HATUNA VYUO VIKUU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 48

  • @asentertainmenttz3128
    @asentertainmenttz3128 9 месяцев назад +7

    nimeelewa sana nimeiangalia hii video mara kadhaa aisee hongereni kwa kutufungua akili

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi День назад

    Mungu hayupo

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 4 месяца назад +7

    Chukia Elimu Dunia Ila Sio Elimu Ya Ki Mungu Ndugu Na kuonya utakatwa mwendo wa maisha yako

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  4 месяца назад +4

      We mwenyewe umeshakatwa mwendo wa akili yako.

    • @DahHodges777
      @DahHodges777 2 месяца назад

      akili yako ni punje

    • @Islam-n6g
      @Islam-n6g 2 месяца назад

      Hata ukiamini mungu bado utakufa wacha kutishia wapi

    • @selemanikazingini5566
      @selemanikazingini5566 Месяц назад

      Wewe ishi milele na uyo Mungu wako

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 8 дней назад

      Akili huna una akili ya kushikiwa

  • @BarakaSalube
    @BarakaSalube 2 месяца назад +1

    Mm napenda sana watu kama ninyii

  • @eksielo
    @eksielo 3 месяца назад +1

    Safi saana mwalimu

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814 Месяц назад

    Nawaelewa sana wachokozi

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 месяца назад +1

    Ni kweli kabsa, wakufunzi wengi wa vyuo hupenda zaidi hata unapojibu maswali yao ujibu kile walichokufundisha kama definition usiongeze maneno yako wala kupunguza , walikuwa wakinifelisha sana, nakuina kama sjajibu sahihi, wakati nilichozungumza ni kilekile

  • @BoscoMyinga
    @BoscoMyinga Месяц назад +1

    That's real bro's

  • @noelymwakyoma9620
    @noelymwakyoma9620 6 месяцев назад +1

    ✊✊✊africa😊😊

  • @AthumaniBakari-o6r
    @AthumaniBakari-o6r 2 дня назад

    HAPO UMEFELI HII MITANDAO MNAYOTUMIA NI YANANI C YA WANAUME WENZENU ACHENI USENGE WAKATI MWENGINE MNAFELI

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 месяца назад

    Change environment,go out side like UK, Australia,Canada and USA

  • @Dolkasidanieli
    @Dolkasidanieli 2 месяца назад +2

    Wapo waliokua nakibuli kamawewe ilamungu ariwashugulikia

  • @swahilikoreantv1156
    @swahilikoreantv1156 22 дня назад

    Nakumbuka chuo kuna siku waliweka swali la what is Chemistry... Yaan nilichoka balaa

  • @SamAbdalah
    @SamAbdalah 2 месяца назад

    Je, unakubali uwepo wa manabii?

  • @sureboyofficial6473
    @sureboyofficial6473 4 месяца назад +2

    NDIO MAANA NAONA BORA SIKWENDA HUKO NINGEPOTEZA MUDA

  • @Start_smart103
    @Start_smart103 3 месяца назад +1

    Hauwezi kutumia material ya mwanaume mwenzio.. "Hiyo RUclips mnayoitumia ni material ya nani??? kuna muda mnaeleweka kwa story zenu za kufikirika na kuna muda mnafanya comedy
    < nyie Hamna shule mnakaza fuvu Tu>

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 2 месяца назад +1

      Sasa kuna shule inafunza kuvyumbua RUclips?

    • @isackmachiyanshoka6754
      @isackmachiyanshoka6754 2 месяца назад +1

      Bado huajamwelewa vzr, you tube ni platform, but buterials ni elimu.

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 8 дней назад +1

      Wewe ni kiazi RUclips ashamaliza kuvumbua chake nawewe tafuta chako uki umbue Iko hivyo

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 месяца назад

    Mh!

  • @MohdMohd-hf7rm
    @MohdMohd-hf7rm 9 месяцев назад +1

    Nyie nyote ni wajinga na kwa contents hizi hamtoboi muhudi

    • @wachokonozi_
      @wachokonozi_  9 месяцев назад +6

      Ahsante kwa maoni yako na endelea kutufatilia.

    • @MohdMohd-hf7rm
      @MohdMohd-hf7rm 9 месяцев назад +4

      Mtuambie mnasema chuo ni sehemu watu wanapresent ideas hakuna mitihani na notes ni za mtu mwengine kwaio sio chuo kikuu !!
      Hivi mtu anaesoma Udaktari kuufahamu mfupa wa binaadamu na aende akavumbue mfupa ukoje serious!!
      Nyie mshamaliza Vyuo Hamna shughuli ya Kufanya mmeamua kuidiss elimu kwasababu haijawasaidia kitu

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 месяцев назад +1

      ​@@MohdMohd-hf7rmelimu zenye uhalisia ni chache mnoo mfano ndo huo sasa wa udaktari ambao kimsingi ni wachache mnoo ila majority ya elimu ni ukanjanja na wako sahihi sana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 месяцев назад

      ​@@MohdMohd-hf7rmna ndio maana 80% ya wasomi leo wanahangaika na elimu inaanza onekana inakosa maana msomi aheshimiki tena leo wasomi wanatamani wangekua hata chawa wapate hela Dira haipo tena

    • @alinanisimbeye9512
      @alinanisimbeye9512 9 месяцев назад

      Wewe akili zako ndogo huwezi kuelewa kasiklize umbeye mbengo tv