Год назад +34

    SIWEZ SEMAA PERFOMANCE OF THE YEAR BT IN REALITY THIS IS BEST PERFOMANC OF THE MONTH

  • @razakilipwelele5518
    @razakilipwelele5518 Год назад +54

    He got Magical. Kama unajifanya humuelewi basi unamkubali chumbani ukiwa peke yako

  • @asiaasia1069
    @asiaasia1069 Год назад +7

    Hakuna mjuzi wamusc kama wewe king 👑 ally Kiba much love 💕 much lisp ECT my brother Kiba mungu akuzidishie na kipaji chako🙏🙏🙏wewe ni hatareee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @michaelluberege4496
    @michaelluberege4496 Год назад +15

    KING KIBA KWANI UNAWAKE WANGAPI ADI SASA MAANA NINA DADA ANGU MZURI TU NAISI ATAKUFAA MAANA KWA BURUDANI UNAYONIPA KWE MUSIKI WAKO MIMI SINA CHA KUKULIPA HERI NIKUPE DADA ANGU BUREEE KAMA ZAWADI 👑 OF 🇹🇿👏👏👏

  • @hadijaomari8833
    @hadijaomari8833 Год назад +27

    Alikiba kaua sana kweny hii show nzima ya marioo jaman

    • @timafahad3764
      @timafahad3764 Год назад +2

      Anaimba sana mjinga huyu yani live lkn sauti ipo 🔥 📛

  • @ibongyaebuchajosias6182
    @ibongyaebuchajosias6182 Год назад +14

    Big bro king kiba🙏🇹🇿🌹💋💋❤️💥💥💥💥Unaho utu na utulivu iyo kweli uko mkubwa tu uwezi kimbizana na watoto💥

  • @agnesshonga7570
    @agnesshonga7570 Год назад +15

    Ali yuko simple sana napenda life style yake napenda anaimba vizuri sanaaa.

