Nenda na Uzima

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Praise be to God the most high

Комментарии • 218

  • @JacklineGasper-th3jl
    @JacklineGasper-th3jl 8 месяцев назад +16

    2024 Enenda pamoja nawenye hekima nawe utakua mwenye hekima😇🙏

  • @young_brother27
    @young_brother27 3 месяца назад +2

    Huu wimbo unazidi kuchanja mbuga na unapendwa na waislamu karibu wote sijui kwanini🤗🤗
    Mungu awabariki sana

  • @juliannekinyingi2133
    @juliannekinyingi2133 4 года назад +4

    Nyimbo zanikumbusha baba yangu. Bado nazisikiliza.Mungu amuweke pema.tutakutana tena

  • @shambosowela9219
    @shambosowela9219 3 месяца назад +2

    My finnest choir till now from my childhood

  • @omanphone185
    @omanphone185 5 лет назад +93

    I'm a Muslim lakin napenda sana njimbo za injili' zimenikaa kwenye moyo wangu kuliko zile za din yangu' mbarikiwe ic changombe

    • @benardmzumala9447
      @benardmzumala9447 5 лет назад +1

      Oman Phone amina watumishi kaziiyenu si bure fanyeni Msizini moyo

    • @zabsabu4420
      @zabsabu4420 5 лет назад +4

      Neema ya wokovu inakusubiri

    • @bonniemwanzia1417
      @bonniemwanzia1417 5 лет назад +2

      @@zabsabu4420 Amen,,Oman atakuja kuokoka na kuhubiri injili kwa mataifa

    • @nyamogafamily4262
      @nyamogafamily4262 4 года назад +1

      Karibu hata kwangu,maana utaipata kila nyimbo uipendayo,,Karibuni Wasp

    • @NeemaKmussa
      @NeemaKmussa 4 года назад +2

      Ubarikiwe Mimi pia ni mkiristo hata mimi napenda kusikiliza kaswida sometime

  • @joshuamasele2267
    @joshuamasele2267 4 года назад +23

    Nani yup na mm 2020 jaman wimbo mzur kwer

  • @jeropkibett6036
    @jeropkibett6036 Год назад +8

    For the past ten 🔟 years I have been watching this songs it makes me very emotional, God it's my wish that one day I fellowship in AIC Chang'ombe... Lots of love from Kenya. 🇰🇪

  • @mutalemwagabriel2277
    @mutalemwagabriel2277 4 года назад +38

    2020 nipo tu ninaangalia huu wimbo, Hadi machozi yananitoka😭😭

  • @juliusnyonyi1565
    @juliusnyonyi1565 5 лет назад +15

    Nakumbuka huu wimbo ulipigwa sana Saloon moja ITAJA Singida mara ya kwanza mm kuusikia na kuupenda toka 2010 mpaka sasa 2019 na sitauchoka

  • @justerdeus7790
    @justerdeus7790 5 лет назад +13

    Nyimbo inagusa mpaka mifupa😇🙏wangp tunafatilia mpk sasa nymbo za wapendwa wetu walioitwa kikwel kwel mtu anaimba mpk unapokea uponyaji

  • @lebaijeremiah4540
    @lebaijeremiah4540 4 месяца назад +1

    Mbarikiwe sana,wimbo huu kila mwaka hauchuji nimpya mpya

  • @juliusnganda5472
    @juliusnganda5472 5 лет назад +1

    Siku zote huwa naskiza nyimbo zenu na nabarikiwa sana...Mungu awazidishie na awatie nguvu...siku moja Mungu akinijalia nitaabudu nanyi huko changombe!..

  • @mouneeray
    @mouneeray 15 лет назад +10

    There are songs that engrave the images of certain performers into popular consciousness as this one does. The tune, the orchestration, especially the bass and solo guitars, the saxophonist, the two soloists, and the stage management: the harmonious sweetness of these steal attention from whatever they are saying. Well conceived and well executed.

  • @mabitajunior
    @mabitajunior 2 года назад +1

    the lyrics,voices and instrumentals you did it well,congratulations to date 2022 we Love you.

