Pole sana dada uyo mbwa ni mtanzania kweli au ni mulundi aliye zamia miaka mingi na ata uyo mkenya inawezekana kampa sumu sio dawa kwani tunajua wa ganga matapeli wakisha mwibia mtu hela uwaga wana wapa sumu hili asisumbuliwe selikari inabidi imchunguze uyo fala
MalekelaRocky Tuacheni kupeana ujinga 😮wewe uliye muhoji unatakiwa kulifikisha kwenye vyombo vya husika kwani Kuna maelezo ya kijinai Vinginevo tutawachukulia Mnataka viewers na siyo kumsaidia Huyo dada anatakiwa kufidiwa mambo mengi pamoja na kufungia kesi dhidi ya polisi na huyo meneja
Daaah😭😭😭baadhi ya polc hawafaii rushwa unamfanyia binaadamu mwenzio ubaya kisa pesa dada anawatoto hata huruma hamna mtu kama huyu mwisho wake anajinyonga na huyu mganga tapeli jeshi la polc tunawaomba mchukulieeni sheria hafaii huyu tapeli inauma inauma😭😭😭😭
@@hadijauledi6995na wew unaesema haya unauhakika na hayo unayoyasema?au unauhakik na hayo huyo dada anayoyasema?usizungumze jambo kwa maneno yakuambiwa au kuskiliza hujui km yana ukwel Au laa.mara nying watu km nyinyi uwa mnapenda kuchukua maneno km yalivyo halafu mwisho wasiku ukwel Ukija julikana nitofauti na ulivyosikia ..usitoe ushahid wauongo kwa jambo amblo hujui wala huna uhakik nalo zaid yakusikia
Yani mimi jamani siwezi kuja kuwaamini tena waganga .mimi niliishi na mwanaume nae alikuwa anajifanya mganga lakini alikuwa anauwa watu na anafukia mwenyewe na mimi alinitorosha nikiwa na umri wa miaka kumi na tano niliona mengi na alikuwa anapenda kuishi mwenyewe mwenyewe nilitoroka aisee ni story ndefu sana .Ila uzuri nae kakamatwa ni yule aliyeuwa mke na kumfukia ndani huko morogoro ana jiita Mohamed
Basi hii selikali yetu m2 kama huyo baada ya siku chache utamuona mtaani yaan 2kimuona 2 huyo mbwa wenu mtaani tutachukua sheria mkononi 2shachoka na uwonevu pole sn dada malipo hp hp njoo oman upambane sisi 2po huku
Pole sana dadangu ila ujue kwamba mitian ndio maisha ya mwanadamu Muombe MUNGU akuvushe salama na ujue kuna kesho pia njema yenye mafanikio katika kuamin Wengine tumelelewa kwa tabu sana ila twaiyona afadhali kwa baraka za Allah kwa kidogo alicho tupa
Hi Ndio Binadamu Anaambiwa Mwisho Wa Ubaya Aibu Mtume Alisema Mnapokosana Msamaha Ni Kitu Muhimu Zaidi Kabla Ya Kulala Bola Uyo Bado Anapendwa Na Mungu Mabaya Yake Yanakuja Akiwa Hai Atubu Vipi Kwa wale Mabaya Yao Yanakuja Wakati Wa Kifo Cha Mwili Ni Hatari Kubwa Sana Kuishi Kwa Mambo Ya Ajabu
Nimetamani waziri silaa angekuwa wizara hii watu wanaonewa mno. Huyu Dada ameteseka mahabusu 9 days bila sbb za msingi na kapoteza kazi na mwanae ameshindwa kurudi shule...inasikitisha.
katengenezwa nanan yaan huyu jamaa taz ana matatzo sn,, hata ukiwasikiliza majiran ukimsikiliza kaka wa marehem vzr ukionganisha na maelezo ya huyu dada,, kwa mtu mwenye akili tayari amesha elewa kwahyo tuache serikali ifanye kazi yke,,, tatzo rushwa ndio nahisi itaharibu
Pole sana dada kwa hayo mateso,lakini machozi yako hayakupotea bure ndiyo haya yaliyo mpata.. Taarifa zote hizi na majina ya huyo Polisi peleka kwa Mkuu wa Mkoa (Chalamila) atoe uamuzi wake.
