HUU HAPA USHAHIDI VWA MAMBOYALIYOFANYWA NA MGANGAANAESADIKIKA KUMUUA MLINZIWAK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • HUU HAPA USHAHIDI VWA MAMBO
    YALIYOFANYWA NA MGANGA
    ANAESADIKIKA KUMUUA MLINZI
    WAK

Комментарии • 120

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 4 месяца назад +4

    Heeeeee dunia simama nishuke mungu nijaaliye nilizike naulicho niruzuku yaarab

  • @HhRt-m5z
    @HhRt-m5z 5 месяцев назад +7

    Wanawake wengi sana ndio maana wanaziniwa nawaganga

  • @HassanMohamedi-nk4do
    @HassanMohamedi-nk4do 11 дней назад +1

    Pesa bila kazi mh

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 4 месяца назад +4

    Shogaako alokupeleka sialikukataza sana jmn uchaw upo. Pole mwaya ni mitihani tu ikitaka kukufika huwez zuia.

  • @BahatiMalenga
    @BahatiMalenga 27 дней назад +1

    Mmmmmmh mungu akuhulumie

  • @shaffiibashiru7204
    @shaffiibashiru7204 4 месяца назад +3

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa 😢

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 4 месяца назад +3

    Huyu dada anaweza hata kumuua mtu khaa unasimulia bila hata uwoga

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 25 дней назад +1

    Mnaingizwa wangani kwa shida zenu mtu Akishqkufa na Riziki yake ya duniani imekwisha na nyota yake imezimika sasa ww utaipata wapi hiyo nyota msgibiwa hizo laki 5 zenu yy ndio anatajirika

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz 5 месяцев назад +3

    Inaonesha huyu jamaa anaushirikiano mkubwa na baadhi ya viongozi serekalini pamoja na polic

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 4 месяца назад

      Inawezekana lakini kwamungu Kesho mambo hadharani tu

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 3 месяца назад +1

    Acha dogo apige hela,, majinga Africa nimengi, ukifa masikini Tanzania na una afya njema,, ujue umependa

  • @ericsutta
    @ericsutta Месяц назад +1

    Hilo genius kweli na bado hamkomi

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 5 месяцев назад +2

    Huyu Dada sio wa kubezwa badala yake aombewe na asaidike awezekuacha imani Za kiganga na uchawi maana kama ingekua kweli inamaana alikua tayari kufuga Jini, huo NI uchawi. Lakini dada nikuambie wazi hakuna fedha Za majini huo NI uongo ukitaka fedha fanya kazi kwa bidii kama vile kilimo biashara ufugaji nk nk.,zamani zile wanamusk ( Band) nyingi kama vijana jazz waliwaimba sana Matapeli ,Lakini Leo hii bongo flaver hainajumbe hizo wamebakia kiimba mapiano na Mapenzi watu wanaibiwa bila sababu yoyote. ( nyinyi wana musk kumbusheni watu utapeli umerudi upya , pia polisi ktk IBADA mashekhe tangazeni fichueni utapeli hubirini tafadhali, mommy pole sana pia acha uganga na uchawi fanya ibada na biashara pia toa zake ( hizo laki 5 ungewapa watoto yatima ungezidishiwa .unampa mtu anaenda kunywa bia

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Месяц назад

    Mume wa huyu Dada namsalimu kwa jina la mama mkwe wake🤔

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 5 месяцев назад +2

    Yaani namba uliyopewa ilikuwa ya watu wake siyo watu wa Dodoma yaani ulikuwa unachezwa shere hakuna MTU mmoja pale wote ni wale wale

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz 5 месяцев назад +2

    Hivi KWA nini baadhi ya wabongo bado wapumbavu kiasi hiki!? Hivi izo laki tano si ungefanya biashara unaambiwa kitu siri bado hushtuki tuu

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Месяц назад

    Tasnia ya TIBA ASILI NA MAMBO YA KIMILA yamevamiwa na wahuni kama vile ilivyo vamiwa Dini ya kikristu na wahuni kwaio tujue wapo watabibu wa kweli na wachungaji wa kweli ila pia wapo wahuni kama hawa na kiboko ya wachawi.
    UMAKINI UNAHITAJIKA SANA.

