Gusa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Praise be the Lord God in heaven

Комментарии • 424

  • @floridawenceslaus498
    @floridawenceslaus498 5 месяцев назад +36

    Anayeangalia wimbi huu 2024 na bado ana feel uwepo wa Mungu na kububujika mbele yake ,gonga like hapa

  • @mariamkarembo4822
    @mariamkarembo4822 Год назад +29

    Anayeangalia 2023 pamoja na Mimi mungu amubariki 🙏🏾🙏🏾 gusa 😭 Jehova shalom gusa masiah 🙇🙇🙏🏼❤️🇰🇪🇰🇪👈

    • @MaximeMasinga-h2y
      @MaximeMasinga-h2y 9 месяцев назад

      ❤❤❤

    • @MaliamSibut
      @MaliamSibut 8 месяцев назад +1

      Nilikua naiangalia nikiwa na miaka 10 na leo hii nimeitafuta nikiwa na miaka 23 elf 2024 mungu akaguse kazi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @marynasyieki3783
      @marynasyieki3783 7 месяцев назад

      Nmechelewa😂😂🙏🏾🙏🏾

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 7 месяцев назад +5

    Alieangalia huu wimbi akuwa mschana sah n baba au mama🙋😂😂❤❤❤Mungu awabatiki sana Guza jehova popote mpo nyie wte🙌💪💪🙏🏾🙏🏾

  • @magrethantonylyimo7696
    @magrethantonylyimo7696 5 месяцев назад +6

    Unayeangalia 2024 kama mimi kupitia youtube lakini uliwahi kuangalia kwa CD enzi hizo, punga mkono.

  • @marylaizer
    @marylaizer Год назад +7

    Wimbo huu nikiusikiliza nafarijika sana nasikia nikiguswa moyo wangu tunaofarijika na huu wimbo gonga like hapa 🙏🙏🙏

  • @bellacaramella2196
    @bellacaramella2196 5 лет назад +5

    Hii nyimbo sijawahi ichoka jameni kila nikiisikiliza najikuta naanza kusali huku nalia😭 kama na ww bado unaiangalia mpaka leo 2019 gonga like.
    Fan from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @victorweller-cz6tg
    @victorweller-cz6tg Год назад +5

    If still watching this 2023 May God Bless you...

  • @ceciliakalihadya2758
    @ceciliakalihadya2758 Год назад +5

    Who is still here in 2023??May the Good Lord Bless us abundantly throughout this year and always.

  • @JacklineGasper-th3jl
    @JacklineGasper-th3jl 8 месяцев назад +2

    2024 Gusa Maisha yetu yesu❤❤..tugusee Tena ,watoto Wetu,wazazi wetu

  • @herminachrispas888
    @herminachrispas888 4 года назад +40

    Anayeangalia 2020 na janga hili la covid-19 Mungu akaguse hili.

    • @simonlaizer8279
      @simonlaizer8279 Год назад

      Ni kweli

    • @Jessiefrank872
      @Jessiefrank872 Год назад

      2023❤

    • @CotteBravo-mm5tp
      @CotteBravo-mm5tp Год назад +1

      Hu wimbo nimehusikia mwaka 2010 mama yangu alikuwa akiupenda mno haipiti siku bila kuhusikiliza natoa shukulani Mungu kanigusa mpaka sasa ni mwaka 2023

  • @saveraenock7348
    @saveraenock7348 6 лет назад +55

    Gusa uchumba wangu baba pekeangu siwezi😢😢😢😢

  • @emmymwanjala2788
    @emmymwanjala2788 Год назад +4

    2023.......im here again again please God entervene

  • @Otunga82
    @Otunga82 Год назад +7

    Great message. Lord intervene in people's lives. People are really going through a lot.😭

  • @gorretyangel9287
    @gorretyangel9287 2 года назад +15

    10 yrs + am still playing this song,what agreat blessing..Gusa maisha yangu bwana yesu

    • @marynasyieki3783
      @marynasyieki3783 7 месяцев назад

      Sah najua ww n mama😂😂😂Pia mm naupenda sana huu wimbo wazamani sana❤❤❤

  • @emanuelchallow4417
    @emanuelchallow4417 Год назад +3

    Napokea baraka za huu wimbo

  • @sarahmse9357
    @sarahmse9357 4 года назад +5

    Gusa baba mwaka huu nipate ajira nzuri.

