MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- MAOMBI YA KUFUTA MANENO MABAYA ULIYOTAMKIWA AU ULIYOJITAMKIA by Innocent Morris
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Kwa Damu ya Yesu nafuta kila maneno niliyotamkiwa au niliyotamka mwenyewe,najitamkia afya njema ustawi pamoja na familia yangu
Amen MUNGU akubariki sana mtumishi
Ameen
Nafuta kila maneno niliyotamkiwa na watu,ndugu,ukoo,au familia,na marafiki,na niliyojitamkia Amen nafuta kwa damu ya YESU
Ameen
Nafuta maneno mabaya nilitamkiwa na maneno mabaya nilijitamkia mabaya nayafuta natengua katika jina la yesu kristo Amen 🙏
Damu ya YESU inene mema katika kila hatua ya maisha yangu 🙏🤲
Damu ya Yesu ikanene mema kwenye kila eneo la maisha yangu
Kwa dam
Ya Yesu nafuta maneno mabaya niyotamkiwa kwenye ndoa yangu na kwenye biashara yangu dam ya Yesu safisha kila baya juu yangu
Nafuta kila maneno mabaya ambayo niliyo tamkiwa n'a wazazi ,ma rafiki ,majirani ,kwa jina la yesu kristu nzvuta kila maneno mabaya ambayo niliyo tamka kwa watoto wangu.yote yame kwisha msalabani kwa damu ya yesu amen.
Nafuta maneno mabaya juu ya maisha yangu Damu ya Yesu ikawe upande wangu
Kwa damu ya yesu natamka baraka na urejesho kwa doa yangu,natamka baraka kwa watoto wangu na kazi yangu,nafuta maneno mabaya kwa damu ya yesu.amen
Damu ya yesu ikawe juu yangu na yote niliyotamkiwa
Ameen nafuta maneno mabaya yote watu walionitamkia juu yangu au nilojitamkia mm mwenyew dhidi ya hii mimba washindwe kwa jina la yesu wanaonitamkia vibaya juu ya hii mimba yangu
Amen amen 🙏🙏🙏🤲🤲 barikiwa sana kakaa
Ameen ameeen
Najitamkia afya njema na baraka tele Kwa jina la Yesu
Ameen nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mwenyewe na yote niliyotamkiwa na mtu yeyote nayafuta kwa jina la YESU
Najitamkia mema juu ya afya yangu,kazi yangu watoto wangu na kila eneo la maisha yangu
Amen mutumishi wamungu
Nafuta maneno yote mabaya niliyotamka kwa watoto wangu yale niliyotamkia mwenyewe kwa jina la yesu
Damu ya Yesu ikafute Kila maneno mabaya niliyotamkiwa kinyume na maisha yangu nafuta kwa damu ya Yesu
Nayafuta maneno mabaya niliyowahi kuwatamkia wanangu na Mimi mwenyewe na watu wengine Kwa jina la Yesu
mungu akubariki mtumishi
Ameen
Ameen ameen tunayavunjakwa jina yesu
Amen Mungu akubarik zaid 🙏 najitamkia baraka katika masomo yangu, amani ktk maisha yangu, afya yangu, mafanikio na uchumi wangu, mahusiano yangu, uhai wangu na imani yangu katka jina la Yesu Kristo🙏
Amina mtumishi napokea maombi haya kwa jina la Yesu yakazae matunda katika kila eneo la maisha yangu barikiwe sana mtumishi
Kwa jina la yesu hi maombi yawe yangu Kila nguvu za ngiza sikatike kwanzia in the name of Jesus Christ amen
Amina Mtumishi naaimi nimefungiliwa maana ulipoanza maombi kwamba nifuyafuteaneno niliyotamkiwa au kujitamkia nimeguatisha ghafla nimenza kupiga miayo ya ajabu Sana, Mungu akutie nguvu uzidi kutufungua.
