MLINZI WA MGANGA TAZGENIUS ATOBOA SIRI YA VIFO, RAIA WA KENYA NA SIRI NZITO NYUMBA YA TAZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MLINZI WA MGANGA TAZGENIUS ATOBOA SIRI YA VIFO, RAIA WA KENYA NA SIRI NZITO NYUMBA YA TAZ

Комментарии • 460

  • @FaridaKizenga
    @FaridaKizenga 5 месяцев назад +39

    Kama una mkumbuka MAGUFULI uspte bila kulike hapo juu.

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 5 месяцев назад +18

    Tunapambana na rushwa lakini wapo police wabaya sana sana.RPC anapambana mkoa uwe salama lakini wapo wengine rushwa mbaya sana

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 5 месяцев назад +17

    Naomba nitag number ya huyu dada direct maskini pole sana

  • @WilliamJohn-c4y
    @WilliamJohn-c4y 5 месяцев назад +15

    Pole sana dada uyo mbwa ni mtanzania kweli au ni mulundi aliye zamia miaka mingi na ata uyo mkenya inawezekana kampa sumu sio dawa kwani tunajua wa ganga matapeli wakisha mwibia mtu hela uwaga wana wapa sumu hili asisumbuliwe selikari inabidi imchunguze uyo fala

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 5 месяцев назад +1

      Mtanzania mwema hakashifu.aliyekwambia kwamba Warundi ni watu wabaya ni nani ???

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 5 месяцев назад

      Najua limekutoka kwa hasira pole

    • @mashakabundala9955
      @mashakabundala9955 5 месяцев назад +1

      Warundi ni ndugu zetu kabisa acha ujinga

    • @AbdalahMtambuka-rh1dp
      @AbdalahMtambuka-rh1dp 5 месяцев назад

      watanzania asilimia. 78.niwakulima ilaatutaki kilimo tunataka biashala bila msingi

    • @ManenoMalekela
      @ManenoMalekela 4 месяца назад

      MalekelaRocky
      Tuacheni kupeana ujinga
      😮wewe uliye muhoji unatakiwa kulifikisha kwenye vyombo vya husika kwani Kuna maelezo ya kijinai
      Vinginevo tutawachukulia Mnataka viewers na siyo kumsaidia
      Huyo dada anatakiwa kufidiwa mambo mengi pamoja na kufungia kesi dhidi ya polisi na huyo meneja

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 5 месяцев назад +25

    Hao polisi wote walotajwa, wapelekwe kwa IGP , wanyongwe.

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 5 месяцев назад +17

    Daaah😭😭😭baadhi ya polc hawafaii rushwa unamfanyia binaadamu mwenzio ubaya kisa pesa dada anawatoto hata huruma hamna mtu kama huyu mwisho wake anajinyonga na huyu mganga tapeli jeshi la polc tunawaomba mchukulieeni sheria hafaii huyu tapeli inauma inauma😭😭😭😭

    • @DevothaLighton-dl6zi
      @DevothaLighton-dl6zi 5 месяцев назад +2

      Huyu anawatumia police harafu wewe unasema police mumchukulie hatua.police Gani unaowasema

    • @hadijauledi6995
      @hadijauledi6995 5 месяцев назад +2

      @@DevothaLighton-dl6zi polc siyo wote wapenda rushwa wapo baadhi niwatenda haki siyo wote

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 5 месяцев назад

      @@hadijauledi6995na wew unaesema haya unauhakika na hayo unayoyasema?au unauhakik na hayo huyo dada anayoyasema?usizungumze jambo kwa maneno yakuambiwa au kuskiliza hujui km yana ukwel Au laa.mara nying watu km nyinyi uwa mnapenda kuchukua maneno km yalivyo halafu mwisho wasiku ukwel Ukija julikana nitofauti na ulivyosikia ..usitoe ushahid wauongo kwa jambo amblo hujui wala huna uhakik nalo zaid yakusikia