  • @SimionOgari
    @SimionOgari 14 дней назад

    This is a very good teaching song keep it up

  • @cyrusmutie7271
    @cyrusmutie7271 4 года назад +7

    Gives me so strong nostalgic feelings,leaving my heart so heavy. Makes me tearful for no good reason 😥😥.

  • @filothea8392
    @filothea8392 Год назад +1

    My mom used to listen these songs I miss her😭❤️

  • @jacobmkirya9987
    @jacobmkirya9987 5 дней назад

    2024 am here again such a hit🎉🎉

  • @hottkingdaniel7700
    @hottkingdaniel7700 5 лет назад +3

    I'm crazy with this song's, A I c chang'ombe Gusa vol:1 my favorites like nenda na uzima wako,

  • @junissybunani2458
    @junissybunani2458 Месяц назад

    May God bless you Changombe Choir. Missing you

  • @jackmaritn8941
    @jackmaritn8941 Год назад +1

    Nawapenda saana mungu tu ndio anajua ninavyopenda nyimbo zenu

  • @elizabethshayo1829
    @elizabethshayo1829 5 лет назад +7

    Ulitamba sana 2009 nilikuw mdgo...now naangalia2019

  • @justerdeus7790
    @justerdeus7790 5 лет назад +32

    Nani yupo na mm 2019 tumeitizama hii video

  • @georgejoshua3524
    @georgejoshua3524 2 года назад +1

    June 2022...I feel blessed

  • @nyash4435
    @nyash4435 2 года назад +2

    My all time favourite choir

  • @deuskaballega1910
    @deuskaballega1910 Год назад

    Kongole sana kwanza Mtunzi na pia Waimbaji wote wa Wimbo huu wa Nenda na Uzima wako... Pamoja umeshakuwa wa kitambo kirefu lakini bado uko vizuri sana. Sifa na Utukufu kwa walio na mapenzi mema--Amen

  • @mwinamilapaul352
    @mwinamilapaul352 4 года назад +1

    God is great!!!!!! Tunyenyekee mbele zake Bwana,tulinde matendo yetu.....

  • @rogerskabaka3696
    @rogerskabaka3696 4 года назад +1

    am pst rogers kabaka from nairobi kenya with christ redeemer gospel worship ministries church i like your songs it has good and true messages thankyou

  • @nestormaasay7547
    @nestormaasay7547 6 лет назад +3

    One of my best gospel songs...keep it real

  • @user-wc9zg6hk5s
    @user-wc9zg6hk5s 4 года назад +1

    Daaa nashukuru kweli huu wimbooo mungu Awabariki sana tena sana

  • @nthewawabwenzi5329
    @nthewawabwenzi5329 7 лет назад +4

    thanks all members of this choire I'm blessed with your song nenda nauzimawako god bless you all

  • @elizabethmwinzi342
    @elizabethmwinzi342 4 года назад +3

    I love this song so much.....u just a blessing to us

  • @HumanBeing-pj4hm
    @HumanBeing-pj4hm 8 лет назад +9

    More than 7 yrs past this wonderful composition and am still on it enjoying!,bless you Chang'ombe

  • @maryjustapeter5430
    @maryjustapeter5430 6 лет назад +1

    mbarkiwe watumishi kazi yenu ninjema Mungu awatiyenguvu mwendlee kuhubri injiri ya Bwana

  • @isaacmutungakatua7329
    @isaacmutungakatua7329 Год назад

    2023 still AIC changombe ,their song don't become old

  • @josephinetibasaga8022
    @josephinetibasaga8022 7 лет назад +14

    hii nyimbo zina nibariki sana Mungu wambinguni awabariki

  • @geofreymsawila8888
    @geofreymsawila8888 4 года назад +1

    Watu hawa Mungu kawainua kwa viwango vya juu sana Mungu endelea kuwainua Amen

  • @user-wq5vf3rq7o
    @user-wq5vf3rq7o 10 месяцев назад

    Nakushukuru Mungu kwakuwa na Mimi Hadi 2023 na sasa tunakalibia Christmas nilinde na kuniongoza katika kila jambo

  • @ezekielkioko1572
    @ezekielkioko1572 5 лет назад +2

    choir songs are always the best. mbarikiweni sana for this

  • @nyanyamasomba1533
    @nyanyamasomba1533 3 года назад +1

    Napenda sana kusikiliza wimbo huu

  • @aloysnt
    @aloysnt 15 лет назад +2

    Mbalikiwe na amani ya Bwana. Nami pia nime balikiwa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yani sana.

