LONGA TV
LONGA TV
  • Видео 937
  • Просмотров 4 162 195

Видео

UPENDO PENEZA - ' CHADEMA IMEJAA RUSHWA /MBOWE ANA WAHADAA WANANCHIUPENDO PENEZA - ' CHADEMA IMEJAA RUSHWA /MBOWE ANA WAHADAA WANANCHI
UPENDO PENEZA - ' CHADEMA IMEJAA RUSHWA /MBOWE ANA WAHADAA WANANCHI
Просмотров 6 тыс.4 дня назад

Комментарии

  • @user-zj8sx5qd5t
    @user-zj8sx5qd5t Час назад

    SIO KAWAIDA KWA BINADAMU KULA M AAF TAPISHI YAKE MWENYEWE NIME YA ONA KWA MSIGWA TU NJAA MBAYA INA AIBISHA KWELI ONA ANAVYO AIBIKA MWENJETU

  • @user-zj8sx5qd5t
    @user-zj8sx5qd5t Час назад

    Wewe sio Mkristo Mkristo Mwongo Tamaa ya Tumbo ni Ibirisitu

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 Час назад

    LOWASSA alivyohama hakusema kitu dhidi ya CCM na hata alivyorudi CCM alisema nimerudi nyumbani. Why ninyi mnakuwa wajinga wajinga kiasi hiki?

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 Час назад

    Utopian politics

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso4488 Час назад

    Speech less

  • @user-zj8sx5qd5t
    @user-zj8sx5qd5t Час назад

    kwahiyo una twambia ulikua huna Akili ?.

  • @chachaamos5735
    @chachaamos5735 7 часов назад

    Yuda huyo.......... Pokea za huruma izo

  • @chachaamos5735
    @chachaamos5735 7 часов назад

    Njaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MichaelMgongolwa-w9n
    @MichaelMgongolwa-w9n 8 часов назад

    Chadema wamekwisha wagunge vilago vyao

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 10 часов назад

    Cdm chini huku chin hawana neno kule juu ni tatizo jila aliye gusa lazima utoke chama cha mtu hicho ohooooooo

  • @felixchale9691
    @felixchale9691 10 часов назад

    Msigwa ni Upepo huu

  • @user-rj2kt5qg5y
    @user-rj2kt5qg5y 11 часов назад

    Chuyu ni yuda

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 11 часов назад

    Yan kuliko kwenda ccm bora nife hicho chama nichamashetan

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman 11 часов назад

    Wewe ni mnafiki sana,nahili litapita

  • @bukheribukheri798
    @bukheribukheri798 11 часов назад

    Kwa miaka 20 hakujua kama Chadema hakifai,kaja kujua leo baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi wa Kanda,Njaa mbaya sana

  • @febby8308
    @febby8308 12 часов назад

    Ammejiunga mashetan wenzake

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 12 часов назад

    Chadema wahuni wengi

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 12 часов назад

    Chadema wahuni wengi

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 13 часов назад

    Njaa inakusumbua wewe

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 13 часов назад

    ❤❤❤❤

  • @nuhumwambani134
    @nuhumwambani134 14 часов назад

    Mchungaji karibu sana achana na hao wendawazimu hawajui hata wanachokitetea

  • @mathiaspeter397
    @mathiaspeter397 14 часов назад

    ILA WEWE MSIGWA UNAJUA KUHARIBU JAMANI

  • @gerachtangatya2835
    @gerachtangatya2835 14 часов назад

    Me nadhan ht kada wa ccm anayejitambua hawezi kukubaliana na huyu nabii wa uongo

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k 14 часов назад

    Chama ni watu

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u 14 часов назад

    Mwarabu mkwabwa hapa iringa kamwaribu msigwa

  • @georgerimoy4744
    @georgerimoy4744 15 часов назад

    Matapeli hawana sura si dini wala siasa. Watanzania watakuwa wajinga kumsikiliza huyu tapeli wa dini na siasa.

