Big up clam vevo .am a Kenyan 🇰🇪but watching from kingdom of Bahrain🇧🇭.Tunakukubali man , guys kwenye anakubali clam hajawai kutuangusha ,agonge like apoooo👍👍👍
Clam you got the best ACTORS: DIRECTOR KAKOSO❤, MWAKATOBE❤, BI MIGOMBA❤, SANURA❤, KIPARA❤, ZUMBA❤, KIM❤, SARA❤, MWASI❤, BHAILAM❤, MWASI❤, MTUKUFU❤, SENGO❤, na wengineo siwakumbuki kwa majina❤! HONGERA kwenu nyote❤
Clam kwakweli amekuwa mkali kwa acting sio kama miezi ilopita ...keep it up bro kwakweli unatupa burudani kwa sasa since uanzishe kipindi cha big boss sahi tunafwatilia best frnd.....tukisubiri part 2 big boss
Ahsante mno kiongozi vevo umenifanya nimjue kijana mmoja mpambanaji bigup bro #bennyshizzol #kamaikitokea bonge moja la ngomaumemsapoti kweri hauna hiana vevo Mungu akusimamie sana na ufike mbari na mbari mno🙏
Mwanangu big up sana huo ndio muda sasa wakutumia kipaji chako nikusaidie kuinua maisha yako na usikubali kutumika kunufaisha wengine mdgo wangu mana muda wako ndio huu
Mpaka hapo alipo ni Mungu wengi wamesota sana kwanini yeye kujituma kwako bila kukata tamaa milango ya Mungu iko wazi Mungu kwanza kijana tumpe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vevo umetisha kila Siku unagood idea your Tallented 💯💯. This prove how artists is. THE BEST FRIEND Reveals life experience ✍️✍️✍️✍️ Umenikumbusha mbali kipindi nipo field nafundisha mwanafunzi anachora Catoons😂😂😂😂😂 Tusikate tamaa ualimu Ni wito.
Talanta imekukubali Clam.....napenda utahira wako.....barikiwa sana kwenye juhudi zako👏👏👏Toka Kenya
Dadeki Clam ni 🔥🔥🔥🔥,,kaamua kutuletea dubwana jipya I hope 🤞 tutaenjoy 😊,,kama na wewe umeikubali hili ingizo jipya la season gonga like 👍 hapa ❤
hili DUBWANA nnaliludia bila kujali MB zangu @clamclis 🙌🙌
Itakuja lini?
Clam
👍
@@SamweliMwakalibela-xp5yk6:35
Nyimbo nzuri Clam
Clam vevo never disappoint nakubali Sana 👏🏼👏🏼 wale wapenzi wakusoma comment huku tukiangalia tujuane kwa like Clam kanyoa jamaniiiii 😲
😂
😂😂
😂😂 para
Dah uyu jama anatisha nimkar
Uyu jamaa mkali sana 😂😂😂😂 nimefurai sana nipeni like ata kumi jamani
😂km taila
Samahan hv jina la wimbo huo unaitwaje
Clam nasubiri ep ya 2
Kaka nimekuelewa Kwa hii kishule shule
Benny shizzol kama ikitokea
the heat is amazing.naomba hiyo song nijue inaitwa vipi kama umeipenda nipe likes jamani
Kama ikitokea by Benny shizol
❤❤❤Same here
Safi sana
@@preciousnasha2074shukrani sana umenisaidia na mimi pia maana nilikuwa naitafuta.
Nakukubali Clam maana wewe ni kijana mwenzangu mpambanaji big up saana from *254
Yote kwa yote kama na wewe unaisubili BIG BOSS season 2 gonna like hapa 👍
Kwa hamu kabisa
Clam vevo anatafuta ugomvi asiouweza 😢😢😢😢❤❤❤😂😂😂
Duh nlivyotafuta huu mwimbo sasa hadi kuupata nimetoa jasho😊
ᴺᵃᵐᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ˢᵒⁿᵍ ᵏᵃᵐᵃ ᵘⁿᵃⁱʲᵘʷᵃ ᵖˡᶻ🖐🌹
@@JeslySmith benny shizzol _ kama ikitokea
Tuko hapa mzgo tumeunasa BOSS,Likes kwako mkuu tunaenjoy kaz zako ubarikiwe…Gonga likes za upendo kwa CLAM 😊❤
Hawa wanafunzi wakubwa aisee
ruclips.net/video/aoKkjzpIbHk/видео.html
Ivi iyo nyimbo ya nani
Wimbo awaja uweka RUclips
@@JumanneSalum-sp5coilo swali ata mm nilitaka kuuliza
Napenda chapati na maharage😂😂😂😂😂😂
Hellow mamb..
