DUDU BAYA ASHINDWA KUVUMILIA SAKATA LA MGANGA TAZGINIOUS AZUNGUMZA KWA UCHUNG

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • DUDU BAYA ASHINDWA KUVUMILIA SAKATA LA MGANGA TAZGINIOUS AZUNGUMZA KWA UCHUNG

Комментарии • 109

  • @bizoboy1168
    @bizoboy1168 5 месяцев назад +10

    dudu baya mungu akuweke miaka mingi sana kuna vitu vingi sana najifunza kupitia wewe

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 месяцев назад +9

    Nakupendaga sana Dudu baya! Kwani una hekima na busara.Hilo liganga lifungwe maisha au kuchomwa moto hadharani,linamrusha mtu mshahara wake tena pesa kidogo tu,Mungu ashughulike na hao walokuwa wanalikingia kifua.

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 5 месяцев назад +3

    Dudu baya huna baya kwa maneno yako mazuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BakariChinowa
    @BakariChinowa 5 месяцев назад +3

    dudu kweli we ni konki kuna vitu vingi sana najifunza kupitia ww kwene maisha yangu tupo pamoja endelea kutema madini

  • @johnmeshack4431
    @johnmeshack4431 5 месяцев назад +3

    Mwamba mungu akupe miaka migi unajua mengi sana

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 5 месяцев назад +2

    Hakika DUDU BAYA unahekima ishi miaka mingi🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josie27697
    @josie27697 4 месяца назад

    Hongera sana dudubaya mtu mwema sana na unsjitambua maana unamshuhudia Mungu wetu wa kweli na ki ukweli hawezi akakuacha kabisa barikiwa sana .

  • @AmnaAmna1-xs3rx
    @AmnaAmna1-xs3rx 5 месяцев назад +2

    Yani huyu kaka Ninampenda bure kwa maneno yake❤❤❤❤

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 3 месяца назад

    hiki ndicho kipaji cha Dudu Baya.. kuzungumzia maneno yanayoathiri jamii kwa knaga ubaga!!

  • @talents7934
    @talents7934 4 месяца назад

    Dudu Baya nakukubali kwa sababu Unamkubali Mwenyezi Mungu 🙏🏼🙏🏼

  • @AmirMahenge
    @AmirMahenge 5 месяцев назад +1

    Dudu baya hongera sana umeelimisha watu uko vizuri sana, ubarikiwe

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 месяца назад

    Point kaka

  • @kassimomary216
    @kassimomary216 3 месяца назад

    Kwenye hili dudu baya sikuungi mkono maana hakuna unacho kijua hebu fuatilia mkasa vizuri

  • @AnnasteraElias
    @AnnasteraElias 5 месяцев назад +3

    Upo vizuri Dd baya..

  • @twahamitingi4028
    @twahamitingi4028 5 месяцев назад +2

    Ukiachapombe unakua nakilisana dudubaya hongera Sana kwabusarayako yoteulioyaongea

  • @Dafetty
    @Dafetty 4 месяца назад

    Subhannallah mtihani wallahi. Allah atunusuru kwakwel

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 Месяц назад

    Konki konki konki master 😅😅😅😅true yani ....

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 5 месяцев назад

    Mtakutafuta sana ndugu yangu nipate Ushauli wa maisha mungu Akubariki Kwa Elimu mzuri sana 🙏 ❤

  • @KasichanaKaingu-wx7kr
    @KasichanaKaingu-wx7kr 5 месяцев назад +1

    nakuchek live nkiwa +254mombsa kenya oe unaposema kuhusu mashoga huwa unawumiza hao mafreemanson xna big up xna mwamba

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    piyanakuwazurimwafanyakaxi uliyonawapi.umuuwemtu halafu umpigiyesim nduguwa Mareham kiudanganyifu

  • @christophermwashiozya5178
    @christophermwashiozya5178 5 месяцев назад +2

    Ni milion 5 Dudu sio kumi ukiwa na m.5 unatakiwa uwe na ulinzi wa askari wakusindikize.

    • @kamalissabig4631
      @kamalissabig4631 5 месяцев назад

      Escot ya Police n kuanzia Million 30 na kuendelea sio 10 wala 5

  • @MsJabalkiss
    @MsJabalkiss 4 месяца назад

    KWELI KUISHIWA KUBAYA MBONA HAMJAMFATA DIAMOND AMA MSANII YEYETO WA MUZIKI ILA MUMEMFATA DUDU ILI ANGALAU AJULIKANE KUTOKA HABAR ZA MUZIKI HADI KHABARI ZA WAGANGA DAH

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 5 месяцев назад

    Mie nikuite dudu zuri maana unaelekea kuzuri sana. Unafaa kuwa mwalimu wa kufundisha neno la mungu. Endelea hivyo. Tunafurahi

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    nayeyebaba yakekauwawa nayotehayo mungualikuwa nataka kumuumbuwa kwaaliyokuwa akiyafanya kawadhulumwengi sana hatimaye mungu kamuumbuwa kawaibiyawayuwengi kwakuwadanganya

