MSIGWA AFICHUA MAZITO KUHUSU CHADEMA NA MBOWE /ATAJA SABABU ZA KUHAMA CHAMA /WANACCM WAMTUNZA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 357

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe5116 Месяц назад +6

    Wapinzani wasipate kiti kwani kura mnapiga wewe na mkeo

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe5116 Месяц назад +5

    Huyu tapeli atafurahiwa na walevi wenzie malaya wa kisiasa hafai

  • @mathiaspeter397
    @mathiaspeter397 Месяц назад +7

    ILA WEWE MSIGWA UNAJUA KUHARIBU JAMANI

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 Месяц назад +5

    Aiseee!!! Wewe jamaa sikujua kama upo hivo

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 17 дней назад

    Hongera sana Mhe Msigwa kwa uamuzi wako wa kuinama CDM kuja Chama chetu CCM hongera sana Mheshimiwa.

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 22 дня назад +2

    Ninge kuwa mm msigwa ninge jiuzulu siasa nibaki na kanisa

  • @user-ss1ph9vp7h
    @user-ss1ph9vp7h Месяц назад +2

    Msigwa acha unafiki hadi sasa bado unazungumza UCHADEMA maana bado unasema chama changu cha CHADEMA

  • @mussamalekela2107
    @mussamalekela2107 Месяц назад +4

    Kasema kweli sasa chadema ndio ichukue nchi waziri mkuu utampa nani kwa mfano! Kumejaa wahuni tupu, wenye akili wote nkurunziza kawaondoa kwa hila zake.

  • @user-ox9cu9hx2r
    @user-ox9cu9hx2r Месяц назад +7

    Chadema chama cha wachaga sio cha watanzania kama kubakia angebaki zitto tatizo ubinafsi

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 Месяц назад

      Kweli kabisa, sugu, Heche, Wenje, Lisu, Jacob, ni wachaga

    • @geoffreymagessa289
      @geoffreymagessa289 Месяц назад

      Kama ni Chama wa wachaga, wewe ungekuwa mbunge?

    • @lucasmallugu9904
      @lucasmallugu9904 Месяц назад

      Siyo kweli! Kama.ni chama cha wavhaga, kisingepata usajili

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 Месяц назад

      Wakati umefika kwa Tundu, Heche, Wenje, Sugu, Jacob kutoka Chadema na kuunda Chama kipya cha siasa, tena wasisubiri baada ya 2025 maana watakuwa wamempatia Freeman ulaji.
      Huyu Msigwa naamini analiwakikisha kundi la akina Tundu, sema Tundu ana ndoto za kugombea urais jambo ambalo Freeman sidhani kama atakubali kumwachia kwani anajua Chadema ndiyo inaelekea mwisho hivyo.
      Heche, Sugu n.k. wana ndoto za kuchaguliwa wabunge wanaogopa kuiacha Chadema. Watakwenda wapi?
      Siasa ni hataree!

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +5

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉Karibuuuuuuuuu sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад +6

    Mchj MSIGWA hongera Sana kurudi "Nyumbani " wewe si kwanza, nA wala usiogope, mtoto anarudi nyumbani wakati wowote, bibilia unajua vizuri. Usiogope, tetea haki yako mwenyewe! Big up Sana. Mtumishi wa Mungu roho mtakatifu afundishaye yuko

  • @joycejoel1633
    @joycejoel1633 Месяц назад +2

    Mimi sio mwana siasa,ila Msigwa umekua mwongo sana mwogope Mungu ulikua wapi kuhama kabla hujashindwa kwenye uchaguzi wa kanda? Mimi ningekuona wa maana sana kama ungejiuziru ukiwa bado uko madarakani.hapo ni uwango sana

  • @vicentyohaniskivike1266
    @vicentyohaniskivike1266 Месяц назад +3

    Tamaa zimekutoa chadema

  • @nickolassimion
    @nickolassimion Месяц назад +2

    We MCH kweli. Bado unaweza kuwasema watu vibaya. Ujasoma biblia Nini.