Nyie hii movie Clam umeuaaaaaa...yani hadi nywele zinasimama nikiwanaangalia🎉❤
Kama na wewe ni team mwakatobe nipe like zangu..... Rafiki yako ni mcheshi mchanga nfu!😂😂🇿🇲🇿🇲
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mwakatobe to the 🌎
@@donaldswebe we mchumba tu we zuchu🤣😂🤣
Kashahongwa ela mwakatobe hawezi msifia kibaka bure
@@beyondmediatz1607 inapeleka shobo
Uko zambia ipi iyo
#CLAM VEVO upo vizuri sana brother kazi safi sana pongezi kwako.
Naikubali sana kazi ya kaka clam 👑👑👑 best friend kaz nzur
Nyimbo ya vevo nimeipenda kwel ❤❤❤❤
l love it
Big up clam vevo .am a Kenyan 🇰🇪but watching from kingdom of Bahrain🇧🇭.Tunakukubali man , guys kwenye anakubali clam hajawai kutuangusha ,agonge like apoooo👍👍👍
Clam you got the best ACTORS: DIRECTOR KAKOSO❤, MWAKATOBE❤, BI MIGOMBA❤, SANURA❤, KIPARA❤, ZUMBA❤, KIM❤, SARA❤, MWASI❤, BHAILAM❤, MWASI❤, MTUKUFU❤, SENGO❤, na wengineo siwakumbuki kwa majina❤! HONGERA kwenu nyote❤
Clam vevo nakubali sana kazi brother 🇲🇿, naomba like zangu
vipi
Jamani tunaomba yakuendeleaa bona parti 2 tu 😢😢😢 mtuburudikishe man iyi ni moto walahi ❤❤❤😊
Namba one kutoka Kenya🇰🇪 kutizama MY BEST FRIEND episode 1,,kama unampenda #CLAMVEVO Kwa kipaji chake nipee like tafadhali
Vevo vevo😂😂😂😂😂😂
Thevango osiemo...
@@JackclyneAchola-vd9ol mbuya
Nakubali baba sukuma mavitu iyi ni Moto
Kazi mzuri sana #Clam vevo upo vizuri sana KAZI KAZI bless.
Natokea Kenya naomba isiwe fupi tafadhali,,, iwe series ndefu,, na pia big boss isisimamie pale clam vevo,,
Clam vevo unachuwa hadi unajuwa tena ❤ baada ya big boss nikajuwa utapotea kumbe ndio kwanza unaanza 😂❤❤❤❤❤
Another banger 🔥🔥🔥
Wapi likes wanangu
Mimi wakwanza jamani Kama wamkubali clam vevo rusha like zangu kipenzi chenu kutoka Zambia
Haka kawimbo unaweza tamani kaendelee. Aaaaaah!!!! This is my Best 💽
Iko poa sana yaani
Sjui ya nan hii nyimbo
Variation for me 😂💔🙌🏼
Clam kwakweli amekuwa mkali kwa acting sio kama miezi ilopita ...keep it up bro kwakweli unatupa burudani kwa sasa since uanzishe kipindi cha big boss sahi tunafwatilia best frnd.....tukisubiri part 2 big boss
Kutoka Burundi mnipe like zangu🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤❤ I'm so sorry to watch late I wish I could a were mwanzo. big love clam and the rest of your time big respectful ❤❤❤❤ love you 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴
Number one Mombasa kenya🇰🇪pitieni hapa❤clam nakupenda bure na mzee mwakatobe❤ na kipara ❤😂😂😂
001 Inahit
Mambo mpenzi
😂😂😂😂nimecheka sana clam umeupiga mwingi kuliko baba love from sweden ❤❤❤🎉🎉😂
....guy is on high🎉🎉big up kwa Clam❤
Waiting for big boss Season 2😊
What?