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 5 месяцев назад

    You are so genus men and mature 👌👌👌

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 5 месяцев назад +3

    Kweli konk ukosawa 1000

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    kwelikabisakabisasanatena sonatina hawakufungi siutatowa rushwa kanisa hahaha yani divorce. iliwamshidesana senate hanatena atakurukambalishetani

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 5 месяцев назад

    Karma hiyo, Wakati wa Mungu ni Wakati Sahihi 🙏Ukiuwa kwa upinde utakufa kwa Upanga, Mganga wa Mbaazi atateseka mnooo

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 4 месяца назад

    Mungu atuurumie

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    kwaniniesigempigiya.babayake akampiyaya kakawamarehem etinasikiyakunamtu anatokwadam swalikamahilo agempigiya babayake amuulize

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    sonatina shetani ndoabamuabudu sawakabisa nayotekayafanya

  • @DenisSamwelmapunda
    @DenisSamwelmapunda 5 месяцев назад +1

    kaka uyojamaa niwakutaifishwa kwanza pia ztua kali zakisheria zichukuliwe najua tz kilakitu tuko imala shelia zipo jela ipo afungwetuu kwanza zurumant alafu unamgeuza mbuzi mwezio uyo afungwetuuuu

  • @kiumbekiumbe4711
    @kiumbekiumbe4711 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 5 месяцев назад

    Mm ninachokupendeaga Msukuma ww huwa unasimama straight tena Bila chenga Hongera saana
    Ss ww ni Dudu Zuri 💪🏽🙏🏼

    • @sebastiankatalle2732
      @sebastiankatalle2732 5 месяцев назад

      Umenivunja mbavu "street" au straight😂😂😂 weekend yng umeifanya iwe ya furaha

    • @mkambamaulid447
      @mkambamaulid447 5 месяцев назад

      @@sebastiankatalle2732 Huo sio mwandiko wangu 🙏🏼💪🏽

    • @sebastiankatalle2732
      @sebastiankatalle2732 5 месяцев назад

      @@mkambamaulid447 hahah pamoja sana

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza 4 месяца назад

      ​@@sebastiankatalle2732 uzuri umelewa,

    • @Magreth-i3y
      @Magreth-i3y 4 месяца назад

      Hii mbn yupo sahii its "straight "

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 5 месяцев назад

    Baba Mungu Awe nawe kwa kusema ukweli Mtupu

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 4 месяца назад

    Kwenye zambi kakaangu akuna anaeziupuka.

  • @bobg611
    @bobg611 4 месяца назад

    Dudu baya ni kaa mganga..

  • @kilemilekilemile
    @kilemilekilemile 4 месяца назад

    Hii Chanel nintimu manyau mmh ukwel utajulikana

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 5 месяцев назад +6

    Sasa inabidi ufungue chanel yako nawe ufaidike

    • @fadhilimartin-o3h
      @fadhilimartin-o3h 4 месяца назад

      Kweli kabisa vp Hawa jamaa Wana mtumia kwa faida Yao !!!

  • @YusufHamza-h3z
    @YusufHamza-h3z 5 месяцев назад

    kweri kbs hayo yanafanywasana

  • @ZainaFatma
    @ZainaFatma 5 месяцев назад

    Mtihan kweli kabisa dudu baya maneno yapo sahii kabisa

  • @mathiaskipinge2782
    @mathiaskipinge2782 5 месяцев назад

    We unalipwa untethered dude baba uko sahii

  • @AnthonyKomba-o5f
    @AnthonyKomba-o5f 5 месяцев назад +2

    Wewe dudubaya mbona ulimdhulumu nyandu tozzy

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад

      Hata ukifanya dhambi na ukajitambuwa na kutubu Kwa Moyo mungu atakusamehe zote

    • @fadhilimartin-o3h
      @fadhilimartin-o3h 4 месяца назад

      Kweli kabisa Dudu baya Hana baya

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 4 месяца назад

    Facts

  • @MaximilianBabile-j5h
    @MaximilianBabile-j5h 5 месяцев назад

    Huyu Jamaa Skuizi ni Shule ya hekma na mafundisho, Sio Dudubaya tena now ni Godfrey Tumaini

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 5 месяцев назад

    Dudu baya ashindwa 😂kujizuia na alie kubali kujizuia😂

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    nakupeda unamajibumazuri 😂nikwena zabizoteyeyekazofanya umenichekesha

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 5 месяцев назад

    DUDUBAYA USIMALIZE MANENO KUMBUKA DUDUBAYA YULE NA HUYU NA AJAYE YAANI KESHO

  • @MrishoSamueli
    @MrishoSamueli 5 месяцев назад +2

    Sisi waganga tunapondwa Sana Kwa sababu ya wahuni wachachetu tutafanya jambo wesubilitu