  • @julianamichael1848
    @julianamichael1848 17 дней назад +1

    Msigwa muogope Mungu

  • @Jobiso
    @Jobiso Месяц назад +12

    Njaa mbaya sana kweli

    • @FrankGabriely-up5yo
      @FrankGabriely-up5yo Месяц назад +1

      Huna uchungaji hiyo ni njaa

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Месяц назад

      ​@@FrankGabriely-up5yo Sasa hapa Mwenye njaa ni Nani Kama sio Wewe Mdogo Wangu

  • @user-kp5jy5fy8y
    @user-kp5jy5fy8y 20 дней назад +1

    Mchumbiaji msigwa ana haki kwenda chama chochote ila asitukane wakunga uzazi ungalipo

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Месяц назад +3

    Hamna Kitu hapo, alipaswa hilo la Uchungaji bora angeliondoa✌

  • @alfagindo7814
    @alfagindo7814 Месяц назад +2

    Wewe baba futa jina au neno Mchungaji, Unawachafua wachungaji waaminifu!! Acha kuongea uongo kwan weee ulipokuwa kulunzinza hiyo miaka 20 ulikuwa hujisemi???! Sema kwel acha kutetea tumbo, utahukumiwa kwa haki ukifika huko ccm ukaacha kutetea wanachi na kuangalia masilahi yako huku wanyonge tunateseka!!

  • @user-ho1cb4pj6o
    @user-ho1cb4pj6o 16 дней назад

    Kweli njaa inatufanya watu tununuliwe msigwa njaa imemfikisha hapo niaibu amejizalilisha sio mchungsji ni shetani mungu anakuona ccm atuitaki

  • @BhelekiaBhelekia
    @BhelekiaBhelekia Месяц назад +1

    Ubongo wa Peter safari hii Dishi limeyumba😂

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 Месяц назад +4

    CCM msimpe nafasi ya kugombea huyu Msigwa,kaletwa njaa tu CCM hana lolote,alivyobwagwa Chadema ndo kaiona CCM????????????? Hafai kuwa kiongozi huyu

  • @swedywamba5535
    @swedywamba5535 Месяц назад +4

    Kunywa chai kaka kule ulikua unapata shida tuh

  • @janeaniceth4751
    @janeaniceth4751 Месяц назад +1

    Duu kumbe nkulunziza ndio mboe naombeni like Kama umemuelewa nkulunzinza

  • @irenesanga8732
    @irenesanga8732 Месяц назад +3

    Kiongozi mkubwa sana Msigwa,Mungu amekuinua,sasa CCM ikutumie vizur kwa mstakabar wa nchi yetu❤

  • @ShaboMaguru
    @ShaboMaguru 17 дней назад +1

    Siasa ni kama kupiga chapati kuiva kwake ni kugeuza huku na huku duu!

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 22 дня назад

    Mungu atu saidie iinchi

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Месяц назад +3

    Cdm chini huku chin hawana neno kule juu ni tatizo jila aliye gusa lazima utoke chama cha mtu hicho ohooooooo

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Месяц назад +1

    Msigwa njaa inakusumbua hata ulikoenda ccm hufai acha kutudanganya watanzania

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад

    RAIS WETU MAMA YETU SAMIA , ANATOSHAAAA ❤

  • @amaniamani6391
    @amaniamani6391 Месяц назад

    Tamaaaaaa

  • @emmanuelmarko8442
    @emmanuelmarko8442 Месяц назад +1

    Kalio ni kalio tu

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Месяц назад +6

    Oyoo kichaa wa kisiasa msigwa we ni kenge maji

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Месяц назад +2

    Nkurunzinza hoyeeee

  • @angelinnamkingi2219
    @angelinnamkingi2219 Месяц назад +3

    Hongera sana msigwa kwa kuvua gwanda!!!

