ALI KIBA AKIIMBA UTU LIVE NA MARIOO | UKUMBI WOTE WASISIMKA | ATUNZWA MAPESA NA WAREMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • ALI KIBA AKIIMBA UTU LIVE NA MARIOO | UKUMBI WOTE WASISIMKA | ATUNZWA MAPESA NA WAREMBO

Комментарии • 468

  • @hamisishabalala_sneper6991
    @hamisishabalala_sneper6991 2 года назад +75

    UNYAMA SANAAAA MWANDALIENI SHOW ALLY NA RUBY WAIMBE LIVE ITAKUWA UNYAMA SANA

  • @RamaKaraoke
    @RamaKaraoke 2 года назад +102

    Huyu jamaa musikubari kuimba nae Live" anaua sana huyu bila beat ni killer ❤️

  • @frankudoya9065
    @frankudoya9065 2 года назад +208

    Huyu jamaa namkubali kinoma noma na ipo siku ataimba kwaya na roho mtakatifu atashuka ndani yawatu ,,,maana dah,,, anaimba adi unywele unasisimkaaaaaaaa king kibaa

  • @mimah2498
    @mimah2498 2 года назад +112

    Mwenyezi mungu akuongoze daima auna mpinzani uko peke yko 👑💖💖💖

    • @idof5082
      @idof5082 2 года назад +1

      😂😂😂

    • @daudjohn3458
      @daudjohn3458 2 года назад +2

      Unaota

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 2 года назад +2

      Amuongoze wapi sasa kwenye ushetani dua zengine sizo muombeeni ahidike

  • @johnmokonzitz121
    @johnmokonzitz121 2 года назад +8

    Da! Kiukweli ulio wazi Kiba ss ivi yupo kinyamwezi sana hana tofauti na wanamuziki wa mbele

  • @RémyGisinza
    @RémyGisinza 2 года назад +72

    Marioo kafanya Bora kabisa. Ali kiba we ni Moto wa kuotea mbali HUa mi Shabiki wa Diamond Platnumz ila apo umefanya Po sana. Tangu leo Mi shabiki Yako King Kiba. you did welll on this live band Karaokee

    • @Agpthegreatcompany
      @Agpthegreatcompany 2 года назад +2

      Mbona kazidiwa na rayvanny. Kapoa sana

    • @isayamsisika1146
      @isayamsisika1146 2 года назад +3

      @@Agpthegreatcompany hujui mziki ww

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 2 года назад +1

      Huna lolote

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 2 года назад +2

      @@Agpthegreatcompany kazidiwa nini labda

    • @bbmmss4660
      @bbmmss4660 2 года назад +3

      @@Agpthegreatcompany tuoka zako wewe chizi ravyann ni mtt sn kwa kiba hawezi kuimba live kama kiba

  • @honestgroup2116
    @honestgroup2116 2 года назад +11

    Huyu kiba uyu ni noma sanaa yani kitendo cha kwenda kwa rais mstafu bila camera ni heshm sana wangekua wengn sasaaa mmh

  • @nooromar6233
    @nooromar6233 2 года назад +20

    Jamani Ali ni king ku compare na alivyo imba Diamond live ninam support kiba for life big up king

    • @antarsangali4456
      @antarsangali4456 2 года назад

      Diamond ni malaika anayeishi mawinguni akishiriki kuwaimbia binadamu na majini.Acha kabisa Chibu kiwango kingine

  • @alfonceanton2273
    @alfonceanton2273 2 года назад +33

    Natural voice kaka mkubwa wewe ni zaidi ya mfalme 👑👑 I appreciate you much #King Kiba

  • @baysadam235
    @baysadam235 2 года назад +48

    Namkubari sana Brother Kiba kwa kazi zake so Allah akufanyie upessi katika harakati zako🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @rashidsaid1153
      @rashidsaid1153 2 года назад +2

      Allah usimtaje ktk maswala y mziki kaka km ni muislam omba toba maana Allah hataki mambo ya sheitwani