Yaani Mimi nlikua namthamini ginius lakini kwa haya yote lahasha ,nlikua na mpango wa kumuendea huko tz lakini kwa mshtuko huu aka,from Kenya ,kumbe anakula watu nyama😂mguu koma
KWAKWELI TUNALAANA AISEE!!! MTU WA MAISHA NA MAZINGIRA HAYA UNACHUKUA PESA YAKE ILI ADHAMINIWEE?!!! ULIYECHUKUA PESA YAKE MACHOZI YAKE YAKUANGUKIE KWENYE MWILI WAKO NA NAYASIFUTIKE DAIMA!!
Inaonekana uyo jamaa anashirikiana na serekali, kwanini wakuukumu bila kuakikisha kesi na hata kifo cha mlinzi wake hakuna chochote kinachoendeleani. Sisi watu weusi tuna matatizo sana.
Hivi kwanini Tanzania kumekuwa na unyanyasaji hivi halafu tuna sema ni nchi ya Amani ? Eti ni ya upendo! Hakuna kitu kabisa watu wengi wanateseka sana kwenye nchi hiyo na hakuna msaada wowote hasa Kama wale watu walio wa hali ya chini jamani inauma sana
Huyu dada achangiwe hata 1000 tu naamini watanzania tuna upendo mkubwa ila wachache ndio wanaharibu, anaonekana asiposaidika anaweza chukua maamuzi magumu sana. Ndugu zangu watanzania tumbebe huyu dada hata tuma 500 tukihamasika wengi malengo yake yatatimia na sote tutabarikiwa. Asanteni sana.
ni vyema hili lifike kwenye tume ya haki jinai na kwa igp hapana shaka Polisi na Mkuu wa Kituo walihusika nyuma ya pazia tunahitaji kupata majibu ya hatua za kinidhamu wote waliokuwa nyuma ya pazia
Wallah nikija kua kiongozi mkubwa kwny hii nchi ama nife mm au hao waonevu waache ufala wao, yaani nitawasha moto mwanzo mwsho Yaan mm kw kipindi changu cha uwongozi nita deal na hawa waonevu wauwaji sambamba na machoko
Huyo taz nasikia ndo tabia yake ana roho mbaya saan kwanza mganga gani tajir anamiliki gest maduka huyo ni tapeli waganga tunawajua maisha yao vichakani uko kwenye vibanda vya nyasi
Kama nikweli serikali haitaki majambazi au watu waovu kwenye nchi yetu, ya Tanzania basi naamani huyu jamaa anajiita Taz hawezi kutoka jela milele 😭 hilo Taz nizaidi ya gaidi kabisa'
HUYU MAMA AHOJIWE VIZURI JUU YA DHAMANA!! ILI ALIECHUKUA PESA YAKE ILI ADHAMINIWE ALAAANIWE DAIMA!! PIA ATOE MAELEZO JUU YA UHALALI WA HIYO PESA!! YAANI DHAMANA NI SHILINGI NGAPI?!!
Lakin hawa askal polisi tunasikia habar zao mbaya mwisho wa siku hatujui mwisho wao kama kuna hatua wanazochukuluwa dah hii inchi yetu inashida sana sana na sijui yataisha lini haya mambo na tunaonewa sana sisi maskini dah
Watu kama hawa wanaosubutu kujitoa kwa dhati katika media na kuanika maovu ya watu wabaya Ombi langu kwa serikali iweke mfumo mzuri wa kuwalinda hawa watu maana ni jirani sana na kuhatarisha usalama wa maisha yao.
Kama una mkumbuka MAGUFULI uspte bila kulike hapo juu.
Tunapambana na rushwa lakini wapo police wabaya sana sana.RPC anapambana mkoa uwe salama lakini wapo wengine rushwa mbaya sana
Naomba nitag number ya huyu dada direct maskini pole sana
0672773513
Pole sana dada uyo mbwa ni mtanzania kweli au ni mulundi aliye zamia miaka mingi na ata uyo mkenya inawezekana kampa sumu sio dawa kwani tunajua wa ganga matapeli wakisha mwibia mtu hela uwaga wana wapa sumu hili asisumbuliwe selikari inabidi imchunguze uyo fala
Mtanzania mwema hakashifu.aliyekwambia kwamba Warundi ni watu wabaya ni nani ???
