MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris
    Contact: +255652796450 (WhatsApp)
    Instagram Link:
    / holyspiritconnect
    Facebook Link:
    / holyspiritconnect
    RUclips Link:
    / holyspiritconnect

Комментарии • 173

  • @rehemasuleiman7469
    @rehemasuleiman7469 Год назад +1

    Kwa Damu ya Yesu nafuta kila maneno niliyotamkiwa au niliyotamka mwenyewe,najitamkia afya njema ustawi pamoja na familia yangu

  • @NellyKombe
    @NellyKombe Месяц назад +1

    Amen MUNGU akubariki sana mtumishi

  • @TUNUMNGONIGANI
    @TUNUMNGONIGANI 14 дней назад +1

    Nafuta kila maneno niliyotamkiwa na watu,ndugu,ukoo,au familia,na marafiki,na niliyojitamkia Amen nafuta kwa damu ya YESU

  • @Christianchazinho
    @Christianchazinho Месяц назад

    Nafuta maneno mabaya nilitamkiwa na maneno mabaya nilijitamkia mabaya nayafuta natengua katika jina la yesu kristo Amen 🙏

  • @yusterkapinga7102
    @yusterkapinga7102 Месяц назад

    Damu ya YESU inene mema katika kila hatua ya maisha yangu 🙏🤲

  • @theodorakwai145
    @theodorakwai145 6 дней назад

    Damu ya Yesu ikanene mema kwenye kila eneo la maisha yangu

  • @tumainimdindile
    @tumainimdindile 2 месяца назад

    Kwa dam
    Ya Yesu nafuta maneno mabaya niyotamkiwa kwenye ndoa yangu na kwenye biashara yangu dam ya Yesu safisha kila baya juu yangu

  • @RosetteNakajambi
    @RosetteNakajambi 28 дней назад

    Nafuta kila maneno mabaya ambayo niliyo tamkiwa n'a wazazi ,ma rafiki ,majirani ,kwa jina la yesu kristu nzvuta kila maneno mabaya ambayo niliyo tamka kwa watoto wangu.yote yame kwisha msalabani kwa damu ya yesu amen.

  • @NiyonzizaNelsoni
    @NiyonzizaNelsoni Месяц назад

    Nafuta maneno mabaya juu ya maisha yangu Damu ya Yesu ikawe upande wangu

  • @elizabethmwendwa7357
    @elizabethmwendwa7357 Год назад +1

    Kwa damu ya yesu natamka baraka na urejesho kwa doa yangu,natamka baraka kwa watoto wangu na kazi yangu,nafuta maneno mabaya kwa damu ya yesu.amen

  • @NeemajuliusKalembi
    @NeemajuliusKalembi 4 месяца назад

    Damu ya yesu ikawe juu yangu na yote niliyotamkiwa

  • @MbogolinyoJp
    @MbogolinyoJp 6 месяцев назад

    Ameen nafuta maneno mabaya yote watu walionitamkia juu yangu au nilojitamkia mm mwenyew dhidi ya hii mimba washindwe kwa jina la yesu wanaonitamkia vibaya juu ya hii mimba yangu

  • @godsgrace4682
    @godsgrace4682 Год назад +1

    Amen amen 🙏🙏🙏🤲🤲 barikiwa sana kakaa

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 2 месяца назад

    Najitamkia afya njema na baraka tele Kwa jina la Yesu

  • @isariashoo660
    @isariashoo660 Год назад +1

    Ameen nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mwenyewe na yote niliyotamkiwa na mtu yeyote nayafuta kwa jina la YESU

    • @isariashoo660
      @isariashoo660 Год назад

      Najitamkia mema juu ya afya yangu,kazi yangu watoto wangu na kila eneo la maisha yangu

  • @MaggieMkandawire-k5g
    @MaggieMkandawire-k5g 10 месяцев назад

    Amen mutumishi wamungu

  • @zawadiz482
    @zawadiz482 3 месяца назад

    Nafuta maneno yote mabaya niliyotamka kwa watoto wangu yale niliyotamkia mwenyewe kwa jina la yesu

