Sijui kwa nini wivu huwa unawatawala ndugu wa damu moja badala ya mtu kumfurahia mtoto ama nduguye akifanikiwa na kumuunga mkono ili waweze kutanuka na kuupinga umaskini badala yake inakuwa kuwa kinyume hadi kutakiana kifo na mwisho wa alie mtendea nduguye ubaya huwa anaishia yale yale alio mtakia mwenzake nakumgeuka nakuwa aibu ya mtaa
Nimeipenda sana❤ inamafunzo🙏
Sounds good thanks
❤❤ oooh, asatee kuifanya asubuh njema🪑🪑ni enjoy zagu, nilikumiss sn🌹🙏🏃
Upo huku mapema mapema sio
@@MwanatumuJumaa-rj4fg muuu ktambo
🎉🎉🎉🎉
Waooo
Sijui kwa nini wivu huwa unawatawala ndugu wa damu moja badala ya mtu kumfurahia mtoto ama nduguye akifanikiwa na kumuunga mkono ili waweze kutanuka na kuupinga umaskini badala yake inakuwa kuwa kinyume hadi kutakiana kifo na mwisho wa alie mtendea nduguye ubaya huwa anaishia yale yale alio mtakia mwenzake nakumgeuka nakuwa aibu ya mtaa
❤❤❤
Twendelee ❤❤
Chelewa ufike hatimae nimefika
Nice
Binandamu ndo tulivyo