  • @mandajamaly4843
    @mandajamaly4843 5 месяцев назад +1

    Bado kidogo chief Godlove waje kutoa ushuhuda

  • @francismgaya3539
    @francismgaya3539 5 месяцев назад +1

    Bado wanaojiunga kwa chief Godlove, nawasubili hapa mje

  • @BahatiMalenga
    @BahatiMalenga 27 дней назад

    Mmmmmmmh analoho ngumu

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 5 месяцев назад +4

    Serikal> ya hovyo hii sijawahi kuona mimi ..

  • @achiengvelinda940
    @achiengvelinda940 2 месяца назад

    Aki watanzania pooooo ati Keshi ama cash mkikuja Kenya mu make sure mnatumia kishwahili sanifu

  • @OthmanKijemkuu
    @OthmanKijemkuu 10 дней назад +1

    😅😅😅😅

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 5 месяцев назад +1

    Umeongea kishujaa huyu mtu ni tapeli kwelikweli mm nilikua namsikia tu na mm nakaa hukohuko kigogo fresh naimani wanawake wengi wameumia sana

  • @HappyMuyinga
    @HappyMuyinga Месяц назад

    Bado hamjasema mpaka mseme

  • @WinifridaChristian
    @WinifridaChristian Месяц назад

    Tapeli wa kwanza Kati ya hawa wakwanza ni manyaunyau yule tapeli nje nje kabisa!!

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 5 месяцев назад +2

    Viongozi wanapewa taarifa wananchi wanaibiwa wao wanakaa ofisini kulipwa mshahara wa bure tu hawawajibiki chochote ccm itambue hivyo ndio maana tunaomba mabadiliko hata ya nwaka mmoja tu

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 3 месяца назад

      Uyo mganga sianajisifu yeye awez kufungwa labda anajuana na viongozi

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 5 месяцев назад +1

    Wadada acheni tamaaa,fanyeni KAZI halali

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 4 месяца назад +1

    Ila mungu fundi nyiee onaalivyoumbuka huyo geneaz

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 4 месяца назад

    Pole sana dada

  • @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq
    @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq 4 месяца назад +1

    Subhannallah😢😢😢😢😢😢😢

  • @JohMwita
    @JohMwita Месяц назад

    dah kweli hii pesa na mm nilitokea kumuani nilikuwa namuona atrend

  • @graceraphael-tj7nf
    @graceraphael-tj7nf 2 месяца назад

    Dada pole Sana

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 5 месяцев назад

    Tubu muombe sana Mungu akusamehe dhambi ya ushirikina ukifa nayo ni moja kwa moja

    • @punnamalaba4445
      @punnamalaba4445 2 месяца назад

      Kweli kabisa alifuata nini kwa mganga , na anaongea anacheka ni mzoefu wa hayo

  • @sophiajoseph136
    @sophiajoseph136 3 месяца назад

    Watanzania ni ujinga au ni kukosa maarifa?unatapeliwaje kijinga hivyo. Mtegemee Mungu tu!

  • @JihaadIsmail
    @JihaadIsmail 4 месяца назад

    Pole Sana dada umeibiwa huyo ni tapeli

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 3 месяца назад

    Watanzania wengi sisi tumepumbazwa sana sana mpaka tuwe na uelewa tutakuwa tumechoka sana

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 4 месяца назад

    SubhanAllah yaraby😢😢😢😢😢

  • @MohHabibu
    @MohHabibu 5 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂 laki 5 piga mala 98 bei gn 😂😂😂😂😂

  • @ShrifaTnzani
    @ShrifaTnzani 4 месяца назад +1

    Aisee dada una loho mbaya

  • @clarencepeterbugi2862
    @clarencepeterbugi2862 5 месяцев назад +1

    Watu wanapenda utajiri wa haraka mwisho unaambiwa muuwe mtu

  • @ericsutta
    @ericsutta Месяц назад

    Yaani wanawake wengi ni wajinga ndo maana mnatumika sana, huwa hamfikiri mara 2

  • @giftbonanje228
    @giftbonanje228 4 месяца назад

    Safi saaana.

  • @FestoMugala
    @FestoMugala 5 месяцев назад +2

    Which country is this

  • @annajohn3377
    @annajohn3377 4 месяца назад

    Bora nikatapeliwa kariakooo kuliko kutapeliwa na waganga nitakufa maskini

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 5 месяцев назад +1

    Wewe dada unahitaji ulinzi umemharibia mtu kazi.

  • @privatusprudence
    @privatusprudence 4 месяца назад

    Safii kiongozi kidgo story Yako Ina huakika make na sauti yake imesikika but dada awe makini na simu yake vzr ila bro tafta ao viongozi Ili kufanya story iwe Bora zaidi ongera sana.

