ALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA NA WALINZI WA CHADEMA WAAJIUNGA NA CCM LEO HII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 119

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Месяц назад +6

    Ukuiona mwana chama anasema anarudi nyumbani ccm mwangalieni akili yake anaweza kuwa chizi apelekwe milembe kwanza poa yawezekana akili imefeli kule mbele Hana nafasi kaoma aludi nyuma mama Samia situka hao hawana jipya weka stoo ipigwe vumbi bidhaa chakavu hawafai kwa gziii

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Месяц назад +3

    Njaa mbaya sana

  • @johnkapinga755
    @johnkapinga755 Месяц назад +4

    Njaa hizoooo

  • @benardkinde8496
    @benardkinde8496 Месяц назад +10

    Danganya toto hakuna chama mbadala ni chadema vingine vinatumikia ccm hakuna atakaye danganyika na wanaohama chadema tunafahamu ni watu wasio itakia mema Tanzania

    • @omaryramdhani9823
      @omaryramdhani9823 Месяц назад

      Chadema ni CCM B chama cha upinzani ni C.U.F peke yake wenye akili timamu tulijua hilo

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +4

    Hatuhitaji Kwa Sasa wanasiasa mabadiliko ya taletwa na machinga na mamalishe siyo maraya wa kisiasa

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад +4

    Hawa wadangaji ni mibaunsa yale ya rangi ya upinde

  • @MonayLai
    @MonayLai Месяц назад +5

    Yaani wenzao ndio kwanza wanawabeza na kuwacheka, wanapiga soga tuu😁😁

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Месяц назад +2

    Nywele badia

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Месяц назад

    Chakura cha wabunge

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Месяц назад +2

    Usimuamini Kila Mtu Kwenye Maisha.Subirini Muone Mashushushu Awo.

  • @alexbujenja2750
    @alexbujenja2750 Месяц назад +3

    Nunueni tu ila 2025 tutapima wangap wataingia Bungen

    • @peterhelpeterluena9191
      @peterhelpeterluena9191 Месяц назад

      Kwani uchaguzi wa serikali za mitaa mtapata wangapi? CHADEMA ni genge la wahuni na wasaka pesa na wala hawana mpango wa kuongoza hii nchi na hawana huo uwezo. Hebu jiulize kile chama msomi ni nani?

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Месяц назад

      ​@@peterhelpeterluena9191kwahio ccm ni wasaka mavi?

    • @peterhelpeterluena9191
      @peterhelpeterluena9191 Месяц назад

      @@zawadimbwambo1091 vyovyote unavyoona wewe lakini ndio chama kinachoongoza nchi hii. Hiyo saccos, haiendi popote.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Месяц назад +3

    Ulikuwa wapi sku ZOTE,,mbona umechelewa sana

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle Месяц назад +1

    Wewe ni njaa tuwemakini watanzania kiongozi yeyote anayehamahama hafai kuwa kiongozi has wamenunuliwa tusisubutu

  • @sammymdemeka7937
    @sammymdemeka7937 Месяц назад

    Alihama Lowasa na Slaa CHADEMA Bado ipo

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Месяц назад

    Madiwani wa kutangazwa,,,hatuna madiwani wa kuchaguliwa

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Месяц назад

    Kwendaa chdema ni taasisi msitupasuevvichwa keendaaa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Месяц назад +1

    Ovyoo!Tumechoka

  • @AYUBURUGOYE
    @AYUBURUGOYE Месяц назад

    Tatizonjaaaaaa!!!!! Nautovuwanidhamu nakutokumbuka wanakotoka

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 Месяц назад

    Majitu yaliyokuwepo fccm yanabaki kuitikia tu. Chadema is more than blacksmith, every one attacking Chadema my Tanzanian brothers and sisters open you ayes

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Месяц назад +1

    Mbona unaonge hawakusikilizi dada pole Sana

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 Месяц назад +2

    Msimu wa uchaguzi umefika watanzania tutayaona mengi huu ni mwanzo tu. Haya bwana sisi tunaangalia "movie"..🙄🙄🙄

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Месяц назад

    Njaa Kali sana

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Месяц назад

    Yan kuliko kwenda ccm bora nife hicho chama nichamashetan

  • @IssaTayari
    @IssaTayari Месяц назад

    Uu ndo muda wakutafutwa vihelehele walud nyumban

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Месяц назад +2

    Ccm Kwa njaa iliyopo mtajua amani nini

  • @michaelchombo8956
    @michaelchombo8956 Месяц назад

    C.c.m mmekwisha hamna lolote,wananchi wameichoka

  • @allymganga3223
    @allymganga3223 Месяц назад

    Njaa mbaya aduwi yako Kweli muwombee nenda muheshimiwa mtaji ni ule ule msemo mama kaupiga mwingi mtu mnatowa mashavu wananchi wanalia njaa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Месяц назад

    Haibu

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES Месяц назад +1

    Hao na mangoma wako sawa😅😅😅

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Месяц назад +1

    Akuna kama chadema apa Tanzania ata mfanye nn Tanzania ina roho ya chadema

    • @Silay1034
      @Silay1034 Месяц назад

      Wew ni chizi chadema ndo dude gn mwenyekit wa milele hhhhhhhhhhhhh je je hiyo ndo democrasia we umerogwa Chama Cha kabisa hicho

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 Месяц назад

      @@Silay1034 mwenyekiti wa milele we unatetea kwa Sababu yanga yenyewe ndo CCM

    • @peterhelpeterluena9191
      @peterhelpeterluena9191 Месяц назад

      Hakuna chama hapo. Ni saccoss hiyo.