    • @mishibeibz8239
      @mishibeibz8239 2 года назад

      @@rashidsaid1153 kwani makosa ya wapi kaka na ndo harakati zake zakutafuta rizki angekua mwizi pia mngesema binadamu sie kwakusema tu tumebarikiwa

    • @jumayusuf2684
      @jumayusuf2684 2 года назад

      @@mishibeibz8239 hata uwizi pia haukubaliwi we unapata rizk unaimba au mwizi

    • @neemaarusha9044
      @neemaarusha9044 2 года назад

      Ingekua ni wasanii wengine hapo hawapandi bila bodigadi,aruhusiwi mtu kusogea ila kibaa ni King 🤴 wa bongoflava

  • @allanizoo1678
    @allanizoo1678 2 года назад +10

    Uyu mbwa Ali ana kipaji kuliko msanii yeyote bongo ila 🔥🔥🔥🙌🙌😂😂👑👑

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 года назад +67

    Napenda watu wanamkumbatia yuko kawaida bila bodyguard kufukuza watu adi rah ❤show 👌🎉❤❤

    • @GloryEmmanuel-q4f
      @GloryEmmanuel-q4f 2 месяца назад

      @@allthingdranabeauty angekuwa mwafran ma bodyguard kama wote

  • @deusdeditsanga9666
    @deusdeditsanga9666 2 года назад +32

    Sijawahi jutia kuwa fan wako king

  • @ikenylivingstone
    @ikenylivingstone 2 года назад +24

    King kauua saàna.....I love the tune....utu is a all time hit song.

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu4462 2 года назад +42

    King Kiba ,king of bongofleva hakuna km ww bongo,best live performance ♥

  • @noelmtao2735
    @noelmtao2735 2 года назад +105

    Kwa kweli nimeshangazwa na "sound quality". This is marvellous! It is like Michael Jackson or Rihanna is performing! Kudos for organisers!

    • @allysanya8346
      @allysanya8346 2 года назад +3

      Huyuu jamaa n hatari Sana'a no one like him n yeyeeee pekee

    • @johnmushi8922
      @johnmushi8922 2 года назад +5

      Unajua mpaka unakera

    • @isdorchuvu6280
      @isdorchuvu6280 2 года назад +5

      Sound iko poa kweli ,show nyingine msanii humsikii kabisa Kama anaimba live.

    • @jastinisimkoko5386
      @jastinisimkoko5386 2 года назад +1

      King your the best everyday my brother

    • @jastinisimkoko5386
      @jastinisimkoko5386 2 года назад +2

      King your the best everyday my brother

  • @nassjr6566
    @nassjr6566 2 года назад +4

    Mwambino akiwez kuimba hv nakunya kuanzia dar mpk kigoma.. hlf yule msengee compyut inamlind na mason hn llte naomb like zenuu timu kibaaaaa🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

  • @pacificbakamenb99
    @pacificbakamenb99 2 года назад +10

    Aise ALI yuko vizur kwa yote be blessed natamani oneday nifanye wimbo naye wa kumtukuza mungu kbc

  • @petertabitha287
    @petertabitha287 2 года назад +1

    Hapa ndipo tofauti ya msanii na mwanamziki inapoonekana king kiba ni mwanamuziki hakika ni tunu kwa taifa ameamua kuishi maisha take pekee

  • @smartndecha5805
    @smartndecha5805 7 дней назад

    wauni wana namba zaoooo zinaitwaaaa nne tanoooo🔥🔥🔥 mond anamjua kajeeeeh like hapooo kam umekubal

  • @mimah2498
    @mimah2498 2 года назад +26

    We love you so much💙💙💙💙 king 👑 kiba n mmja to tunamtambua kma kiba❤️❤️❤️❤️ much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shanifasalum3680
    @shanifasalum3680 2 года назад +2