Najua limekutoka kwa hasira pole
Warundi ni ndugu zetu kabisa acha ujinga
watanzania asilimia. 78.niwakulima ilaatutaki kilimo tunataka biashala bila msingi
MalekelaRocky
Tuacheni kupeana ujinga
😮wewe uliye muhoji unatakiwa kulifikisha kwenye vyombo vya husika kwani Kuna maelezo ya kijinai
Vinginevo tutawachukulia Mnataka viewers na siyo kumsaidia
Huyo dada anatakiwa kufidiwa mambo mengi pamoja na kufungia kesi dhidi ya polisi na huyo meneja
Hao polisi wote walotajwa, wapelekwe kwa IGP , wanyongwe.
Daaah😭😭😭baadhi ya polc hawafaii rushwa unamfanyia binaadamu mwenzio ubaya kisa pesa dada anawatoto hata huruma hamna mtu kama huyu mwisho wake anajinyonga na huyu mganga tapeli jeshi la polc tunawaomba mchukulieeni sheria hafaii huyu tapeli inauma inauma😭😭😭😭
Huyu anawatumia police harafu wewe unasema police mumchukulie hatua.police Gani unaowasema
@@DevothaLighton-dl6zi polc siyo wote wapenda rushwa wapo baadhi niwatenda haki siyo wote
@@hadijauledi6995na wew unaesema haya unauhakika na hayo unayoyasema?au unauhakik na hayo huyo dada anayoyasema?usizungumze jambo kwa maneno yakuambiwa au kuskiliza hujui km yana ukwel Au laa.mara nying watu km nyinyi uwa mnapenda kuchukua maneno km yalivyo halafu mwisho wasiku ukwel Ukija julikana nitofauti na ulivyosikia ..usitoe ushahid wauongo kwa jambo amblo hujui wala huna uhakik nalo zaid yakusikia
Pole sana mdogo yangu umepitia magumu mno mungu atakupa kheri yako utapata kz ❤
Ndugu kama itakupendeza tuombee namba yake Ili mwenye chochote amtolee
Kumbe hana maana yule Kaka,mwache apate staiki yake,Mungu anawalipia wote
Kakae
Subuhhallaah 😢😢Mungu akusaidie mama angu 😢😢
Yani mimi jamani siwezi kuja kuwaamini tena waganga .mimi niliishi na mwanaume nae alikuwa anajifanya mganga lakini alikuwa anauwa watu na anafukia mwenyewe na mimi alinitorosha nikiwa na umri wa miaka kumi na tano niliona mengi na alikuwa anapenda kuishi mwenyewe mwenyewe nilitoroka aisee ni story ndefu sana .Ila uzuri nae kakamatwa ni yule aliyeuwa mke na kumfukia ndani huko morogoro ana jiita Mohamed
TUMEFIKIA PAHALI PABAYA. NCHI HII IMEFIKIA HIVI KWELI?
Majina ...nimepata..hatua za kisheria haraka nitawatafuta hao mgambo kesho
Safi sana.
Safi Sana Kaka
Ssfi sana kaka
Basi hii selikali yetu m2 kama huyo baada ya siku chache utamuona mtaani yaan 2kimuona 2 huyo mbwa wenu mtaani tutachukua sheria mkononi 2shachoka na uwonevu pole sn dada malipo hp hp njoo oman upambane sisi 2po huku
Pole sana dada Mungu akufungulie rizki ulee watoto wako bila tabu Inshaaalah.
Yataibuka mambo mengi sanaaaa 😢😢😢😢😢na badooo huyu jamaaa mwisho wake umefikaaaa aiseeee machoz yawatu ni mengi sn
Alafu watu wanakurupk bila kujua tabia ya mtu
Izo.mesej za vitisho.zifatiliwe na.atua za.kisheria zichukuliwe
Pole sana dadangu ila ujue kwamba mitian ndio maisha ya mwanadamu Muombe MUNGU akuvushe salama na ujue kuna kesho pia njema yenye mafanikio katika kuamin
Wengine tumelelewa kwa tabu sana ila twaiyona afadhali kwa baraka za Allah kwa kidogo alicho tupa
Pole Sana mdada mungu yuko nawe
Hi Ndio Binadamu Anaambiwa Mwisho Wa Ubaya Aibu Mtume Alisema Mnapokosana Msamaha Ni Kitu Muhimu Zaidi Kabla Ya Kulala Bola Uyo Bado Anapendwa Na Mungu Mabaya Yake Yanakuja Akiwa Hai Atubu Vipi Kwa wale Mabaya Yao Yanakuja Wakati Wa Kifo Cha Mwili Ni Hatari Kubwa Sana Kuishi Kwa Mambo Ya Ajabu
Kifupi tu baadhi ya watanzania tunapitia magum Sana sema n Mungu tu anatuokoa tunayo pitia mh😢😢
Hili jamaa ni katili sana halifai kwenye jamii na hao maaskari wangejulikana wangekamtwa tu
Nimetamani waziri silaa angekuwa wizara hii watu wanaonewa mno. Huyu Dada ameteseka mahabusu 9 days bila sbb za msingi na kapoteza kazi na mwanae ameshindwa kurudi shule...inasikitisha.