  • @elizabethsembuyagi9981
    @elizabethsembuyagi9981 2 года назад +2

    Damu ya Yesu ikafute Kila maneno mabaya niliyotamkiwa kinyume na maisha yangu nafuta kwa damu ya Yesu

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli 2 месяца назад

    Nayafuta maneno mabaya niliyowahi kuwatamkia wanangu na Mimi mwenyewe na watu wengine Kwa jina la Yesu

  • @janekyando
    @janekyando Год назад +1

    mungu akubariki mtumishi

  • @paulinastephano196
    @paulinastephano196 Год назад

    Ameen ameen tunayavunjakwa jina yesu

  • @catherinesamwel1909
    @catherinesamwel1909 2 года назад +5

    Amen Mungu akubarik zaid 🙏 najitamkia baraka katika masomo yangu, amani ktk maisha yangu, afya yangu, mafanikio na uchumi wangu, mahusiano yangu, uhai wangu na imani yangu katka jina la Yesu Kristo🙏

    • @nowadianice4801
      @nowadianice4801 2 года назад

      Amina mtumishi napokea maombi haya kwa jina la Yesu yakazae matunda katika kila eneo la maisha yangu barikiwe sana mtumishi

  • @bensonmwadime-pc1cy
    @bensonmwadime-pc1cy 8 месяцев назад

    Kwa jina la yesu hi maombi yawe yangu Kila nguvu za ngiza sikatike kwanzia in the name of Jesus Christ amen

  • @theresiagisberth6197
    @theresiagisberth6197 2 года назад +3

    Amina Mtumishi naaimi nimefungiliwa maana ulipoanza maombi kwamba nifuyafuteaneno niliyotamkiwa au kujitamkia nimeguatisha ghafla nimenza kupiga miayo ya ajabu Sana, Mungu akutie nguvu uzidi kutufungua.

  • @happpyfuraha
    @happpyfuraha Год назад +1

    Natmk mema walisema sitafanikiwa natmk mema kwa jina la yesu nitafanikiwa mpk ninunua gari kwa jina la yesu kristor

  • @martinkihumbe
    @martinkihumbe 6 месяцев назад

    Nafuta maneno yote mabaya yaliyotamkwa dhidi yangu, au nimejitamkia mwenyewe. Wote walionuia dhidi ya maisha yangu. Nayafuta kwa damu ya Yesu mwana wa Mungu aliye hai. AMEN

  • @agneskhambaita7961
    @agneskhambaita7961 4 месяца назад +1

    Nafuta maneno yote mabaya ninayo tamkiwa na watu wote , majirani, jumuiya, ndugu zangu,na watu wote wanao haribu ndoa yangu, afya, watoto wangu, kila nguvu za kichawi zipate kuteketea kwa jina la yesu na ndamu ya yesu ikateketeze yote yaliyosemwa kwangu.🙏

    • @LindaAmani-qq3ps
      @LindaAmani-qq3ps 2 месяца назад

      Nafuta maneno yote niliyotamkiwa,au kutamka katika jina la yesu

    • @agneskhambaita7961
      @agneskhambaita7961 2 месяца назад

      Amina amina na iwe hivo🙏

  • @elizabethkaonga2552
    @elizabethkaonga2552 Год назад +1

    Ahsante sana mtumiahi kwa neno lako ameen

  • @gaudensialugome7223
    @gaudensialugome7223 Год назад +1

    Amina 🙏🙏 ubarukiwe mtumishi, naomba namba zako tafadhali

  • @gaudensianjile1729
    @gaudensianjile1729 Год назад +1

    Nafuta Kila kitu kinilichowai kutamkiwa kibaya au kujitamkia au kujiwazia au walioniwazia maneno mabaya mm na wtt wangu nayafuta kwa jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI na Damu ya YESU KRISTO itufunike in the name of JESUS 🙏🙏🙏

  • @apostlerebeccamunguaniinul7073

    Amen amen baba

  • @theodorakwai145
    @theodorakwai145 6 дней назад

    Nafuta kila maneno mabaya waliyonitamkia na niliyojitamkia nafuta Kwa damu na jina la Yesu Kristu. Nafuta maneno mabaya waliyotamkiwa watoto wangu