    King Kiba anajua anajua anajua tena sauti mie hoiiiii aiseee

  • @kismetsaimon7697
    @kismetsaimon7697 2 года назад +12

    🔥🔥ani sauti ya kwenye wimbo na live ni ile ile 🙌

  • @lawlawisahadi9202
    @lawlawisahadi9202 2 года назад +5

    Uhakika unyama kama wote inatakia muwe muwe mnashilikiana kimuzik hivo hivo chuki hatutaki øg mario kingi kiba nawakubali sana

  • @kibabahamza5558
    @kibabahamza5558 2 года назад +9

    Anapo jiita king tambueni uwa anamanisha aya angalieni apo vizuri na sikilizeni sauti iyo yani bongo akuna kama king ww nakama mnabisha busu pua yako👃👃👃👃👃

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 2 года назад +19

    King 👑km king👑 na kubali Sana kazi Yako 🙌 Ishi miaka 💯 yenye Amani na Upendo 🙏

  • @ayoubomary9336
    @ayoubomary9336 2 года назад +6

    King wa izo kazi mkome kumuwekea mi live band atawaua

  • @arqaammsongelwa7567
    @arqaammsongelwa7567 Год назад +6

    He~is~ablendazone~in~case~0f~musician~
    ❤❤❤❤respect~king~kiba

  • @famosses5146
    @famosses5146 2 года назад +42

    Love how we Tanzanians supporting our own. Hongera sana Marioo. ❤❤❤

  • @madagaandimligo2643
    @madagaandimligo2643 2 года назад +2

    Serikali inasubri nn kumjengea sanamu popote pale ama mpka afe ndio waanze alikuwa sijui nini nini bas watupe kibali sisi mashabiki zake tumjengee hata pale Airport ili wageni wakija Bongo wajue tunamsanii mmoja tu Tz waliobak wote ni wanamuziki Daah king kiba for life

  • @lemmytaura7507
    @lemmytaura7507 Год назад +1

    Napenda sana King Kiba...ni nko Kenya Mombasa

  • @mirrykirungi5078
    @mirrykirungi5078 2 года назад +6

    Uyo ndio kiba big up sana king kiba

  • @mablesakala5695
    @mablesakala5695 Год назад +15

    Am seeing Tanzania keep growing in music much love from zambia

  • @hussenaziz2130
    @hussenaziz2130 2 года назад +7

    Mimi nasemaga siku zote mtu anaejua kuimba ambie live , , kingi kiba ni msaniii sasa huwez kumfanananisha na diamond

  • @mwangobelejunior2862
    @mwangobelejunior2862 Год назад +7

    You're king of bongo flavor king kiba big up broo

  • @idrisashelimo307
    @idrisashelimo307 2 года назад +11

    Only one King jamaaa anajua sana hadi anaboa kwanini lakini jamani King 🤴 hapana usifanye hiyoo King 🤴

  • @winnienafulamasinde6249
    @winnienafulamasinde6249 2 года назад +38

    I'll forever adore huyu msanii Ali.

  • @ayurekituz736
    @ayurekituz736 2 года назад +2

    King kiba ur amazing bro.mkali wao nakukubali 1oo%

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 2 года назад +18

    Kiba na daimond popote mlipo mm nipo nawapenda sana Mungu azidi kuwaweka

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Год назад

    King ni1 tu❤❤❤❤❤❤

  • @mwaramundaabdallah9049
    @mwaramundaabdallah9049 2 года назад +8

    Kiba my always best singer in east Africa

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp 2 года назад +13

    Hii ndiyo Miziki ya kusikiliza 😍

  • @JAPHETSAFARI-d8r
    @JAPHETSAFARI-d8r Год назад +2

    Naturally sound alikiba the king of music may god bless you Ali salute you 🎉🎉

  • @thomasndewa4797
    @thomasndewa4797 4 месяца назад

    My best African artist is king kiba❤❤🎉🎉🎉🎉am from Kenya 🇰🇪 ❤

  • @liadehamidouibrahima712
    @liadehamidouibrahima712 2 года назад +34

    Depuis paris on se fatigue pas d écouter tes chanson le roi de la musique Tanzani

