BEST FRIEND ❤️ | 1 |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo #comedy

Комментарии • 3,1 тыс.

  • @mercymutia99
    @mercymutia99 Год назад +58

    Talanta imekukubali Clam.....napenda utahira wako.....barikiwa sana kwenye juhudi zako👏👏👏Toka Kenya

  • @joachimmsilombo3
    @joachimmsilombo3 Год назад +212

    Dadeki Clam ni 🔥🔥🔥🔥,,kaamua kutuletea dubwana jipya I hope 🤞 tutaenjoy 😊,,kama na wewe umeikubali hili ingizo jipya la season gonga like 👍 hapa ❤

  • @tuombemamila1364
    @tuombemamila1364 Год назад +2

    Nyimbo nzuri Clam

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +76

    Clam vevo never disappoint nakubali Sana 👏🏼👏🏼 wale wapenzi wakusoma comment huku tukiangalia tujuane kwa like Clam kanyoa jamaniiiii 😲

  • @JamesJulius-po2ue
    @JamesJulius-po2ue Год назад +193

    Uyu jamaa mkali sana 😂😂😂😂 nimefurai sana nipeni like ata kumi jamani

  • @marykwamboka3948
    @marykwamboka3948 Год назад +25

    the heat is amazing.naomba hiyo song nijue inaitwa vipi kama umeipenda nipe likes jamani

  • @mwaiphamkuruto1087
    @mwaiphamkuruto1087 Год назад +55

    Nakukubali Clam maana wewe ni kijana mwenzangu mpambanaji big up saana from *254

  • @joachimmsilombo3
    @joachimmsilombo3 Год назад +135

    Yote kwa yote kama na wewe unaisubili BIG BOSS season 2 gonna like hapa 👍

    • @dizzboss7526
      @dizzboss7526 Год назад +1

      Kwa hamu kabisa

    • @samihasaleh1634
      @samihasaleh1634 7 месяцев назад +1

      Clam vevo anatafuta ugomvi asiouweza 😢😢😢😢❤❤❤😂😂😂

  • @aishakassim75
    @aishakassim75 Год назад +4

    Duh nlivyotafuta huu mwimbo sasa hadi kuupata nimetoa jasho😊

    • @JeslySmith
      @JeslySmith Месяц назад

      ᴺᵃᵐᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ˢᵒⁿᵍ ᵏᵃᵐᵃ ᵘⁿᵃⁱʲᵘʷᵃ ᵖˡᶻ🖐🌹

    • @aishakassim75
      @aishakassim75 Месяц назад

      @@JeslySmith benny shizzol _ kama ikitokea

  • @ibrahimuselemani4076
    @ibrahimuselemani4076 Год назад +634

    Tuko hapa mzgo tumeunasa BOSS,Likes kwako mkuu tunaenjoy kaz zako ubarikiwe…Gonga likes za upendo kwa CLAM 😊❤

  • @002MWINYIHASSAN
    @002MWINYIHASSAN Год назад +29

    Napenda chapati na maharage😂😂😂😂😂😂

  • @smartlady6898
    @smartlady6898 Год назад +11

    Nyie hii movie Clam umeuaaaaaa...yani hadi nywele zinasimama nikiwanaangalia🎉❤

  • @malambaeliah23
    @malambaeliah23 Год назад +192

    Kama na wewe ni team mwakatobe nipe like zangu..... Rafiki yako ni mcheshi mchanga nfu!😂😂🇿🇲🇿🇲

    • @donaldswebe
      @donaldswebe Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mwakatobe to the 🌎

    • @malambaeliah23
      @malambaeliah23 Год назад +2

      @@donaldswebe we mchumba tu we zuchu🤣😂🤣

    • @beyondmediatz1607
      @beyondmediatz1607 Год назад

      Kashahongwa ela mwakatobe hawezi msifia kibaka bure

    • @malambaeliah23
      @malambaeliah23 Год назад

      @@beyondmediatz1607 inapeleka shobo

    • @athmanjuma3768
      @athmanjuma3768 Год назад +1

      Uko zambia ipi iyo

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Год назад +17

    #CLAM VEVO upo vizuri sana brother kazi safi sana pongezi kwako.

