Hii nyimbo sijawahi ichoka jameni kila nikiisikiliza najikuta naanza kusali huku nalia😭 kama na ww bado unaiangalia mpaka leo 2019 gonga like. Fan from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Hu wimbo nimehusikia mwaka 2010 mama yangu alikuwa akiupenda mno haipiti siku bila kuhusikiliza natoa shukulani Mungu kanigusa mpaka sasa ni mwaka 2023
I hear this song for first time in 2007 when I have 7 years old I continue to listen untill today December 2023 at 23 years old aiseee Mimi pia n legend jaman nipeni likes hizo❤❤❤❤❤😂😂
It's so heart touching,may God almighty touch the situation you are by now and repay you with his blessings and healing in the mighty name of Jesus 🙏🙏🙏
kwaya hii inaendelea kunibariki wakati wangu wa nyuma nilipokuwa Kenya hata sasa nikiwa Ujerumani.Natumaini nita fika bara hili la Tanzania ni kutane na hawa waimbaji.Mbarikiwe sana.
nyimbo imenitatulia matatizo mengi sn hii watumishi mbarikiwe sn! hakika Bwana yupo ktk uimbaji!!! anayeskiliza nami leo hii tar 18 nov 2019 hebu gonga like yako hapa
Hu ni mwaka 2023 hu wimbo nimehanza kuhusikia mwaka 2010 toka kwa mama yangu alikuwa anaipenda sana nakupenda Mama nakupenda sana Mungu azidi kukuweka hai nakupenda Mungu kwa upendo unao tupatia mimi na Mama yangu
Ninyimbo Nzuri sana ilio na ujumbe unao kwenda moja kwa moja kwa Mwenyenzi Mungu na Kutugusa kwa maitaji yetu mbali mbali Amen mbarikiwe waimbaji wote.
Anayeangalia wimbi huu 2024 na bado ana feel uwepo wa Mungu na kububujika mbele yake ,gonga like hapa
✋✋
Anayeangalia 2023 pamoja na Mimi mungu amubariki 🙏🏾🙏🏾 gusa 😭 Jehova shalom gusa masiah 🙇🙇🙏🏼❤️🇰🇪🇰🇪👈
❤❤❤
Nilikua naiangalia nikiwa na miaka 10 na leo hii nimeitafuta nikiwa na miaka 23 elf 2024 mungu akaguse kazi yangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Nmechelewa😂😂🙏🏾🙏🏾
Alieangalia huu wimbi akuwa mschana sah n baba au mama🙋😂😂❤❤❤Mungu awabatiki sana Guza jehova popote mpo nyie wte🙌💪💪🙏🏾🙏🏾
Unayeangalia 2024 kama mimi kupitia youtube lakini uliwahi kuangalia kwa CD enzi hizo, punga mkono.
Wimbo huu nikiusikiliza nafarijika sana nasikia nikiguswa moyo wangu tunaofarijika na huu wimbo gonga like hapa 🙏🙏🙏
Hii nyimbo sijawahi ichoka jameni kila nikiisikiliza najikuta naanza kusali huku nalia😭 kama na ww bado unaiangalia mpaka leo 2019 gonga like.
Fan from Burundi 🇧🇮🇧🇮
If still watching this 2023 May God Bless you...
Who is still here in 2023??May the Good Lord Bless us abundantly throughout this year and always.
2024 Gusa Maisha yetu yesu❤❤..tugusee Tena ,watoto Wetu,wazazi wetu
Anayeangalia 2020 na janga hili la covid-19 Mungu akaguse hili.
Ni kweli
2023❤
Hu wimbo nimehusikia mwaka 2010 mama yangu alikuwa akiupenda mno haipiti siku bila kuhusikiliza natoa shukulani Mungu kanigusa mpaka sasa ni mwaka 2023
Gusa uchumba wangu baba pekeangu siwezi😢😢😢😢
wimbo wanibari sana,barikiwa sana
Savera Enock gusa bb familia ya mzee theophily ss peke yetu atuwezi bb
Tupo wenye ndoa ndani na balaa tupu gusa baba
Gusa biashara yangu mungu wangu
2023.......im here again again please God entervene
Great message. Lord intervene in people's lives. People are really going through a lot.😭
10 yrs + am still playing this song,what agreat blessing..Gusa maisha yangu bwana yesu
Sah najua ww n mama😂😂😂Pia mm naupenda sana huu wimbo wazamani sana❤❤❤
Napokea baraka za huu wimbo
Gusa baba mwaka huu nipate ajira nzuri.