  • @dreamsonwinnie4840
    @dreamsonwinnie4840 2 года назад +14

    Mutu m,badi sana....you are the best...love from Malawi

  • @respikiusbwemi3146
    @respikiusbwemi3146 2 года назад +3

    10000000 % unajua mmekutana wenyemzikiwenu nimependa sanaaa kibaaa king wakuache

  • @philibertjosephart6811
    @philibertjosephart6811 8 месяцев назад +1

    Nafanyeje mm kusikiliza live Alikiba

  • @amrikingash4633
    @amrikingash4633 2 года назад +19

    Boom 💥 💥 💥 he is G.O.A.T of bongofleva......🙌🙌🙌 KING 🤴 KIBA

  • @ambakisyekayuni9161
    @ambakisyekayuni9161 2 года назад +4

    👑 kiba ni mnyama bongo nzima

  • @allenmethod6788
    @allenmethod6788 2 года назад +5

    Huyu Mhehe anajua sana god bless you

  • @Grandochu
    @Grandochu Год назад +7

    I'm enjoy your song & voice loudly big up my broo kingkiba

  • @sharadmudi144
    @sharadmudi144 2 года назад +20

    Nimeirudia Zaid ya Mara 3 km nawewe pia gonga like hapa

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Год назад +3

    Karibu tena, na roho yako mkononi ku sapoti mdogo wako❤️❤️

  • @jumbembarakahamisi2267
    @jumbembarakahamisi2267 2 года назад +3

    East to west your the best your the past future and present king kerp it up🙏🙏🙏🙏wewe ni munimaaa

  • @joleal7941
    @joleal7941 2 года назад +19

    Kiba number one✌✌

  • @yohanamnema4496
    @yohanamnema4496 2 года назад +6

    No one artist Africa than you brother King kiba who can sing live performance, also your only one King of bongoflavor but continue hard work and make sure that in this year 2023 must be you prepared many projects those come to be hits songs.

  • @shukuruskay4949
    @shukuruskay4949 2 года назад +32

    What a lovely sound #the only one king 🤴 ❤ 💖🥰 ☄🔥🔥

  • @hachimsaidabdallah6775
    @hachimsaidabdallah6775 2 года назад +32

    Ma chanson préférée depuis Paris 🇨🇵❤️

  • @kwilasajunior5367
    @kwilasajunior5367 2 года назад +21

    Only one king in Africa 🙌🙌🙌

  • @libertinesafi
    @libertinesafi 2 года назад +12

    King musique vraiment tu sais baucoup chanté tu es toujours numéro 1❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @KidotiTwiga
    @KidotiTwiga 2 года назад +2

    Nyie huyu kiba hapana jmn🙌🙌🙌🙌anajua xna jmn

  • @delvinakullaya6275
    @delvinakullaya6275 7 месяцев назад +1

    King Kiba na Rubby kwenye live performance ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mariagunda8264
    @mariagunda8264 2 года назад +1

    Alikiba The king of music huyu ni msanii wangu

  • @mikevida08
    @mikevida08 Год назад +5

    p.a system na band ziko another level 💥💥

  • @elizabethalexander9424
    @elizabethalexander9424 2 года назад +10

    Marvelous King kiba❤️

  • @angellokasolo9330
    @angellokasolo9330 2 года назад +4

    nakubak kib. unaweza

  • @jayloschussi7916
    @jayloschussi7916 2 года назад +6

    Kumbe marioo aliondoka baada ya kuona jamaa anatunzwa mpunga na kushangiliwa kama shoo yake mwamba anajua

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba7 2 года назад +11

    Uyo ndo king kiba

  • @thomasadam8458
    @thomasadam8458 Год назад +1

    Uyu jamaa akiimba live ngoma zake zina kuwa kali sana uwishi miaka mingi

  • @Dennissabha
    @Dennissabha 2 года назад +4

    King umeua kinyama bana 🔥

  • @dancunodhiambo9780
    @dancunodhiambo9780 2 года назад +4

    King kiba is the best 👌

  • @اجهلكالانفلاتي
    @اجهلكالانفلاتي 2 года назад +2

    Kiba anajua paka anakera💣💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @moccahonline5450
    @moccahonline5450 2 года назад +2

