Kasema kweli sasa chadema ndio ichukue nchi waziri mkuu utampa nani kwa mfano! Kumejaa wahuni tupu, wenye akili wote nkurunziza kawaondoa kwa hila zake.
Wakati umefika kwa Tundu, Heche, Wenje, Sugu, Jacob kutoka Chadema na kuunda Chama kipya cha siasa, tena wasisubiri baada ya 2025 maana watakuwa wamempatia Freeman ulaji. Huyu Msigwa naamini analiwakikisha kundi la akina Tundu, sema Tundu ana ndoto za kugombea urais jambo ambalo Freeman sidhani kama atakubali kumwachia kwani anajua Chadema ndiyo inaelekea mwisho hivyo. Heche, Sugu n.k. wana ndoto za kuchaguliwa wabunge wanaogopa kuiacha Chadema. Watakwenda wapi? Siasa ni hataree!
Mchj MSIGWA hongera Sana kurudi "Nyumbani " wewe si kwanza, nA wala usiogope, mtoto anarudi nyumbani wakati wowote, bibilia unajua vizuri. Usiogope, tetea haki yako mwenyewe! Big up Sana. Mtumishi wa Mungu roho mtakatifu afundishaye yuko
Mimi sio mwana siasa,ila Msigwa umekua mwongo sana mwogope Mungu ulikua wapi kuhama kabla hujashindwa kwenye uchaguzi wa kanda? Mimi ningekuona wa maana sana kama ungejiuziru ukiwa bado uko madarakani.hapo ni uwango sana
Wewe baba futa jina au neno Mchungaji, Unawachafua wachungaji waaminifu!! Acha kuongea uongo kwan weee ulipokuwa kulunzinza hiyo miaka 20 ulikuwa hujisemi???! Sema kwel acha kutetea tumbo, utahukumiwa kwa haki ukifika huko ccm ukaacha kutetea wanachi na kuangalia masilahi yako huku wanyonge tunateseka!!
Msigwa,masikini,umekwisha,umepwaya,wala siyo mchungaji wewe,utopolo mtupu. Baba mzima,unakula matapishi. Miaka kumi ya ubunge wako, mwongo mkubwa wewe.
Wewe ni Mwehu kabisa angalia unvyofurahi kupokea vipande thelathini vya fedha ambavyo ulijidai wakati wa Magufuli kwamba umekataa unadhani uko sawa kweli?
Kinachowaponza Wana siasa kutokua na msimamo muone msigwa alivyo kuwa mjinga kama anasema viongozi wa chadema ni waongo yeye pia ni miongoni mwa hao mana nae ametokea huko Hans jipya
mimi siyo ccm ila sijawahi kuwakubali baadhi ya watu wa chadema viongozi wengi pale chadema ni mashushushu wa ccm cheki huyu boya anavyo ropoka hivi huyu ndo msigwa tunae mjua au
Msigwa usinyee Kambi. Inamaana ukitoka CCM utawasema vibaya very unprofessional Mchungaji Msigwa. Wewe Zungumuza sera sio kutoa siri za ulikotoka. CCM be careful with Msigwa. Na nyie mtasemwa akijakuondoka CCM
Tapika yote unayoyajua lakini "Ukweli umeumbwa na Mungu na Ukweli ni Ukweli hata kama fake pastor umeamua kuukataa Ukweli huo. Ukweli ni kwamba "Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa". Unayedhani unamjua saana chama chako kinakuenjoye kwa sababu kinamjua zaidi ya upeo wako unavyomjua ndiyo maana kimekua tume nibebe na polisi nibebe katika chaguzi. Ulikuwa ukipigania katiba mpya, sasa hutaweza Kwa sababu chama chako kinaamini katiba mpya ni katiba ya Chadema.
