Nakupendaga sana Dudu baya! Kwani una hekima na busara.Hilo liganga lifungwe maisha au kuchomwa moto hadharani,linamrusha mtu mshahara wake tena pesa kidogo tu,Mungu ashughulike na hao walokuwa wanalikingia kifua.
Dudubaya yuko sahihi kbs jaswa kwenye suala la pesa hapo. Madola mengi tunyoona kwenye mitandao watu wanapost huwa ni feki. I mean ni printed tena mengine yameprintiwa na printer za kawaida kbs kwa ajili ya kushtutia video. hata hapa TZ nina rafiki yangu alikua na dola 20000 feki kazi yake kuuzia sura kwenye mitandao kuwatisha watuuuuu. ila life limepiga balaaaaa
KWELI KUISHIWA KUBAYA MBONA HAMJAMFATA DIAMOND AMA MSANII YEYETO WA MUZIKI ILA MUMEMFATA DUDU ILI ANGALAU AJULIKANE KUTOKA HABAR ZA MUZIKI HADI KHABARI ZA WAGANGA DAH
Watanzania kweli tukubali jamii yetu imefika pabaya kweli jamani acheni hayo mambo mtalizwa machozi na hao waganga na manabii wa uongo uongo hao wametumwa na shetani kuwakosanisha na muumba wenu
Dudubaya banana na Yesu tu, usimchanganye na binadamu, yeye pekee ndiye Njia, Kweli na Uzima, hachangii hayo mamlaka na mwingine yeyote hususan binadamu
@@talents7934 mh mmm humjui au una jizima data bc kama Muhammad humjui ni mtume na ni nabii wa All AH kama alivo huyo na bii Issa nyinyi mni kuita yessu yessu
Kila mtu nitapeli ila tofauti ni levo ya huo utapeli lakini kama una tapeli na ukaaminika na watu basi hiyo ndio kazi yako lakini serikalini huwa ina sajili matapeli kweli?
muhammad hayuko kwa Yesu. Kama ingekuwa huvyo angejua alikuwa anaelekea wapi na angewaambia waislamu wenzie kuwa uislamu una wokovu na uzima wa milele! Kwa hiyo muhammad hawezi kuwepo alipo Yesu. Dudu usiseme mambo kuwafurahisha waislamu. Waambie ukweli ili wamfuate Yesu na kupata wokovu na uzima wa milele!
dudu baya mungu akuweke miaka mingi sana kuna vitu vingi sana najifunza kupitia wewe
Nakupendaga sana Dudu baya! Kwani una hekima na busara.Hilo liganga lifungwe maisha au kuchomwa moto hadharani,linamrusha mtu mshahara wake tena pesa kidogo tu,Mungu ashughulike na hao walokuwa wanalikingia kifua.
dudu kweli we ni konki kuna vitu vingi sana najifunza kupitia ww kwene maisha yangu tupo pamoja endelea kutema madini
Dudu baya huna baya kwa maneno yako mazuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwamba mungu akupe miaka migi unajua mengi sana
Hakika DUDU BAYA unahekima ishi miaka mingi🎉🎉🎉🎉🎉
Yani huyu kaka Ninampenda bure kwa maneno yake❤❤❤❤
Hongera sana dudubaya mtu mwema sana na unsjitambua maana unamshuhudia Mungu wetu wa kweli na ki ukweli hawezi akakuacha kabisa barikiwa sana .
Dudu baya hongera sana umeelimisha watu uko vizuri sana, ubarikiwe
Dudu Baya nakukubali kwa sababu Unamkubali Mwenyezi Mungu 🙏🏼🙏🏼
Upo vizuri Dd baya..
Subhannallah mtihani wallahi. Allah atunusuru kwakwel
nakuchek live nkiwa +254mombsa kenya oe unaposema kuhusu mashoga huwa unawumiza hao mafreemanson xna big up xna mwamba
Ukiachapombe unakua nakilisana dudubaya hongera Sana kwabusarayako yoteulioyaongea
Wewe dudubaya mbona ulimdhulumu nyandu tozzy
Hata ukifanya dhambi na ukajitambuwa na kutubu Kwa Moyo mungu atakusamehe zote
Kweli kabisa Dudu baya Hana baya
Mtakutafuta sana ndugu yangu nipate Ushauli wa maisha mungu Akubariki Kwa Elimu mzuri sana 🙏 ❤
hiki ndicho kipaji cha Dudu Baya.. kuzungumzia maneno yanayoathiri jamii kwa knaga ubaga!!