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 Месяц назад +3

    Msigwa,masikini,umekwisha,umepwaya,wala siyo mchungaji wewe,utopolo mtupu.
    Baba mzima,unakula matapishi.
    Miaka kumi ya ubunge wako, mwongo mkubwa wewe.

  • @RwidhiaRichard
    @RwidhiaRichard Месяц назад +1

    Njaa mbaya sana

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Месяц назад +1

    Magufuli mtamkumbukaa magu oooooooooooooooyeeeeeeeeeeeee!

  • @EmmanuelMsangi-kb3vv
    @EmmanuelMsangi-kb3vv Месяц назад +1

    Mm ni mwana ccm ila hawa viongozi hama hama cwakubal kabisa

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 Месяц назад +2

    Wewe ni Mwehu kabisa angalia unvyofurahi kupokea vipande thelathini vya fedha ambavyo ulijidai wakati wa Magufuli kwamba umekataa unadhani uko sawa kweli?

  • @nuhumwambani134
    @nuhumwambani134 Месяц назад +1

    Mchungaji karibu sana achana na hao wendawazimu hawajui hata wanachokitetea

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo Месяц назад +8

    Mpaka anaona aibu ananunuliwa Kama changudoa

  • @davidkalingathephotoman2079
    @davidkalingathephotoman2079 Месяц назад

    Hakuna mchungaji msariti dunia hii, kama wew hunajipya unaukata tu, funga Domo hilo😅😅😅😅

  • @samuelpeterkaaya1211
    @samuelpeterkaaya1211 Месяц назад +1

    Hautafika mbali na Unafiki wako

  • @user-jg8yv3xt2b
    @user-jg8yv3xt2b Месяц назад

    Tamaa ya madaraka.

  • @ludanitarimo2429
    @ludanitarimo2429 Месяц назад +2

    Sasa ni upumbavu haki ila msigwa weka Akiba ya maneno

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo Месяц назад +3

    Ww mjinga mbowe ana hela kabla ya chadema

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 Месяц назад +1

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад +1

    Huyo anataka kitu kule alikotoka kakosa kitu hafai tunaweza kupata wanachama vijijini wengi tu huyo tusimpe nafasi ccm a ataka kitu

  • @allyopi6101
    @allyopi6101 Месяц назад

    Njaaimekupeleka huko hunaujanja ndomanaumeshindwa hatanauchungaji shenzy sana

  • @user-ww2yw6hf9n
    @user-ww2yw6hf9n Месяц назад

    Karib ccm

  • @erickbenjamini8154
    @erickbenjamini8154 Месяц назад +10

    Wana siasa Malaya Malaya 😅😅

  • @ORG960
    @ORG960 Месяц назад

    Njaaa tuuu huna hoja ya msingi wa kushawishi jamii, dhambi ya uasi ni sawa na dhambi ya uchawi....

  • @stevenemmanuely1349
    @stevenemmanuely1349 Месяц назад +1

    huyo ni msaka tonge kama msakatonge wengine

  • @jerome3143
    @jerome3143 Месяц назад +1

    anataka uruma ya samia kama akina waitara na akina nasari na wengineo

  • @NicolasSteven-zr2hx
    @NicolasSteven-zr2hx Месяц назад +1

    Umalaya tu ndio unakusumbua nilikuwa nakuamini sana lakin kwa huu usenge hutakaa uione pepo walah

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад

    Wow wow wow wow!

  • @ZainabuHassani-fe8ur
    @ZainabuHassani-fe8ur Месяц назад

    Sasa punguza sauti hapa hatugombani sisi ccm ni wasitarabu ongea kwa staha

  • @irenemwakalinga
    @irenemwakalinga Месяц назад

    Sema msigwa chadema hawana lao

  • @josephmyovela5815
    @josephmyovela5815 Месяц назад

    Ccm wanaumia Msigwa anaenda kulamba Dume sio muda..