  • @Mail-z5q
    @Mail-z5q 5 месяцев назад +7

    Pole sana mdogo yangu umepitia magumu mno mungu atakupa kheri yako utapata kz ❤

  • @aloycejoseph-wn9wp
    @aloycejoseph-wn9wp 5 месяцев назад +3

    Ndugu kama itakupendeza tuombee namba yake Ili mwenye chochote amtolee

  • @neetaparnis7573
    @neetaparnis7573 5 месяцев назад +16

    Kumbe hana maana yule Kaka,mwache apate staiki yake,Mungu anawalipia wote

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 5 месяцев назад +9

    Subuhhallaah 😢😢Mungu akusaidie mama angu 😢😢

  • @priscapaul3884
    @priscapaul3884 4 месяца назад +2

    Yani mimi jamani siwezi kuja kuwaamini tena waganga .mimi niliishi na mwanaume nae alikuwa anajifanya mganga lakini alikuwa anauwa watu na anafukia mwenyewe na mimi alinitorosha nikiwa na umri wa miaka kumi na tano niliona mengi na alikuwa anapenda kuishi mwenyewe mwenyewe nilitoroka aisee ni story ndefu sana .Ila uzuri nae kakamatwa ni yule aliyeuwa mke na kumfukia ndani huko morogoro ana jiita Mohamed

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 5 месяцев назад +9

    TUMEFIKIA PAHALI PABAYA. NCHI HII IMEFIKIA HIVI KWELI?

  • @AkidaYusuph-hw1ke
    @AkidaYusuph-hw1ke 5 месяцев назад +19

    Majina ...nimepata..hatua za kisheria haraka nitawatafuta hao mgambo kesho

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 5 месяцев назад +4

    Basi hii selikali yetu m2 kama huyo baada ya siku chache utamuona mtaani yaan 2kimuona 2 huyo mbwa wenu mtaani tutachukua sheria mkononi 2shachoka na uwonevu pole sn dada malipo hp hp njoo oman upambane sisi 2po huku

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 5 месяцев назад +1

    Pole sana dada Mungu akufungulie rizki ulee watoto wako bila tabu Inshaaalah.

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 5 месяцев назад +25

    Yataibuka mambo mengi sanaaaa 😢😢😢😢😢na badooo huyu jamaaa mwisho wake umefikaaaa aiseeee machoz yawatu ni mengi sn

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni 5 месяцев назад +6

    Izo.mesej za vitisho.zifatiliwe na.atua za.kisheria zichukuliwe

  • @abdhuliddie296
    @abdhuliddie296 5 месяцев назад +2

    Pole sana dadangu ila ujue kwamba mitian ndio maisha ya mwanadamu Muombe MUNGU akuvushe salama na ujue kuna kesho pia njema yenye mafanikio katika kuamin
    Wengine tumelelewa kwa tabu sana ila twaiyona afadhali kwa baraka za Allah kwa kidogo alicho tupa

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 5 месяцев назад +6

    Pole Sana mdada mungu yuko nawe

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 месяцев назад +4

    Hi Ndio Binadamu Anaambiwa Mwisho Wa Ubaya Aibu Mtume Alisema Mnapokosana Msamaha Ni Kitu Muhimu Zaidi Kabla Ya Kulala Bola Uyo Bado Anapendwa Na Mungu Mabaya Yake Yanakuja Akiwa Hai Atubu Vipi Kwa wale Mabaya Yao Yanakuja Wakati Wa Kifo Cha Mwili Ni Hatari Kubwa Sana Kuishi Kwa Mambo Ya Ajabu

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 5 месяцев назад +3

    Kifupi tu baadhi ya watanzania tunapitia magum Sana sema n Mungu tu anatuokoa tunayo pitia mh😢😢

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 5 месяцев назад +7

    Hili jamaa ni katili sana halifai kwenye jamii na hao maaskari wangejulikana wangekamtwa tu

  • @CharlesMaige-y2i
    @CharlesMaige-y2i 5 месяцев назад +8

    Nimetamani waziri silaa angekuwa wizara hii watu wanaonewa mno. Huyu Dada ameteseka mahabusu 9 days bila sbb za msingi na kapoteza kazi na mwanae ameshindwa kurudi shule...inasikitisha.