Ametengenezwa huyu pia
Anasema watoto wake wadogo ss hao waliwezaje kufungua
umemtengeneza wew hovyo@@PeterTheteacher-qs4qj
katengenezwa nanan yaan huyu jamaa taz ana matatzo sn,, hata ukiwasikiliza majiran ukimsikiliza kaka wa marehem vzr ukionganisha na maelezo ya huyu dada,, kwa mtu mwenye akili tayari amesha elewa kwahyo tuache serikali ifanye kazi yke,,, tatzo rushwa ndio nahisi itaharibu
SAMIA SULUHU NA ASKARI WAKE WALA RUSHWA OYEE!
Wee mpumbavu achana na rais wetu kwani yeye anaumba watu mjinga wewe
@@KeiFerouz-fn9ochaki huinua taifa Tanzania kuna mahala. tumeacha njiai hatupo sawa kabisa
@@KeiFerouz-fn9oc I love baby mama💋!
@@KeiFerouz-fn9ocmtukane tena 🤣😂
Huyu dada anahitaji ulinzi
Wah piya nyinyi mlipata Makenzie wenu duh poleni🇰🇪
Makenzi ni wengi kila nchi
😂😂😂😂 bora makenzi kuliko huy. Mbwa
😂😂😂😂Makenzi ana nafuu pia naona😂😂😂
@@Thumaommy Yani wakimwachia huru atakuja auwe mtaa mzima walai
😅😅😅sijai mpenda huyu muganga
Rais wa wanyonge alishakufa hicho kituo ni jipu nachoshukuru wanaowalinda mwisho huwa wanakutana na fimbo ya MUNGU muamuzi wa haki
Pele umepetiy mmitihani huyumtu nimuuwaji maasikra wanakularushw
Pole sana dada kwa hayo mateso,lakini machozi yako hayakupotea bure ndiyo haya yaliyo mpata.. Taarifa zote hizi na majina ya huyo Polisi peleka kwa Mkuu wa Mkoa (Chalamila) atoe uamuzi wake.
Mwamba wao alikuwa magufuli tyu rushwa ilikata ghafla . Pole Sana dada MUNGU hatakuacha yupo pamoja nawe na utayasahau yote uliyopitia
Ni kweli rushwa imerudi kwa kasi maaskari wanahongwa tutamkumbuka Sana baba upumbavu huu alipita nao sana
Uyo meneja wa mganga akamatwe atakuwa anajua mengi tu, watakuwa hata wameuwa watu wakaenda kuwazika mchakani bila watu kujua uyo mganga nihatari
Grace Mungu akubariki sana,unatenda haki.
Hawezi peke yake huyo Grace tuandike Sheria mpya zenye meno yaani katiba mpya.wanaokosea wawajibishwe.kama hao police
@@DevothaLighton-dl6zikabisa
Ila ukrstu dini ya haki fuatilia wengi sana
Huo tz ndivyo alivyo!pole sana
Alafu Makonda akiwakamata watu kama hawa wasenge wanakuja eti haki za kisenge.