  • @FrankChipondwa
    @FrankChipondwa Год назад +2

    Naikubali sana kazi ya kaka clam 👑👑👑 best friend kaz nzur

  • @MariamLiame
    @MariamLiame Год назад +23

    Nyimbo ya vevo nimeipenda kwel ❤❤❤❤

  • @beautyafrica254
    @beautyafrica254 Год назад +30

    Big up clam vevo .am a Kenyan 🇰🇪but watching from kingdom of Bahrain🇧🇭.Tunakukubali man , guys kwenye anakubali clam hajawai kutuangusha ,agonge like apoooo👍👍👍

  • @philipmutua6643
    @philipmutua6643 3 месяца назад +1

    Clam you got the best ACTORS: DIRECTOR KAKOSO❤, MWAKATOBE❤, BI MIGOMBA❤, SANURA❤, KIPARA❤, ZUMBA❤, KIM❤, SARA❤, MWASI❤, BHAILAM❤, MWASI❤, MTUKUFU❤, SENGO❤, na wengineo siwakumbuki kwa majina❤! HONGERA kwenu nyote❤

  • @TOMEAG
    @TOMEAG Год назад +17

    Clam vevo nakubali sana kazi brother 🇲🇿, naomba like zangu

  • @ShaniBihoiki-lx9jl
    @ShaniBihoiki-lx9jl Год назад +4

    Jamani tunaomba yakuendeleaa bona parti 2 tu 😢😢😢 mtuburudikishe man iyi ni moto walahi ❤❤❤😊

  • @EagleEzra
    @EagleEzra Год назад +212

    Namba one kutoka Kenya🇰🇪 kutizama MY BEST FRIEND episode 1,,kama unampenda #CLAMVEVO Kwa kipaji chake nipee like tafadhali

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Год назад +16

    Kazi mzuri sana #Clam vevo upo vizuri sana KAZI KAZI bless.

  • @Kennymutua1363
    @Kennymutua1363 Год назад +2

    Natokea Kenya naomba isiwe fupi tafadhali,,, iwe series ndefu,, na pia big boss isisimamie pale clam vevo,,

  • @kingboy8864
    @kingboy8864 Год назад +15

    Clam vevo unachuwa hadi unajuwa tena ❤ baada ya big boss nikajuwa utapotea kumbe ndio kwanza unaanza 😂❤❤❤❤❤

  • @official_harmsmunga
    @official_harmsmunga Год назад +61

    Another banger 🔥🔥🔥
    Wapi likes wanangu

  • @mutembojean9789
    @mutembojean9789 Год назад +26

    Mimi wakwanza jamani Kama wamkubali clam vevo rusha like zangu kipenzi chenu kutoka Zambia

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Год назад +8

    Haka kawimbo unaweza tamani kaendelee. Aaaaaah!!!! This is my Best 💽

  • @hawashaweji3469
    @hawashaweji3469 9 месяцев назад +3

    Variation for me 😂💔🙌🏼

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 Год назад +18

    Clam kwakweli amekuwa mkali kwa acting sio kama miezi ilopita ...keep it up bro kwakweli unatupa burudani kwa sasa since uanzishe kipindi cha big boss sahi tunafwatilia best frnd.....tukisubiri part 2 big boss

  • @Enopiii
    @Enopiii Год назад +9

    Kutoka Burundi mnipe like zangu🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @CommanderDaa
    @CommanderDaa 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤ I'm so sorry to watch late I wish I could a were mwanzo. big love clam and the rest of your time big respectful ❤❤❤❤ love you 🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴🇸🇴

  • @Kamoste
    @Kamoste Год назад +33

    Number one Mombasa kenya🇰🇪pitieni hapa❤clam nakupenda bure na mzee mwakatobe❤ na kipara ❤😂😂😂

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 Год назад +16

    😂😂😂😂nimecheka sana clam umeupiga mwingi kuliko baba love from sweden ❤❤❤🎉🎉😂

  • @katiemedality9666
    @katiemedality9666 Год назад +9

    ....guy is on high🎉🎉big up kwa Clam❤
    Waiting for big boss Season 2😊

  • @KenKitsao
    @KenKitsao Год назад +18

    Supper clam...hii imetisha na nikama itafunika bigboss...Ila Kama unaitafsiri hii ka hit...gonga like