Supper clam...hii imetisha na nikama itafunika bigboss...Ila Kama unaitafsiri hii ka hit...gonga like
😂😂
@@Christia-07wewe uko kila kona hupitwi my dear
Yaani clam alinyoa kwa ajili ya huu mchongo au ni editing😂😂. This man is a beast
Brother, you absolutely killed it, I agree with you very much
Jamani huu wimbo Nani kaiambia umenitoa machoz😢Mzuri sn❤❤❤
Jaman mm mwenyew nimeupenda sana huo mziki ila cjui ni msanii gani
Namimi kabisa huwo wimbo umenitoa machozi😢
Nitumie
Kuna MAISHA ambao WENGI wetu tumepitia tukiwa shule na kuna mengi ya kujifunza juu ya movie hii #BEST FRIEND
Hatari kaka umetisha Sana
Ulikuwa muuni au
Clam kweli namkubali Ila ananikela kuinamia vile mbona kama anajiarbia uigizaji😮😮
Umefanya vizur clam ,uku tinaisubir Bigg boss season 2 ticheke na hii
Kabisa unatucheleweshea big boss season two mbona sasa
I'm ur fan from Kigali Rwanda 🇷🇼 nawapenda sana watanzaniya ....turabakunda
❤❤❤❤❤❤❤
Best friend ni nzuri but Clam ame shindwa kujiteteya kwa yule demu ingawa demu kasha mpenda Clam,naenda nyumbani.
He can fit in any character, this man is very creative.
ruclips.net/video/wF5Lfgm_hSA/видео.htmlsi=9bGkAYqwk413jcjG
👎
Mimi nimecheka sana hapo honey honey 😂😂😂😂😂😂
Ata mimi 😂😂
wagwan menn yaani hizi movie zinakwenda viral ...nikianza kuwatch ilikuwa 1,600 after imeisha ishakuwa 8,058views waaaa.... am glad vevo
Jaman kaka clam hupoi wala huboi bandka bandka love❤❤
kila hatua ni moja ya safari mmeua sana keep up and kerp going bro ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waoooo nzuri sana jamanii hadi rahaaa❤❤😊😊
Nakupenda dogo Clam,big brain,mbunifu sanaaaa
Ahsante mno kiongozi vevo umenifanya nimjue kijana mmoja mpambanaji bigup bro #bennyshizzol #kamaikitokea bonge moja la ngomaumemsapoti kweri hauna hiana vevo Mungu akusimamie sana na ufike mbari na mbari mno🙏
@clam vevo you are best of the best keep going...
I'm so happy to see your work again Clam VEVO!! From Burundi 🇧🇮🇧🇮 we love your works!!
video ruclips.net/video/wMQV7d-Y2EU/видео.html
Aiye nipitie n mm usubscrib🙏🙏🙏
Respect for you my role model ad my best comedian clamvevo umetisha sahna 🎉🎉 nataman hata another episode ungetoa mda huu
Clam BEST FRIEND imekaa powa ebu iendeleze ep 2 bas tupate uondo ngoma kali
Mih nimesahau 😂😂😂😂.... Wenzangu nyie mih sijawahi pata like kwenye kazi za clamVEVO tafadhali naomba hata tano basi❤️❤️❤️...