  • @user-mi7sr8yq2g
    @user-mi7sr8yq2g 16 часов назад

    Hiyo hafai hatakudogo

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 16 часов назад

    RAIS WETU MAMA YETU SAMIA , ANATOSHAAAA ❤

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 16 часов назад

    Critical thinking!!!😊

  • @sammymdemeka7937
    @sammymdemeka7937 16 часов назад

    Alihama Lowasa na Slaa CHADEMA Bado ipo

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 16 часов назад

    Wow wow wow wow!

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 16 часов назад

    Mchj MSIGWA hongera Sana kurudi "Nyumbani " wewe si kwanza, nA wala usiogope, mtoto anarudi nyumbani wakati wowote, bibilia unajua vizuri. Usiogope, tetea haki yako mwenyewe! Big up Sana. Mtumishi wa Mungu roho mtakatifu afundishaye yuko

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 16 часов назад

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam 17 часов назад

    Haya maneno ungoonge Somali sijui

  • @msomaliwilliam
    @msomaliwilliam 17 часов назад

    Wewe msigwa njaaa inakusumbua. Watanzani tunajielewa sana. Uwezi kutuambia chochote. Njaa tu.na rahana iwe juu yako na family yako

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 18 часов назад

    Maalim seif aliambiwa hivyohivyo.ccm hujidanganya wanazan maalim ndio kafu kafunndio maalim km mbowe na chadema

  • @user-vp5zi2xe3m
    @user-vp5zi2xe3m 18 часов назад

    Tukutane mwaka hujao

  • @user-vp5zi2xe3m
    @user-vp5zi2xe3m 18 часов назад

    Kweli adui wako muombee njaa kukosa uongozi ndio lina kutoka povu

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 18 часов назад

    Hata haijaelekea unafk ndio umekumbuwa

  • @DeoMosha-xw2lr
    @DeoMosha-xw2lr 19 часов назад

    Njaa mbaya sana 😂

  • @EmanuelyMalugu
    @EmanuelyMalugu 19 часов назад

    Ucha hayo ingia kwenye hoka njaa hiyo ya madaraka

  • @EmanuelyMalugu
    @EmanuelyMalugu 19 часов назад

    Hana chake upizani mhimu

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 19 часов назад

    Uu ndo muda wakutafutwa vihelehele walud nyumban

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 19 часов назад

    Kwani ukisema tu nimehama kwamapenzi yako hautaeleweka

  • @NicolasSteven-zr2hx
    @NicolasSteven-zr2hx 20 часов назад

    Umalaya tu ndio unakusumbua nilikuwa nakuamini sana lakin kwa huu usenge hutakaa uione pepo walah

  • @michaelmlyuka6032
    @michaelmlyuka6032 20 часов назад

    Chama cha CCM mmeshindwa kuelezea majukumu ya Wananchi badala yake mnahangaika na Chadema kisichokuwa na Dola!

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 20 часов назад

    Hayo ya wapinzani wasipate kiti HATA kimoja kawaambie kwako na mkeo kwanza wewe NI mzima kweli?.sisiemu mnapokea na wehu.huyo mkampime akiri eti na nyinyi mnampigia TU makofi na ninyi NI wehu TU.

  • @danielkanso
    @danielkanso 21 час назад

    Kuna hoja sahivi huyo anarekebisha mambo yake huyo hana sera subirini baada ya hapo atakuja potea njaa ya madaraka ni mbaya

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 21 час назад

    Hana hoja msigwa akae kwa wezi wenzie CCM.

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r 21 час назад

    Eti ni kamchungaji kaangalie usoni cjui kanachunga nini? kaache kafanyike karai la Lami katumike baada shughuri kuisha katupiliwe mbali. na uache uongo hawa Watanzania siyo wajinga kama wewe wanakuchora tu alafu wanakuona bwege tu.pumbavuuu.