  • @beatricedemason7364
    @beatricedemason7364 2 года назад +2

    Amen,nimetangaza ushindi wa Kila kitu Asante mtumish.🇰🇪barikiwa

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 2 года назад +1

    Ninafuta kwa damu ya Yesu kristo damu ya Yesu ikanene mema IJN AMEN 🙏🙏🙏

  • @rosemarymghoi3581
    @rosemarymghoi3581 Год назад

    Amen nime barikiwa sana na maombi na pia nimefunguliwa

  • @anuciatamlay7447
    @anuciatamlay7447 2 года назад +3

    Kwa Damu ya Yesu Kristu nafuta kila neno baya nililojitamkia mwenyewe nikiwa katika hali yoyote kwa kujua au kutokujua au kutaamkiwa ambayo leo hii yamekuwa mwiba kwangu nayafuta kwa Damu Yesu Kristu ,,,nageuza maneno hayo kuwa baraka kwangu 🙏🙏🙏

  • @sarahkapange252
    @sarahkapange252 2 года назад

    asante baba kwamaombi ambayo unatuombea nikweri kabisa

  • @jamilahmodrick65
    @jamilahmodrick65 Год назад

    Kwa damu ya yesu na kwa jina la yesu nafuta kila maneno mabaya niliyotamkiwa na ndugu ,,marafiki majirani zangu ,,navifuta kwa jina la yesu aliehai🙏🙏🙏🙏

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 2 года назад

    Ameni nawe Mungu akubariki myumishi

  • @الاسدالذهبي-ح5ذ
    @الاسدالذهبي-ح5ذ Год назад +1

    Amina👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏👏👏🙏🙏🙏🙏

  • @rechopeter3644
    @rechopeter3644 2 года назад

    Amen nafuta Sasa kwa damu ya Yesu kristo

  • @elizabethkaonga2552
    @elizabethkaonga2552 Год назад +1

    Kwa damu ya yesu kristu nafuta maneno mabaya juu ya maisha yangu liwe nimetamkiwa ama nlijitamkia nafuta kwa damu ya yesu kristu 🙏

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 8 месяцев назад

    Amen nafuta maneno yote mabaya niliotamkiwa na mtu yeyote ama mimi mwenyewe nafuta maneno yote kwa damu ya Yesu na jitamkia matamko mema

  • @aishamwende-po6ls
    @aishamwende-po6ls Год назад +1

    Barikiwa sana najitamkia mema kwa maisha yangu watoto wangu familia yangu be blessed 🙏🙏🙏🙏

    • @holyspiritconnect
      @holyspiritconnect  Год назад

      Ameen

    • @MorinZadok
      @MorinZadok Год назад

      Amen yesu ni mlinzi na tegemeo langu nashukuru mtimishi wa mungu,mungu wa amani azidi kukulinda asante kwa maombi

  • @carolyneangeli3625
    @carolyneangeli3625 2 года назад +1

    Natamka baraka katika maisha yangu kwenye ndoa afya uchumi wokovu familia ameeen

  • @AnabAbdallah-ii7ou
    @AnabAbdallah-ii7ou 4 месяца назад

    Ninafuta Kila mata mshi kwenye maisha yangu

  • @gelitepaulo9292
    @gelitepaulo9292 Год назад

    Amina mtumishi

  • @lall2037
    @lall2037 2 года назад

    Kila maneno mabaya aliyonitamkia uyu amina na nadia haji husein nisipate kazi nayafuta kwa jina la yesu kristo

  • @rachelrichard1091
    @rachelrichard1091 2 года назад +1

    Yesu wewe ni mwema kwangu

  • @julianapenza1223
    @julianapenza1223 Месяц назад

    Amen Jesus name

  • @lall2037
    @lall2037 10 месяцев назад

    Kila maneno mabaya aliyonitamkia latifa na mumewe na salma na mwenyenyumba nayafuta kwa jina la yesu kristo🙏

