![LONGA TV](/img/default-banner.jpg)
- Видео 937
- Просмотров 4 162 195
LONGA TV
Танзания
Добавлен 14 май 2019
We are always open to negotiations with copyright holders, if you tell us that your content is on our website and you are against it, we are ready to delete it
Видео
DAKIKA 40 ZA CPA AMOS MAKALLA NDANI YA KATA YA WAZO ZAIBOMOA UPINZANI AMWAGA CHECHE
Просмотров 3314 дня назад
SHAWEJI NA BANANGA WANENA KWENYE MKUTANO WA CPA MAKALLA KATA YA WAZO
Просмотров 774 дня назад
ALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA NA WALINZI WA CHADEMA WAAJIUNGA NA CCM LEO HII
Просмотров 25 тыс.4 дня назад
SHANGWE LA WANA WAZO KWA MBUNGE GWAJIMA KWENYE MKUTANO WA CPA AMOS MAKALLA
Просмотров 5074 дня назад
ALBERT CHALAMILA AWAJIBU WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO WALIONDAMANA KWENDA OFISI ZA CCM
Просмотров 764 дня назад
MKUU WILAYA YA KINONDONI SAAD MTAMBUKE AELEZEA JINSI ILANI YA CCM ILIVYTEKELEZWA KINONDONI
Просмотров 124 дня назад
UPENDO PENEZA - ' CHADEMA IMEJAA RUSHWA /MBOWE ANA WAHADAA WANANCHI
Просмотров 6 тыс.4 дня назад
MSIGWA AFICHUA MAZITO KUHUSU CHADEMA NA MBOWE /ATAJA SABABU ZA KUHAMA CHAMA /WANACCM WAMTUNZA PESA
Просмотров 22 тыс.4 дня назад
NI KESHO NDUGU AMOS MAKALLA NDANI YA KATA YA WAZO /MAANDALIZI YOTE YAMEKAMILIKA
Просмотров 855 дней назад
CCM KATA YA WAZO WAANZA MAANDALIZI YA KUMPOKEA KATIBU H/KUU TAIFA ,ITIKADI NDUGU AMOS MAKALA
Просмотров 2106 дней назад
DAWASA WAANZA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA WAZIRI AWESU USAMBAZAJI MAJI WAZO WAANZA / MKURUGENZI ANENA
Просмотров 567 дней назад
DIWANI MANYAMA NA WANANCHI WA KATA YA WAZO WAMSHUKURU MH RAIS SAMIA SULUHU KWA USAMBAZAJI WA MAJI
Просмотров 667 дней назад
DAWASA YAWAFIKIA WAKAZI WA KATA YA WAZO MAJI KUANZA KUUNGANISHWA/WAGAWA VIFAA KWA WANANCHI
Просмотров 1707 дней назад
KATIBU WA SIASA NA UENEZI DAR ,ALLY BANANGA AWAASA DAWASA NA WANANCHI WA KATA YA WAZO KUHUSU ANKARA
Просмотров 257 дней назад
SIO KAWAIDA KWA BINADAMU KULA M AAF TAPISHI YAKE MWENYEWE NIME YA ONA KWA MSIGWA TU NJAA MBAYA INA AIBISHA KWELI ONA ANAVYO AIBIKA MWENJETU
Wewe sio Mkristo Mkristo Mwongo Tamaa ya Tumbo ni Ibirisitu
LOWASSA alivyohama hakusema kitu dhidi ya CCM na hata alivyorudi CCM alisema nimerudi nyumbani. Why ninyi mnakuwa wajinga wajinga kiasi hiki?
Utopian politics
Speech less
kwahiyo una twambia ulikua huna Akili ?.
Yuda huyo.......... Pokea za huruma izo
Njaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Chadema wamekwisha wagunge vilago vyao
Cdm chini huku chin hawana neno kule juu ni tatizo jila aliye gusa lazima utoke chama cha mtu hicho ohooooooo
Msigwa ni Upepo huu
Chuyu ni yuda
Yan kuliko kwenda ccm bora nife hicho chama nichamashetan
Wewe ni mnafiki sana,nahili litapita
Kwa miaka 20 hakujua kama Chadema hakifai,kaja kujua leo baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa Kanda,Njaa mbaya sana
Ammejiunga mashetan wenzake
Chadema wahuni wengi
Chadema wahuni wengi
Njaa inakusumbua wewe
❤❤❤❤
Mchungaji karibu sana achana na hao wendawazimu hawajui hata wanachokitetea
ILA WEWE MSIGWA UNAJUA KUHARIBU JAMANI
Me nadhan ht kada wa ccm anayejitambua hawezi kukubaliana na huyu nabii wa uongo
Chama ni watu
Mwarabu mkwabwa hapa iringa kamwaribu msigwa
Matapeli hawana sura si dini wala siasa. Watanzania watakuwa wajinga kumsikiliza huyu tapeli wa dini na siasa.
Hiyo hafai hatakudogo
RAIS WETU MAMA YETU SAMIA , ANATOSHAAAA ❤
Critical thinking!!!😊
Alihama Lowasa na Slaa CHADEMA Bado ipo
Wow wow wow wow!
Mchj MSIGWA hongera Sana kurudi "Nyumbani " wewe si kwanza, nA wala usiogope, mtoto anarudi nyumbani wakati wowote, bibilia unajua vizuri. Usiogope, tetea haki yako mwenyewe! Big up Sana. Mtumishi wa Mungu roho mtakatifu afundishaye yuko
❤
Haya maneno ungoonge Somali sijui
Wewe msigwa njaaa inakusumbua. Watanzani tunajielewa sana. Uwezi kutuambia chochote. Njaa tu.na rahana iwe juu yako na family yako
Maalim seif aliambiwa hivyohivyo.ccm hujidanganya wanazan maalim ndio kafu kafunndio maalim km mbowe na chadema
Tukutane mwaka hujao
Kweli adui wako muombee njaa kukosa uongozi ndio lina kutoka povu
Hata haijaelekea unafk ndio umekumbuwa
Njaa mbaya sana 😂
Ucha hayo ingia kwenye hoka njaa hiyo ya madaraka
Hana chake upizani mhimu
Uu ndo muda wakutafutwa vihelehele walud nyumban
Kwani ukisema tu nimehama kwamapenzi yako hautaeleweka
Umalaya tu ndio unakusumbua nilikuwa nakuamini sana lakin kwa huu usenge hutakaa uione pepo walah
Chama cha CCM mmeshindwa kuelezea majukumu ya Wananchi badala yake mnahangaika na Chadema kisichokuwa na Dola!
Hayo ya wapinzani wasipate kiti HATA kimoja kawaambie kwako na mkeo kwanza wewe NI mzima kweli?.sisiemu mnapokea na wehu.huyo mkampime akiri eti na nyinyi mnampigia TU makofi na ninyi NI wehu TU.
Kuna hoja sahivi huyo anarekebisha mambo yake huyo hana sera subirini baada ya hapo atakuja potea njaa ya madaraka ni mbaya
Hana hoja msigwa akae kwa wezi wenzie CCM.
Eti ni kamchungaji kaangalie usoni cjui kanachunga nini? kaache kafanyike karai la Lami katumike baada shughuri kuisha katupiliwe mbali. na uache uongo hawa Watanzania siyo wajinga kama wewe wanakuchora tu alafu wanakuona bwege tu.pumbavuuu.