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 Месяц назад

      @@peterhelpeterluena9191 Kama chadema ni saccoss na CCM ni nini

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f Месяц назад

    Kidumu kwenye kichwa chako siyo kwetu ovyo

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl Месяц назад

    Watu wamechoka

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Месяц назад

    Chama ni watu

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle Месяц назад

    Wewe ccm Acha hizo zito ni ccm

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Месяц назад

    Mtashinda njaa siyo kura

  • @CosmasSengenge
    @CosmasSengenge Месяц назад

    Njaa mbaya, uwezi mkana baba yako ata kama nie taira

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Месяц назад

    Njaa

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Месяц назад

    CCM OUT CHADEMA IN 2025

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama Месяц назад

    Hata sauti yako hatuitaki kusikia ww ni msaka tonge huna jipya kwetu

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Месяц назад

    Utoporoo

  • @Edger-bn2mt
    @Edger-bn2mt Месяц назад

    Unamaliza mb ze2

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 Месяц назад +3

    Njaaa

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 Месяц назад

    Hii shida imeanza tena ya wachumia tumbo ,anajua chadema hapati na ccm hakuna kishindo labda waibe kura

  • @evelina9621
    @evelina9621 Месяц назад

    Jamani.hamsera.nyingine.jifunze
    Kwa.wenzenu.naona.makelele.fanyini.mambo.mazuri

  • @jacobmbeta5612
    @jacobmbeta5612 Месяц назад

    Wanasiasa ni viumbe ambao hawaaminiki na ile amri ya kukataza kusema uongo na dhambi ya tamaa haitawacha salama

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 Месяц назад

    Hawa wanaotoka upinzani na kurudi CCM. Ili hali walikikimbia ni dalili za uroho.

  • @user-sw7gm6ok4u
    @user-sw7gm6ok4u Месяц назад

    0:08 mmmm

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Месяц назад +1

    Mbona wamenuna wenyeji

    • @Nyalafu
      @Nyalafu Месяц назад

      Tena wenyeji wanasema wangebaki hukohuko

  • @user-ck7rs2de6g
    @user-ck7rs2de6g Месяц назад

    Kwan chadema ina wabunge 1:24

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 Месяц назад

    Hiki ndo mnakiweza Ccm,
    Acha wale matamu ya nchi na nyie Makada endeleeni kukijenga Chama

  • @mwitamwikwabe6611
    @mwitamwikwabe6611 Месяц назад

    Umepokelewa na wenyeji wko shingo upande wamekupa maiki badara wakusikilize tunasikia wanabiga kelele

  • @CristovaoMarioJaimeJaime
    @CristovaoMarioJaimeJaime Месяц назад

    Nacho waambia nyinyi wana CCM Ushauri mnao mpa Rais wenu kwamalengo yenu tofauti na yeye; ujue Makala uta fika the end Samia atafika the end , hao wauza miili yao kwaajiri ya kusariti ahadi zao za mapambano GOD he is going to pay him soon

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi Месяц назад +3

    Njaa kali wanasiasa

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Месяц назад

    Mbona hawa walinz hatuwajui chadema inamakomandoo ndo tunawajua km walinz hawa ni vijana wa lumumba

  • @johnsmwandu7338
    @johnsmwandu7338 Месяц назад

    Chadema mbona Haina wabunge wa vitu maalum wapo wabunge wa spika wa bunge tuu

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 Месяц назад

    njaa ni mbaya xana ikihamia kichwani

  • @MonayLai
    @MonayLai Месяц назад

    sasa wamewaswaga hadi waliofukuzwa ulinzi si kichekesho hili 😀😀

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Месяц назад

    Hakuna chadema aliyekuwa bungeni wadanganye wasenge kama,,,,,

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад

    Hakuna lolote nyinyi tunasubiri mwakani hamtakiwa na nafasi ccm

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Месяц назад

    Wanaume kibao mmejazana kwa ajil ya ujnga mtupu,mwsho wenu utafka tu hakuna atakaye tawala milele

  • @williamnyakasi2323
    @williamnyakasi2323 Месяц назад

    MAIGIZO

  • @MonayLai
    @MonayLai Месяц назад +3

    Hmm hawa hawajui siasa hizi zilishapitwa na wakati unaona kabisa wanatangaza kurudi ccm lakini wenzao ndio kwanza sura km wamelamba ndimu maana wanawaona kama ni wa kuja tuna kutishia kuchukua nafasi za wengine 😆

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese Месяц назад +1

    Nikumbusheni jamani hii njaa initwaje du anongea utporo

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Месяц назад

    Mnakosea saana kumtenganisha mh Rasi na Ayati Magufuli.....! Ivi mnajua mahana ya Kazi iendelee?