Ameen ameeen
Natmk mema walisema sitafanikiwa natmk mema kwa jina la yesu nitafanikiwa mpk ninunua gari kwa jina la yesu kristor
Nafuta maneno yote mabaya yaliyotamkwa dhidi yangu, au nimejitamkia mwenyewe. Wote walionuia dhidi ya maisha yangu. Nayafuta kwa damu ya Yesu mwana wa Mungu aliye hai. AMEN
Nafuta maneno yote mabaya ninayo tamkiwa na watu wote , majirani, jumuiya, ndugu zangu,na watu wote wanao haribu ndoa yangu, afya, watoto wangu, kila nguvu za kichawi zipate kuteketea kwa jina la yesu na ndamu ya yesu ikateketeze yote yaliyosemwa kwangu.🙏
Nafuta maneno yote niliyotamkiwa,au kutamka katika jina la yesu
Amina amina na iwe hivo🙏
Ahsante sana mtumiahi kwa neno lako ameen
Ameen
Kwa damu ya yesu nimekombolewa amina
Amina 🙏🙏 ubarukiwe mtumishi, naomba namba zako tafadhali
Namba +255652796450
Nafuta Kila kitu kinilichowai kutamkiwa kibaya au kujitamkia au kujiwazia au walioniwazia maneno mabaya mm na wtt wangu nayafuta kwa jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI na Damu ya YESU KRISTO itufunike in the name of JESUS 🙏🙏🙏
Amen amen baba
Nafuta kila maneno mabaya waliyonitamkia na niliyojitamkia nafuta Kwa damu na jina la Yesu Kristu. Nafuta maneno mabaya waliyotamkiwa watoto wangu
Amen,nimetangaza ushindi wa Kila kitu Asante mtumish.🇰🇪barikiwa
Ninafuta kwa damu ya Yesu kristo damu ya Yesu ikanene mema IJN AMEN 🙏🙏🙏
Ameen
Amen nime barikiwa sana na maombi na pia nimefunguliwa
Ameen
Kwa Damu ya Yesu Kristu nafuta kila neno baya nililojitamkia mwenyewe nikiwa katika hali yoyote kwa kujua au kutokujua au kutaamkiwa ambayo leo hii yamekuwa mwiba kwangu nayafuta kwa Damu Yesu Kristu ,,,nageuza maneno hayo kuwa baraka kwangu 🙏🙏🙏
Amen
asante baba kwamaombi ambayo unatuombea nikweri kabisa
Kwa damu ya yesu na kwa jina la yesu nafuta kila maneno mabaya niliyotamkiwa na ndugu ,,marafiki majirani zangu ,,navifuta kwa jina la yesu aliehai🙏🙏🙏🙏
Ameni nawe Mungu akubariki myumishi
Ameen
Amina👏👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏👏👏🙏🙏🙏🙏
Ameen
Amen nafuta Sasa kwa damu ya Yesu kristo
Ameen ameeen
Kwa damu ya yesu kristu nafuta maneno mabaya juu ya maisha yangu liwe nimetamkiwa ama nlijitamkia nafuta kwa damu ya yesu kristu 🙏
Ameen
Amen nafuta maneno yote mabaya niliotamkiwa na mtu yeyote ama mimi mwenyewe nafuta maneno yote kwa damu ya Yesu na jitamkia matamko mema
Barikiwa sana najitamkia mema kwa maisha yangu watoto wangu familia yangu be blessed 🙏🙏🙏🙏
Ameen
Amen yesu ni mlinzi na tegemeo langu nashukuru mtimishi wa mungu,mungu wa amani azidi kukulinda asante kwa maombi
Natamka baraka katika maisha yangu kwenye ndoa afya uchumi wokovu familia ameeen
Ninafuta Kila mata mshi kwenye maisha yangu
Amina mtumishi
Kila maneno mabaya aliyonitamkia uyu amina na nadia haji husein nisipate kazi nayafuta kwa jina la yesu kristo
Ameen
Yesu wewe ni mwema kwangu
Amen Jesus name
Kila maneno mabaya aliyonitamkia latifa na mumewe na salma na mwenyenyumba nayafuta kwa jina la yesu kristo🙏
Amen , najitamkia afya irudi ,navunja maneno yaliyo tamkwa na jirani yangu kumtamkia mwanangu kiwa atakufa mungu wamgu naomba maneno haya yasikifanyike
Ameen ameeen
Damu Yesu unitakase kwa mapito ninayopitia
Natamka nataka ya afya yangu kwa jina layesu dami ya yesu ikanene mema katika jina la yesu kristo
Ameen
Damu ya yesu unitakeshe katika maisha yangu
Amina mtumishi umetufundisha jinsi ya kuomba barikiwa sana
Ameen
Aminaa ubalikiwe mtumishi
Ameen
Amen naomba mungu anisamehe mahali nimekosea na anibarki kupitia madhabahu haha ninajiunganisha siku ya Leo
Ni kweli Mutumishi wa Mungu wa kati hunaona shida inakulemelewa hunanzakusema bora nifwe Basi Mungu Baba anisamehee Na ndamu ya Yesu ivute maneno yote mabaya ilitoka kinjwanyi yangu katika njina la Yesu CHRISTU Amen
Ameeen Mtumishi wa Mungu ubarikiwe Sanaa Sanaa
God bleees me in my life
Damu ya yesu ikafute maneno ambayo nilitamukiwa au kujitamkia mm mwenyewe
Napokea kwajina la Bwana
Ninafuta maneno mabaya niliyotamkiwa na marafiki,mm mwenyewe ,ndugu ,ninafuta Kwa Damu Ya Yesu.