Pole dada yangu
Pole sana dada
Yaani Mimi nlikua namthamini ginius lakini kwa haya yote lahasha ,nlikua na mpango wa kumuendea huko tz lakini kwa mshtuko huu aka,from Kenya ,kumbe anakula watu nyama😂mguu koma
Nenda tuu😂😂😂 ukaliwe supu
😂😂😂 Nenda ukawe supu
Koma😂😂😂 Watapeli hawa
Serikali ifanye kazi sahihi
Nenda kwenye maombi dada ukafunguliwe wahi halaka
Daaah kuna Watu wana roho mbayaaaa
Lkn malipo ni hapahapa Duniani
Aliyetengza Risas jah bless you.. kuonew kunazidisha hasira🚶♂️
Inatia uchungu sana ginius kuma la mamaake atakiona na sasa hivi ana kesi ya mauaji mbona ataisoma
Kumbe dhamana inalipiwa serikali ipo wapi hamuwalipi mishahara hao askari wenu au mnakatiwa mgao
Kuna maisha baaada ya uaskari hiii dunia tu tunapita ila dada pole sana Mungu atakusaidia
Pole dada mungu atakulpia
Huyu mganga ni mtu hatari siri zake zote zinatoka sasa hivi
kweli
@@aminasalum-yh4fh Yes
Kwani toka lini mganga mshirikina akawa mtu mzuri na salama mtu anashirikiana na ibilisi adui mkubwa wa mwanadamu
Manyaunyau voice
KWAKWELI TUNALAANA AISEE!!! MTU WA MAISHA NA MAZINGIRA HAYA UNACHUKUA PESA YAKE ILI ADHAMINIWEE?!!! ULIYECHUKUA PESA YAKE MACHOZI YAKE YAKUANGUKIE KWENYE MWILI WAKO NA NAYASIFUTIKE DAIMA!!
Pole dear mpendwa huyu mbwa atafia huko jela
Mbwa mkubwa huyo na atakufa kifo kibaya sana
Baadhi ya maaskali hawana ubinaadamu Poole Dadaangu Mungu hakimu wahaki
Wallah.rohoyaniuma.pole.dadangu
serikali imekuwa katili sana kupitia walinzi wake wa wananchi na Mali zao,huyu jamaa ni katili sana ,anafaa
Kumbe alikuwa analoho mbaya sana taz mh.
Inaonekana uyo jamaa anashirikiana na serekali, kwanini wakuukumu bila kuakikisha kesi na hata kifo cha mlinzi wake hakuna chochote kinachoendeleani. Sisi watu weusi tuna matatizo sana.
Hivi kwanini Tanzania kumekuwa na unyanyasaji hivi halafu tuna sema ni nchi ya Amani ? Eti ni ya upendo! Hakuna kitu kabisa watu wengi wanateseka sana kwenye nchi hiyo na hakuna msaada wowote hasa Kama wale watu walio wa hali ya chini jamani inauma sana
Pole Sana,
Polisi wa nchi wana lakujibu kwa Mwenyezi Mungu kwani ni waonevu Sana kwa wananchi
Yule mbwa anatia tia huruma mitandaoni watanzania tumuonee huruma atafutwe haraka ametesa na kuzulumu watu wengi sana.
Pole Sana ndugu
Pole sana dada.Mungu anamlipa sasa
Tunaomba namba zake zasimu tafazali ilitujue kabisa tunampa musika
Nitumie namba za huyo dada nimsaidie
kweli ana hitaji msaada weka no yake
0672773513
Tunaomba umsaidie kweli
Huyu dada achangiwe hata 1000 tu naamini watanzania tuna upendo mkubwa ila wachache ndio wanaharibu, anaonekana asiposaidika anaweza chukua maamuzi magumu sana. Ndugu zangu watanzania tumbebe huyu dada hata tuma 500 tukihamasika wengi malengo yake yatatimia na sote tutabarikiwa. Asanteni sana.
Tumsaidie huyu dada
Kuhusu number yake sijaelewa bado tunawezaje kutuma hela ?