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 9 месяцев назад +1

    I hear this song for first time in 2007 when I have 7 years old I continue to listen untill today December 2023 at 23 years old aiseee Mimi pia n legend jaman nipeni likes hizo❤❤❤❤❤😂😂

  • @theodosiachagama2443
    @theodosiachagama2443 4 года назад +5

    Mungu baba naomba uguse maisha yangu na mafanikio yangu.....mwaka 2020 ukawe wa mafanikio

  • @karenkimambo3686
    @karenkimambo3686 9 месяцев назад +1

    Huu wimbo nimekuta moyo wangu unaimba nikabidi niutatafute 2005 ulihiti sana mpaka leo 2023 bado

  • @daudsimon6118
    @daudsimon6118 8 лет назад +3

    hunifariji sana huu wimbo! ahsante mtunzi na Mungu akuzidishie uwezo.

  • @calebrotich9135
    @calebrotich9135 5 лет назад +11

    2019 and still listening to this Gusa hit song. if you are blessed, gonga like

  • @danielmazengo5603
    @danielmazengo5603 6 лет назад +13

    Nashindwa kujizuia kwa jinsi wimbo huu na uinjilisti uliomo ndani yake unavyougusa na kuubariki moyo wangu! Mbarikiwe sana

  • @samwelsheuya8261
    @samwelsheuya8261 8 лет назад +3

    Nabarikiwa sana na nyimbo zenu; Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo awabariki Sana!

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 8 дней назад

    Huu wimbo niliusikiliza mwaka wa 2004, mbarikiwe sana ktoka Nairobi Kenya.

  • @nazarethkaanani545
    @nazarethkaanani545 6 лет назад +2

    Nime kumbuka mbali sana nyimbo hii ina toka nipo galanos Sec Tanga ndio Na maliza o-leve

  • @salomepaul8981
    @salomepaul8981 6 лет назад +4

    Kwa Kweli Mungu ainue hii kwaya kwa huduma ya uimbaji yaani nabarikiwa sana nyimbo zao

  • @hawamakau2762
    @hawamakau2762 7 лет назад +20

    Gusa maisha ya waliokata tamaa baba

  • @double-ndouble-n6223
    @double-ndouble-n6223 3 года назад +1

    Mungu mguse my brother Alex aliytangulia mbele za haki mguse bb ni mm mdogo wake vero

  • @sahusahura8432
    @sahusahura8432 7 лет назад +63

    Naipenda hii nyimbo inaguda japo, mimi ni muislam lkn inagusa mnoooo,m barikiwe sana.

  • @josephmirigo
    @josephmirigo 4 месяца назад +1

    Wed,8 May 2024, 00:36
    Please God bless your people listening to this holy tune

  • @consmasmogoi1512
    @consmasmogoi1512 7 лет назад +2

    Ahsante kwa hizi mnayo bariki na sinagusa rohoni mwangu endelea hivyo hivyo

  • @lucynyondo9734
    @lucynyondo9734 Год назад +2

    Hawa waimbaji nawakubali saana

  • @double-ndouble-n6223
    @double-ndouble-n6223 3 года назад +2

    Gusa ndoa yangu bwana

  • @haamedwapedidanakukubali6494
    @haamedwapedidanakukubali6494 3 года назад

    Gusa mume wngu me siwezi peke yangu mwanya miuzija mungu wangu we ndio kila kitu baba yetu mguse mume wngu mungu

  • @millycentamugune6583
    @millycentamugune6583 6 лет назад +4

    Wimbo Mzuri,umeniguza mno,old is gold,watching in kenya

  • @AgapeK254
    @AgapeK254 15 лет назад +1

    Kwa mkono wako tutabarikiwa, Kwa mkono tutatakazika, Kwa mkono tutafarijika, Kwa mkono tutawekwa huru
    GUSA X4 GUSA JEHOVA, GUSA MASIA, GUSA SHALOM. GUSA X4 GUSA BWANA YESU

  • @tumainisanga2156
    @tumainisanga2156 11 лет назад +12

    Wimbo umenigusa sana na umenifungua sana jina la bwana lihimidiwe na Kila mmoja akapate kubarikiwa

  • @rukiandunguru9993
    @rukiandunguru9993 3 года назад +2

    Nabarikwa sana na nyimbo hizi

  • @hildamlabwa7325
    @hildamlabwa7325 4 года назад +1

    Gusa na mimi maisha yangu Bwana,,na familia yangu pia

  • @Mbithirosemaryon
    @Mbithirosemaryon Год назад +3

    It's so heart touching,may God almighty touch the situation you are by now and repay you with his blessings and healing in the mighty name of Jesus 🙏🙏🙏

  • @roselynekhasandi2521
    @roselynekhasandi2521 2 года назад +7

    This song has a really powerful message

  • @divotiemanuely6882
    @divotiemanuely6882 7 лет назад +2

    Amen gusa maisha ya ndoa zetu

  • @danogeto78
    @danogeto78 Год назад +2

    I was here 2023 ❤❤

  • @samwelimbeti2347
    @samwelimbeti2347 5 лет назад +4

    Kweli wengine tunacheka mbelezawatu lakini moyoni tunalia "Mungu gusa"