Huo uhuru , haki na democrasia msigwa unaijua au unaiskia tuu kwenye maneno na maandishi. Jee ccm Wana toa haki wanatoa uhuru democrasia ipo acha kuwadanganya wananchi wa Tanzania. Pumbavu
Mimi ccm lakini siyo jambo nzuri kuwakaribisha watu toka vyama vya upizani hao hawafai lnamaana wanatamaa ya uongozi mnajuaje kama wanakuja kutuvuruga? Jambo hii tukatae
Tatizo la nyie ccm shida sio mpinzan na mnajuwa vyema km mtu aliye kutukana miaka Leo umuamin shida ya ccm wanazan mpinzan akija ccm wananchi watamin km ccm ndio kilakitu .na wanazan watawachanganya viongozi wa upinzani hayo ni kutumia pesa za uma mana ccm ni serekali
Wapinzani wasipate kiti kwani kura mnapiga wewe na mkeo
Huyu tapeli atafurahiwa na walevi wenzie malaya wa kisiasa hafai
ILA WEWE MSIGWA UNAJUA KUHARIBU JAMANI
Aiseee!!! Wewe jamaa sikujua kama upo hivo
Hongera sana Mhe Msigwa kwa uamuzi wako wa kuinama CDM kuja Chama chetu CCM hongera sana Mheshimiwa.
Ninge kuwa mm msigwa ninge jiuzulu siasa nibaki na kanisa
Msigwa acha unafiki hadi sasa bado unazungumza UCHADEMA maana bado unasema chama changu cha CHADEMA
Kasema kweli sasa chadema ndio ichukue nchi waziri mkuu utampa nani kwa mfano! Kumejaa wahuni tupu, wenye akili wote nkurunziza kawaondoa kwa hila zake.
Mumeo mwenyewe mhuni
Chadema chama cha wachaga sio cha watanzania kama kubakia angebaki zitto tatizo ubinafsi
Kweli kabisa, sugu, Heche, Wenje, Lisu, Jacob, ni wachaga
Kama ni Chama wa wachaga, wewe ungekuwa mbunge?
Siyo kweli! Kama.ni chama cha wavhaga, kisingepata usajili
Wakati umefika kwa Tundu, Heche, Wenje, Sugu, Jacob kutoka Chadema na kuunda Chama kipya cha siasa, tena wasisubiri baada ya 2025 maana watakuwa wamempatia Freeman ulaji.
Huyu Msigwa naamini analiwakikisha kundi la akina Tundu, sema Tundu ana ndoto za kugombea urais jambo ambalo Freeman sidhani kama atakubali kumwachia kwani anajua Chadema ndiyo inaelekea mwisho hivyo.
Heche, Sugu n.k. wana ndoto za kuchaguliwa wabunge wanaogopa kuiacha Chadema. Watakwenda wapi?
Siasa ni hataree!
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉Karibuuuuuuuuu sana
Mchj MSIGWA hongera Sana kurudi "Nyumbani " wewe si kwanza, nA wala usiogope, mtoto anarudi nyumbani wakati wowote, bibilia unajua vizuri. Usiogope, tetea haki yako mwenyewe! Big up Sana. Mtumishi wa Mungu roho mtakatifu afundishaye yuko
Ana lipi jipya
Mimi sio mwana siasa,ila Msigwa umekua mwongo sana mwogope Mungu ulikua wapi kuhama kabla hujashindwa kwenye uchaguzi wa kanda? Mimi ningekuona wa maana sana kama ungejiuziru ukiwa bado uko madarakani.hapo ni uwango sana
Tamaa zimekutoa chadema
We MCH kweli. Bado unaweza kuwasema watu vibaya. Ujasoma biblia Nini.
Msigwa muogope Mungu
Njaa mbaya sana kweli
Huna uchungaji hiyo ni njaa
@@FrankGabriely-up5yo Sasa hapa Mwenye njaa ni Nani Kama sio Wewe Mdogo Wangu
Mchumbiaji msigwa ana haki kwenda chama chochote ila asitukane wakunga uzazi ungalipo
Hamna Kitu hapo, alipaswa hilo la Uchungaji bora angeliondoa✌
Mchungaji tapel huyo
Wewe baba futa jina au neno Mchungaji, Unawachafua wachungaji waaminifu!! Acha kuongea uongo kwan weee ulipokuwa kulunzinza hiyo miaka 20 ulikuwa hujisemi???! Sema kwel acha kutetea tumbo, utahukumiwa kwa haki ukifika huko ccm ukaacha kutetea wanachi na kuangalia masilahi yako huku wanyonge tunateseka!!