Mungu azidi kukuinua mtumishi tunabarikiw sama
Kwa damu ya yesu christo nina tamuka baraka katika maicha yangu afia uzawo nina tamuka neema ya milele amani ndoa n'a mambo yote mema kwangu kwajina la yesu christo AMEN Jina la bwana libarikiwe milele
Maneno ya watesi nayaduta kwa Damu ya Yesu
Nafuta maneno yote niliotamkiwa mabaya ninayo yakumbuka nanisiyo yakumbuka kwa Damu Ya Yesu
Amen amen
Asante bro for the guidance
Mbona Yesu asifiwe
Amen ubarikiwe
Ameen
Amen
Nafuta maneno yote niliyotamka au kutamkiwa mabaya yoyote nafuta kwa damu ya yesu nakuyafuta nakuw nataka kwajina la yesu ameni
Natamka mema kwenye maisha yang niliotamkiwa
Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa na niliyojitamkia mwenyewe kwa jina la YESU
Ameen mungu ni mwema tusimamie tupate kz na uyu amina anilipe pesa zangu leo kwa jina la yesu
Amen Mungu aendelee kunifundisha nakunishindia afya yangu nafamilia yangu
Ninafuta Kila maneno mabaya niliotamkia katika ndoa yangu ya kwamba ctadumu kwenye ndoa yangu ninafuta Kwa damu ya Yesu kristo
Ameni mungu akubariki mtumishi
Amen🙏
Amina nashukuru kwakusikia maneno ya mungu
Amina 🙏🙏
Ameen ameeen
Damu ya Yesu Kristo kwenye maisha yangu na ya watoto wangu
Kupitia damu ya Yesu nafuta maneno mabaya niliyotamkiwa hayatasimama Wala hayatakuwa.
Amina Amina
🙏🙏🙏🙏
Ameeen Asante Yesu 🙏
Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Amen 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 🙏🏽 be blessed paster 👏🏼 👏🏼 👏🏼 👏🏼
Ni kweli nabii amen
Ameniiiiiii
Nafuta kila chochote nilijitamkia mwenyewe Au kutamkiiwa nayafuta kwa damu ya yesu nafuta kwa damu yesu
Ameen
Mtumishi
Yes
Kipind nakuwa niliwa kujitamkia kuwa sina uzazi mpaka leo niko kwenye ndoa nahangaika kupata mtoto kwa jina la YESU nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkiaa
Ameeeeeeen
Nafuta kila maneno mabaya kwadamu ya yesu
Mafuta maneno niliyo jinenea mwenyewe nayafuta kwa jina la yesu kirsto
Nafut manen yot mabay niliotamkiw na kwjn la yesu nayafut kwnzia leo
Amen🤲🤲🤲
Naomba nifanikiwe uzao was tumbo language na amani ilejee kaita ndoa yangu
Kwan damu yayesu Leo nafuta maneno mabaya niliyotamka na ambayoniliyotamkiwa nawatu nayofuta kwa damu yayesu
Balikiw san mtumishi
Ameen
Amen🙏🙏🙏🙏🇱🇧🇰🇪