Cristiano Ronaldo CR7 Jeshi la mtu mmoja uyo in atali sana jeshi la mmoja popote anacheza uyoo ata umpeleke stoke city anacheza ana mpinzani uyoo akuna kama CR7 Dunia nzima
Ronaldo ndo mbora wng wa misimu yote ya kisoka,lkn nimejifunza kuwa kufanikiwa kimaisha kunatoka mbali sana na inakuhitaji kuwa mvumilivu,kujituma zaidi,nidhamu na kutokuwa na tamaa na kumuomba sana Mungu,big up to him 🙏
Yani kila nikifuatulia maisha ya watu waliofanikiwa nakuta hawakufanikiwa kizembe hata ronaldo nilikuwa namuona bishoo tu.. Kumbe ninavyomuona sivyo alivyo ndani yake duh nataka kumueshimu kuanzia sasa nami staki njia nyepesi tena
Wa Tz buana mwajifanya wajuaji na Ubishi kwa Kila kitu..Kama uwongo hebu na Nyie tuleeteeni za kwenu za Ukweli..Sio maneno maneno kama Mnywa Denge.Mwenzenu kaweka ya kwake mnayoona uongo..Leteni n Nyie ya kwenu ya Ukweli..
WCB mmeleta mapinduzi ,, mtiga unavosimulia mtu unaweza angusha udenda kwa utamu wa stor dah had unataman iwe saa zima dk 19 nmeangalia kama dk 3 Thanks bro MB zangu huwa haziendi bure nkiwa nasikiliza story zako
Kama we team Ronaldo gonga like hapa twende sawa
Ronaldo mtu sana tu
Kama unamkubali Cristian ronardo like hapa
Nakubali
CR7 forever no matter what 🙌🙌
Mtiga Abdallah umeuaaa👏👏
Cristiano Ronaldo CR7 Jeshi la mtu mmoja uyo in atali sana jeshi la mmoja popote anacheza uyoo ata umpeleke stoke city anacheza ana mpinzani uyoo akuna kama CR7 Dunia nzima
Tunaosikiliza Huku Tunasoma Comment Tujuane hapa👍🏽Hatunaga maneno meng cc kimya kimya.
Ahahahh tupoo
Hahahah
Mm namkubali messi sana lakn
0673786665
Jay Msimamo n kwel mcmamo
God bless you Ronaldo for this talent
Watching from Kenya, it's not even debatable Cr7 is the King of football, The GOAT 🐐 🔥🔥🔥
You know nothing about football
CR7 the Buffalo of Portugal🇵🇹🇵🇹
Watu wa buffalo nyie mtaenda peponi
@@alumberashidi4157 🤣🤣🤣🤣 why bro
Au sio
C R 7
CR7!! simply THE GREATEST OF ALL TIME💥
Hahahaha
😁 😁
Ronaldo ndo mbora wng wa misimu yote ya kisoka,lkn nimejifunza kuwa kufanikiwa kimaisha kunatoka mbali sana na inakuhitaji kuwa mvumilivu,kujituma zaidi,nidhamu na kutokuwa na tamaa na kumuomba sana Mungu,big up to him 🙏
Ya
Ronaldo atabaki kuwa tu mfalme wa soka duniani🐐🐐🐐🐐👌👌👌💯💯💯
Cr7 the magical in the world OK lete na ya mshimdan wake the magical lionel messi plz mtiga
cr7 king mfalme wa soka dunianiii
Mtayarishaji hakika una mapenzi na Cristiano, Hongera.
Paraguay
𝑲𝒘𝒆𝒏𝒅𝒓𝒂𝒂𝒂𝒔
Ni wachache wenye uwezo huo, nakuelewa mzee cr7💪💪💪💪🐯🐯
In mess
CR7 Practice makes perfect ✍️✅
CR7 all day,viva Ronaldo milele na milele
Huyo ndo super star wa dunia dunia. Dunia hakuna supar star kma huyo kama wakubaliana na hili nipe like zangu
Kazi nzuri sana lakin nakumbusha mmesahau Ronaldo mwenyew amefanya kibarua cha kufagia barabara katika mji mmoja ureno😥😥
The best player..huyu jamaa namkubali..mpaka kesho..yani..nafurahia hiki kizazi...the best generation..
Kazi zuri mtiga...much love from kenya
the magician cr7 much love
cr7 ndio mchezaji bora dunian
Cr7 no one more than you in our world
Shikamoo mtiga abdallah,yaan umeisoma vzuri sanaaaa hii story nahisi hata mwandishi asingeweza kuitendea haki kama ulivoitendea wewe,,,big up sana
Wanaoamini kuwa historia haiwezi kubadili ushabiki gonga like
Dah alipitia msoto sana
Ndo imefanya awe star😣😥
Cr 7 ni the best
Saana
Daaaaaaah nmeamini maisha sio easy aisee....