  • @JacksonKimambo
    @JacksonKimambo 5 месяцев назад

    April 2024 Gusa maisha yangu Kupitia wimbo huu usalipo nikumbuke katika maombi mpendwa

  • @MissWilliam
    @MissWilliam 5 месяцев назад

    Huu wimbo ni maombi tosha kabsa tena yenye nguvu 🙌😭

  • @JoyceGeorge-qv4ck
    @JoyceGeorge-qv4ck 6 лет назад +2

    niguse na Mimi Baba

  • @leahsikolo889
    @leahsikolo889 6 лет назад +4

    Moyo wangu umeguzwa na huu wimbo..mubarikiwe sana mulioguzwa na kuimba

  • @hefsibajohakim4720
    @hefsibajohakim4720 4 года назад

    Mungu niguse nijalie mchumba pekeangu sitaweza

  • @richmantzbongtz5130
    @richmantzbongtz5130 5 лет назад +1

    Eee mungu gusa wajane yatima wagonjwa na wasiojiweza pia waliofiwa na wapendwa wao

  • @eliwazazakaria8473
    @eliwazazakaria8473 6 лет назад +1

    Mungu awabariki sana hakika nimepona nakubarikiwa kwa wimbo huuu

  • @sologojr6877
    @sologojr6877 9 месяцев назад

    Moja kati ya nyimbo bora za Muda wote. Kila nikiisikiliza ni kama imetoka jana. Mungu aendelee kuwabariki sana

  • @jacklinejulius1468
    @jacklinejulius1468 5 лет назад +1

    Gusa kazi za mikono yangu Mungu wangu....huwa nabarikiwa sana na hii nyimbo

  • @johnmwombeki6951
    @johnmwombeki6951 4 года назад +1

    Who is watching and get blessed with this in 2020

  • @jacintamghoi2457
    @jacintamghoi2457 8 лет назад +18

    I am so so blessed and this song will bless very many people.

  • @merydavid4974
    @merydavid4974 8 лет назад +2

    asnte mung kwa kugusa maisha yang

  • @paulmboje2677
    @paulmboje2677 3 года назад +1

    Gusa maisha yangu e bwana wangu Yesu

  • @jojomadame6203
    @jojomadame6203 2 года назад +3

    2021 still my Fav❤️🙌🏻

  • @fgcv9893
    @fgcv9893 3 года назад

    Ooh Mungu nitendee makuu niguse kwa mkono

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 6 месяцев назад

    Anayeangalia 2024 Mungu akuguse upokee hitaji lako. Hizi ni baadhi ya nyimbo ambazo ziliniinua sana wakati naokoka.

  • @rukiandunguru1462
    @rukiandunguru1462 Год назад +1

    Nabarikiwa sana na wimbo huu 🙏🙏

  • @leahmassawe7844
    @leahmassawe7844 Год назад +1

    Hii ni 2023 na bado nabarikiwa na wimbo huu❤

  • @Syoks4U
    @Syoks4U 12 лет назад +3

    CVC mko juu sana, Fadhili na nehema za Mungu wetu ziwe nanyi daima

  • @sifamwachiro7222
    @sifamwachiro7222 3 года назад

    kwaya hii inaendelea kunibariki wakati wangu wa nyuma nilipokuwa Kenya hata sasa nikiwa Ujerumani.Natumaini nita fika bara hili la Tanzania ni kutane na hawa waimbaji.Mbarikiwe sana.

  • @rumanyikachange
    @rumanyikachange Год назад

    Asante YEHOVA kwa kuugusa moyo wangu 🙏

  • @calinijosefu3802
    @calinijosefu3802 7 лет назад +2

    naipenda sana huu mwimbo ijapo mm msabato lakin inagusa

  • @anethnaftali2339
    @anethnaftali2339 6 лет назад +1

    Nawapenda sana nyimbo zenu zimenibariki mno

  • @petermayala6615
    @petermayala6615 3 года назад +3

    2021god bless you with all my friends
    Thank you Jesus♥️♥️

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 4 года назад

    nyimbo imenitatulia matatizo mengi sn hii watumishi mbarikiwe sn! hakika Bwana yupo ktk uimbaji!!! anayeskiliza nami leo hii tar 18 nov 2019 hebu gonga like yako hapa