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    ukovizurisana kaka

  • @FredwaaMakambo
    @FredwaaMakambo 5 месяцев назад

    Muwe mnalipa bhana

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 4 месяца назад

    Mnapenda na nyie

  • @goldmansun5859
    @goldmansun5859 5 месяцев назад

    Mapito humfany mtu awe na hekima na amjue Mungu, suffering ilinifanya nikutane na Yesu

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 4 месяца назад

    Fungua kanisa. Kadir unavokuwa kiumri unazidi kupata hekima zaidi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад

    Watanzania kweli tukubali jamii yetu imefika pabaya kweli jamani acheni hayo mambo mtalizwa machozi na hao waganga na manabii wa uongo uongo hao wametumwa na shetani kuwakosanisha na muumba wenu

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    lakinikwakuwamungu alikuwa anatakakumuubuwa kampigiya kaka wamarehemyotekujichanganyatu kaubuka dhalimmkubwa huyo

  • @fatumamaro8726
    @fatumamaro8726 5 месяцев назад

    Mwambaaaa 👌

  • @ianak4
    @ianak4 5 месяцев назад

    Dudubaya banana na Yesu tu, usimchanganye na binadamu, yeye pekee ndiye Njia, Kweli na Uzima, hachangii hayo mamlaka na mwingine yeyote hususan binadamu

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂 hm kwani yessu ninani nae si nibinaadam ila All AH amempa cheo zaidi kua ni mtume ukisema asi changanywe na binaadamu na yeye pia mibina adam

    • @talents7934
      @talents7934 4 месяца назад

      ​@@azizaaziza7996😂kwani Mwammad swalalaaa nae ni nani?

    • @azizaaziza7996
      @azizaaziza7996 4 месяца назад

      @@talents7934 mh mmm humjui au una jizima data bc kama Muhammad humjui ni mtume na ni nabii wa All AH kama alivo huyo na bii Issa nyinyi mni kuita yessu yessu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 5 месяцев назад

    Hawa waganga wachawi tuachane nao ,sio watu wazuri hata kidogo ndio maana mara nyingi wanasababisha mauwaji nk

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 4 месяца назад

    Kweli kaka mkubwa

  • @NoorLheyNoorLhey
    @NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад

    sonatina wengi

  • @rashidNgongomi
    @rashidNgongomi 5 месяцев назад

    Kuanzia mtoa habar dudubaya wote mmetumwa

    • @Amirmgunya-pt2zm
      @Amirmgunya-pt2zm 5 месяцев назад

      Na ww katumwe au ww ndio chakula cha mganga

  • @juliomgandu1041
    @juliomgandu1041 5 месяцев назад

    Naqubali Dudu baya the legendary 👊

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 5 месяцев назад

    Wewe ni ubongo mkubwa sana!

  • @TedyChiguru-sm1nr
    @TedyChiguru-sm1nr 5 месяцев назад

    Umeulizwa linguine unajib mengine

  • @aziza9093
    @aziza9093 5 месяцев назад

    Nikwelikaka ukosahh

  • @Kusag-i9z
    @Kusag-i9z 5 месяцев назад +1

    We jamaa hunakili vizur iv unataja amrita kumi za mungu halafu unasema tumsifu yesu kwann usiseme tumsifu mungu

  • @festokastory5282
    @festokastory5282 5 месяцев назад

    Kila mtu nitapeli ila tofauti ni levo ya huo utapeli lakini kama una tapeli na ukaaminika na watu basi hiyo ndio kazi yako lakini serikalini huwa ina sajili matapeli kweli?

  • @rashidNgongomi
    @rashidNgongomi 5 месяцев назад

    Unauhakika kamakauwa

  • @rutalaurent8542
    @rutalaurent8542 5 месяцев назад

    Nakubari put in unasema ukweli mtupu

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 5 месяцев назад

    muhammad hayuko kwa Yesu. Kama ingekuwa huvyo angejua alikuwa anaelekea wapi na angewaambia waislamu wenzie kuwa uislamu una wokovu na uzima wa milele! Kwa hiyo muhammad hawezi kuwepo alipo Yesu. Dudu usiseme mambo kuwafurahisha waislamu. Waambie ukweli ili wamfuate Yesu na kupata wokovu na uzima wa milele!

  • @allyfleva6134
    @allyfleva6134 5 месяцев назад +2

    Kaka umilipwa umchafue taz maana mnasema taz kamuua mlizi wake je wewe unauhakika acheni shelia ichukue mkondo wake

  • @ramsostopthisbullshitmanal4002
    @ramsostopthisbullshitmanal4002 5 месяцев назад

    Acha kutetea matapeli wewe

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 5 месяцев назад

    Ni kweli mganga kakamatwa?

  • @allyfleva6134
    @allyfleva6134 5 месяцев назад

    Yani hichi chombo cha habari ni cha hovyo kwani hamna stori zingine acheni utoto yapo mambo muhim ya kutujuza

    • @mishibaron5021
      @mishibaron5021 5 месяцев назад

      Pita uende ukiona wanaongea ujinga