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 3 месяца назад

      Uyo kiongozi sindio aliemuuwa mlinz wake kakimbia

  • @Jonas-t9h
    @Jonas-t9h 3 месяца назад

    Daah huyu mwamba kaumbuka aisee

  • @mulimwalugenge5226
    @mulimwalugenge5226 4 месяца назад

    Kweli wajiga ndio waliwao

  • @HALIHAMISI
    @HALIHAMISI 4 месяца назад

    Jamaa tapeli sana

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 4 месяца назад

    Acha wanaondelea wapigwe ww siuchanika umepigwa na kitu kizito kichwani 🤣🤣🤣🤣

  • @salimalesry428
    @salimalesry428 4 месяца назад

    Daaa wamepigwa yule jamaa tapeli sana

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 5 месяцев назад

    Iyo ni atari ubabaishaji ni wahaliyajuu

  • @ZuwenaNassor-b6m
    @ZuwenaNassor-b6m 4 месяца назад

    Si muongo ss wenye yashatukuta g hafayii

  • @janethmazoya4291
    @janethmazoya4291 4 месяца назад +1

    Huyu dada ni muonge sana mbona ss tumo kwenye group na tumefanikiwa sana wala hajataper mtuu mbona mayajir hawasem ila maskini mtafika mbinguni mmechoka sana 😅😅

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 месяца назад

    Mh

  • @punnamalaba4445
    @punnamalaba4445 2 месяца назад

    Ni mzoefu wa ushirikina huyo , anaongea ma kucheka , ni.muongo wala msimpe pole ila akomee hapo aachane na ujinga huo aa

  • @CatherineJohnson-y2h
    @CatherineJohnson-y2h 4 месяца назад

    Dah😢...i dunia bana 😂😂😂🤣

  • @averixcrane-ij2fb
    @averixcrane-ij2fb 4 месяца назад

    Sasa hapo kuna ushaidi gani na icho kifo, uyo kaja na yake ambayo ni ya utapeli ila sisi tunataka kusikia kuusu kifo cha yule mlinzi.

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 4 месяца назад

    Wewe ulienda mwenyewe leo unataka msaada wa serikali kwani hyo laki tano haikutoshi kwa biashara? Wenzio wanafanya biashara za elfu kumi tu wewe ndo unaenda kutapanya ama ulihongwa na aliyekuhonga hajakufanya lolote ukaamua kuzitapanya, inatakiwa angekulawiti🤣🤣🤣🤣

  • @untouchablepro8943
    @untouchablepro8943 5 месяцев назад

    Sema nini ukome pole

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 3 месяца назад

    Hawa ndio hadi wanauwa wana wao,ndugu na wazazi kisa utajiri wa upuzi....!!! Hio laki tano mbona usifanye nayo biashara.....Una bahati hukuziniwa wewe !

  • @SamWabyoko
    @SamWabyoko Месяц назад

    jamani hivi wa Afrika tunajielewa kweli?
    yaani mtu unahadi mfanya kazi wa ndani badala ufocus na job wewe unatapeliwa kijinga tu
    Ebu tuhige kwa wenzetu wazungu jamani
    Wapi uliskia mzungu anaenda kwa mganga ili apate pesa?
    Jamani mnisamehe kama nimeongea vibaya hapa chini ya jua nguvu zako bidii yako ya kazi ndo utajiri wako

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 5 месяцев назад

    Duh!... Umetapeliwa mchana kweupeeee

    • @cutenicely4766
      @cutenicely4766 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FatmasompaFatmaramadhanisompa
    @FatmasompaFatmaramadhanisompa 5 месяцев назад

    Jamn acheni zambi tusubirien unwell wa police

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 5 месяцев назад

    Ni tapeli full huyo ... mtafuteni auwawe tu hamna adhabu nyingine....