    • @PeterTheteacher-qs4qj
      @PeterTheteacher-qs4qj 5 месяцев назад

      Ametengenezwa huyu pia

    • @PeterTheteacher-qs4qj
      @PeterTheteacher-qs4qj 5 месяцев назад

      Anasema watoto wake wadogo ss hao waliwezaje kufungua

    • @aboudijaaboudija
      @aboudijaaboudija 5 месяцев назад

      umemtengeneza wew hovyo​@@PeterTheteacher-qs4qj

    • @HusseinAlly-qd1jg
      @HusseinAlly-qd1jg 5 месяцев назад +1

      katengenezwa nanan yaan huyu jamaa taz ana matatzo sn,, hata ukiwasikiliza majiran ukimsikiliza kaka wa marehem vzr ukionganisha na maelezo ya huyu dada,, kwa mtu mwenye akili tayari amesha elewa kwahyo tuache serikali ifanye kazi yke,,, tatzo rushwa ndio nahisi itaharibu

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 5 месяцев назад +21

    SAMIA SULUHU NA ASKARI WAKE WALA RUSHWA OYEE!

    • @KeiFerouz-fn9oc
      @KeiFerouz-fn9oc 5 месяцев назад +1

      Wee mpumbavu achana na rais wetu kwani yeye anaumba watu mjinga wewe

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад

      ​​@@KeiFerouz-fn9ochaki huinua taifa Tanzania kuna mahala. tumeacha njiai hatupo sawa kabisa

    • @natafutamatatizo4382
      @natafutamatatizo4382 5 месяцев назад

      @@KeiFerouz-fn9oc I love baby mama💋!

    • @fatumakidoa4006
      @fatumakidoa4006 5 месяцев назад

      ​@@KeiFerouz-fn9ocmtukane tena 🤣😂

  • @OmbeniMwalupindi
    @OmbeniMwalupindi 3 месяца назад +1

    Huyu dada anahitaji ulinzi

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 месяцев назад +6

    Wah piya nyinyi mlipata Makenzie wenu duh poleni🇰🇪

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 5 месяцев назад +1

      Makenzi ni wengi kila nchi

    • @EmmyMtila
      @EmmyMtila 5 месяцев назад

      😂😂😂😂 bora makenzi kuliko huy. Mbwa

    • @Thumaommy
      @Thumaommy 5 месяцев назад

      😂😂😂😂Makenzi ana nafuu pia naona😂😂😂

    • @EmmyMtila
      @EmmyMtila 5 месяцев назад

      @@Thumaommy Yani wakimwachia huru atakuja auwe mtaa mzima walai

    • @AshaKache-nr5fz
      @AshaKache-nr5fz 5 месяцев назад

      😅😅😅sijai mpenda huyu muganga

  • @goshenieagleWOG
    @goshenieagleWOG 5 месяцев назад +2

    Rais wa wanyonge alishakufa hicho kituo ni jipu nachoshukuru wanaowalinda mwisho huwa wanakutana na fimbo ya MUNGU muamuzi wa haki

  • @aziza9093
    @aziza9093 5 месяцев назад +6

    Pele umepetiy mmitihani huyumtu nimuuwaji maasikra wanakularushw

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 5 месяцев назад +2

    Pole sana dada kwa hayo mateso,lakini machozi yako hayakupotea bure ndiyo haya yaliyo mpata.. Taarifa zote hizi na majina ya huyo Polisi peleka kwa Mkuu wa Mkoa (Chalamila) atoe uamuzi wake.

  • @ANNAKILLO-o7d
    @ANNAKILLO-o7d 5 месяцев назад +4

    Mwamba wao alikuwa magufuli tyu rushwa ilikata ghafla . Pole Sana dada MUNGU hatakuacha yupo pamoja nawe na utayasahau yote uliyopitia

    • @HusnaSalum-p1q
      @HusnaSalum-p1q 5 месяцев назад

      Ni kweli rushwa imerudi kwa kasi maaskari wanahongwa tutamkumbuka Sana baba upumbavu huu alipita nao sana

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 5 месяцев назад +2

    Uyo meneja wa mganga akamatwe atakuwa anajua mengi tu, watakuwa hata wameuwa watu wakaenda kuwazika mchakani bila watu kujua uyo mganga nihatari

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 месяцев назад +11

    Grace Mungu akubariki sana,unatenda haki.