    Mi team wcb laki kiba anajua jaman

  • @salehjumahassan9986
    @salehjumahassan9986 2 года назад +2

    Huyu kiba anajua kuimba 👑👑👑👑👑👑👑

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 2 года назад +4

    Kiba 4ever. From 254

  • @ElishaAyoub-h3k
    @ElishaAyoub-h3k Год назад

    Unaweza sana brow, Allah akutie nguvu ufanye vzr zaid na zaid, Amen

  • @saidifaki2621
    @saidifaki2621 Год назад +1

    Love you my brother Ali kiba..ft Mario ..big up

  • @TotooJacobo-mk6lf
    @TotooJacobo-mk6lf Год назад

    Daa kiba wewe ni hatari cjawahi kuona
    Mungu akujalie uishi mda mrefu

  • @kevinwitsa7546
    @kevinwitsa7546 Год назад +1

    Huyu jamaa ni moto sana kwenye live performance afananishwi na yeyote

  • @thekibosoundband7489
    @thekibosoundband7489 2 года назад +3

    The man steals the show

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 2 года назад +5

    Yani kwanza kapendeza kaimba vizuri sana kweri 👑 wewe kiboko

  • @harounernest1516
    @harounernest1516 2 года назад +10

    Mwenye kujifanya anajua kuimba live band aje ashindane na huyu mwamba😂😂😂😂🙌🏾

  • @hurumapaul2065
    @hurumapaul2065 2 года назад +3

    King kiba hatariiiii🥰🥰❤️❤️

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 2 года назад +6

    King biking 2 ndiomaana umeimba R kely yusundo faly

  • @wakeshojuliet2368
    @wakeshojuliet2368 Год назад

    Mashallah Ali kiba❤❤❤❤❤🎉

  • @irenesalewa7164
    @irenesalewa7164 Год назад

    Apo Ali umetisha na huo wimbo umeni nice mbaya

  • @mcryanomar9716
    @mcryanomar9716 2 года назад +15

    Very few people can do a live music this is what diffarenciet real talent

  • @doreengodfrey2786
    @doreengodfrey2786 2 месяца назад

    Huyu sasa ndiyo king mwenyewe 🧏🧏☝️☝️☝️👊👊

  • @theoneclever7879
    @theoneclever7879 2 года назад +2

    Nyoooooo uwezekanik brother

  • @oscaramani5021
    @oscaramani5021 2 года назад +4

    na mkubali huyu mwamba sana.... ww ni msanii bora wa mda wote kwangu

  • @SunDinesh
    @SunDinesh 2 месяца назад

    Muacheni king aitwe king❤

  • @savanny_music
    @savanny_music 2 года назад +19

    wanaongoja #King aende retire watangoja sana. This guy is from another world

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 5 месяцев назад

    Kuna tofauti kati ya kuwaimbisha watu na kuwashirikisha watu nyimbo. Hapo ni kuwaimbisha na pesa wamekulipa...

  • @neemamabula6884
    @neemamabula6884 2 года назад +1

    Shoo ya kiutuliv ikisindkizwa na utu king 👑 is the king yee babaa ad unaifeel nyimbo an

  • @chrisjeananandah6416
    @chrisjeananandah6416 2 года назад +2

    king kiba wewe ni mkali wao, pure talent hakuna kama wewe

  • @RivaldaAc
    @RivaldaAc Год назад

    ❤❤❤❤❤❤🎉 my brother your so serious with your work dear ,God bless you ❤❤❤❤❤🎉

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 2 года назад +3

    Kingkiba Salute

  • @ChesnoldLuhanga
    @ChesnoldLuhanga 5 месяцев назад

    hii nyimbo ndo nyimbo bora ya bongo fleva ya muda wote

  • @luwaluwachampionboy5003
    @luwaluwachampionboy5003 2 года назад +2

    Afu atokee kenge mmoja bongo aseme eti anawez kumshinda king kuimba live atapigwa mawe mpaka afe