You are so genus men and mature 👌👌👌
Kwenye hili dudu baya sikuungi mkono maana hakuna unacho kijua hebu fuatilia mkasa vizuri
Mie nikuite dudu zuri maana unaelekea kuzuri sana. Unafaa kuwa mwalimu wa kufundisha neno la mungu. Endelea hivyo. Tunafurahi
Mungu atuurumie
Karma hiyo, Wakati wa Mungu ni Wakati Sahihi 🙏Ukiuwa kwa upinde utakufa kwa Upanga, Mganga wa Mbaazi atateseka mnooo
Facts
Ni milion 5 Dudu sio kumi ukiwa na m.5 unatakiwa uwe na ulinzi wa askari wakusindikize.
Escot ya Police n kuanzia Million 30 na kuendelea sio 10 wala 5
nakupeda unamajibumazuri 😂nikwena zabizoteyeyekazofanya umenichekesha
Dudu baya ashindwa 😂kujizuia na alie kubali kujizuia😂
nayeyebaba yakekauwawa nayotehayo mungualikuwa nataka kumuumbuwa kwaaliyokuwa akiyafanya kawadhulumwengi sana hatimaye mungu kamuumbuwa kawaibiyawayuwengi kwakuwadanganya
Kweli konk ukosawa 1000
kaka uyojamaa niwakutaifishwa kwanza pia ztua kali zakisheria zichukuliwe najua tz kilakitu tuko imala shelia zipo jela ipo afungwetuu kwanza zurumant alafu unamgeuza mbuzi mwezio uyo afungwetuuuu
Mtihan kweli kabisa dudu baya maneno yapo sahii kabisa
❤❤❤
Mm ninachokupendeaga Msukuma ww huwa unasimama straight tena Bila chenga Hongera saana
Ss ww ni Dudu Zuri 💪🏽🙏🏼
Umenivunja mbavu "street" au straight😂😂😂 weekend yng umeifanya iwe ya furaha
@@sebastiankatalle2732 Huo sio mwandiko wangu 🙏🏼💪🏽
@@mkambamaulid447 hahah pamoja sana
@@sebastiankatalle2732 uzuri umelewa,
Hii mbn yupo sahii its "straight "
We unalipwa untethered dude baba uko sahii
Dudu baya ni kaa mganga..
Dudubaya yuko sahihi kbs jaswa kwenye suala la pesa hapo. Madola mengi tunyoona kwenye mitandao watu wanapost huwa ni feki. I mean ni printed tena mengine yameprintiwa na printer za kawaida kbs kwa ajili ya kushtutia video. hata hapa TZ nina rafiki yangu alikua na dola 20000 feki kazi yake kuuzia sura kwenye mitandao kuwatisha watuuuuu. ila life limepiga balaaaaa
kwel kabisa
Naqubali Dudu baya the legendary 👊
Amina
kwelikabisakabisasanatena sonatina hawakufungi siutatowa rushwa kanisa hahaha yani divorce. iliwamshidesana senate hanatena atakurukambalishetani
Hii Chanel nintimu manyau mmh ukwel utajulikana
Baba Mungu Awe nawe kwa kusema ukweli Mtupu
Mwambaaaa 👌
piyanakuwazurimwafanyakaxi uliyonawapi.umuuwemtu halafu umpigiyesim nduguwa Mareham kiudanganyifu
kweri kbs hayo yanafanywasana
Huyu Jamaa Skuizi ni Shule ya hekma na mafundisho, Sio Dudubaya tena now ni Godfrey Tumaini
Sasa inabidi ufungue chanel yako nawe ufaidike
Kweli kabisa vp Hawa jamaa Wana mtumia kwa faida Yao !!!