    • @DevothaLighton-dl6zi
      @DevothaLighton-dl6zi 5 месяцев назад

      Hawezi peke yake huyo Grace tuandike Sheria mpya zenye meno yaani katiba mpya.wanaokosea wawajibishwe.kama hao police

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 5 месяцев назад

      ​@@DevothaLighton-dl6zikabisa

    • @imanwilliam4073
      @imanwilliam4073 5 месяцев назад

      Ila ukrstu dini ya haki fuatilia wengi sana

  • @hajimchomvu7878
    @hajimchomvu7878 5 месяцев назад +1

    Huo tz ndivyo alivyo!pole sana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 месяцев назад +3

    Alafu Makonda akiwakamata watu kama hawa wasenge wanakuja eti haki za kisenge.
    Pole dada yangu

  • @GreccNaima
    @GreccNaima 5 месяцев назад +3

    Pole sana dada

  • @manumeni5057
    @manumeni5057 5 месяцев назад +12

    Yaani Mimi nlikua namthamini ginius lakini kwa haya yote lahasha ,nlikua na mpango wa kumuendea huko tz lakini kwa mshtuko huu aka,from Kenya ,kumbe anakula watu nyama😂mguu koma

    • @Mail-z5q
      @Mail-z5q 5 месяцев назад

      Nenda tuu😂😂😂 ukaliwe supu

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 5 месяцев назад

      😂😂😂 Nenda ukawe supu

    • @cutenicely4766
      @cutenicely4766 4 месяца назад

      Koma😂😂😂 Watapeli hawa

  • @MeshackKabunda
    @MeshackKabunda 5 месяцев назад +1

    Serikali ifanye kazi sahihi

  • @zulekhasaud483
    @zulekhasaud483 5 месяцев назад +4

    Nenda kwenye maombi dada ukafunguliwe wahi halaka

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 5 месяцев назад +4

    Daaah kuna Watu wana roho mbayaaaa
    Lkn malipo ni hapahapa Duniani

  • @beccasniper-ki4gg
    @beccasniper-ki4gg 5 месяцев назад +1

    Aliyetengza Risas jah bless you.. kuonew kunazidisha hasira🚶‍♂️

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 5 месяцев назад +4

    Inatia uchungu sana ginius kuma la mamaake atakiona na sasa hivi ana kesi ya mauaji mbona ataisoma

  • @nurdinkassim
    @nurdinkassim 5 месяцев назад +10

    Kumbe dhamana inalipiwa serikali ipo wapi hamuwalipi mishahara hao askari wenu au mnakatiwa mgao

  • @MunirAbdullah-h9l
    @MunirAbdullah-h9l 5 месяцев назад +1

    Kuna maisha baaada ya uaskari hiii dunia tu tunapita ila dada pole sana Mungu atakusaidia

  • @eliazaryelia
    @eliazaryelia 2 месяца назад

    Pole dada mungu atakulpia

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt 5 месяцев назад +10

    Huyu mganga ni mtu hatari siri zake zote zinatoka sasa hivi

    • @aminasalum-yh4fh
      @aminasalum-yh4fh 5 месяцев назад

      kweli

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 5 месяцев назад

      @@aminasalum-yh4fh Yes

    • @Abuu-lr5bz
      @Abuu-lr5bz 5 месяцев назад

      Kwani toka lini mganga mshirikina akawa mtu mzuri na salama mtu anashirikiana na ibilisi adui mkubwa wa mwanadamu

    • @milley7185
      @milley7185 5 месяцев назад

      Manyaunyau voice

  • @dominicmawala5614
    @dominicmawala5614 5 месяцев назад +1

    KWAKWELI TUNALAANA AISEE!!! MTU WA MAISHA NA MAZINGIRA HAYA UNACHUKUA PESA YAKE ILI ADHAMINIWEE?!!! ULIYECHUKUA PESA YAKE MACHOZI YAKE YAKUANGUKIE KWENYE MWILI WAKO NA NAYASIFUTIKE DAIMA!!