  • @sircaptainbonny
    @sircaptainbonny Год назад +7

    Yaani clam alinyoa kwa ajili ya huu mchongo au ni editing😂😂. This man is a beast

  • @BreezeWRLD-cc1zk
    @BreezeWRLD-cc1zk Год назад +4

    Brother, you absolutely killed it, I agree with you very much

  • @sarahrashidabdallah3109
    @sarahrashidabdallah3109 Год назад +11

    Jamani huu wimbo Nani kaiambia umenitoa machoz😢Mzuri sn❤❤❤

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Год назад +26

    Kuna MAISHA ambao WENGI wetu tumepitia tukiwa shule na kuna mengi ya kujifunza juu ya movie hii #BEST FRIEND

  • @JantaGeorge
    @JantaGeorge Год назад +1

    Clam kweli namkubali Ila ananikela kuinamia vile mbona kama anajiarbia uigizaji😮😮

  • @wezzieforty7766
    @wezzieforty7766 Год назад +16

    Umefanya vizur clam ,uku tinaisubir Bigg boss season 2 ticheke na hii

  • @polepoletv350
    @polepoletv350 Год назад +25

    I'm ur fan from Kigali Rwanda 🇷🇼 nawapenda sana watanzaniya ....turabakunda
    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @jeanmarie4665
    @jeanmarie4665 Год назад +10

    Best friend ni nzuri but Clam ame shindwa kujiteteya kwa yule demu ingawa demu kasha mpenda Clam,naenda nyumbani.

  • @everlynemoraa6214
    @everlynemoraa6214 Год назад +83

    He can fit in any character, this man is very creative.

  • @mustaphermsopo9145
    @mustaphermsopo9145 Год назад +2

    Mimi nimecheka sana hapo honey honey 😂😂😂😂😂😂

    • @zalhat
      @zalhat Год назад +1

      Ata mimi 😂😂

  • @ChristianFoundationFellowshipH
    @ChristianFoundationFellowshipH Год назад +20

    wagwan menn yaani hizi movie zinakwenda viral ...nikianza kuwatch ilikuwa 1,600 after imeisha ishakuwa 8,058views waaaa.... am glad vevo

    • @saidbaraka8996
      @saidbaraka8996 Год назад +2

      Jaman kaka clam hupoi wala huboi bandka bandka love❤❤

  • @Kanumbavevo
    @Kanumbavevo Год назад +6

    kila hatua ni moja ya safari mmeua sana keep up and kerp going bro ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RosemaryCharles-qf8dr
    @RosemaryCharles-qf8dr Год назад

    Waoooo nzuri sana jamanii hadi rahaaa❤❤😊😊

  • @anathjuma6813
    @anathjuma6813 Год назад +11

    Nakupenda dogo Clam,big brain,mbunifu sanaaaa

  • @AUDREALY
    @AUDREALY Год назад +15

    Ahsante mno kiongozi vevo umenifanya nimjue kijana mmoja mpambanaji bigup bro #bennyshizzol #kamaikitokea bonge moja la ngomaumemsapoti kweri hauna hiana vevo Mungu akusimamie sana na ufike mbari na mbari mno🙏

  • @skanedollar4046
    @skanedollar4046 Год назад +1

    @clam vevo you are best of the best keep going...

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Год назад +113

    I'm so happy to see your work again Clam VEVO!! From Burundi 🇧🇮🇧🇮 we love your works!!

    • @Alphertv
      @Alphertv Год назад

      video ruclips.net/video/wMQV7d-Y2EU/видео.html

    • @bonniemureithi
      @bonniemureithi Год назад

      Aiye nipitie n mm usubscrib🙏🙏🙏

  • @AshirafuMwale
    @AshirafuMwale Год назад +9

    Respect for you my role model ad my best comedian clamvevo umetisha sahna 🎉🎉 nataman hata another episode ungetoa mda huu

  • @djpatofficial5368
    @djpatofficial5368 Год назад

    Clam BEST FRIEND imekaa powa ebu iendeleze ep 2 bas tupate uondo ngoma kali

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. Год назад +8

    Mih nimesahau 😂😂😂😂.... Wenzangu nyie mih sijawahi pata like kwenye kazi za clamVEVO tafadhali naomba hata tano basi❤️❤️❤️...