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 Год назад

      Napenda anavaa very casual lakini anapendeza mno🥰

  • @supertallone1902
    @supertallone1902 Год назад +16

    Mtoto wa Kariakoo akionesha love kwa Toto Bad🙌🎶🔥Hongera Kiba na Marioo👑👑🎶🔥🔥🙌

  • @fatumahamisi8079
    @fatumahamisi8079 Год назад +12

    King kiba ni mmoja tuu Tanzania hakuna kama yeye Dunia nzima💯✔️❤️

  • @meggygitau4079
    @meggygitau4079 Год назад +16

    He is the king 👑 of kings, Alikiba Mwenyewe 👑💕💕💕

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 Год назад +20

    KING KIBA 🤴 👑 NAKUKUBALI SANA

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Год назад +49

    Unyama ni mwingi Sana ,, only one King 🇹🇿🔥👊

  • @EL-Protabolisa_Le_King
    @EL-Protabolisa_Le_King Год назад +28

    From USA 🇺🇸 EL PROTABOLISA LE KING 👑

  • @zawaditamari9752
    @zawaditamari9752 Год назад +25

    Panya Ali ogopa kukuja Ali djuwa King Ata imba tu😂😂😂😘😘

  • @hamisirajab880
    @hamisirajab880 Год назад +20

    Once A King Always A King 👑 Big Up Ali Kiba 🔥🔥🔥

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu9587 Год назад +15

    Wee ally mamaee zako unajuw xn kuimba mpk unaboa mfyuu🙌🙌🙌🙌

  • @shemsamauly3615
    @shemsamauly3615 Год назад +44

    My fav king kiba ❤❤❤ for life 😘😘😘

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 Год назад +25

    Wow king kiba you killed it like always you never let your fans down

  • @mullashkisupi5193
    @mullashkisupi5193 Год назад +16

    King kiba is the only king of music in Tanzania

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 Год назад +15

    Daaaaah Alikiba is very talented

  • @kanghanhankang1440
    @kanghanhankang1440 Год назад +21

    Nampenda san kiba kwanz mavaz yake ýapo kiheshima

  • @keyaanforril5630
    @keyaanforril5630 Год назад +20

    Big up King kiba nakukubali Sana kaka

  • @powerhouse1259
    @powerhouse1259 Год назад +7

    daaaah KING kaend iba show ya watu 😂😂😂😂😂

  • @emuronstacy6931
    @emuronstacy6931 Год назад +5

    King kiba for live❤️😍♥️

  • @mdta8161
    @mdta8161 Год назад +63

    Nampenda Alikiba jamani Nina Imani ipo siku nitamuona

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Год назад

      Kweli ee

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 Год назад

      @@kassimali2273 😂😂 Kasimu mbona kama umeitikia kinyonge sana

    • @mdta8161
      @mdta8161 Год назад

      @@kassimali2273 ndiyo

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Год назад

      @@bintalmasi2393 hapana ndugu nimeuliza kama yupo serious atamuona

    • @aryandave5152
      @aryandave5152 Год назад

      Inshallah

  • @rahmambwana1204
    @rahmambwana1204 Год назад +21

    One love 💕 King kiba ft Maroo

  • @mugoisaac6595
    @mugoisaac6595 Год назад +2

    Huyu jamaa kwa live performance ni moto🔥🔥

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Год назад +31

    King 👑 kiba ni mmoja tu 🤞💋

  • @samwelkeith4564
    @samwelkeith4564 Год назад +48

    Amazing voice alikiba

  • @everlynkadenge9552
    @everlynkadenge9552 Год назад +6

    Alikiba taniua mm🙌😍😍

  • @yasnaghump5763
    @yasnaghump5763 Год назад +17

    Alaf li alikiba lipo simple jmn nalipenda mwezenu

  • @marywangare3719
    @marywangare3719 Год назад +54

    This song is very beautiful❤two great artists for sure!

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 Год назад +13

    Mh! Vijana wetu kweli mlipania bgp kwenu 😍😍

  • @libertinesafi
    @libertinesafi Год назад +3

    Jamani king kiba atabaki tu king siyo kwaku burudisha namna hiyi una stahili tuzo kukwa tazania Niko🇨🇩 Congo lakini unavyo nikoshaka❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @lucyatieno1249
    @lucyatieno1249 Год назад +5

    King 👑 kiba to the world much love from👉👉 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shabanifeisaly3109
    @shabanifeisaly3109 Год назад +9

    King 👑👑 kibaa ni fire 🔥🔥🔥🚒🚒🚒

  • @dorusdenis
    @dorusdenis Год назад +6

    Alikibaa🥰

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 Год назад +2

    Wataelewa tu taratibu km King ana paswa kuwaje😂😂😂King Kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +8

    King yoooooooo yebaba my bing boss💯🔥🔥❤️❤️❤️😘🙏🙏💪💪

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 Год назад +13

    Alikiba juu

  • @saadahassan1437
    @saadahassan1437 Год назад +15

    Marioo anaimba otherwise kiba aendagi kwenye event tuuu

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад +8

    King ❤ ❤ ❤

  • @mwanamisimwaganyuma3612
    @mwanamisimwaganyuma3612 Год назад +20

    👑 ni mmoja tuu

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад +8

    King ni mmoja tu❤️❤️❤️💋

  • @conymbetsa9377
    @conymbetsa9377 Год назад +9

    Kazi bila fujo much ♥️ from kenya

  • @absonbobby3257
    @absonbobby3257 Год назад +27

    One and only KingKiba 🔥🔥🔥

  • @paulodanielantoniokungumu994
    @paulodanielantoniokungumu994 Год назад +28

    Viva para sempre,de lenda para lenda,King_rei com a sua reinaçao musical

  • @gianamichaels5907
    @gianamichaels5907 Год назад +8

    Ali ur in Ma heart ♥. Watching from 🇺🇬 Uganda

  • @thatforeign4590
    @thatforeign4590 Год назад +8

    2:18 mamamaaaaeeee kibaaaa dea fadaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @bintichausa6716
    @bintichausa6716 Год назад +6

    Aminia shem hunampinzani...king 👑👑💖

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Год назад +1

    Hii mmeuwa tungeni wimbo mwingine maana masaut mazuri sna kweli mnajuwa saut asilia siyo za kubanda pua

  • @ericgardner7509
    @ericgardner7509 Год назад +3

    Jamaa hapigi kelele kama asake wa tandale😂

  • @savanny_music
    @savanny_music Год назад +12

    Hizo kelele zilikua zinaashiria kuwa nani alikua anaingia next

  • @rayahsadik7506
    @rayahsadik7506 Год назад +6

    Mario hakutegemea Kam utapanda stejin 🥰

  • @lovenessmbalinga4428
    @lovenessmbalinga4428 Год назад +1

    Nakukubali sana master king kibaaaaaaaaaaaaaa, love you master

  • @P.Barack
    @P.Barack Год назад +11

    show kl kbs kwa kiba

  • @razakilipwelele5518
    @razakilipwelele5518 Год назад +5

    Kiba kama asingekuwa wa Tz.amini nawambieni Test kama hii tungeisikia kwa bomba la maji tu

