Danganya toto hakuna chama mbadala ni chadema vingine vinatumikia ccm hakuna atakaye danganyika na wanaohama chadema tunafahamu ni watu wasio itakia mema Tanzania
Kwani uchaguzi wa serikali za mitaa mtapata wangapi? CHADEMA ni genge la wahuni na wasaka pesa na wala hawana mpango wa kuongoza hii nchi na hawana huo uwezo. Hebu jiulize kile chama msomi ni nani?
Majitu yaliyokuwepo fccm yanabaki kuitikia tu. Chadema is more than blacksmith, every one attacking Chadema my Tanzanian brothers and sisters open you ayes
Nacho waambia nyinyi wana CCM Ushauri mnao mpa Rais wenu kwamalengo yenu tofauti na yeye; ujue Makala uta fika the end Samia atafika the end , hao wauza miili yao kwaajiri ya kusariti ahadi zao za mapambano GOD he is going to pay him soon
Hmm hawa hawajui siasa hizi zilishapitwa na wakati unaona kabisa wanatangaza kurudi ccm lakini wenzao ndio kwanza sura km wamelamba ndimu maana wanawaona kama ni wa kuja tuna kutishia kuchukua nafasi za wengine 😆
Embu mniache niumzike Zang HIV Kwa akili ya kawaida mnawez uo cdm hiyo nindoto mtu aliyekuwa na nguvu halima mdee lkn Yuko wap ..embu achen dram zen msigwa ni wakawaida San cdm
Mmmmmh cjui kama wanafaa hao kiongozi siku zote anamsimamo cna uhakika kama xio tamaa na njaa hiyo ni haki yao ila hao hawafai maana kesho wanaweza kurudi chadema wakasema hivyohivyo cwaamini kamwe ctawaamini ila tuwape kazi majukwaani lkn msiwasalihau wenye misimamo kwenye chama madaraka yanafaa wenye micmamo wasioyumba tuwape vyeo wakilinde chama ccm
CCM UPINZANI HAUTAZIMWA KWA MARANDA YA MBAO, MNAO VIJANA WAZRI, LAKIN KWA VILE.MMECHOKA MNAFIKIRI KUCHOTA MAKADA WA CHADEMA MTAPONA. MNAZIDI KUNUNUA WACHUMIA TUMBO, MNAZIDI KUCHOCHEA HASIRA KWA UMMA KUPOTEZA PESA KUNUNUA WACHUMIANTUMBO, WAKAT UTAINGEA
Hivi vijana wa ccm mnajisikiaje wanaponunuliwa kwa mamilioni halafu wewe upo tu unapgika kwa kupewa elfu 5 ili ukafanye vurungu kwa wapinzani wasiokijua chama wanakula mema ya nchi
Ukuiona mwana chama anasema anarudi nyumbani ccm mwangalieni akili yake anaweza kuwa chizi apelekwe milembe kwanza poa yawezekana akili imefeli kule mbele Hana nafasi kaoma aludi nyuma mama Samia situka hao hawana jipya weka stoo ipigwe vumbi bidhaa chakavu hawafai kwa gziii
Njaa mbaya sana
Njaa hizoooo
Danganya toto hakuna chama mbadala ni chadema vingine vinatumikia ccm hakuna atakaye danganyika na wanaohama chadema tunafahamu ni watu wasio itakia mema Tanzania
Chadema ni CCM B chama cha upinzani ni C.U.F peke yake wenye akili timamu tulijua hilo
Hatuhitaji Kwa Sasa wanasiasa mabadiliko ya taletwa na machinga na mamalishe siyo maraya wa kisiasa
Hawa wadangaji ni mibaunsa yale ya rangi ya upinde
Yaani wenzao ndio kwanza wanawabeza na kuwacheka, wanapiga soga tuu😁😁
Nywele badia
Hata akili ni bandia huyu.
Chakura cha wabunge
Usimuamini Kila Mtu Kwenye Maisha.Subirini Muone Mashushushu Awo.
Nunueni tu ila 2025 tutapima wangap wataingia Bungen
Kwani uchaguzi wa serikali za mitaa mtapata wangapi? CHADEMA ni genge la wahuni na wasaka pesa na wala hawana mpango wa kuongoza hii nchi na hawana huo uwezo. Hebu jiulize kile chama msomi ni nani?
@@peterhelpeterluena9191kwahio ccm ni wasaka mavi?