  • @idrisaramadhani6828
    @idrisaramadhani6828 Год назад +11

    Hiindo best performance naitaji like kamazote🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @AngelDonald-ok5yh
    @AngelDonald-ok5yh 4 месяца назад +1

    Hakuna maish matam shule kma mwanafnz ukiwa unjitambuaa like nbest ake vevo

  • @athmanmohamed7189
    @athmanmohamed7189 Год назад +31

    The creativity of clam is on another level,,, big up sana bro utafika mbali

  • @isihakaliyuma1848
    @isihakaliyuma1848 Год назад +20

    Mwanangu big up sana huo ndio muda sasa wakutumia kipaji chako nikusaidie kuinua maisha yako na usikubali kutumika kunufaisha wengine mdgo wangu mana muda wako ndio huu

  • @ZephaniaMelckiades
    @ZephaniaMelckiades Год назад +1

    Ila clam noma sanaaaa

  • @salahtv5591
    @salahtv5591 Год назад +4

    Kaka clam tunatak iyo nyimb ❤

  • @Sopyter
    @Sopyter Год назад +6

    Saf sana Rakin vp Kuhusu BOSS mwendelezo wake

  • @AlexJumanne-ls5gm
    @AlexJumanne-ls5gm Год назад +24

    Kama unaamin best friend ninzuri kuliko Big boss nipe like hapa tujuane

  • @finiaskalist747
    @finiaskalist747 Год назад +5

    Daaaah hongera sana asee🙌🙌🙌hiyo ngoma aliyeimba tafadhali tumjue ni🔥

  • @silamelody1034
    @silamelody1034 Год назад +12

    My best friend number one😂😂

  • @CatherineNgauga
    @CatherineNgauga 3 месяца назад +1

    Napenda movie hii nampeda clam vevo

  • @officialpackytz12
    @officialpackytz12 Год назад +18

    Kama umeikubali like comment zifike 100k🙏🙏🙏

  • @KhabibSalum-r4c
    @KhabibSalum-r4c Год назад +15

    Unyama saan blood kazi nzuri. Kula like izo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @RasuliRamadhani
    @RasuliRamadhani Год назад

    Ivi kwann azam wasiwe wanatushia mvi za uyu jamaa da la sana mwamba anajuwa sana 😂😂😂

  • @ericknyamwaro
    @ericknyamwaro Год назад +32

    𝕄𝕓𝕠𝕟𝕒 𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐡𝐢𝐢😊😊

  • @shericktv509
    @shericktv509 Год назад +15

    Clam amekuwa Kama kikatuni😂

  • @karenbae-zu6yj
    @karenbae-zu6yj Год назад +1

    nakupenda sana clam.. pambana unawezaaa

  • @shaabansungura3205
    @shaabansungura3205 Год назад +8

    Upo vizur sna Una kipaji kikubwa, Sio rahisi ku Act uhalisia tofauti katika ubora Ule Ule👏🙌

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 Год назад +4

    kazi safi, tunangoja part ingine👍👍

  • @FarajaKwilasa
    @FarajaKwilasa Год назад +1

    I real enjoy ❤❤❤

  • @titustum172
    @titustum172 Год назад +62

    Much love from Kenya🇰🇪🇰🇪
    Vevo to the World

  • @Kicheko_Media
    @Kicheko_Media Год назад +24

    Kbs twaipenda kazi yababa VEVO mpaka kuleee😊😊 mpeni Likes Zake nazingine munipe piya kbs namupenda Vevo #KICHEKO_MEDIA

  • @zackiakikoti9381
    @zackiakikoti9381 Год назад

    Nahh ni nzur sana hongela clam mungu akupiganie japo namm nataman niigize nawe sana sana tu!!! Please clam🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mokayafelix7680
    @mokayafelix7680 Год назад +28