Hiindo best performance naitaji like kamazote🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Hakuna maish matam shule kma mwanafnz ukiwa unjitambuaa like nbest ake vevo
The creativity of clam is on another level,,, big up sana bro utafika mbali
Mwanangu big up sana huo ndio muda sasa wakutumia kipaji chako nikusaidie kuinua maisha yako na usikubali kutumika kunufaisha wengine mdgo wangu mana muda wako ndio huu
Ila clam noma sanaaaa
Kaka clam tunatak iyo nyimb ❤
Saf sana Rakin vp Kuhusu BOSS mwendelezo wake
Kama unaamin best friend ninzuri kuliko Big boss nipe like hapa tujuane
ruclips.net/video/wF5Lfgm_hSA/видео.htmlsi=9bGkAYqwk413jcjG
bado hujatuwishi wew sema kazi za huy bregedia zote zinatisha😅
Ndio namin
Ndoo hivo
Wee Big Boss hatari
Daaaah hongera sana asee🙌🙌🙌hiyo ngoma aliyeimba tafadhali tumjue ni🔥
My best friend number one😂😂
Napenda movie hii nampeda clam vevo
Kama umeikubali like comment zifike 100k🙏🙏🙏
Unyama saan blood kazi nzuri. Kula like izo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ivi kwann azam wasiwe wanatushia mvi za uyu jamaa da la sana mwamba anajuwa sana 😂😂😂
𝕄𝕓𝕠𝕟𝕒 𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐡𝐢𝐢😊😊
Yaa kali sana
😂😂😂
Clam amekuwa Kama kikatuni😂
😂😂😂😂😂😂kwani kikatuni kipoje
nakupenda sana clam.. pambana unawezaaa
Upo vizur sna Una kipaji kikubwa, Sio rahisi ku Act uhalisia tofauti katika ubora Ule Ule👏🙌
kazi safi, tunangoja part ingine👍👍
I real enjoy ❤❤❤
Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
Vevo to the World
ruclips.net/video/wF5Lfgm_hSA/видео.htmlsi=9bGkAYqwk413jcjG
Kbs twaipenda kazi yababa VEVO mpaka kuleee😊😊 mpeni Likes Zake nazingine munipe piya kbs namupenda Vevo #KICHEKO_MEDIA
Nahh ni nzur sana hongela clam mungu akupiganie japo namm nataman niigize nawe sana sana tu!!! Please clam🙏🙏🙏🙏🙏
Clam vevo,you are too much bro🔥🔥🔥I love you bro, Kee it going,I appreciate you
Hajawah kukosea Kama unamkubali clam gonga like❤❤❤❤
Jitaidi kuwahisha mzigo yaani bandua bandika clam 🤣🤣🤣🤣🤣
*Team Clam VEVO gonga like kwake na kwangu pia ❤*
🎉
Nyota unayo ya kuigiza mtanguliza mungu utafka mbali kinomaaaaa💯
Mpaka hapo alipo ni Mungu wengi wamesota sana kwanini yeye kujituma kwako bila kukata tamaa milango ya Mungu iko wazi Mungu kwanza kijana tumpe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuh umetisha VEVO,nzuri mpaka nzuri tena👌👌
clam never disappoints 🔥🔥.. much ❤❤ from 🇰🇪🇰🇪
This piece is lit
wale tunaoisubiri big boss tugonge like 💥💥💥 from Kenya
Clam VEVO unaweza bana🥰🥰💯💯🔥🔥
Vevo umetisha kila Siku unagood idea your Tallented 💯💯. This prove how artists is. THE BEST FRIEND Reveals life experience ✍️✍️✍️✍️ Umenikumbusha mbali kipindi nipo field nafundisha mwanafunzi anachora Catoons😂😂😂😂😂 Tusikate tamaa ualimu Ni wito.
Absolutely 🤜🤜🤜❤❤❤❤ clam cris
Good talent!!!!
My best friend (*^o^)人(^o^*) itakuwa fire 🔥🔥kama big boss nainaonekana otaishinsa kabisa❤❤🎉🎉😊gonga like kwaajoli ya clam🥰
Vevo, ongera, 100 %%%%
Ila nimecheka kifala😂😂😂😂 hii script aliyeitengeneza apewe maua yake big up clam vevo
naomba tu iyo nyimbo cram naiba naya Nani nimeipeda kwe. kazi zuri
Hii ni next level, and it's so higher! Napenda sana kazi zako CLAM VEVO, so much love ❤️ ❤❤❤ from🇨🇩
x video
Clam mm napenda xana kazi zako unatoa kazi nzuri xana.....
hakik huyu jamaa anajua clam ww ni 🔥🔥
Daah! Movie kama hizi zinanikumbusha mbali aisee... Safi sana CLAM
Big up clam vevo i can't wait see you presenting BongoWood internationally #SWAHILI NATION ❤❤❤
😂😂😂😂😂 mwalimu mfundishe adabu mwanafunz huyo iweje akuchore na tumbo kama hilo wakat huna tumbo
Clam VEVO ni best kama marehemu Mzee majuto ❤
Like za kutosha kwake
ruclips.net/video/wF5Lfgm_hSA/видео.htmlsi=9bGkAYqwk413jcjG