  • @user-xd6zn2bg9n
    @user-xd6zn2bg9n 10 месяцев назад +1

    Wabarikiwe sana watu w mungu

  • @tuliakiholo2693
    @tuliakiholo2693 3 года назад +1

    Amen amen

  • @rozinakomba2911
    @rozinakomba2911 5 лет назад

    Mungu awabariki sana kwa nyimbo zenye ujumbe mzuri ktk maisha yetu ya hp duniani Amina

  • @giftnachilima
    @giftnachilima Год назад

    This is 2023 still watching this song

  • @abeddisilas620
    @abeddisilas620 4 года назад +1

    Good song, reminds me when I was in marabit Kenya 2007

  • @elizabethbokepeter5699
    @elizabethbokepeter5699 5 лет назад +2

    All songs are good for me waaaaooo be blessed

  • @mizunguful
    @mizunguful 15 лет назад +2

    I am so much humble to say thank you to this choir. This is Marvellous. Am so much touched with the message. It gives me a lot hope in life.

  • @evelyne5580
    @evelyne5580 Год назад +1

    My favourite choir

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 4 года назад +2

    Hawa watu waliotengeneza BT jamn mko vizuri na hiyo brass

  • @edwinamenya5417
    @edwinamenya5417 5 лет назад +1

    best song wapendwa. luv it all tru'

  • @julietakinyi4231
    @julietakinyi4231 10 лет назад +2

    May God bless you all. Your songs encourage me very much. Stay blessed. Thanx much

  • @zakayomahindisimon4414
    @zakayomahindisimon4414 Год назад +1

    Linda matendo yako na uzima wako ili ufike mbinguni. 💕💕💕

  • @stephenngugi7741
    @stephenngugi7741 8 лет назад +5

    may the name of God be grolified always

  • @samuelmutombo7997
    @samuelmutombo7997 4 года назад +1

    Depuis les USA. God bless you

  • @annetpeter7242
    @annetpeter7242 5 лет назад +1

    Nawapenda sana nyie watu mungu awabariki sana

  • @bethsaida121
    @bethsaida121 4 года назад +1

    Mungu awatende mema

  • @kervinkopwe4779
    @kervinkopwe4779 5 лет назад +1

    Barikiwa sana wapendwa mmefanya kazi yabwana ipasavyo

  • @user-ej1zz4yn5w
    @user-ej1zz4yn5w 4 месяца назад

    Kipindi hicho tunaenda kuangalia movie,nyimbo hii ilikuwa kiitikio cha treller,nakumbuka

  • @gladnesskweka9468
    @gladnesskweka9468 4 года назад +1

    Acha niende na uzima wangu

  • @aloycempanduji9514
    @aloycempanduji9514 3 года назад +1

    Nakukubali sana

  • @roseurio1876
    @roseurio1876 7 лет назад +5

    Apao nilazima waachee kutenda dhambi, nenda na uzma wako wala udhubutu kutenda dhambi

  • @lawrencedite9181
    @lawrencedite9181 8 лет назад +2

    BE blessed guys.Continue with the mission in jesus name.

  • @njillihotz2785
    @njillihotz2785 3 года назад

    Nani yupo namm 2021 tukiangalia ujumbe mzur hapa

  • @winnieoctaviah7545
    @winnieoctaviah7545 5 лет назад +2

    nice song,, mmbarikiwe sana

  • @petermudagale8015
    @petermudagale8015 2 года назад +1

    Inapendeza jamani

  • @saramapenzi
    @saramapenzi 14 лет назад +2

    ayayayayayaya! wah! mbarikiwe sana,sauti zenu zimejipanga vizuri sana.

  • @ednahable
    @ednahable 13 лет назад +3

    May our Good Lord be praised today, tomorrow and forever. Amen.