  • @janengala1398
    @janengala1398 2 года назад +2

    Amen , najitamkia afya irudi ,navunja maneno yaliyo tamkwa na jirani yangu kumtamkia mwanangu kiwa atakufa mungu wamgu naomba maneno haya yasikifanyike

  • @mwagala12
    @mwagala12 2 года назад

    Natamka nataka ya afya yangu kwa jina layesu dami ya yesu ikanene mema katika jina la yesu kristo

  • @happpyfuraha
    @happpyfuraha Год назад +1

    Damu ya yesu unitakeshe katika maisha yangu

  • @mwagala12
    @mwagala12 2 года назад

    Amina mtumishi umetufundisha jinsi ya kuomba barikiwa sana

  • @frolaalex8734
    @frolaalex8734 2 года назад

    Aminaa ubalikiwe mtumishi

  • @lilianmbeyu7622
    @lilianmbeyu7622 Год назад

    Amen naomba mungu anisamehe mahali nimekosea na anibarki kupitia madhabahu haha ninajiunganisha siku ya Leo

  • @mukandmarieclaudine6386
    @mukandmarieclaudine6386 2 года назад

    Ni kweli Mutumishi wa Mungu wa kati hunaona shida inakulemelewa hunanzakusema bora nifwe Basi Mungu Baba anisamehee Na ndamu ya Yesu ivute maneno yote mabaya ilitoka kinjwanyi yangu katika njina la Yesu CHRISTU Amen

  • @madamleticia94
    @madamleticia94 Год назад

    Ameeen Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sanaa Sanaa

  • @ernestboy3411
    @ernestboy3411 Год назад

    God bleees me in my life

  • @RukiaKipenzi-k9f
    @RukiaKipenzi-k9f 8 месяцев назад

    Damu ya yesu ikafute maneno ambayo nilitamukiwa au kujitamkia mm mwenyewe

  • @emmanuelobed5359
    @emmanuelobed5359 2 года назад

    Napokea kwajina la Bwana

  • @SalomeTitusi-lm7oe
    @SalomeTitusi-lm7oe Месяц назад

    Ninafuta maneno mabaya niliyotamkiwa na marafiki,mm mwenyewe ,ndugu ,ninafuta Kwa Damu Ya Yesu.

  • @maryjoseph499
    @maryjoseph499 2 года назад

    Mungu azidi kukuinua mtumishi tunabarikiw sama

  • @inessclara1250
    @inessclara1250 2 года назад +1

    Kwa damu ya yesu christo nina tamuka baraka katika maicha yangu afia uzawo nina tamuka neema ya milele amani ndoa n'a mambo yote mema kwangu kwajina la yesu christo AMEN Jina la bwana libarikiwe milele

  • @EsterMichaelMkudukwa-lh1qz
    @EsterMichaelMkudukwa-lh1qz Месяц назад

    Nafuta maneno yote niliotamkiwa mabaya ninayo yakumbuka nanisiyo yakumbuka kwa Damu Ya Yesu

  • @MbogolinyoJp
    @MbogolinyoJp 6 месяцев назад

    Amen amen

  • @marcellamachio316
    @marcellamachio316 3 месяца назад

    Asante bro for the guidance

  • @pendongereja8943
    @pendongereja8943 2 года назад

    Mbona Yesu asifiwe

  • @evamkevela333
    @evamkevela333 2 года назад +1

    Amen ubarikiwe

  • @kirimiamwakipesile4947
    @kirimiamwakipesile4947 8 месяцев назад

    Amen

  • @janemwakapila5771
    @janemwakapila5771 Год назад

    Nafuta maneno yote niliyotamka au kutamkiwa mabaya yoyote nafuta kwa damu ya yesu nakuyafuta nakuw nataka kwajina la yesu ameni

  • @berthakilangi0315
    @berthakilangi0315 2 года назад

    Natamka mema kwenye maisha yang niliotamkiwa

  • @dorithmagige7557
    @dorithmagige7557 2 года назад

    Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa na niliyojitamkia mwenyewe kwa jina la YESU