  • @smilgirl
    @smilgirl 5 месяцев назад +1

    Pole dear mpendwa huyu mbwa atafia huko jela

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo 5 месяцев назад +2

    Mbwa mkubwa huyo na atakufa kifo kibaya sana

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 5 месяцев назад +3

    Baadhi ya maaskali hawana ubinaadamu Poole Dadaangu Mungu hakimu wahaki

  • @sofiagao6396
    @sofiagao6396 5 месяцев назад +2

    Wallah.rohoyaniuma.pole.dadangu

  • @williamkeko9244
    @williamkeko9244 5 месяцев назад +1

    serikali imekuwa katili sana kupitia walinzi wake wa wananchi na Mali zao,huyu jamaa ni katili sana ,anafaa

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 2 месяца назад

    Kumbe alikuwa analoho mbaya sana taz mh.

  • @averixcrane-ij2fb
    @averixcrane-ij2fb 4 месяца назад

    Inaonekana uyo jamaa anashirikiana na serekali, kwanini wakuukumu bila kuakikisha kesi na hata kifo cha mlinzi wake hakuna chochote kinachoendeleani. Sisi watu weusi tuna matatizo sana.

  • @josie27697
    @josie27697 4 месяца назад

    Hivi kwanini Tanzania kumekuwa na unyanyasaji hivi halafu tuna sema ni nchi ya Amani ? Eti ni ya upendo! Hakuna kitu kabisa watu wengi wanateseka sana kwenye nchi hiyo na hakuna msaada wowote hasa Kama wale watu walio wa hali ya chini jamani inauma sana

  • @salimualmasi7944
    @salimualmasi7944 4 месяца назад

    Pole Sana,

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 5 месяцев назад +1

    Polisi wa nchi wana lakujibu kwa Mwenyezi Mungu kwani ni waonevu Sana kwa wananchi

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 5 месяцев назад +1

    Yule mbwa anatia tia huruma mitandaoni watanzania tumuonee huruma atafutwe haraka ametesa na kuzulumu watu wengi sana.

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 4 месяца назад

    Pole Sana ndugu

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 5 месяцев назад

    Pole sana dada.Mungu anamlipa sasa

  • @edwardchecha-gz7sr
    @edwardchecha-gz7sr 5 месяцев назад +1

    Tunaomba namba zake zasimu tafazali ilitujue kabisa tunampa musika

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 5 месяцев назад +4

    Nitumie namba za huyo dada nimsaidie

    • @aminasalum-yh4fh
      @aminasalum-yh4fh 5 месяцев назад +2

      kweli ana hitaji msaada weka no yake

    • @HABARIJAMIIDIGITAL
      @HABARIJAMIIDIGITAL  5 месяцев назад

      0672773513

    • @peterernest3373
      @peterernest3373 5 месяцев назад +3

      Tunaomba umsaidie kweli

    • @SoloHeartConnections
      @SoloHeartConnections 5 месяцев назад +2

      Huyu dada achangiwe hata 1000 tu naamini watanzania tuna upendo mkubwa ila wachache ndio wanaharibu, anaonekana asiposaidika anaweza chukua maamuzi magumu sana. Ndugu zangu watanzania tumbebe huyu dada hata tuma 500 tukihamasika wengi malengo yake yatatimia na sote tutabarikiwa. Asanteni sana.

    • @axmedcumar6196
      @axmedcumar6196 5 месяцев назад

      Tumsaidie huyu dada
      Kuhusu number yake sijaelewa bado tunawezaje kutuma hela ?

