Nimekumbuka hicho chooo na hiyo nyumba kama ya kwetu kwa nynyaangu dooo wacha tu yani hata kumwambia mtu karibu nilikua nashindwa maisha jamani wacha tu nijipa mbanie na family yangu maana ningeeka mapenzi mbele nisinge toka katika yale maisha Alhamdhulilah
Watatu ❤❤
Sauti yako tu Dada na story zako Tamu sana
😂😂😂ila mbuza shangazi mana wataifa amechangamka😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Wakwanza ❤❤🎉🎉🎉😢😂
Simulizi za Brianna Jaman huwa Nzuri sana ..Anajua Anajua Anajua tena ❤❤❤
Mpe mauwa yake hayo 🎉🎉🎉
@@FatumaRamadan.Mwalim 🤣🤣🤣🌹🌹🌹🌹🌹 dear maua yake hayo
Kweli kabisaaa huyo dada anajua
@@AnnaMelikion 😃😃😃
Nimempenda mbuza hatar
❤❤❤😂😂
Mbuza nihatal na nusu😁😂😂🏃
Nime mpenda mbuza
Kabisa
😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉 nakupeda bure
Mbuza mwanamke n nusu 😂😂🎉
😃😃😃
Kifupi ila katamu.
Sana na hiyo sauti mmmh ❤🎉
Nimekumbuka hicho chooo na hiyo nyumba kama ya kwetu kwa nynyaangu dooo wacha tu yani hata kumwambia mtu karibu nilikua nashindwa maisha jamani wacha tu nijipa mbanie na family yangu maana ningeeka mapenzi mbele nisinge toka katika yale maisha Alhamdhulilah
@@FatumaRamadan.Mwalim hakika maisha wegi tumepitia inapouma san nipale atahak yamusingi hukuipata kikamilifu, mbuza nimempenda hakuna nachoyo kwa mtt wanduguyake japo aliish maisha magum
@@TeklaNdekeja mm Nikuta na shangaz lakin Wana roho mbaya hatar
mbuza ndio anaye ni vunja mbavu zangu ❤❤❤
Wakwanza ❤❤🎉🎉🎉😢😂
Nimependa