@@zawadimbwambo1091 vyovyote unavyoona wewe lakini ndio chama kinachoongoza nchi hii. Hiyo saccos, haiendi popote.
Ulikuwa wapi sku ZOTE,,mbona umechelewa sana
Wewe ni njaa tuwemakini watanzania kiongozi yeyote anayehamahama hafai kuwa kiongozi has wamenunuliwa tusisubutu
Alihama Lowasa na Slaa CHADEMA Bado ipo
Madiwani wa kutangazwa,,,hatuna madiwani wa kuchaguliwa
Kwendaa chdema ni taasisi msitupasuevvichwa keendaaa
Ovyoo!Tumechoka
Tatizonjaaaaaa!!!!! Nautovuwanidhamu nakutokumbuka wanakotoka
Majitu yaliyokuwepo fccm yanabaki kuitikia tu. Chadema is more than blacksmith, every one attacking Chadema my Tanzanian brothers and sisters open you ayes
❤❤❤❤
Mbona unaonge hawakusikilizi dada pole Sana
Msimu wa uchaguzi umefika watanzania tutayaona mengi huu ni mwanzo tu. Haya bwana sisi tunaangalia "movie"..🙄🙄🙄
Njaa Kali sana
Yan kuliko kwenda ccm bora nife hicho chama nichamashetan
Uu ndo muda wakutafutwa vihelehele walud nyumban
Ccm Kwa njaa iliyopo mtajua amani nini
C.c.m mmekwisha hamna lolote,wananchi wameichoka
Njaa mbaya aduwi yako Kweli muwombee nenda muheshimiwa mtaji ni ule ule msemo mama kaupiga mwingi mtu mnatowa mashavu wananchi wanalia njaa
Haibu
Hao na mangoma wako sawa😅😅😅
Akuna kama chadema apa Tanzania ata mfanye nn Tanzania ina roho ya chadema
Wew ni chizi chadema ndo dude gn mwenyekit wa milele hhhhhhhhhhhhh je je hiyo ndo democrasia we umerogwa Chama Cha kabisa hicho
@@Silay1034 mwenyekiti wa milele we unatetea kwa Sababu yanga yenyewe ndo CCM
Hakuna chama hapo. Ni saccoss hiyo.
@@peterhelpeterluena9191 Kama chadema ni saccoss na CCM ni nini
Kidumu kwenye kichwa chako siyo kwetu ovyo
Watu wamechoka
Chama ni watu
Wewe ccm Acha hizo zito ni ccm
Mtashinda njaa siyo kura
Njaa mbaya, uwezi mkana baba yako ata kama nie taira
Njaa
CCM OUT CHADEMA IN 2025
Hata sauti yako hatuitaki kusikia ww ni msaka tonge huna jipya kwetu
Utoporoo
Unamaliza mb ze2
Njaaa
Hii shida imeanza tena ya wachumia tumbo ,anajua chadema hapati na ccm hakuna kishindo labda waibe kura
Jamani.hamsera.nyingine.jifunze
Kwa.wenzenu.naona.makelele.fanyini.mambo.mazuri
Wanasiasa ni viumbe ambao hawaaminiki na ile amri ya kukataza kusema uongo na dhambi ya tamaa haitawacha salama
Hawa wanaotoka upinzani na kurudi CCM. Ili hali walikikimbia ni dalili za uroho.
0:08 mmmm
Mbona wamenuna wenyeji
Tena wenyeji wanasema wangebaki hukohuko
Kwan chadema ina wabunge 1:24
Hiki ndo mnakiweza Ccm,
Acha wale matamu ya nchi na nyie Makada endeleeni kukijenga Chama
Umepokelewa na wenyeji wko shingo upande wamekupa maiki badara wakusikilize tunasikia wanabiga kelele
Nacho waambia nyinyi wana CCM Ushauri mnao mpa Rais wenu kwamalengo yenu tofauti na yeye; ujue Makala uta fika the end Samia atafika the end , hao wauza miili yao kwaajiri ya kusariti ahadi zao za mapambano GOD he is going to pay him soon
Njaa kali wanasiasa
Mbona hawa walinz hatuwajui chadema inamakomandoo ndo tunawajua km walinz hawa ni vijana wa lumumba
Chadema mbona Haina wabunge wa vitu maalum wapo wabunge wa spika wa bunge tuu
njaa ni mbaya xana ikihamia kichwani
sasa wamewaswaga hadi waliofukuzwa ulinzi si kichekesho hili 😀😀
Hakuna chadema aliyekuwa bungeni wadanganye wasenge kama,,,,,
Hakuna lolote nyinyi tunasubiri mwakani hamtakiwa na nafasi ccm
Wanaume kibao mmejazana kwa ajil ya ujnga mtupu,mwsho wenu utafka tu hakuna atakaye tawala milele
MAIGIZO
Hmm hawa hawajui siasa hizi zilishapitwa na wakati unaona kabisa wanatangaza kurudi ccm lakini wenzao ndio kwanza sura km wamelamba ndimu maana wanawaona kama ni wa kuja tuna kutishia kuchukua nafasi za wengine 😆
Nikumbusheni jamani hii njaa initwaje du anongea utporo
Mnakosea saana kumtenganisha mh Rasi na Ayati Magufuli.....! Ivi mnajua mahana ya Kazi iendelee?