  • @rahandile7654
    @rahandile7654 6 лет назад +3

    Niguse Jehova ndani ya moyo wangu nami nipate hitaji langu toka kwako

  • @eurslahliavi795
    @eurslahliavi795 Год назад +1

    Niguse bwana yesu

  • @mercykhosmos4386
    @mercykhosmos4386 8 лет назад +7

    niguze bwana guza shida zangu na fikira zangu

  • @heldaoman3070
    @heldaoman3070 6 лет назад

    Gusa baba hata tulio mbali na Tanzania tuirud salama Amina

  • @joelogila5631
    @joelogila5631 8 лет назад +17

    BABA TUKO MBELE YAKO,SISI NI WATENDA THAMBI,UTUSAME THAMBI YETU BABA

  • @estermsuya1615
    @estermsuya1615 6 лет назад +4

    Mungu wetu anatupenda tunapomuita anatugusa. Thank you Jesus. Barikiwa waimbaji

  • @latiphajackson4901
    @latiphajackson4901 3 года назад +1

    Npo mbele zako Baba Gusa maisha yangu😭😭😭😭😭🙏🏾♥️

  • @solomonmugao4733
    @solomonmugao4733 2 года назад

    Mungu awape nguvu zaidi ya kuhubiri

  • @roseurio1876
    @roseurio1876 7 лет назад +11

    Gusa maisha yetu amen,!!

  • @gabrielrichard6651
    @gabrielrichard6651 11 лет назад +1

    Nabarikiwa sana na nyimbo za kuabudu,Naamini Mungu atakwenda kutenda muujiza katika maisha yetu. AMEN.

  • @CotteBravo-mm5tp
    @CotteBravo-mm5tp Год назад

    Hu ni mwaka 2023 hu wimbo nimehanza kuhusikia mwaka 2010 toka kwa mama yangu alikuwa anaipenda sana nakupenda Mama nakupenda sana Mungu azidi kukuweka hai nakupenda Mungu kwa upendo unao tupatia mimi na Mama yangu

  • @zablonmangu6271
    @zablonmangu6271 6 лет назад +1

    I Zablon LISSU Mangu, i love have been loved AIC Chang'ombe as well as their song concern so May Almighty GOD bless you AIC Chang'ombe chior !

  • @suzanmwaipopo7445
    @suzanmwaipopo7445 9 лет назад +7

    nabarikiwa sana na wimbo huu ,Mungu azidi kubariki utumishi wenu

  • @amoschapewa4335
    @amoschapewa4335 2 года назад

    Hongereni Sana chang'ombe na mungu awabariki mzidi kuwa wamoja katika imani

  • @joshuamuteti3131
    @joshuamuteti3131 7 месяцев назад

    I always love this choir

  • @davyking7623
    @davyking7623 5 лет назад +40

    gonga like hapa kama bado unaipenda2019

    • @regnaldnkya3236
      @regnaldnkya3236 4 года назад

      Ninyimbo Nzuri sana ilio na ujumbe unao kwenda moja kwa moja kwa Mwenyenzi Mungu na Kutugusa kwa maitaji yetu mbali mbali Amen mbarikiwe waimbaji wote.

  • @mariakomba6145
    @mariakomba6145 11 лет назад +1

    mbalikiwe na bwana wimbo unagusa sana pia Mungu awape nguvu Amina.

  • @WorldNatureChannelTanzania
    @WorldNatureChannelTanzania 4 года назад

    Eeeh bwana wa mjeshi Mpokee..Mwalimu Clement..kwa nyimbo hizi zilibariki watu wengi Sana..kazi emeimaliza...RIP..Mwl.Buhembo

  • @AISALONOST
    @AISALONOST 3 года назад +1

    Gusa moyo wangu

  • @PatriciaErasto
    @PatriciaErasto 6 лет назад

    Barkiwa watu wa mungu,ila huu unahuzunisha sana.

  • @atuganilemalango1489
    @atuganilemalango1489 2 года назад

    Ameen. Ni kwa mkono wako tu Jehovah.

  • @laulensiamlingwa9200
    @laulensiamlingwa9200 6 лет назад +1

    mubarkie xana

  • @danielsimondystra8594
    @danielsimondystra8594 6 лет назад +1

    nakumbuka mbali sana nikisikia nyimbo hii

  • @AdveraEvarist
    @AdveraEvarist 3 месяца назад

    Naukibar sana huu wimbo

  • @issokateketa1275
    @issokateketa1275 Год назад +2

    The song has great power in blessing. Be blessed all the singers.

  • @defrinepaul7046
    @defrinepaul7046 6 лет назад +5

    I put this song to my favorite list 😍😍😍😍

  • @Chebetfaith-nc5hx
    @Chebetfaith-nc5hx 7 месяцев назад

    Ooh dear God always be there for me...

  • @frankriganya7008
    @frankriganya7008 8 лет назад +8

    good work from aic chang'ombe god save us

  • @rukiandunguru9993
    @rukiandunguru9993 4 года назад +1

    Gusa maisha yangu yesu

  • @Clements8814
    @Clements8814 6 лет назад +1

    Naupenda sana wimbo huu, Mbarikiwe sana kwa kazi njema namna hii

  • @rahabirungu2133
    @rahabirungu2133 Год назад +1

    This still touches me and I first watched it in year 2006