  • @JeremiahKaliwa-h1w
    @JeremiahKaliwa-h1w 27 дней назад

    Tamaa haijamuacha mtu salama

  • @user-zl9pl2ib4q
    @user-zl9pl2ib4q Месяц назад

    Kinachowaponza Wana siasa kutokua na msimamo muone msigwa alivyo kuwa mjinga kama anasema viongozi wa chadema ni waongo yeye pia ni miongoni mwa hao mana nae ametokea huko Hans jipya

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Месяц назад +1

    Propaganda, mbona hujasema ulipokuwa huko...

  • @issakikwazi-jm5rq
    @issakikwazi-jm5rq Месяц назад

    mimi siyo ccm ila sijawahi kuwakubali baadhi ya watu wa chadema viongozi wengi pale chadema ni mashushushu wa ccm cheki huyu boya anavyo ropoka hivi huyu ndo msigwa tunae mjua au

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Месяц назад

    Sema MCHUNGAJI safi sana

  • @evancegidion9155
    @evancegidion9155 Месяц назад +1

    Tunampokea ila ametoka na hasira zake za uchu wa uongozi hivyo tuwe makini nae, aje atulie tumuone kwa muda

  • @francohaule-ci7ii
    @francohaule-ci7ii Месяц назад +1

    Sasa msigwa hii aibu siku ya mwisho utamwambia nini MUNGU

  • @CastorGwamaka
    @CastorGwamaka 23 дня назад

    Huyo njaa tuu hamna kitu hapo

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Месяц назад +3

    Uza Sera Za Chama Chako Chakavu Siyo Kumtuhumu Mwamba Ni Habari Nyingine, Wewe Umeamua Kujiuza Endelea Na Biashara Ya Uchangudoa Who Care's!.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Месяц назад

      Ukweli unauma, CHAGADEMA hawana mpya dogo ni taasisi ya makengeza Mbowe dumu daima.
      Kongole Msigwa

  • @amanimakombe7141
    @amanimakombe7141 Месяц назад +3

    Hapo tuu ndo wanasiasa wanapokosea leo ukitoka ccm lazima utukane hatakama kiko salama

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Месяц назад

    KOMAA KAMANDA.

  • @petermgidange8072
    @petermgidange8072 Месяц назад

    Kamanda! Wimbo wa zamani sana bongo fleva

  • @IddyNjaluye
    @IddyNjaluye Месяц назад +2

    Hongera msigwa katibu sana

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Месяц назад +1

    Baba Tena 😅😅😅😅 hii Kali chizi uyuuu

  • @robertcharz518
    @robertcharz518 Месяц назад +1

    naona wanamrushia vitonge vitonge taratibu

  • @RauwrencMbwana
    @RauwrencMbwana Месяц назад

    Wabaya ni watu umefeli sana

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Месяц назад +1

    Ubaya ubwela..sasaivi..ccm..watakuwa wanamwita tu msigwa...awanange 😂😂shenzii chama cha wachaga 😂

  • @saidihamisi9285
    @saidihamisi9285 Месяц назад

    Wana siasa wote ni waongo wametuona Kama sisi ni zumbukuku

  • @joachimephata8221
    @joachimephata8221 Месяц назад +1

    Kafanye kazi ya mungu achana na sias,,

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 Месяц назад

      Msigwa usinyee Kambi. Inamaana ukitoka CCM utawasema vibaya very unprofessional
      Mchungaji Msigwa.
      Wewe Zungumuza sera sio kutoa siri za ulikotoka. CCM be careful with Msigwa. Na nyie mtasemwa akijakuondoka CCM

    • @lukamkonongwa1933
      @lukamkonongwa1933 Месяц назад

      Political prostitute

  • @user-mi7sr8yq2g
    @user-mi7sr8yq2g Месяц назад +1

    Hiyo hafai hatakudogo

  • @abedymigodela1314
    @abedymigodela1314 Месяц назад +2

    Mimi nina uhakika mkubwa sana peter msigwa siku sio nying atalia kilio kibaya sanaaaaaa

  • @user-yk3cj4kb4k
    @user-yk3cj4kb4k Месяц назад

    Huna aibu looo kwa kweli utaenda mbinguni ukiwa umechoka

  • @hidnakirungi6546
    @hidnakirungi6546 Месяц назад

    Ili ltaumza upnzan milele tuache kung'ania madaraka tupshane ktk nafas za uongoz kuepusha ii mitihan!!