I hear this song for first time in 2007 when I have 7 years old I continue to listen untill today December 2023 at 23 years old aiseee Mimi pia n legend jaman nipeni likes hizo❤❤❤❤❤😂😂
Mungu baba naomba uguse maisha yangu na mafanikio yangu.....mwaka 2020 ukawe wa mafanikio
Huu wimbo nimekuta moyo wangu unaimba nikabidi niutatafute 2005 ulihiti sana mpaka leo 2023 bado
hunifariji sana huu wimbo! ahsante mtunzi na Mungu akuzidishie uwezo.
2019 and still listening to this Gusa hit song. if you are blessed, gonga like
Nashindwa kujizuia kwa jinsi wimbo huu na uinjilisti uliomo ndani yake unavyougusa na kuubariki moyo wangu! Mbarikiwe sana
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu; Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo awabariki Sana!
Huu wimbo niliusikiliza mwaka wa 2004, mbarikiwe sana ktoka Nairobi Kenya.
Nime kumbuka mbali sana nyimbo hii ina toka nipo galanos Sec Tanga ndio Na maliza o-leve
Kwa Kweli Mungu ainue hii kwaya kwa huduma ya uimbaji yaani nabarikiwa sana nyimbo zao
Gusa maisha ya waliokata tamaa baba
Hawa Makau
Mungu we ndo kila kitu kwetu katika maisha yetu unagusa kila mmoja kwa nafsi yake
Mungu mguse my brother Alex aliytangulia mbele za haki mguse bb ni mm mdogo wake vero
Naipenda hii nyimbo inaguda japo, mimi ni muislam lkn inagusa mnoooo,m barikiwe sana.
Sahu sahura napenda moyo unataka gusa unatakata
Nahisi niko mbinguni japo sijafika,nisikiapo wimbo huu
Utaguzwa tu
Sahu sahura yeah vzur pia
Sahu sahura 🤒
Wed,8 May 2024, 00:36
Please God bless your people listening to this holy tune
Ahsante kwa hizi mnayo bariki na sinagusa rohoni mwangu endelea hivyo hivyo
Hawa waimbaji nawakubali saana
Gusa ndoa yangu bwana
Gusa mume wngu me siwezi peke yangu mwanya miuzija mungu wangu we ndio kila kitu baba yetu mguse mume wngu mungu
😢😢i hope alibarikiwa
Wimbo Mzuri,umeniguza mno,old is gold,watching in kenya
gusa baba maisha yang yehova
Kwa mkono wako tutabarikiwa, Kwa mkono tutatakazika, Kwa mkono tutafarijika, Kwa mkono tutawekwa huru
GUSA X4 GUSA JEHOVA, GUSA MASIA, GUSA SHALOM. GUSA X4 GUSA BWANA YESU
Wimbo umenigusa sana na umenifungua sana jina la bwana lihimidiwe na Kila mmoja akapate kubarikiwa
amen gusa baba
May God bless u my siz
Tumaini Sanga gusa maisha yangu mungu
Nabarikwa sana na nyimbo hizi
Gusa na mimi maisha yangu Bwana,,na familia yangu pia
It's so heart touching,may God almighty touch the situation you are by now and repay you with his blessings and healing in the mighty name of Jesus 🙏🙏🙏
This song has a really powerful message
Amen gusa maisha ya ndoa zetu
hai
I was here 2023 ❤❤
Kweli wengine tunacheka mbelezawatu lakini moyoni tunalia "Mungu gusa"
April 2024 Gusa maisha yangu Kupitia wimbo huu usalipo nikumbuke katika maombi mpendwa
Huu wimbo ni maombi tosha kabsa tena yenye nguvu 🙌😭
niguse na Mimi Baba
Moyo wangu umeguzwa na huu wimbo..mubarikiwe sana mulioguzwa na kuimba
Haleluya
Naupenda wimbo huu Gusa Gusa Mungu Maisha yangu.hakuna mwingine baba Gusa
Mungu niguse nijalie mchumba pekeangu sitaweza
Eee mungu gusa wajane yatima wagonjwa na wasiojiweza pia waliofiwa na wapendwa wao
Mungu awabariki sana hakika nimepona nakubarikiwa kwa wimbo huuu
Moja kati ya nyimbo bora za Muda wote. Kila nikiisikiliza ni kama imetoka jana. Mungu aendelee kuwabariki sana
Gusa kazi za mikono yangu Mungu wangu....huwa nabarikiwa sana na hii nyimbo
Who is watching and get blessed with this in 2020
I am so so blessed and this song will bless very many people.
asnte mung kwa kugusa maisha yang
Gusa maisha yangu e bwana wangu Yesu
2021 still my Fav❤️🙌🏻
Ooh Mungu nitendee makuu niguse kwa mkono
Anayeangalia 2024 Mungu akuguse upokee hitaji lako. Hizi ni baadhi ya nyimbo ambazo ziliniinua sana wakati naokoka.