  • @aloycempanduji9514
    @aloycempanduji9514 3 года назад

    Zinanikumbusha marehemu mama yangu alipenda sana kisikiliza hii kwaya changombe

  • @josephmuyonga744
    @josephmuyonga744 4 года назад +1

    Nice choir i love it

  • @tusemwandambo6747
    @tusemwandambo6747 5 лет назад +3

    ahsante sana kwa huduma nzuri

  • @otienodesmus4138
    @otienodesmus4138 7 лет назад +2

    what can say? May Jehovah God bless you all choir members.

  • @uhilekatema4535
    @uhilekatema4535 5 лет назад +3

    Hakika nimebarikiwa sana na hii nyimbo

  • @adammsuya9716
    @adammsuya9716 5 лет назад +1

    Kwaya nzuri sana

  • @gilbertmcopal8798
    @gilbertmcopal8798 7 лет назад +4

    Be blessed all the Changombe choir members

  • @jacobdavid8269
    @jacobdavid8269 5 лет назад

    wimbohuu unanifundisha kusamehee nendanauzima mngu awabaliki waimbaji

  • @rayzersaid2611
    @rayzersaid2611 7 лет назад +9

    usidanganyike ukageuza mwenendo wako ndugu

  • @fredrickmdikullah2527
    @fredrickmdikullah2527 7 лет назад +2

    AIC Chang'ombe ni waimbaji mnao nibariki xana, Mungu awabariki -amen!

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 7 лет назад +4

    mbarikiweee sana wimbo mzr

  • @josephmichael2225
    @josephmichael2225 7 лет назад +28

    alie piga tarumbeta anastahili zawadi sio mchezo balikiwa sana wapendwa

  • @estermpemba9295
    @estermpemba9295 4 года назад +2

    Nabarikiwa na nyimbo zenu

  • @fridahkawira3832
    @fridahkawira3832 7 лет назад +5

    nice song

  • @sammyngetich5189
    @sammyngetich5189 3 года назад

    Time is over let's worship Jesus. For he is coming rapture the church

  • @ephraimandrew8649
    @ephraimandrew8649 4 года назад

    2020 tuko wangap jaman

  • @emilynaswa7365
    @emilynaswa7365 4 года назад +1

    I love singing its wonderful

  • @syliviamgeta8131
    @syliviamgeta8131 3 года назад

    Jaman 🙆 mwaaaa!❤️❤️❤️❤️

  • @paulmakono8012
    @paulmakono8012 6 лет назад

    Barikiweni sn wapendwa! Nabarikiwa sana ninapoziskiliza Albam zenu. Songeni mbele

  • @user-rn9lk1ck7m
    @user-rn9lk1ck7m 9 месяцев назад

    Iam in ltk kenya

  • @martinsirma6033
    @martinsirma6033 7 лет назад +3

    Mungu ashukuriwe kwa ajili yenu

  • @margaretmuranga1362
    @margaretmuranga1362 6 лет назад +1

    Very good song

  • @catherinfabiani5265
    @catherinfabiani5265 5 лет назад +1

    Dah inanikumbusha kipind nasoma 2010 mpk Leo 2019

  • @kagiyehekazuba1449
    @kagiyehekazuba1449 7 лет назад +2

    nmebarikiwa !!!@nenda na uzima wako

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 лет назад +5

    NASEMAAAAAA

  • @Multi10091974
    @Multi10091974 6 лет назад

    Amen ! Praise the Lord Jésus ! Hallelujha ! Amen

  • @jenesimushi2697
    @jenesimushi2697 5 лет назад

    Yan huu wimbo tangy 2006 ulinikaa sana kichwan nilikuwa mdogo

  • @lilianelias5468
    @lilianelias5468 5 лет назад +2

    Nafurahi sana kusikiliza hizi nyimbo

  • @velejilyomhongole1641
    @velejilyomhongole1641 2 года назад

    2022 Bado nipo naenda na Uzima wangu

  • @mouneeray
    @mouneeray 13 лет назад +1

    This song seems to be based on Jesus' caution to the woman caught in adultery, "Neither do I condemn you; go and sin no more" (John 8:11).

  • @michaelsylvestre8475
    @michaelsylvestre8475 5 лет назад +1

    Aseee gooood

  • @magrethgeorge9253
    @magrethgeorge9253 3 года назад

    2021,tupo sawa naenda nauzima wangu