  • @HassanHamis-wp2jr
    @HassanHamis-wp2jr 2 месяца назад

    Duuh

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 месяца назад

    TUFANYE KAZI NDUGU ZANGU
    KATIKA MAISHA YA UTAFUTAJI HAKUNA MIUJIZA
    WASHIRIKINA NI HATARI MNo

  • @latiphafahim7357
    @latiphafahim7357 5 месяцев назад

    Mbona siku zote hujatoa iyo taarifa mpk kafanya jambo

    • @beccasniper-ki4gg
      @beccasniper-ki4gg 5 месяцев назад

      Ndiyo wakati wake hta wew sku yakufa wapo watakao ongea kuwa ulikuw mtu mwema ama mbya

  • @suleuhai2754
    @suleuhai2754 4 месяца назад

    Dada yangu mm kayatimba😂😂😂

  • @DJINNOSSBTZ
    @DJINNOSSBTZ 3 месяца назад

    Rizikeni na kidogo unachopata jmn la sivyo hata hivyo vidogo mlivyonavyo mtanyanganywa na wajanja wa mjini📌

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 4 месяца назад

    Wajua ujinga mwengine mnahoji watu baada ya matatizo kutokea ni ujinga tu.

    • @Magreth-i3y
      @Magreth-i3y 4 месяца назад

      Hyo ndo maana ya methali ya wahenga "za mwizi arobaini"..hawakusema atakuwa hajaiba, atakama kesha tenda cha msingi abainike

  • @vivicagreco7767
    @vivicagreco7767 4 месяца назад

    Amewakomesha

  • @ShrifaTnzani
    @ShrifaTnzani 4 месяца назад

    Tuwe makini jamani

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 4 месяца назад

    😢😢😢

  • @HappyMuyinga
    @HappyMuyinga Месяц назад

    😂😂😂

  • @WitnessJjk
    @WitnessJjk 5 месяцев назад

    wanawake tunahangaika nyie yite kwasasbabu yawatu walioki nyuma yake😊

  • @AdamMwisimba
    @AdamMwisimba 5 месяцев назад

    Mandocha yakishapigwa huwa yananyoosha maelezoo?

    • @ashazuber6548
      @ashazuber6548 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @giftbonanje228
    @giftbonanje228 4 месяца назад

    Jasiri jmn

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 4 месяца назад

    Kweli wajinga ndio waliwao.poleni.simameni na Mungu kilakitu huja kwawakati.

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 5 месяцев назад

    Na wewe dada sio mtu mzuri kama uyo tapeli angekwambia uwa mtu ata kwa kisu ungeuwa wewe maana kama unavosema wezio wote walikuwa waoga wewe peke yako ndoio ulifanya.

    • @Rich-wo
      @Rich-wo 4 месяца назад

      Aliibiwa akili ht usimlaumu kbs

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo6613 5 месяцев назад

    Na bahati yako ujaenda kulala hotelini ange kulala wajinga nyie fanyeni ibada acheni ujinga

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 5 месяцев назад +1

    Mm nasikitika kwa Sababu ya watu waliokufa lakini kwa pesa yako kuliwa wewe Ni ngombe

  • @laizakimalokileli8560
    @laizakimalokileli8560 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @FlorensiaMkombozi-et1ts
    @FlorensiaMkombozi-et1ts 3 месяца назад +1

    Ndugu zangu tumtegemee Mungu tuache kutapeliwa huwa nasikiliza habari zake huyo jamaa najua nitapeli kubwa sana mjihazari ndugu zangu kufirisika

  • @laizakimalokileli8560
    @laizakimalokileli8560 5 месяцев назад

    😢😢

  • @AishaMwarabu
    @AishaMwarabu 4 месяца назад

    Mh

  • @EmmyMtila
    @EmmyMtila 5 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂 watanzania napesa za bure sijui mumelogwa na nani

  • @MargaretKivaro
    @MargaretKivaro 5 месяцев назад +2

    wewe dada muogo umetumwa na adui za Taz

  • @BENEDICTONONYA
    @BENEDICTONONYA 5 месяцев назад +1

    We nae mwandishu ni kenge tu eti aliyeuwa una ushahidi fala kwel

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 3 месяца назад

      Au na wewe upo pamoja nauyo mganga muuwaji ndomana unatetea alieuuliwa angikua ndugu Yako ungesema aya

    • @BENEDICTONONYA
      @BENEDICTONONYA 3 месяца назад

      @@TatoTato-t7s kwenda zako huko .....fanya Yako kwann mzee wake si mlimuua

  • @janethmazoya4291
    @janethmazoya4291 4 месяца назад

    Ila binadam waongo mbona mwanzo hamkuongea leo mnampaka matope mnatafuta kiki tuu mashetani wakubwa nyie

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 4 месяца назад

    Baada ya natatizo ndio mnaroppka

  • @HassanJuma-o8u
    @HassanJuma-o8u 5 месяцев назад +1

    Jama mtapelitu 😂