@@Wil949 kuna watu sana hasso vibaya
Unasikiliza huku unasoma coment kimya mkimya weka like yako hapa twende sawa
Lionel Messi nimuchejaj Bol kuzid Ronad
kumbe Ronaldo ana uwezo wa kuruka mara 5 ya cheeter, big up mzee 🤗🤗🤗👍👍👍🙏🙏
Team kuwachomolea betr wasimulizi wengne gonga like hapa kwa kumkubal mtiga abdallah na bado twende mtiga nimependa sana
VVB V
Atake like kwangu namtumia mb
⚽⚽
CR7 NOMAAA SANA UKITOA DIAMOND BC N RONALDO
Nasseb Abdul wew ata like yang nimekupa umeongea point
haswaaaaaaaaaaaaaa
Kweli wa tz mnapenda za kwenyu 😕😕
Tunaisubiri pia ya nguli mwenzake Lionel Messi
Nakubaliii
Burton Barick tayari aujaona
Yani kila nikifuatulia maisha ya watu waliofanikiwa nakuta hawakufanikiwa kizembe hata ronaldo nilikuwa namuona bishoo tu.. Kumbe ninavyomuona sivyo alivyo ndani yake duh nataka kumueshimu kuanzia sasa nami staki njia nyepesi tena
Asante sana...Cr7 is the Greatest Of All Time 💥
Vp
Daaaah huyo Albert,acheni tu alezake bata,amini
Kabisa,,wala haangahiki
Mimi huwa siyo mshabiki wa Cr 7 ila hii Story imenifanya nimkubari
Me siombi like ila ukijisikia weka........ Kw Ajili ya Ronaldo
ninekukubali bro na nimekupa like yangu maana wengine wanangangania like kama wanakula hivii
Kuna sisi tunaskiliza huku tunasoma comment SISI NI NOMA ZAID
🙈🙉
Apa baba umeongeza na ushabiki japo kuna vitu vya ukweli but ushabiki umepamba sana
😂😀😂😂😂
Wivu tu unakusumbua
Wa Tz buana mwajifanya wajuaji na Ubishi kwa Kila kitu..Kama uwongo hebu na Nyie tuleeteeni za kwenu za Ukweli..Sio maneno maneno kama Mnywa Denge.Mwenzenu kaweka ya kwake mnayoona uongo..Leteni n Nyie ya kwenu ya Ukweli..
African Happy Adventure hao wanaoona ya uongo ni team mess achana nao
@@dasilvajunior3016 Haaaahaaaa..Kumbeeee eeee...
Wanajiendekez tu
no dought about this more than better cr7 long lives in football
Touching life moment story of Mr Albert and cr 7 mnyama
Leta na ya Messi maana yule mtu nae ni magician ...so mtu poa hawa jamaa 1.messi 2.cr7 hawa jamaa wameiteka dunia
Messi alizaliwa ,akachukuliwa na Barcelona na atafia Barcelona
Hana nyota
Mm naona messi ndo fundi wa mpira
Frenk Fikiri ggftteswxq qqww uikopppautrwqmjhygffll
@@frankmiraco9844 Messi hana nyota ipi mzee, unachora wewe
Goal machine, El commandate,, Bishoo mweny pesa zake
Ronaldo anatisha sana
Gold machine
Nakubali sanaaa CR7 the boy from Portugal🇵🇹
Kaz nzur bro tunashukur
Napenda kipindi story book ila mnakaa Sanaa tuna hitaji story nyingii Jamal
Z
Love from Kigali Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
cr7❤❤❤❤❤
Much love from Portugal
C7 no 1 @C Ronaldo
Great player 👏👏👏
Moja kati ya wachezaji waajab dunian🚡✈
Munira nakubali
Munira Ahmed 😁
Munira Ahmed ❤️❤️
Munira Ahmed hatari sana
Kuanzia leo mm shabiki team zima ya Wasafi media
Guycalifat Aveiro
The best player King Cr7🇲🇿🇲🇿🇲🇿👑
Hapo kwenye kushangilia Ronaldooo ndipo napowakubali The story book Ni udambwe dambwe mwanzo Mwengaa
CR7 IS THE BEST IN WORLD
Daaah!!! alihasoo sana kumbe?nice CR7
haya yote ni mbwembwe,
Messi is the BEST player to ever Exist
hii yote ni ushoga
MESSI 10 the G.O.A.T
Wasafi media ilipata mtangazaji aisee😀😀😀