Kweli njaa inatufanya watu tununuliwe msigwa njaa imemfikisha hapo niaibu amejizalilisha sio mchungsji ni shetani mungu anakuona ccm atuitaki
Ubongo wa Peter safari hii Dishi limeyumba😂
CCM msimpe nafasi ya kugombea huyu Msigwa,kaletwa njaa tu CCM hana lolote,alivyobwagwa Chadema ndo kaiona CCM????????????? Hafai kuwa kiongozi huyu
Tapeli uyo kweli kabisa
Kunywa chai kaka kule ulikua unapata shida tuh
Duu kumbe nkulunziza ndio mboe naombeni like Kama umemuelewa nkulunzinza
Kiongozi mkubwa sana Msigwa,Mungu amekuinua,sasa CCM ikutumie vizur kwa mstakabar wa nchi yetu❤
Siasa ni kama kupiga chapati kuiva kwake ni kugeuza huku na huku duu!
Mungu atu saidie iinchi
Cdm chini huku chin hawana neno kule juu ni tatizo jila aliye gusa lazima utoke chama cha mtu hicho ohooooooo
Una mavi
Msigwa njaa inakusumbua hata ulikoenda ccm hufai acha kutudanganya watanzania
RAIS WETU MAMA YETU SAMIA , ANATOSHAAAA ❤
Tamaaaaaa
Kalio ni kalio tu
Oyoo kichaa wa kisiasa msigwa we ni kenge maji
Ww ni chizi kabisa 😂😂
Nkurunzinza hoyeeee
Hongera sana msigwa kwa kuvua gwanda!!!
Msigwa,masikini,umekwisha,umepwaya,wala siyo mchungaji wewe,utopolo mtupu.
Baba mzima,unakula matapishi.
Miaka kumi ya ubunge wako, mwongo mkubwa wewe.
Njaa mbaya sana
Magufuli mtamkumbukaa magu oooooooooooooooyeeeeeeeeeeeee!
Mm ni mwana ccm ila hawa viongozi hama hama cwakubal kabisa
Wewe ni Mwehu kabisa angalia unvyofurahi kupokea vipande thelathini vya fedha ambavyo ulijidai wakati wa Magufuli kwamba umekataa unadhani uko sawa kweli?
Mchungaji karibu sana achana na hao wendawazimu hawajui hata wanachokitetea
Mpaka anaona aibu ananunuliwa Kama changudoa
Unaona aibu ww😂😂😂.Alihama Slaa,lowasa, zitto, nyalandu chama sio dini
Ni Mtu Wa Hovyo Huyu Msigwa
Hakuna mchungaji msariti dunia hii, kama wew hunajipya unaukata tu, funga Domo hilo😅😅😅😅
Hautafika mbali na Unafiki wako
Tamaa ya madaraka.
Sasa ni upumbavu haki ila msigwa weka Akiba ya maneno
Ww mjinga mbowe ana hela kabla ya chadema
❤
Huyo anataka kitu kule alikotoka kakosa kitu hafai tunaweza kupata wanachama vijijini wengi tu huyo tusimpe nafasi ccm a ataka kitu
Njaaimekupeleka huko hunaujanja ndomanaumeshindwa hatanauchungaji shenzy sana
Karib ccm
Wana siasa Malaya Malaya 😅😅
Utajua ww 😂😂😂
Kweli kabisa
Njaaa tuuu huna hoja ya msingi wa kushawishi jamii, dhambi ya uasi ni sawa na dhambi ya uchawi....
huyo ni msaka tonge kama msakatonge wengine
anataka uruma ya samia kama akina waitara na akina nasari na wengineo
Umalaya tu ndio unakusumbua nilikuwa nakuamini sana lakin kwa huu usenge hutakaa uione pepo walah
Wow wow wow wow!
Sasa punguza sauti hapa hatugombani sisi ccm ni wasitarabu ongea kwa staha
Sema msigwa chadema hawana lao
Ccm wanaumia Msigwa anaenda kulamba Dume sio muda..
Tamaa haijamuacha mtu salama
Kinachowaponza Wana siasa kutokua na msimamo muone msigwa alivyo kuwa mjinga kama anasema viongozi wa chadema ni waongo yeye pia ni miongoni mwa hao mana nae ametokea huko Hans jipya
Propaganda, mbona hujasema ulipokuwa huko...
mimi siyo ccm ila sijawahi kuwakubali baadhi ya watu wa chadema viongozi wengi pale chadema ni mashushushu wa ccm cheki huyu boya anavyo ropoka hivi huyu ndo msigwa tunae mjua au
Sema MCHUNGAJI safi sana
Tunampokea ila ametoka na hasira zake za uchu wa uongozi hivyo tuwe makini nae, aje atulie tumuone kwa muda
Sasa msigwa hii aibu siku ya mwisho utamwambia nini MUNGU
Huyo njaa tuu hamna kitu hapo
Uza Sera Za Chama Chako Chakavu Siyo Kumtuhumu Mwamba Ni Habari Nyingine, Wewe Umeamua Kujiuza Endelea Na Biashara Ya Uchangudoa Who Care's!.