KWELI KUISHIWA KUBAYA MBONA HAMJAMFATA DIAMOND AMA MSANII YEYETO WA MUZIKI ILA MUMEMFATA DUDU ILI ANGALAU AJULIKANE KUTOKA HABAR ZA MUZIKI HADI KHABARI ZA WAGANGA DAH
kwaniniesigempigiya.babayake akampiyaya kakawamarehem etinasikiyakunamtu anatokwadam swalikamahilo agempigiya babayake amuulize
Kwenye zambi kakaangu akuna anaeziupuka.
sonatina wengi
Kweli kaka mkubwa
Fungua kanisa. Kadir unavokuwa kiumri unazidi kupata hekima zaidi
DUDUBAYA USIMALIZE MANENO KUMBUKA DUDUBAYA YULE NA HUYU NA AJAYE YAANI KESHO
Muwe mnalipa bhana
Hawa waganga wachawi tuachane nao ,sio watu wazuri hata kidogo ndio maana mara nyingi wanasababisha mauwaji nk
lakinikwakuwamungu alikuwa anatakakumuubuwa kampigiya kaka wamarehemyotekujichanganyatu kaubuka dhalimmkubwa huyo
Mapito humfany mtu awe na hekima na amjue Mungu, suffering ilinifanya nikutane na Yesu
Watanzania kweli tukubali jamii yetu imefika pabaya kweli jamani acheni hayo mambo mtalizwa machozi na hao waganga na manabii wa uongo uongo hao wametumwa na shetani kuwakosanisha na muumba wenu
sonatina shetani ndoabamuabudu sawakabisa nayotekayafanya
Sisi waganga tunapondwa Sana Kwa sababu ya wahuni wachachetu tutafanya jambo wesubilitu
Mganga ni MUNGU tuu
Tatizo kumkataa mungu na kumtumikia shetani Kwa waganga wote na shetani NI muongo na muuwaji na huwatumia waganga na manabii wa uongo uongo
nani akuamini wewe 😂😂😂😂
subutu🤣🤣🤣🤣🤣
Kuanzia mtoa habar dudubaya wote mmetumwa
Na ww katumwe au ww ndio chakula cha mganga
ukovizurisana kaka
Wewe ni ubongo mkubwa sana!
Ni kweli mganga kakamatwa?
Mnapenda na nyie
Dudubaya banana na Yesu tu, usimchanganye na binadamu, yeye pekee ndiye Njia, Kweli na Uzima, hachangii hayo mamlaka na mwingine yeyote hususan binadamu
😂😂😂😂😂 hm kwani yessu ninani nae si nibinaadam ila All AH amempa cheo zaidi kua ni mtume ukisema asi changanywe na binaadamu na yeye pia mibina adam
@@azizaaziza7996😂kwani Mwammad swalalaaa nae ni nani?
@@talents7934 mh mmm humjui au una jizima data bc kama Muhammad humjui ni mtume na ni nabii wa All AH kama alivo huyo na bii Issa nyinyi mni kuita yessu yessu
Umeulizwa linguine unajib mengine
Yote mema tunaelimishwa
Nikwelikaka ukosahh
Unauhakika kamakauwa
Kama hajaua yeye ndio kasababisha hayo mauwaji yatokee
Wewe ndo ulemuuwa
Ndio
Nakubari put in unasema ukweli mtupu
Kila mtu nitapeli ila tofauti ni levo ya huo utapeli lakini kama una tapeli na ukaaminika na watu basi hiyo ndio kazi yako lakini serikalini huwa ina sajili matapeli kweli?
Umekwisha
We jamaa hunakili vizur iv unataja amrita kumi za mungu halafu unasema tumsifu yesu kwann usiseme tumsifu mungu
Yani hichi chombo cha habari ni cha hovyo kwani hamna stori zingine acheni utoto yapo mambo muhim ya kutujuza
Pita uende ukiona wanaongea ujinga
Kaka umilipwa umchafue taz maana mnasema taz kamuua mlizi wake je wewe unauhakika acheni shelia ichukue mkondo wake
Alafu ww choko ni wale mlioko kwenye group la tapel wenu huko whatsp
kauwa... 100%
Wewe unaejua aliyemuua huyo mlinzi useme kama cyo huyo tapeli mwenzio
Huyu mganga tapeli tu
Acha kutetea ujng ww
muhammad hayuko kwa Yesu. Kama ingekuwa huvyo angejua alikuwa anaelekea wapi na angewaambia waislamu wenzie kuwa uislamu una wokovu na uzima wa milele! Kwa hiyo muhammad hawezi kuwepo alipo Yesu. Dudu usiseme mambo kuwafurahisha waislamu. Waambie ukweli ili wamfuate Yesu na kupata wokovu na uzima wa milele!
Acha kutetea matapeli wewe