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 5 месяцев назад +1

    ni vyema hili lifike kwenye tume ya haki jinai na kwa igp hapana shaka Polisi na Mkuu wa Kituo walihusika nyuma ya pazia tunahitaji kupata majibu ya hatua za kinidhamu wote waliokuwa nyuma ya pazia

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga 3 месяца назад

    Ebu angalia wanyonge wanavyoonewa. Leo hii. Makonda akiwahukum. Wanaonea watu. Mnasema anadhalilishs watumishi. Binti anavyonyanyasika. Police nao wanatumika kunyanyasa raia kweli.kumbukeni kua PESA tumezikuta na tutaziacha

  • @mindmaven_millionaire
    @mindmaven_millionaire 5 месяцев назад +2

    Ndio maana POLICE wana Dharaurika sana ? Wapo wengi sana wanapenda RUSHWA

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi 5 месяцев назад +1

    Hapa tatizo sio Taz,hapo ni serikali anaitumia sana Kwa faida yake.katiba mpya ni sasa

  • @DJINNOSSBTZ
    @DJINNOSSBTZ 3 месяца назад

    Rushwa itatutafuna sana sisi maskini hapa nchini📌

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 5 месяцев назад +1

    Wekeni namba ya uyu mama

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 5 месяцев назад

    Pole sana

  • @aminaabdulrahman5184
    @aminaabdulrahman5184 5 месяцев назад +1

    Huyo Tz anatakiwa apelekwe hodi ya vichaa

  • @saudatoller642
    @saudatoller642 4 месяца назад

    Wallah nikija kua kiongozi mkubwa kwny hii nchi ama nife mm au hao waonevu waache ufala wao, yaani nitawasha moto mwanzo mwsho
    Yaan mm kw kipindi changu cha uwongozi nita deal na hawa waonevu wauwaji sambamba na machoko

  • @WitnessJjk
    @WitnessJjk 5 месяцев назад +1

    kwakuwahayo maelezo yahuyo mtu tu nihatari

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 5 месяцев назад +1

    KAMANDA MURILO TINAKUAMINI KUNA HUYO AFANDE HAMISI HEBU NAE ACHUNGUZWE MAANA HATUNA IMANI KABISA

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 5 месяцев назад +1

    Huyo taz nasikia ndo tabia yake ana roho mbaya saan kwanza mganga gani tajir anamiliki gest maduka huyo ni tapeli waganga tunawajua maisha yao vichakani uko kwenye vibanda vya nyasi

    • @KwanduHumo
      @KwanduHumo 8 дней назад

      😂😂😂😂😂

  • @Jonas-t9h
    @Jonas-t9h 3 месяца назад

    Daah aisee huyu jamaa ukimuona anawaelekeza watu dawa utasema binadamu ndio huyu lakin bonge la shetani

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 5 месяцев назад

    Kama nikweli serikali haitaki majambazi au watu waovu kwenye nchi yetu, ya Tanzania basi naamani huyu jamaa anajiita Taz hawezi kutoka jela milele 😭 hilo Taz nizaidi ya gaidi kabisa'

  • @dominicmawala5614
    @dominicmawala5614 5 месяцев назад +1

    HUYU MAMA AHOJIWE VIZURI JUU YA DHAMANA!! ILI ALIECHUKUA PESA YAKE ILI ADHAMINIWE ALAAANIWE DAIMA!! PIA ATOE MAELEZO JUU YA UHALALI WA HIYO PESA!! YAANI DHAMANA NI SHILINGI NGAPI?!!

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 5 месяцев назад +1

    Ww unaesema mungo inaonekana unaushirika na police pamoja nahuyo mganga

  • @ElizabethAyubu-e6t
    @ElizabethAyubu-e6t 5 месяцев назад +2

    Jaman mbona binadamu tuna roho mbaya sana

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 5 месяцев назад

    Mbwa mkubwa sana huyo taz ginius mbona anaumiza watu kwani yeye ni nani?