  • @hamenyimanagentille2103
    @hamenyimanagentille2103 Год назад +2

    My fv♥️nakupenda bure bure Allah azidi kukusimamia Pia akulinde na vijicho na husda za walimwengu🤲🙏

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Год назад +12

    Best song ever

  • @salimamani6672
    @salimamani6672 Год назад +1

    kweni mond pia alikuwapo au mana nilikuwa najiuliza kwa nini huyu jamaa anajiita king kumbe kweli is king of Tanzania

  • @JosephMutambala
    @JosephMutambala 6 дней назад +1

    King mkali wa live hapo hamna ubishi kk❤

  • @callisah7628
    @callisah7628 Год назад +17

    huyu alikiba kwa live tu sio poa nijitu flan hiv

  • @mugoisaac6595
    @mugoisaac6595 Год назад +2

    Huyu Jamaa akiwa live na bila beat ni killer🔥

  • @amidjaja5695
    @amidjaja5695 Год назад +14

    Uyo ndo king baba

    • @beatriceyohana5661
      @beatriceyohana5661 Год назад

      Nakupendaga buuuure king,much loveeee uunajuaa mpaka unakeraaa

  • @omaryhamadi
    @omaryhamadi Год назад +5

    Ndo king wa muziki

  • @isakamaganigani1587
    @isakamaganigani1587 Год назад +7

    King bigapu sana mungu Yupo nawe

  • @russysalimu2498
    @russysalimu2498 Год назад +7

    U love you saudia Arabic Ali kiba

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Год назад +8

    🎤😋mm aijui mziki ila huyu jamaa namuelewa Liv

  • @BrunojnrMz
    @BrunojnrMz Год назад +4

    Wimbo gani uu, mbona ni wa moto sana

  • @neyntui2967
    @neyntui2967 Год назад +8

    wow king kibaa🔥

  • @allycazorla1151
    @allycazorla1151 Год назад +3

    King

  • @rehemacharles4290
    @rehemacharles4290 Год назад +2

    Katika wasanii wanaonikosha tangu utoto wangu hadi sas ni kiba katulia mwenyew hana mbambamba. Sio kijana wa hovyo

  • @egberterasmoc
    @egberterasmoc Год назад +1

    daaaaah namber 1

  • @mariagunda8264
    @mariagunda8264 Год назад +1

    Hakuna wa kufanana na king kiba😍

  • @Lovelymamuu
    @Lovelymamuu Год назад +9

    King 💋💋💋💋💋

  • @ShahasiMohamed-jd2eg
    @ShahasiMohamed-jd2eg 8 месяцев назад

    Dah king uko sawa bro sauti imetulia mzee haina tofauti na kwa real ngoma

  • @elizabetharon6334
    @elizabetharon6334 Год назад +14

    Chumaa on the stage vavaaeeee

  • @TingishaSelemani
    @TingishaSelemani 5 месяцев назад +1

    Ila hili jamaa ni nomaa❤❤

  • @fatumachari2581
    @fatumachari2581 Год назад +1

    KING KAMA KING HAKUNA KAMA WW NAKUKUBALI SANA BIG UP

  • @adiliamoni3681
    @adiliamoni3681 Год назад +1

    Umetisha sana king mnyama

  • @joleal7941
    @joleal7941 Год назад +3

    King kiba😍😍

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Год назад +3

    ❤❤❤❤❤king jiba🔥🔥🔥🔥🔥

  • @maryamrashid6882
    @maryamrashid6882 Год назад +2

    Nyieee nyieee aah mfalme ni mmoja tu aisee

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 Год назад +1

    Salut kwako king

  • @rmoshamte8085
    @rmoshamte8085 Год назад +8

    King kiba

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Год назад +12

    Kelele ni nyingi kuliko waimbaji

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph Год назад +4

    Hamisa 😍♥️

  • @felixkato6283
    @felixkato6283 Год назад +2

    King Kiba. Marhabaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu4462 Год назад +3

    Jaman Kiba fundi sana mhh anaimba hatar

  • @roberternest5102
    @roberternest5102 Год назад +4

    NANi ANABISHA 👑 NI MOJA TU TZ