    Clam vevo,you are too much bro🔥🔥🔥I love you bro, Kee it going,I appreciate you

  • @rachodo
    @rachodo Год назад +5

    Hajawah kukosea Kama unamkubali clam gonga like❤❤❤❤

  • @fannydeus3976
    @fannydeus3976 Год назад +1

    Jitaidi kuwahisha mzigo yaani bandua bandika clam 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HassanCoyo
    @HassanCoyo Год назад +55

    *Team Clam VEVO gonga like kwake na kwangu pia ❤*

  • @HermaniDaudi-yp8pf
    @HermaniDaudi-yp8pf Год назад +5

    Nyota unayo ya kuigiza mtanguliza mungu utafka mbali kinomaaaaa💯

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Год назад

      Mpaka hapo alipo ni Mungu wengi wamesota sana kwanini yeye kujituma kwako bila kukata tamaa milango ya Mungu iko wazi Mungu kwanza kijana tumpe maua yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @VeraUlaya-cc9rr
    @VeraUlaya-cc9rr Год назад

    Duuh umetisha VEVO,nzuri mpaka nzuri tena👌👌

  • @jindwasam
    @jindwasam Год назад +77

    clam never disappoints 🔥🔥.. much ❤❤ from 🇰🇪🇰🇪

  • @beauterlebo7074
    @beauterlebo7074 Год назад +46

    This piece is lit

  • @DantyQuivver
    @DantyQuivver Год назад +2

    wale tunaoisubiri big boss tugonge like 💥💥💥 from Kenya

  • @mariamyusufmariamyusuf-vm4sl
    @mariamyusufmariamyusuf-vm4sl Год назад +4

    Clam VEVO unaweza bana🥰🥰💯💯🔥🔥

  • @laurenceboniphace3145
    @laurenceboniphace3145 Год назад +5

    Vevo umetisha kila Siku unagood idea your Tallented 💯💯. This prove how artists is. THE BEST FRIEND Reveals life experience ✍️✍️✍️✍️ Umenikumbusha mbali kipindi nipo field nafundisha mwanafunzi anachora Catoons😂😂😂😂😂 Tusikate tamaa ualimu Ni wito.

  • @fannydeus3976
    @fannydeus3976 Год назад +2

    Absolutely 🤜🤜🤜❤❤❤❤ clam cris
    Good talent!!!!

  • @efraziamedard7915
    @efraziamedard7915 Год назад +10

    My best friend (*^o^)人(^o^*) itakuwa fire 🔥🔥kama big boss nainaonekana otaishinsa kabisa❤❤🎉🎉😊gonga like kwaajoli ya clam🥰

  • @deborahthobias2126
    @deborahthobias2126 Год назад +12

    Ila nimecheka kifala😂😂😂😂 hii script aliyeitengeneza apewe maua yake big up clam vevo

  • @jamesmunyao9497
    @jamesmunyao9497 Год назад

    naomba tu iyo nyimbo cram naiba naya Nani nimeipeda kwe. kazi zuri

  • @wilfriedselemani3898
    @wilfriedselemani3898 Год назад +35

    Hii ni next level, and it's so higher! Napenda sana kazi zako CLAM VEVO, so much love ❤️ ❤❤❤ from🇨🇩

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 Год назад +6

    Clam mm napenda xana kazi zako unatoa kazi nzuri xana.....

  • @SamsonDavid-b4u
    @SamsonDavid-b4u Год назад

    hakik huyu jamaa anajua clam ww ni 🔥🔥

  • @hamisikambona8763
    @hamisikambona8763 Год назад +9

    Daah! Movie kama hizi zinanikumbusha mbali aisee... Safi sana CLAM

  • @Cristiano_ronaldoo-c
    @Cristiano_ronaldoo-c Год назад +45

    Big up clam vevo i can't wait see you presenting BongoWood internationally #SWAHILI NATION ❤❤❤

  • @SalumZakia-vy1lt
    @SalumZakia-vy1lt Год назад

    😂😂😂😂😂 mwalimu mfundishe adabu mwanafunz huyo iweje akuchore na tumbo kama hilo wakat huna tumbo

  • @videolyrics55
    @videolyrics55 Год назад +18

    Clam VEVO ni best kama marehemu Mzee majuto ❤
    Like za kutosha kwake