Amekufa kifikra huyo
Walinzi wanani
uamuzi mgumu na mwepesi hata hueleweki
Dagañya toto
Wanachi wanataka Maendeleo sio siasa matope kama hizo wananchi wananjaa sasa watashiba wewe kuhamia CCM au hao mabaunsa
Yani kama vikatuni mbele ya walio ridhika.
😂😂😂😂😂
😂eeeeeeh wacha wee😅
Nchi hii hamna wa hivyo tena Gen z stanza muda si mrefu nyie fanyeni maigizo tu
Game zimeanza
Embu mniache niumzike Zang HIV Kwa akili ya kawaida mnawez uo cdm hiyo nindoto mtu aliyekuwa na nguvu halima mdee lkn Yuko wap ..embu achen dram zen msigwa ni wakawaida San cdm
Inahuzunisha sana kuona j
jaa zimeingia mpaka kichwani!
Jambo la kushukuru ni kwamba wapokeaji wenyewe nao wamenuna haswaaa!!
😂😂😂😂 NYI
Nilishasema kwa wale tuliokuwepo miaka ya tisini kifo cha NCCR kinawakuta chadema
Maisha yako labda mbowe atoke
Mmmmmh cjui kama wanafaa hao kiongozi siku zote anamsimamo cna uhakika kama xio tamaa na njaa hiyo ni haki yao ila hao hawafai maana kesho wanaweza kurudi chadema wakasema hivyohivyo cwaamini kamwe ctawaamini ila tuwape kazi majukwaani lkn msiwasalihau wenye misimamo kwenye chama madaraka yanafaa wenye micmamo wasioyumba tuwape vyeo wakilinde chama ccm
Hivi mnawaonaje watanzania ?
Kumbe ukitoka ccm,Tena ukarudi ccm .kondooo walokatwa mkiaa😂😂😂😂
Acha ujinga
Msitupange nyie na hiyo nunua nunua
Bongo movie
Mijinga tuuu
Hawa si ndio COVID 19 Waliofikuzwa hawa?!? 😂
Baunsa nao vp hao wameshindwa kubeba chuma wameona siasa inalipa
Matahira nchi hii kibao
CCM UPINZANI HAUTAZIMWA KWA MARANDA YA MBAO, MNAO VIJANA WAZRI, LAKIN KWA VILE.MMECHOKA MNAFIKIRI KUCHOTA MAKADA WA CHADEMA MTAPONA. MNAZIDI KUNUNUA WACHUMIA TUMBO, MNAZIDI KUCHOCHEA HASIRA KWA UMMA KUPOTEZA PESA KUNUNUA WACHUMIANTUMBO, WAKAT UTAINGEA
Haaaaaaaaa tena siasa hizo
Hawa vifua km panzi vipe
Hivi vijana wa ccm mnajisikiaje wanaponunuliwa kwa mamilioni halafu wewe upo tu unapgika kwa kupewa elfu 5 ili ukafanye vurungu kwa wapinzani wasiokijua chama wanakula mema ya nchi
😂....wanahabari sasa
Njaa kali sana jamani
Walinzi mhhh mnajua kutengeneza uongo nyee
Ficiemu. B
huyo wa viti maalum anatafuta dili za uteuzi tu hamna lolote
Njaa kali
Inasikitisha sana na inatia hasira kwakweli....
Chadema inazidi kufa
Hakiwezi kufa milele
Ccm ni wezi tuko tayari Shari kama chadema