  • @nancyapua820
    @nancyapua820 4 месяца назад

    Waaah majabu pole dada mungu hatamlipa

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 5 месяцев назад +1

    Hamisi Mungu anakuona,

  • @OmmyCrayon
    @OmmyCrayon 4 месяца назад

    Pole dada

  • @OmmyCrayon
    @OmmyCrayon 4 месяца назад

    Tunamumba mkuu wa police dar afanye kazi yake

  • @AnnoyedCabin-ps5ek
    @AnnoyedCabin-ps5ek 5 месяцев назад +1

    Jamani tumechoka nauyujamaa kwaniselekali amuoni au amsikii aunini au uyumtu ninanilakini tupowatanzania tunauchungu nanchiyetu tujue uyujamaa mtanzania au

  • @mwanamwendy9265
    @mwanamwendy9265 5 месяцев назад

    Pole Sana dear

  • @mashakashabani9989
    @mashakashabani9989 5 месяцев назад +2

    Lakin hawa askal polisi tunasikia habar zao mbaya mwisho wa siku hatujui mwisho wao kama kuna hatua wanazochukuluwa dah hii inchi yetu inashida sana sana na sijui yataisha lini haya mambo na tunaonewa sana sisi maskini dah

    • @danielmgomo717
      @danielmgomo717 5 месяцев назад

      Kama hujapeleka malalamiko yako ngazi za juu nani atajua kero zako ?

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 4 месяца назад

    Taz hafai

  • @arnold9406
    @arnold9406 5 месяцев назад

    Police wapoo, mkuu wa wilaya yupo, mkuu wa mkoa yupo bado wananchi wananyanyasika ndani ya nchi yao.
    Whatter fuck!

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 5 месяцев назад

    Ningekuwa na uwezo zaid ningekusaidia lkn mungu ni mwema atafungua njia kwetusote.

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 5 месяцев назад +4

    Pole sana dada yangu sasa sibora ufanye mpango uje omani ufanye kazi pole sana dada mm natengemea kurundi tanzania nitakupata nje

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 5 месяцев назад

      Kweli bora ajee oman upambane uku

    • @catherinemasungulwa6626
      @catherinemasungulwa6626 5 месяцев назад +1

      Namm nataka kazi hiyo jamani

    • @MariamMariam-f6s
      @MariamMariam-f6s 5 месяцев назад

      Kama nikweli unahitaji Kaz Oman nitafute maan maisha nikusaidiane​@@catherinemasungulwa6626

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 5 месяцев назад

      Pengine afahamu jinsi gani anaweza kufika huko, hivyo msaidie huyo aliyecoment hapo ili awezekuja hapo

    • @geofreylucas7870
      @geofreylucas7870 5 месяцев назад

      Namba yake si hiyo hapo juu kulia isave tu!!!!

  • @hajiame583
    @hajiame583 5 месяцев назад

    halaf mnamtetea uyo taz wenu fala uyu mm kitu kumuonea mwanamke asa sipend

  • @رقيهالغافري-غ1ذ
    @رقيهالغافري-غ1ذ 5 месяцев назад +2

    Malipo dunian ahera kuisabiwa tuu yataipuka meng🎉

  • @salumsaid-i2s
    @salumsaid-i2s 4 месяца назад

    Aje kisemvule ya mkuranga uku kuna viwanda kibao uku aje afanye kazi asiteseke bure uko kazi zipo.

  • @NeemaGhaule
    @NeemaGhaule 5 месяцев назад +1

    Watu kama hawa wanaosubutu kujitoa kwa dhati katika media na kuanika maovu ya watu wabaya Ombi langu kwa serikali iweke mfumo mzuri wa kuwalinda hawa watu maana ni jirani sana na kuhatarisha usalama wa maisha yao.

  • @AidathRweyongeza
    @AidathRweyongeza 5 месяцев назад +1

    Mm nilisha sema kazi ya porisi haifai yaani ya raana tu

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 5 месяцев назад

      Hata Mimi hio kazi hua naigopa kuhusu wanangu.

  • @Magreth-i3y
    @Magreth-i3y 4 месяца назад

    Afu kuna mijitu bado inamtetea huuyu mganga

  • @trinityworld9906
    @trinityworld9906 5 месяцев назад

    Mama pole sana yan bora wanakesh kuliko hao ....

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 4 месяца назад

    Kumbe huyu taz ni katili hivi

  • @JosephLoy-k2g
    @JosephLoy-k2g 5 месяцев назад

    Hivi kweli mama yetu samia anasikia?

  • @malikamohammed6641
    @malikamohammed6641 5 месяцев назад

    Pole mama Allah atakulipia umepitia tabu 😢😢