  • @lall2037
    @lall2037 2 года назад

    Ameen mungu ni mwema tusimamie tupate kz na uyu amina anilipe pesa zangu leo kwa jina la yesu

    • @rehemamafalo6938
      @rehemamafalo6938 2 года назад

      Amen Mungu aendelee kunifundisha nakunishindia afya yangu nafamilia yangu

    • @fatumamamu7702
      @fatumamamu7702 2 года назад

      Ninafuta Kila maneno mabaya niliotamkia katika ndoa yangu ya kwamba ctadumu kwenye ndoa yangu ninafuta Kwa damu ya Yesu kristo

  • @adelamlay3726
    @adelamlay3726 2 года назад

    Ameni mungu akubariki mtumishi

  • @rizikinundu2251
    @rizikinundu2251 Год назад

    Amen🙏

  • @jennipherakyoo8043
    @jennipherakyoo8043 2 года назад

    Amina nashukuru kwakusikia maneno ya mungu

  • @paschalrenatus5594
    @paschalrenatus5594 2 года назад +1

    Amina 🙏🙏

  • @sarahmuch3637
    @sarahmuch3637 2 года назад

    Damu ya Yesu Kristo kwenye maisha yangu na ya watoto wangu

    • @TeresiaShirima
      @TeresiaShirima Год назад

      Kupitia damu ya Yesu nafuta maneno mabaya niliyotamkiwa hayatasimama Wala hayatakuwa.

  • @suzzyyank7446
    @suzzyyank7446 2 года назад

    Amina Amina

  • @annbrendanalech4050
    @annbrendanalech4050 Год назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @jacklinenatocho2443
    @jacklinenatocho2443 2 года назад

    Ameeen Asante Yesu 🙏

  • @betricekasidi6446
    @betricekasidi6446 Год назад

    Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ruthmoranga5142
    @ruthmoranga5142 2 года назад

    Amina

  • @lisalisaaa490
    @lisalisaaa490 2 года назад +1

    Amen 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 be blessed paster 👏🏼 👏🏼 👏🏼 👏🏼

  • @magrethsilayo8366
    @magrethsilayo8366 2 года назад +1

    Ameniiiiiii

  • @TofilaInyasi
    @TofilaInyasi 3 месяца назад

    Nafuta kila chochote nilijitamkia mwenyewe Au kutamkiiwa nayafuta kwa damu ya yesu nafuta kwa damu yesu

  • @allenjohn4328
    @allenjohn4328 2 года назад

    Ameen

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 2 года назад

    Mtumishi

  • @myrah.9937
    @myrah.9937 2 года назад +1

    Kipind nakuwa niliwa kujitamkia kuwa sina uzazi mpaka leo niko kwenye ndoa nahangaika kupata mtoto kwa jina la YESU nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkiaa

  • @jackiemaggy2484
    @jackiemaggy2484 2 года назад

    Ameeeeeeen

  • @PriscaChriphin
    @PriscaChriphin 7 месяцев назад

    Nafuta kila maneno mabaya kwadamu ya yesu

  • @jennipherakyoo8043
    @jennipherakyoo8043 2 года назад

    Mafuta maneno niliyo jinenea mwenyewe nayafuta kwa jina la yesu kirsto

  • @missmunaf2470
    @missmunaf2470 6 месяцев назад

    Nafut manen yot mabay niliotamkiw na kwjn la yesu nayafut kwnzia leo

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 2 года назад

    Amen🤲🤲🤲

  • @rehema6660
    @rehema6660 2 года назад

    Naomba nifanikiwe uzao was tumbo language na amani ilejee kaita ndoa yangu

  • @HyasintaGowele
    @HyasintaGowele 3 месяца назад

    Kwan damu yayesu Leo nafuta maneno mabaya niliyotamka na ambayoniliyotamkiwa nawatu nayofuta kwa damu yayesu

  • @anastaziabrayan
    @anastaziabrayan Год назад +1

    Balikiw san mtumishi

  • @hdhdhdhdhdh3264
    @hdhdhdhdhdh3264 2 года назад

    Amen🙏🙏🙏🙏🇱🇧🇰🇪