ni vyema hili lifike kwenye tume ya haki jinai na kwa igp hapana shaka Polisi na Mkuu wa Kituo walihusika nyuma ya pazia tunahitaji kupata majibu ya hatua za kinidhamu wote waliokuwa nyuma ya pazia
Ebu angalia wanyonge wanavyoonewa. Leo hii. Makonda akiwahukum. Wanaonea watu. Mnasema anadhalilishs watumishi. Binti anavyonyanyasika. Police nao wanatumika kunyanyasa raia kweli.kumbukeni kua PESA tumezikuta na tutaziacha
Ndio maana POLICE wana Dharaurika sana ? Wapo wengi sana wanapenda RUSHWA
Hapa tatizo sio Taz,hapo ni serikali anaitumia sana Kwa faida yake.katiba mpya ni sasa
Rushwa itatutafuna sana sisi maskini hapa nchini📌
Wekeni namba ya uyu mama
Pole sana
Huyo Tz anatakiwa apelekwe hodi ya vichaa
Wallah nikija kua kiongozi mkubwa kwny hii nchi ama nife mm au hao waonevu waache ufala wao, yaani nitawasha moto mwanzo mwsho
Yaan mm kw kipindi changu cha uwongozi nita deal na hawa waonevu wauwaji sambamba na machoko
kwakuwahayo maelezo yahuyo mtu tu nihatari
KAMANDA MURILO TINAKUAMINI KUNA HUYO AFANDE HAMISI HEBU NAE ACHUNGUZWE MAANA HATUNA IMANI KABISA
Huyo taz nasikia ndo tabia yake ana roho mbaya saan kwanza mganga gani tajir anamiliki gest maduka huyo ni tapeli waganga tunawajua maisha yao vichakani uko kwenye vibanda vya nyasi
😂😂😂😂😂
Daah aisee huyu jamaa ukimuona anawaelekeza watu dawa utasema binadamu ndio huyu lakin bonge la shetani
Kama nikweli serikali haitaki majambazi au watu waovu kwenye nchi yetu, ya Tanzania basi naamani huyu jamaa anajiita Taz hawezi kutoka jela milele 😭 hilo Taz nizaidi ya gaidi kabisa'
HUYU MAMA AHOJIWE VIZURI JUU YA DHAMANA!! ILI ALIECHUKUA PESA YAKE ILI ADHAMINIWE ALAAANIWE DAIMA!! PIA ATOE MAELEZO JUU YA UHALALI WA HIYO PESA!! YAANI DHAMANA NI SHILINGI NGAPI?!!
Ww unaesema mungo inaonekana unaushirika na police pamoja nahuyo mganga
Jaman mbona binadamu tuna roho mbaya sana
Mbwa mkubwa sana huyo taz ginius mbona anaumiza watu kwani yeye ni nani?
Waaah majabu pole dada mungu hatamlipa
Hamisi Mungu anakuona,
Pole dada
Tunamumba mkuu wa police dar afanye kazi yake
Jamani tumechoka nauyujamaa kwaniselekali amuoni au amsikii aunini au uyumtu ninanilakini tupowatanzania tunauchungu nanchiyetu tujue uyujamaa mtanzania au
Pole Sana dear
Lakin hawa askal polisi tunasikia habar zao mbaya mwisho wa siku hatujui mwisho wao kama kuna hatua wanazochukuluwa dah hii inchi yetu inashida sana sana na sijui yataisha lini haya mambo na tunaonewa sana sisi maskini dah
Kama hujapeleka malalamiko yako ngazi za juu nani atajua kero zako ?
Taz hafai
Police wapoo, mkuu wa wilaya yupo, mkuu wa mkoa yupo bado wananchi wananyanyasika ndani ya nchi yao.
Whatter fuck!
Ningekuwa na uwezo zaid ningekusaidia lkn mungu ni mwema atafungua njia kwetusote.
Pole sana dada yangu sasa sibora ufanye mpango uje omani ufanye kazi pole sana dada mm natengemea kurundi tanzania nitakupata nje
Kweli bora ajee oman upambane uku
Namm nataka kazi hiyo jamani
Kama nikweli unahitaji Kaz Oman nitafute maan maisha nikusaidiane@@catherinemasungulwa6626
Pengine afahamu jinsi gani anaweza kufika huko, hivyo msaidie huyo aliyecoment hapo ili awezekuja hapo
Namba yake si hiyo hapo juu kulia isave tu!!!!
halaf mnamtetea uyo taz wenu fala uyu mm kitu kumuonea mwanamke asa sipend
Malipo dunian ahera kuisabiwa tuu yataipuka meng🎉
Aje kisemvule ya mkuranga uku kuna viwanda kibao uku aje afanye kazi asiteseke bure uko kazi zipo.
Watu kama hawa wanaosubutu kujitoa kwa dhati katika media na kuanika maovu ya watu wabaya Ombi langu kwa serikali iweke mfumo mzuri wa kuwalinda hawa watu maana ni jirani sana na kuhatarisha usalama wa maisha yao.
Mm nilisha sema kazi ya porisi haifai yaani ya raana tu
Hata Mimi hio kazi hua naigopa kuhusu wanangu.
Afu kuna mijitu bado inamtetea huuyu mganga
Mama pole sana yan bora wanakesh kuliko hao ....
Kumbe huyu taz ni katili hivi
Hivi kweli mama yetu samia anasikia?
Pole mama Allah atakulipia umepitia tabu 😢😢