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Месяц назад

    Amekufa kifikra huyo

  • @sulemanndunguru114
    @sulemanndunguru114 Месяц назад

    Walinzi wanani

  • @sulemanndunguru114
    @sulemanndunguru114 Месяц назад

    uamuzi mgumu na mwepesi hata hueleweki

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co Месяц назад

    Dagañya toto

  • @MeshackErnest-qt6xi
    @MeshackErnest-qt6xi Месяц назад

    Wanachi wanataka Maendeleo sio siasa matope kama hizo wananchi wananjaa sasa watashiba wewe kuhamia CCM au hao mabaunsa

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni Месяц назад

    Yani kama vikatuni mbele ya walio ridhika.

  • @barakabusima
    @barakabusima Месяц назад

    😂eeeeeeh wacha wee😅

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Месяц назад

    Nchi hii hamna wa hivyo tena Gen z stanza muda si mrefu nyie fanyeni maigizo tu

  • @user-ux7kg2bw9l
    @user-ux7kg2bw9l Месяц назад

    Game zimeanza

  • @FrankEmmanuel-y1e
    @FrankEmmanuel-y1e Месяц назад

    Embu mniache niumzike Zang HIV Kwa akili ya kawaida mnawez uo cdm hiyo nindoto mtu aliyekuwa na nguvu halima mdee lkn Yuko wap ..embu achen dram zen msigwa ni wakawaida San cdm

  • @heriel2002
    @heriel2002 Месяц назад +1

    Inahuzunisha sana kuona j
    jaa zimeingia mpaka kichwani!
    Jambo la kushukuru ni kwamba wapokeaji wenyewe nao wamenuna haswaaa!!

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад

    😂😂😂😂 NYI

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 Месяц назад

    Nilishasema kwa wale tuliokuwepo miaka ya tisini kifo cha NCCR kinawakuta chadema

  • @hassanzuber
    @hassanzuber Месяц назад

    Mmmmmh cjui kama wanafaa hao kiongozi siku zote anamsimamo cna uhakika kama xio tamaa na njaa hiyo ni haki yao ila hao hawafai maana kesho wanaweza kurudi chadema wakasema hivyohivyo cwaamini kamwe ctawaamini ila tuwape kazi majukwaani lkn msiwasalihau wenye misimamo kwenye chama madaraka yanafaa wenye micmamo wasioyumba tuwape vyeo wakilinde chama ccm

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Месяц назад

    Hivi mnawaonaje watanzania ?

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Месяц назад

    Kumbe ukitoka ccm,Tena ukarudi ccm .kondooo walokatwa mkiaa😂😂😂😂

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka Месяц назад

    Acha ujinga

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Месяц назад

    Msitupange nyie na hiyo nunua nunua

  • @user-fu6qv4ug2v
    @user-fu6qv4ug2v Месяц назад

    Bongo movie

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Месяц назад +1

    Mijinga tuuu

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Месяц назад

    Hawa si ndio COVID 19 Waliofikuzwa hawa?!? 😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад

    Baunsa nao vp hao wameshindwa kubeba chuma wameona siasa inalipa

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Месяц назад +2

    Matahira nchi hii kibao

  • @bonifacemwanga3115
    @bonifacemwanga3115 Месяц назад +3

    CCM UPINZANI HAUTAZIMWA KWA MARANDA YA MBAO, MNAO VIJANA WAZRI, LAKIN KWA VILE.MMECHOKA MNAFIKIRI KUCHOTA MAKADA WA CHADEMA MTAPONA. MNAZIDI KUNUNUA WACHUMIA TUMBO, MNAZIDI KUCHOCHEA HASIRA KWA UMMA KUPOTEZA PESA KUNUNUA WACHUMIANTUMBO, WAKAT UTAINGEA

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi Месяц назад +1

    Haaaaaaaaa tena siasa hizo

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Месяц назад

    Hawa vifua km panzi vipe

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba6325 Месяц назад +2

    Hivi vijana wa ccm mnajisikiaje wanaponunuliwa kwa mamilioni halafu wewe upo tu unapgika kwa kupewa elfu 5 ili ukafanye vurungu kwa wapinzani wasiokijua chama wanakula mema ya nchi

  • @charlesmbise2344
    @charlesmbise2344 Месяц назад

    Njaa kali sana jamani

  • @danielkanso
    @danielkanso Месяц назад

    Walinzi mhhh mnajua kutengeneza uongo nyee

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад +1

    Ficiemu. B

  • @MonayLai
    @MonayLai Месяц назад +1

    huyo wa viti maalum anatafuta dili za uteuzi tu hamna lolote

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Месяц назад

    Njaa kali

  • @ericlowasa3097
    @ericlowasa3097 Месяц назад

    Inasikitisha sana na inatia hasira kwakweli....

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад +1

    Chadema inazidi kufa

  • @Noelkitoi
    @Noelkitoi Месяц назад

    Ccm ni wezi tuko tayari Shari kama chadema