Nabarikiwa sana na wimbo huu 🙏🙏
Hii ni 2023 na bado nabarikiwa na wimbo huu❤
CVC mko juu sana, Fadhili na nehema za Mungu wetu ziwe nanyi daima
kwaya hii inaendelea kunibariki wakati wangu wa nyuma nilipokuwa Kenya hata sasa nikiwa Ujerumani.Natumaini nita fika bara hili la Tanzania ni kutane na hawa waimbaji.Mbarikiwe sana.
Asante YEHOVA kwa kuugusa moyo wangu 🙏
naipenda sana huu mwimbo ijapo mm msabato lakin inagusa
Nawapenda sana nyimbo zenu zimenibariki mno
2021god bless you with all my friends
Thank you Jesus♥️♥️
Amen
Together
nyimbo imenitatulia matatizo mengi sn hii watumishi mbarikiwe sn! hakika Bwana yupo ktk uimbaji!!! anayeskiliza nami leo hii tar 18 nov 2019 hebu gonga like yako hapa
Niguse Jehova ndani ya moyo wangu nami nipate hitaji langu toka kwako
Niguse bwana yesu
niguze bwana guza shida zangu na fikira zangu
Eee mwenyezi mungu gusa nafsi yangu
endelea kugusa yesu
Gusa baba hata tulio mbali na Tanzania tuirud salama Amina
BABA TUKO MBELE YAKO,SISI NI WATENDA THAMBI,UTUSAME THAMBI YETU BABA
Joel Ogila mbarikiwe
Nmeupenda wimbo. Huu
Mungu wetu anatupenda tunapomuita anatugusa. Thank you Jesus. Barikiwa waimbaji
Npo mbele zako Baba Gusa maisha yangu😭😭😭😭😭🙏🏾♥️
Mungu awape nguvu zaidi ya kuhubiri
Gusa maisha yetu amen,!!
Nabarikiwa sana na nyimbo za kuabudu,Naamini Mungu atakwenda kutenda muujiza katika maisha yetu. AMEN.
Hu ni mwaka 2023 hu wimbo nimehanza kuhusikia mwaka 2010 toka kwa mama yangu alikuwa anaipenda sana nakupenda Mama nakupenda sana Mungu azidi kukuweka hai nakupenda Mungu kwa upendo unao tupatia mimi na Mama yangu
I Zablon LISSU Mangu, i love have been loved AIC Chang'ombe as well as their song concern so May Almighty GOD bless you AIC Chang'ombe chior !
nabarikiwa sana na wimbo huu ,Mungu azidi kubariki utumishi wenu
Amen
Mungu akulinde cku za maisha yako yote
Hongereni Sana chang'ombe na mungu awabariki mzidi kuwa wamoja katika imani
I always love this choir
gonga like hapa kama bado unaipenda2019
Ninyimbo Nzuri sana ilio na ujumbe unao kwenda moja kwa moja kwa Mwenyenzi Mungu na Kutugusa kwa maitaji yetu mbali mbali Amen mbarikiwe waimbaji wote.
mbalikiwe na bwana wimbo unagusa sana pia Mungu awape nguvu Amina.
Eeeh bwana wa mjeshi Mpokee..Mwalimu Clement..kwa nyimbo hizi zilibariki watu wengi Sana..kazi emeimaliza...RIP..Mwl.Buhembo
Gusa moyo wangu
Barkiwa watu wa mungu,ila huu unahuzunisha sana.
Ameen. Ni kwa mkono wako tu Jehovah.
mubarkie xana
nakumbuka mbali sana nikisikia nyimbo hii
Naukibar sana huu wimbo
The song has great power in blessing. Be blessed all the singers.
I put this song to my favorite list 😍😍😍😍
Ooh dear God always be there for me...
good work from aic chang'ombe god save us
Frank Riganya hey
gusa maisha gusa ktk masomo ya wanangu gusa ndugu na jamaa gusa baba
mungu na awabari kwa kazu nzuri
Gusa maisha yangu yesu
Naupenda sana wimbo huu, Mbarikiwe sana kwa kazi njema namna hii
This still touches me and I first watched it in year 2006