Big up sana bro
Hahahah aha ni kitabu kichwa chake
Yule wa sasa mm hata simuelewi
CR7 damu
Uko sawa CR7 ni noma
Long live legend alberto ✊✊✊✊✊✊✊
naweza kukupa namba 1 ya usimulizi,
ila naomba ya messi pih
Isack Laurent anapnd messi huyu
Isack Laurent nakubali
Isack Laurent ya pessi tayari amesha tupa
its fun ni mchezaji ambaye anakiwango cha juu cha ychezaji anafaa kuitwa mfalme wa soccer
Coach Haji fuko-ifakara
Dah Cr7 wangu love sana
Waalykum mssalam,team ,,huyu jamaa ni shidaa
Hakika mungu ndo anaejua kesho yko
Tuyeyusheni watangazaji
CR7 MNYAMA GONGA LIKE KWAKE
Hardworking beats talent when talent does not work Ronaldo iz best
Machozi ya kwelii urudisha aman ndan ya moyo
Ronald bila mapenzi very humble man
Be blessed Broo huyo jamaa ni Fundi ila kwenye kuoga hata sisi tulikuwa tunanawa miguu tuu
EBHANA WEE MTANGAZAJ NOMA SANA UNACHUMVI NYING SANA MAMAE ... 😂😂😂😂
Tatiana Javari the
Kelvin Rajabu. apo umenena
😂😂😂😂😂 et mamaeee
Mnaotaka stori ya Messi hii hapa...Alizaliwa akachukuliwa na Barcelona na atafia Barcelona
Machanja Ramadhan 🤣🤣🤣🤣🙌🏿
Khaa umetisha.
Thats all 😂😂
Acha bangiii
Duuuuh..!wee hatarii
Hii historiaa Nina miakaa kumi na mbili nliisomaga iko hivyo hivyo😘😘😘
WCB mmeleta mapinduzi ,, mtiga unavosimulia mtu unaweza angusha udenda kwa utamu wa stor dah had unataman iwe saa zima dk 19 nmeangalia kama dk 3 Thanks bro MB zangu huwa haziendi bure nkiwa nasikiliza story zako
Tafuta na ya messi
Asanten kwa kutupa story na tunapenda kufatilia lakini punguzen matanzo. Maana ni mengi sana daaah!
#CR7 THE AIR-MAN GOAL #MACHINE DE #ALLENS G.O.A.T 💥💥💥👽
Cr7 G. O. A. T
Kwenye magali 16 dah bado ujanishawishi ndo umejua kutupoteza
Usijali true fact jamaa ana total ya gari 39 miongoni mwahizo anatumia gari 6 tu kwenye pilika zake nyingi
Bongo mtu akitusua tusu wanasema freemanson wabongo daaah.
Watu wanapitia misoto mamaqe 😆😅😂😂
Ni kweli bro
kama upo makini kufuatilia the story book chapa like Hapa
Mnatuunguza sana messi yupo juu zaidi
Mpk utuletee na ya lapulga ndio tutaeza kuchagua who is the best
This man is a king always 👍👍
Dah! Ronaldo big up
Umekosea mwanangu iyo pasi nilimpa mm
Jamaa alivyo fala akanyoosha mpaka boxer zake Ila anavunga hanijui
Great cr7
alyemshinikiza furgason na rio ferdnand bwanaaaaaa acha story hzoooo
Fact
Messi hajafunga goal by head, jumping, bicycle ..... CR7 is the best.
@GODLISTEN JOHN matako ya Baba yako Kwanza then mamaako
sure sure
2009 UEFA final
MU vs FC BARCELONA
MESSI ALIFUNGA KWA MKONO
UMEANZA KUANGALIA SOKA JUZI AU
hayo magoal yamempa golden boot ngapi? ballon dior ngap😅😅😅
Cr7 is a goat and the goal machine of the world
I will be happy the day cr7 he will become a Muslim boy ❤️💚💙🇸🇴
Bro abdalah story hi ume isimuliy fresh kabx apo nakupa 100%
Saafi dam yangu🔥🔥🔥🔥
CR7 buana
CR7 ❤️goal machine 💪🏾hana mpinzani
Broo unajua kupamba sanaaaa
Ni mwongo hata hamjui cheater
Huyu jamaa ana chumvi za kutosha huwa nakubali story zake Ila ameanza kunitia wasi wasi
Lm10 will remain king of soccer forever✅
Well done and keep it up
Sana Joseph Ntulo kwa like yako
Cr7 ni bora... king of soccer