MAOMBI YA KUOMBEA HATUA ZAKO by Innocent Morris
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Ni jambo la muhimu sana kuombea hatua zako. Hatua zako ni vyema kuongozwa na Bwana. Neno la Mungu limetuelekeza na kutupa muongozo namna ya kuombea hatua zetu.
Omba hatua zako zishikamane na njia yake maana yake akuwezeshe kuifuata njia yake daima. Ikiwa hivyo hatua zako hazitaondoshwa.
"Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa."
Zaburi 17:5
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
RUclips Link:
/ holyspiritconnect
Yesu Kristo naomba ufunguwe kila hatua yote ambao nahitaji ku fikia nipante contrat ya kazi mbele ifiki tarehe 20ya mwezi huu wa kumi na moja maana naamini ya kwamba inawezekana katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth nimefunguwa naku bariki kila mpango yangu ya ndoa déclaration ya mke wangu ambaye yuko uganda Mungu mwaka huuu wa 2024 usifike mwisho na Bado hajafika hapa Sueden katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth naamini na sema Amennnnnnnnnnn
Amen 🙏🙏🙏 aky hua siwezi kufaulu kwa mipango zangu
Amen 🙏🙏🙏 aky hua siwezi kufaulu kwa mipango zangu
Eeh bwana yesu takasa atua zangu nilinde na mikono na mtu isiyo haki mimi pamoja na familia yangu 🙏🏻
Jina libarikiwe kwakuwa wewe Mungu ni mzuri na mwaminifu
Naosha hatua zangu kwa damu ya Yesu,,nazishikamanisha na hatua Zako Ee Bwana,,hatua zangu zielekezwe na Neno lako Bwana na unilinde na wote wanaopotosha hatua zangu na unifanyie nafasi katika jina la Yesu,Amina
Bwana yesu takasa nyayo zangu kwa damu yesu
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eeh Bwana Yesu natakaza miguu yangu kwa damu yako kila matope nilitumbukia kwa ndoto naiosha miguu yangu kwa damu ya Yesu🔥🔥🔥🔥
Thankyouuuuu man of Godddd in deep im healed 🙌
Ameen
Amen
Bwana yesu naomba ukaniongoze hatua zngu Acha zikaambatane na zako maana siwezi bila ww 😢
Eeh bwana yesu takasa atua zangu nilinde na mikono na mtu isiyo haki mm pamoja na familia yangu amen,🙏🙏
Mtumishi wa mungu nnaomba maombi kila nikifatilia maombi akili yangu inahama kabisa nakuwanjee ya maombi
Bwana yesu naomba unisaitie kila kamba walio nifungia kila eneoLa Maisha yangu zikatike katikajina lya Yesu kamba zilio funga watoto wangu zikatike katikajina lya Yesu
Ee mungu naomba hatua zangu zioshwe kwa damu Yako pamoja na watoto wangu na mum mzaz Amen
We bwana naomba hatua zangu ziende mbele pamoja najina lako na watoto wangu Nina la bwana ribalikiwe milele yote ameni
Yesukombia hatua zangu na mawazo yangu
Najiunganisha na madhabahu hii kwa Jina la Yesu Kristo 🙏
Bwana yesu asante kwa kufungua hatua zangu,naomba uilinde hatua zangu milele adui asipate nafasi tena
Amen Amen naamini na kuungana na maombi ya kufungua hatia zangu... Ee Yesu niongoze...
Aisee,Yesu in mwema!
Hii kitu sijui kwann inanisumbus this time pamoja na kuomba kote sijui nakosea wapi!
Mtumishi yaani naota Mara 3 km sikosei natembea pekupeku,tena maeneo tofauti!
Kilichoniudhi zaidi niliota Niko chooni pekupeku!