  • @LucyShine-k4f
    @LucyShine-k4f Месяц назад

    Aaaaaa.......hata wewe ni mwongo.

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Месяц назад +5

    Sijui huyu Mchungaji wa kanisa gani Muulize makala aliko mtoa

  • @elishandagala8677
    @elishandagala8677 Месяц назад +1

    Tapika yote unayoyajua lakini "Ukweli umeumbwa na Mungu na Ukweli ni Ukweli hata kama fake pastor umeamua kuukataa Ukweli huo. Ukweli ni kwamba "Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa". Unayedhani unamjua saana chama chako kinakuenjoye kwa sababu kinamjua zaidi ya upeo wako unavyomjua ndiyo maana kimekua tume nibebe na polisi nibebe katika chaguzi. Ulikuwa ukipigania katiba mpya, sasa hutaweza Kwa sababu chama chako kinaamini katiba mpya ni katiba ya Chadema.

  • @EngJosh
    @EngJosh Месяц назад +2

    Aibu sana

  • @YussufAme-k8z
    @YussufAme-k8z Месяц назад +1

    Huo uhuru , haki na democrasia msigwa unaijua au unaiskia tuu kwenye maneno na maandishi. Jee ccm Wana toa haki wanatoa uhuru democrasia ipo acha kuwadanganya wananchi wa Tanzania. Pumbavu

  • @DeborahEmmanuel-b5d
    @DeborahEmmanuel-b5d Месяц назад

    Jaman jaman

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +1

    Mtani kaingia kazini Ccm hoyoooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c Месяц назад +1

    Yaani hao unaowahubiri nao wapo busy na mambo yao huku wanakucheka. Uwiii

  • @julianamichael1848
    @julianamichael1848 17 дней назад

    Msigwa mmmmmm

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 Месяц назад +2

    Mungu atakuaibisha

  • @noahkamendu9081
    @noahkamendu9081 Месяц назад +1

    Tamaa tuuu

  • @KasamwaKaberelo
    @KasamwaKaberelo Месяц назад

    Huy sio mchungaj Ni mbumbav

  • @patrickymkoma3558
    @patrickymkoma3558 Месяц назад +1

    Umewavua nguo

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Месяц назад +1

    Hawa ni hazina kubwa ya taifa

  • @BakariHamisi-y5m
    @BakariHamisi-y5m 17 дней назад

    Mchungaji huna kanisa kachunge kondoo wa Bwana utapata aibu hapahapa duniani

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Месяц назад +1

    Yani msigwa unaoneka wa hovyo kabisa Bora unyamaze
    Ww washukuru chadema kwa walipokutoa chapa kazi ukiwa ccm tetea wananchi

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад +1

    Mimi ccm lakini siyo jambo nzuri kuwakaribisha watu toka vyama vya upizani hao hawafai lnamaana wanatamaa ya uongozi mnajuaje kama wanakuja kutuvuruga? Jambo hii tukatae

    • @user-lm3lt7xx6l
      @user-lm3lt7xx6l Месяц назад

      Tatizo la nyie ccm shida sio mpinzan na mnajuwa vyema km mtu aliye kutukana miaka Leo umuamin shida ya ccm wanazan mpinzan akija ccm wananchi watamin km ccm ndio kilakitu .na wanazan watawachanganya viongozi wa upinzani hayo ni kutumia pesa za uma mana ccm ni serekali