Ukweli unauma, CHAGADEMA hawana mpya dogo ni taasisi ya makengeza Mbowe dumu daima.
Kongole Msigwa
Hapo tuu ndo wanasiasa wanapokosea leo ukitoka ccm lazima utukane hatakama kiko salama
KOMAA KAMANDA.
Kamanda! Wimbo wa zamani sana bongo fleva
Hongera msigwa katibu sana
Baba Tena 😅😅😅😅 hii Kali chizi uyuuu
naona wanamrushia vitonge vitonge taratibu
Wabaya ni watu umefeli sana
Ubaya ubwela..sasaivi..ccm..watakuwa wanamwita tu msigwa...awanange 😂😂shenzii chama cha wachaga 😂
Wana siasa wote ni waongo wametuona Kama sisi ni zumbukuku
Kafanye kazi ya mungu achana na sias,,
Msigwa usinyee Kambi. Inamaana ukitoka CCM utawasema vibaya very unprofessional
Mchungaji Msigwa.
Wewe Zungumuza sera sio kutoa siri za ulikotoka. CCM be careful with Msigwa. Na nyie mtasemwa akijakuondoka CCM
Political prostitute
Hiyo hafai hatakudogo
Mimi nina uhakika mkubwa sana peter msigwa siku sio nying atalia kilio kibaya sanaaaaaa
Utalia ww na hicho chama cha familia 😂😂😂
Huna aibu looo kwa kweli utaenda mbinguni ukiwa umechoka
Ili ltaumza upnzan milele tuache kung'ania madaraka tupshane ktk nafas za uongoz kuepusha ii mitihan!!
Aaaaaa.......hata wewe ni mwongo.
Sijui huyu Mchungaji wa kanisa gani Muulize makala aliko mtoa
Tapika yote unayoyajua lakini "Ukweli umeumbwa na Mungu na Ukweli ni Ukweli hata kama fake pastor umeamua kuukataa Ukweli huo. Ukweli ni kwamba "Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa". Unayedhani unamjua saana chama chako kinakuenjoye kwa sababu kinamjua zaidi ya upeo wako unavyomjua ndiyo maana kimekua tume nibebe na polisi nibebe katika chaguzi. Ulikuwa ukipigania katiba mpya, sasa hutaweza Kwa sababu chama chako kinaamini katiba mpya ni katiba ya Chadema.
Aibu sana
Aibu kwako😅😅😅
Huo uhuru , haki na democrasia msigwa unaijua au unaiskia tuu kwenye maneno na maandishi. Jee ccm Wana toa haki wanatoa uhuru democrasia ipo acha kuwadanganya wananchi wa Tanzania. Pumbavu
Jaman jaman
Mtani kaingia kazini Ccm hoyoooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏
Yaani hao unaowahubiri nao wapo busy na mambo yao huku wanakucheka. Uwiii
Msigwa mmmmmm
Mungu atakuaibisha
Njaaa bhna
Tamaa tuuu
Huy sio mchungaj Ni mbumbav
Umewavua nguo
Hawa ni hazina kubwa ya taifa
Mchungaji huna kanisa kachunge kondoo wa Bwana utapata aibu hapahapa duniani
Yani msigwa unaoneka wa hovyo kabisa Bora unyamaze
Ww washukuru chadema kwa walipokutoa chapa kazi ukiwa ccm tetea wananchi
Mimi ccm lakini siyo jambo nzuri kuwakaribisha watu toka vyama vya upizani hao hawafai lnamaana wanatamaa ya uongozi mnajuaje kama wanakuja kutuvuruga? Jambo hii tukatae
Tatizo la nyie ccm shida sio mpinzan na mnajuwa vyema km mtu aliye kutukana miaka Leo umuamin shida ya ccm wanazan mpinzan akija ccm wananchi watamin km ccm ndio kilakitu .na wanazan watawachanganya viongozi wa upinzani hayo ni kutumia pesa za uma mana ccm ni serekali