Be blessed nimekuswa sana na ombi ni mkenya nikiwa Saudi
Nachovya Hatua Zangu kwenye Damu ya Yesu 🙏
Mungu itakase miguu yangu.na anifanyie wepesi atua zangu na miguu yangu isiteleze
Mungu akubalik sana mtumishi kwa maombi hayo Naamini tukiomba kwa Imani tunapokea ushindi.Bwana Yesu nakuomba usafishe hatua zangu na Damu ya Yesu
Ameen
Kwa dam Ya Yesu ninaombea hatua zangu na kuziosha kwa Damu ya Yesu
Mimi ni farida nickson mdohe naomba maombi yako napigwa vita kazin na naoteshwa ndoto mbaya naitaji maombi yako na juu ya familia yangu nisaidie mchungaji
Tutakuombea. Mungu atakutendea
+255652796450 (WhatsApp)
Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽napokea uponyaji kwa jina la yesu kristu
Mungu komboa hatua zangu zilizofungwa na mwovu ibilisi asante mungu unaenda kutenda ameen
Ameen
We bwana takasa miguu yangu hatua zangu ukanibariki uchumi wangu usonge mbele
Ameen 🙏🙏
Ameen
Mungu nakuomba ufungue hatua zangu zote
Damu ya yesu itakase famililia yangu yote
Mungu na hitaji unifungue hatua zangu iliniende viwango vyengine
Mungu fungua hatua zangu
Ameen
Bwana Yesu fungua hatua zangu
Amen 🙏🙏 asante sana mtumishi wa MUNGU kwa hayo maombi. Mungu akunariki zaidi
Yesu niwezeshe kuzifwata hatua zako
Naomba nifunguriwe. Atua zangu zishikamanwe na njia yabwana amina
Asante YESU kwa neema yako🙏🙏🙏 Nalitukuza jina lako AMEN
Amen
Glory to god
Bwana Yesu Asante kwa Maombi haya 🙏
Asante Bwana Yesu nimefunguliwa....Mungu akubariki mtumishi
Ameen
Ubarikiwe sana kwa ajili ya maombi mungu akubariki sana na azidi kukutia nguvu na imani ameen
Ameen
Nachilia Ulinzi wa Damu ya Yesu Kristo
Kwenye hatua zangu
Nami Najiunganisha katika maombi hayo
Dam ya yesu kristo ipite kwenye ufaham wangu
Amen
Nakasa hatua zangu na uniwezeshe hatua zangu zifuate nyayo Za yesu
fanya nafasi kwa uchumi wangu
Thank God
Katika izo kamba zote katika jina la Yesu Kristo Mnazareti
Ni mazur sanaaaa yananigusa
Ahsante Sana kwa maombi haya ubarikiwe sanamungu aendelee kukutia nguvu
Asate yesu nimefunguliwa
Ameen
Ameen
Amen Amen nimejifunza sana
🙏 🙏 🙏 Amen
AMEN: ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen
Amen in Jesus mighty name 🙏🙏🙏🙏
Hatua zako zimebalikiwa kupitia hichi kipindi
Tuna kushukuru ee Yesu
Amen
Hili somo naliona leo
Amen and amen be blessed man of God
fungua hatua zangu eeyesu
Maombi ya leo
Thanks you Jesus
Ameen
Thank you ohhh Lord
naamin hatua zangu zimekombolewa
Amina mtumishi
Amen amen amen amen amen amen amen
Amen amen 🙏
Amen 🙏
Hatua zangu nazipaka kwa mafuta ya roho mtakatifu
Amen nikweli kabisa mtumushi nikumbuke pia
Ebwana yesu uniraishie njia zangu ili nifike kwaye nimetarajia
Ameen asante Bwana Yesu
Ameen
amina
Asante Yesu
Ubarikiwe sana sana
Ameen
Hatua za miguu yangu zinafuliwa, ktk Jina la Yesu Kristo. Asante Mtumishi wa Mungu kwa kuniombea.
Ameen barikiwa sana
Ameen
Amina ubarikiwe sanaa mtumishi 🙏
Ni barikiwa sanaa
Amen
Amen 🙏🏻
Amen
Amina Amina Amina
Balikiwa sana
Ameen
FDsss
Amen asante BWANA YESU 🙏🙏
Ameen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😪Ubarikiwe sana
Ameen
Barikiwa Kwa maombi haya
Amen
Ameeen 🙏
Ameen
Amina
Hata maombi
Amein!!!!
Thank you Jesus 🙏🙏🙏
Ameen
Amen naita damu ya Yesu katika hatua zangu.
Amen
Zaburi 139:3 ; Zaburi 140:4 ; Zaburi 17:5 ;
Ameeen, thank Jesus🙏🙏🙏🕊
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Ameen
Dam ya yesu kristo ipite kwenye miguu yangu
Amen
Damu ya BWANA yesu ipite katika miguu yangu kila kinacholudisha nyuma hatua zangu bwana ukashughulike nacho,,kupitia maombi haya Nina Imani bwana sitabaki ka Kama nilivyo (Amen)
Ameeeen 🙏🙏🙏
Atua zangu zinaoshwa na damu ya yesu
Ameen 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Amen Amen
Amen 🙏🙏
Ameeen
🙏🙏🙏
amen 🙏
Ameen Barikiwa sana
Ameen
Amina